Ni Salama Rohoni Mwangu - Tenzi za rohoni lyrics
Музыка
#salama #salamarohoni #trending #new #tenzizarohoni #rohoni #tenzi #lyrics #lyricsvideo #gospelmusic #lyricscaptain #gospellyrics #new #trending
Ni Salama Rohoni Mwangu - Dinu Zeno
Tenzi za Rohoni No 23 (It is well with my soul)
Wimbo huu ulitungwa na mwanasheria mmoja mkristo aliyeitwa Horatio Spafford, alitunga wimbo huu kutokana na mambo mazito aliyoyapitia katika maisha yake, Matatizo yake yalianza kwa kufiwa na mtoto wake wa pekee wa kiume aliyekuwa na miaka minne, hiyo ilikuwa ni mwaka 1870
Muda mfupi baadaye (mwaka 1871) moto mkubwa uliozuka huko Chicago Marekani mjini kwake, ukaharibu mali zake nyingi ukizingatia alikuwa ni mwanasheria aliyekuwa amefanikiwa sana. Hilo likafuatana na biashara zake pia kuporomoka kutokana na anguko la uchumi lililotokea mwaka 1873, Hivyo ikambidi apange safari ya kwenda Ulaya pamoja na familia yake, Lakini aliahirisha safari kwa ajili ya kuweka mambo yake ya vibiashara vizuri yaliyokuwa yameathiriwa na moto, hivyo ikambidi msafirishe kwanz mkewe na mabinti zake wanne,akiahidi kuwa atawafuta baadaye.
Lakini Meli ilipokuwa inakatisha bahari ya atlantiki, ilizama ghafla kwa kugongana na meli nyingine na mabinti zake wote wanne wakafariki kwenye ajali hiyo akasalimika mke wake tu, akiwa kule Marekani alipokea ujumbe wa telegrafu kutoka kwa mke wake unaosema “Nimepona peke yangu” ndipo Spafford akaondoka kumfuata mkewe, na huko huko akauandika wimbo huu.
Пікірлер: 159
Kal sanaaa hakika inafariji sanaaa kama upo hapa 2024 tujuane
@priscaseverin4967
3 ай бұрын
Hakika hii nyimbo inafariji
@LeahPetersalamalohoni
Ай бұрын
Nihunzuni nikimkumbuka kaka yangu na maishi ninayopitia mungu anisaidie amina ubalikiwe mtumishi 😮wa mungu
@user-kd9tc4tl5f
23 күн бұрын
Nipo hapa
@BredanNjagi-qx4lg
22 күн бұрын
Mjl@@LeahPetersalamalohoni
@mercyosoro5978
7 күн бұрын
Nipo wimbo Huu wanigusa Moyo🙏
25march 2024 yesu salama rohoni mwangu
@HappyBoat-eg8qn
2 ай бұрын
Hello there mee here 4:21
@LeahPetersalamalohoni
Ай бұрын
Nafarijik na huu wimbo 😂🎉ubalikiwe mtumishi wa mungu
Mungu ni salama rohoni mwangu,kwa yale umenitendea mwanzo mwa mwaka huu😢😢😢😢😢,, najua mwaka utakapo iisha ,, utakuwa umenitendea mengi🙏🙏🙏,, ule amefika mwisho mwa maisha anakaa kukataa tamaa,, nungu yupo nanii ,, mutumainie 2 kwa imanii,, vicheko n majina ya wanadamu isikuvunje roho
Ingawa shetani ananitesa najipa moyo najua mungu atanipigania bora niko mzima kuna wenzangu wameangamia mwezi uluopita wengine huu mwezi wa tano lakini mimi mungu....umenipa uwezo wa kuona mwaka mpya na mwezi mpya ni salama moyoni mwangu m...🙏🙏🙏🙏
Ni salama rohoni mwangu yesu ukiwa na mimi nikumbuke na mimi bwana nimelia vyia kutosha nikumbuke bwana
Huu wimbo ukimbwa nabarikiwa sana rohoni
Asifiwe bwana, huu mwaka wa shukrani ❤️, 2024
AMEN AMEN, MUNGU AKIWA MBELE YOTE NI SALAMA
@LeahPetersalamalohoni
Ай бұрын
Hakunana 🎉 kisichowezeka kwa mungu hakika 😊😊 kama utamtanguliza mungu kwenye maisha yako 😅 kila kitu kitakuwa sawa kwenye life yako
Asante sana nikiwa,na mawazo nackia huu wimbo inajenga sana❤❤❤❤
@techknowgroup1173
Ай бұрын
sana
Nko salama rohoni kupitia kwa huu wimbo ,thnku lord
@wabebegamer2687
3 ай бұрын
hi is mumo
Amen . ..waiting for God to answer all my prayers
Ni salama rohoni mwangu
Nabarkiw sana na huu wimbo
❤️❤️❤️❤️♥️♥️🥰🥰🙏🏼🙏🏼🙏🏼 ubarikiwe sanaa
@SamuelKimani-vf5fq
5 ай бұрын
Amen
Mungu siku zote
Amina nimebalikw san mtumixhi wa mungu
Yah Sana nimeupenda
Ni salama Rohoni mwangu🙏
Nisalama kwakweli loonimwangu❤❤❤❤❤😂
Amen may God bless you keep up by grace..... Ni salama rohoni mwangu
Asanteni Mungu aweze kua na nyii
Ameni
Amina nyimbo inafariji moyoni kuna vidonda naishia kulia tu ninapo sikiliza hii nyimbo yote kwa yote mungu anitie nguvu na haya yapite,Amina
@LeahPetersalamalohoni
Ай бұрын
Nyimbo nzuri sana 😂inanifariji kulingana maisha ninayopitia mungu anitie nguvu mtumishi wa mungu kupitia wimbaji wako 😊rojo yangu ipo salama sasa mungu akubaliki
Ni salama rohoni mwangu, Amen Amen
Hawa wasee wawili wako na too much brain for 24 yr olds.. they will definitely go far .. both of them
A quaker man likes. Amen
Hooo haleluya nabarikiwa nisalam rohon mwang❤❤❤
Nimebarikiwa sana kwa kuwa ni Salama Rohoni Mwangu❤
Nabariki sana akika ni salama
Hakika wewe ni salama rohoni mwangu Mungu wangu
Salama rohoni mwangu ❤❤❤🙏🙏
3 april ni salama rohoni mwangu.
ni salama rohoni mwangu.🙏🙏🙏
Amen 🙏 ni salama rohoni
Jesus let your way be my way All i summit all to you
Haleluya nabarikiwa nisalama rohon
Amina nimebarikiwa
Napend San wimb wa mung amin
Amen.
Amina nimebalikiwa sana
The song draws our soul very close to God
This song gives me strength 🙏 amen ❤️
it has lifted me spiritually
With God ni salama...
Imella papa thanks dear lord for everything that am going through but for now am okey and l have peace in my heart🙏🙏
All the way from Tanzania now I live in zimbabwe God bless them for good song Dah !! I mic home ni salama rohoni mwangu .
Ni salama Rohoni mwangu🙏🙏
Amen kbsa
Let it be like that God Amen
Salama rohoni mwangu ❤❤❤
I'm blessed with this song
Ni salama kwangu rohoni
Continue resting in peace 🕊️ my brother 😭😭😭😭😭😭😭😭
Amen❤❤❤❤
Ameni❤❤❤❤
My fav song
Haleluya
@cherylnana9129
Ай бұрын
Wow
Ni Salama kabisa pamoja n'a Bwana wetu.
Amen ❤
Ni salama kweli
Hata shetani anitese sitaogopa kristo amekufa kwa ajili yangu
Kenya jcm and any 💔💔💔😭😭💔💔😭💔💔💔😭
@EUNICEMWIHAKI-ko3ww
11 күн бұрын
Yes the
@EUNICEMWIHAKI-ko3ww
9 күн бұрын
Just wanted the money to get up early today love you 😘😘🎶🎶🎶
Wimbo mpya
Majina ya waimbaji please
👊👍✌️.
Ama kwel nisalama nikiwa na Mungu wangu
12April@12:00pm, 🇰🇪🇧🇼
mama jus choir naona fahari
❤❤❤
🎉🎉
Please i need this song in english
huu wimbo nawaza mbali sana
Halima edson
❤❤ hallelujah
Amen
❤❤❤❤
❤❤
❤❤❤❤❤
Amen amma
Amen 🎉🎉🎉🎉
Nionapo Amani ndani yangu napata nguvu nyingi mno.
Nafuraipia😅
Ooh yes
Amen🙌🙌🙏🙏 Thank you God
I Remember Daniel Riwe
Nafariika sana amina
Nisalama rohon mwngu salama
Hakika ni salama rohon
2024👍
Que Dieu soit loue
Amen❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amen thankyu father God for all what yu have given me and what I am waiting to receive my hallelujah 🙏🙏🙏 belongs to Yu father God the owner of my soul stay with me always and forever in my life glory and houner back to Jesus Amen hallelujah 💗❤️♥️ I Rebecca wangari I love Yu Jesus 🙏🙏🙏 Amen
Title of the song please
Amen ❤❤❤❤
Salam rohoni
Amen LORD❤❤❤
🙏🙏🙏🙏🙏🙏 5:07
Ameen
It is well with my soul
nambarikiwa sana.
@MarthaJoshua-hw2cd
4 ай бұрын
Nabarikiwa sana na wimbo huu