Alilipa Deni zangu | Song: Pendo Kuu | Mamajusi Choir | Lyrics
Song: Pendo Kuu
Artist: Mamajusi Choir
Song Lyrics:
Verse 1
Pendo kuu la Yesu
lilitosha Kalvari
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari
Alinipenda Yesu
Akaingia gharama
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari
Chorus:
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari
Verse 2
Yesu Atuchunga,
Mchunga Wetu
Naye Atufuta
machozi yetu
Mkononi Mwake
hatuna hofu
Daima twapata
kwake wokovu
Chorus:
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari
Verse 3
Namtolea Yesu
Nampa moyo wote
Ntampenda Yesu namwandama kila saa
Chini ya msalaba
nataka simama
Ndiye mwamba safarini
Kwa kivuli chema
Chorus:
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari
Verse 4
Nataka nifahamu
nizidi kupambanua
Mapenzi Yake nifanye
yanayompendeza
Nataka nikae naye
kwa mazungumzo
Nizidi kuwaonyesha
wengine wokovu Wake
Chorus:
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari
Пікірлер: 1 000
wale tunasikiliza wimbo huu Bila kuchoka 2024 tujikusanye hapa❤❤
@user-wc2yp8ef7z
5 ай бұрын
Nipo hapa acheni tu jamani
@user-et8fn2ce7b
5 ай бұрын
❤❤❤.ninapousikiliza Wimbo huu nafarijika sana
@LidyaFransis
4 ай бұрын
Amen
@evansedward5951
4 ай бұрын
amen upo vizuri
@mariananicolaus8594
4 ай бұрын
Tupo wengi
Team 15th May 2024 wapy likes za Yesu Christu kutufilia msalabani
@nevillemoirore8027
Ай бұрын
ati likes za yesu🤣
@user-hy2mc6ti4l
26 күн бұрын
AMEN UBARIKIWE SANA
Amen team 2024 bado mpo it's still fresh
@MtumishiLucas
4 ай бұрын
Ameen. The song is as fresh as always. 👏 👏
@ZuwenSalum
Ай бұрын
Amin amni
@enockmaige8936
Ай бұрын
Amen
Kuna nyimbo wanadamu tunatunga na humpendeza Mungu saana. Ila kuna nyimbo pia Roho mtakatifu huziandaa na kutufundisha ili kumwimbia Mungu wetu, huu wmbo mtunzi naweza sema alishushiwa direct na Roho mtakatifu. ♥️ huu wimbo ukiusikia utaogopa kabisa kutenda dhambi
@moseskirimbay1791
4 ай бұрын
Huu wimbo una hisia kali sana na unapenya mpaka rohoni
@IsayaGervas
4 ай бұрын
❤p@@moseskirimbay1791
@AnnaBoniphace-dw7py
4 ай бұрын
Jmn kwel huu wimbo yaan ad unatamn kuacha mabay yote🙏😢
@LaurianMramba
4 ай бұрын
Najikuta nalia ety😭
@sophiabernado2154
3 ай бұрын
😊😊😊
Naupenda Sana huu wimbo na unanibariki mno
Here on Good Friday 2024 oh Lord have mercy on us 😭
@phennyhantemo327
4 ай бұрын
Me too listening to this song on good Friday as I pray
@eunicelesurmat5183
4 ай бұрын
Really love this song
@tecklabenedicto5588
4 ай бұрын
Me too
@elizaswai332
4 ай бұрын
Moi usi
@elizaswai332
4 ай бұрын
Mimi pia
Yohana 19:30 "Baada ya kuipokea hiyo siki, Yesu akasema 'imekwisha' akainamisha kichwa akakata roho."❤❤ Amen Kwa hakika yote yalikwisha msalabani mateso, laana, mashida, umaskini, mahaangaioko, chuki, visirani yote hayo alisena Yesu yamekwisha Don't give Keep praying "For our Lord God is mercyful and forgiving ". Daniel 9:9 Be blessed God loves us 🤍🤍
🙏🙏🙏🙏 ooh ooh ooh YESU YESU wangu...............hakika ingelikua sio wewe kunifia msalabani ningelikua wapi sasa hivi😭😭😭😭😭 Nikulipe nini Bwana Yesu wangu?????? Asante asante asante asante😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Nilikuwa nautafuta sana huu wimbo.Namshukuru Mungu ninausikiliza sasa hapa.Nampenda sana Yesu
@Abdoullmbaruku
Жыл бұрын
Na upendasana
@marymbeya4415
Жыл бұрын
Ø
@ZuberBernad-fp9pn
Жыл бұрын
@sheilandamu3089
10 ай бұрын
😊😊
@berylogalo6806
8 ай бұрын
Lip
Baba yangu Danford Mbilinyi wakati wa uhai wake wake aliupenda sana huu wimbo na wakati wote aliuimba kwa ufundi mkubwa akishirikiana na marehemu bibi yangu daima ili nimkumbuke vyema hutumia wimbo huu kufanya meditation
Na mimi nausikiliza bila kuchoka ,,nakupenda yeah
Wimbo unanikumbusha kuacha dhambi,🙏🙏🙏🙏
Mama yngu anapenda Sana wimbo huu, umejaa Sana baraka kila mda nikiieka mama huwa ana furahia❤🤍💖 nakupenda sana mama 🫶🫶
I love listening to this song as it Blesses my heart.. Listening on 30/03/2024 at 12:05am
Everytime I feel like I'm about to give this songs 🎵 reminds me alot and gives me strength ❤❤❤❤❤
Hakika wimbo huu ni Roho Mtakatifu kiongozi amefurika
Wimbo huu ni baraka kwangu siku zote
Amen hakika alinipenda akalipia gharama😢😢😢😢😢😢
Sichoki kusikiliza huu wimbo siku miezi na miaka nakupenda sana
Nimechelewa sana kuufahamu huu wimbo, nmebarikiwa 31/3/2024. Alilipa deni zangu kwa gharama ya mauti🙏
@amosnice1796
4 ай бұрын
We did on same day
Tulipata msamaha Kalvari.Asante sana YESU🙏🙏🙏
Huu Wimbo unanibariki sana
nikisikiliza wimbo huu nafalijika sana mungu asante kwa kunips pumzi hii ambayo silipii hata mia mweche mungu aitwe mungu
Mungu awabariki sana na yesu awaone kwenye huduma yenu
Asanteee yesu kwa kulipa Deni zangu zotee asanteee Sana 💓
Nampenda Yesu Alilipa deni zangu msamaha wa dhambi niliupata karvari Asante Bwana 👏👏👏
Kwa kweli wimbo huu unanigusa sana
Naupenda sana huu Wimbo na barikiwa sana,asante yesu
Mungu Atukuzwe sana na ubarikiwe
nmekuwa nikitafuta huu wimbo sana thanks to God nimeupata
2023 Who else is here I will come back with a testimony
Naupenda san huu wimbo❤
Msamaha wa dhambi niliupata calvary nakupenda YESU ❤
Napata amani sana ninaposikiliza huu wimbo Mungu awabariki
Nabarikiwa sana naposikiliza wimbo huu nazidi kufunguliwa kupitia wimbo huu🙏🙏
♥️♥️♥️♥️ ASANTE YESU KWA KULIPA DENI LANGU 2024 🙏
Mungu akubari kwa wimbo mzur
Wimbo huu umejaa upako na roho mtakatifu anazungumza kupitia wimbo huu. Ubarikiwe sana nimepata utulivu moyoni mwangu
Huu wimbo umeja upako Mungu tuone
Amen Mutumishi wa Mungu tume bariki sana tena sana na wimbo
Mwenyezi Mungu ni mwema sana kumtoa mwanawe Yetu kristo kutufia msalabani kwa gharama kwa gharama ya kubwa ya mauti❤😅😅😅
Nabarikiwa sana nahuu wimbo Mungu awabariki sana
Am proud to be christian ❤❤❤
@raphaelmwamakimbula9642
11 ай бұрын
Even I'm Soo ploud♥️
@SamMbuvi-fp1wi
3 ай бұрын
Nimereply comment Yako ndo uje usikilize huu wimbo Tena Mungu anatupenda sana
Hakika wimbo mzuri sana, Mtunzi Mungu akubariki. Hapa ulitumika kwa viwango vya kimungu kabisa.
Alilipa deni zangu Bwana . So humbling to me ,my God is fairhful i beleive a testimony is being prepared for me God. You have been fairhful in my life and i thank you always❤
Moyo wangu wa kupenda yesu,,,, Asante kwa Kila kitu,, I bless you jesus
14th Feb 2024 am blessed by this song 🙏
Kama sio kazi ya msalaba sijui ningekua wapi😢 Alilipa deni yangu 😭 Thank you for this song
Mlio tunga wimbo huu barikiwa sana unanikumbusha mbali sana huyu MUNGU aliko nitoa
Jaman MUNGU awabaliki watu wote walio imba huu wimbo una nguv za mungu
🙏🙏nabarikiwa sana , thanks Jesus for all you have done for me, nakumbuka mengi sana nikiusikiliza huu wimbo hakika Mungu mwema kwa kila jambo🥹🥹
Haleluyaa, msamaha tumeupata Kalvary hakika! Barikiweni wote mliouimba wimbo huu!
Nabarikiwa sana kuusikiliza huu wimbo roho mtakatifu mzima mzima
Amen Amen nikweli kabisa apewesifa baba wa rehema Yesu Christ ni bwana.....
YESU nakupenda sana nimejikana nimekuja kwako usiniache YESU
@deogratiusmayalla9853
5 ай бұрын
🎉hongera kwa kujua ukweli .
@user-ox4rd7un6h
4 ай бұрын
Hakika wimbo huu unanigusa sana.Asante Yesu
Pendo kuu la Yesu lilitosha kalvari.
Namshukuru mungu nikiwa nausikiliza wimbo huu nasikia kuwa na upendo na kuzidii kumtumkiamungu aliye mbinguni,🎉
Kweli wokovu ni dhihilisho la pendo kuu la Yesu, kuamua kuwafia wenye dhambi. Tusichezee wokovu bali tuutunze
Haleluya sifana utukufu kwa BwanaYesu. Kazi uliyoifanya pale salabani imenifanya niwepo leo baba. I can'ttake it for granted it's by grace.
❤❤Asante sana Mokozi Yesu mpe kila Mwenye huzuni furaha bwana. Kupitia wimbo huu
Ee Mungu wangu unisamehe baba yangu kwadhambi zangu zilizo kufanya uteseke mateso makali baba u2be roho yauruma hata 2kumbuke uliteseka kwajili yangu me naomba uruma yako baba
Asante kwanyimbo imenipa faraja na waimbaji Mungu awajaliye ngufu
Nabarikiwa sana na huu wimbo nasikiliza mara 10 zaidi kwa siku na sioni kutosheka Asante sana Yesu kwakunilipia Deni
The first time i had this song i was in a matatu and it really touched me till i cried. Such a powerful song indeed ❤. Glory to God forever
first day of 2024...this song connects me to God each time i feel low. Great song
Nllitafuta huu wimbo sana wimbo mtamu sana asante mungu kwa hekima ulio wafunulia hawa wana choir
❤ wimbo pendwa kwa kipindi hiki cha kwaresma😅😅
Asante Yesu wangu Kwa kunipenda na kuchukua dhambi zangu na kunipa msamaha wa dhambi
Amen and Amen. Lovely song
@EuniaRyaga-zd3zx
7 ай бұрын
Amen
Asante Yesu kwa Nguvu zako sina cha kukulipa🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Wimbo huu unagusa sn moyo wangu nampenda Yesu Kwa sababu ananipenda
@caritasmushi8896
Жыл бұрын
Asante Yesu kwa kutupenda jana leo na hata milele.Kama si wewe Yesu ningekuwa wapi mimi?🙏🙏🙏🤣
@josephmwasalanje2320
Жыл бұрын
Kabisa pastor yaani Sina la kusema
@nigananurunjema
Жыл бұрын
Angalia Garai neni Zimpraise kitu Cha Zimbabwe wamekopi Mamajusi wanafeli wapi?
Kwa kweli Yesu ametulipia Kwa gharama kuu,nasikia kumpenda zaidi huyu Yesu ninaposikiza wimbo huu
@deogratiusmayalla9853
5 ай бұрын
🎉kweli
This song reminds me how God delivered me from alcohol and drug addiction. He transformed me to a healthy person ready to serve him. He indeed paid all my debts. I will serve him every single day of my life.
@livelyfacts
Жыл бұрын
Same here 🙏fr God is good and sweet
@dottymwats7535
Жыл бұрын
Amen
@mooney7704
Жыл бұрын
Words me too.
@sethmartin6555
Жыл бұрын
Praised be Lord Jesus, He fails at nothing when pursues someone. Praise Him, praise Him until it hurts. I too love Him so tenderly and am looking forward to obtain my healing that I need badly now. Thank You Jesus, thank You Holy Spirit, thank you Eternal Father. Blessed be Holy Trinity.
@salomegitau562
Жыл бұрын
Hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙏
I have reapet this song,100 times ,very powerful message,may GOD bless you all🙏
@roseowano8244
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@suemusaujerry3481
Жыл бұрын
Same here can't have enough of it....
@gladysmuriithi6687
Жыл бұрын
Same here
@gladysmuriithi6687
Жыл бұрын
And sharing it with everyone who loves praising our dear God
Asante Yesu Kristo kwa kulipa dhambi zetu
Msamaha wa dhambi niliipata calvary kwa Neema TU, 🙌🙌🙌🙌 alilipa deni zangu 😭😭😭😭🙇🙇, Asante Yesu.
Nashukuru mungu kulipa deni langu,,l love this song
I love this song because Jesus died for me
@user-qq6wm1ne2c
4 ай бұрын
Nikupe nn bwana wangu💞
Natoka ofisini kila siku kwa Wimbo huu, Dhambi inasamehewa kwa Imani yangu juu ya kifo cha yesu msalabani pekee na si Zaka, Fungu la kumi, Matambiko na Mabatizo ya aina mbalimbali, Asante Yesu kwa ukombozi huu wa AJABU
Nakupenda Sana wimbo huu, nabarikiwa Sana ninapousikiliza
Ilove jesus❤❤
@user-fp4zy2st5p
7 ай бұрын
Mungu anisaidie 🙏nifike Mbinguni🌫️
Alilipa deni zangu. Msamaha wa dhambi zangu niliupata Kalvari. Kwa gharama ya mauti. Thank you Jesus
@REHEMAWILBROD
Жыл бұрын
😊😊😊 g.
@JacklineMsalangi
Жыл бұрын
Alilipa deni zangu. Msamaha wa dhambi zangu niliupata kalvari. Kwa gharama ya mauti Thanks you jesus
@winstonemsambazi9621
Жыл бұрын
Ythyyguuhuih uhghhhuhuur6 kiihuv y uh CC y hyy. -0=55606
@winstonemsambazi9621
Жыл бұрын
@@JacklineMsalangi uuuyuuhuuhghuhuyyuhhh
@winstonemsambazi9621
Жыл бұрын
O
I pray that documents zangu zigaguliwe leo. Ohh God walk with me me in this journey
Napata bubujiko ndani ya Msamaha wa Yesu, nipe kibali chako Yesu kukujua zaidi kuliko wanadamu
Mungu awajaze mafanikio kwa kazi nzuri 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@NadiaShibonya-ns9zu
Жыл бұрын
Batulip den zetu mingu
Barikiwenii Sanaa ,wimbooo umenibarikiii sanaaaaa🙇🙇🙇🙇🙇🙇💯💯
❤alilipa deni zangu naupenda sana barikiwa sana mtunzi wa wimbo huu amina
Ngv kubwa ya Roho Mt, IPO ndani ya huu wimbo, Mungu awainue zaidi
Nausikiza muda huu! Bwana wetu Yesu Kristo atukuzwe kwa pendo ili kubwa kwetu
"Nataka mazungumzo naye" kisha nifanye yanayompendeza! Thank you Jesus for saving my soul! Very powerful song. Asante sana mama Jusi choir mbarikiwe sana
@CHRISTINAKOMEN
5 ай бұрын
Amen
Yesu alinilipia dhambi kweli ningekua wapi kama si yeye
Nabarikiwa sana na ujumbe wa song hii na utukufu na heshima namrudishia Kristo. Wabarikiwe sana watumishi kwa ujumbe huu usiochosha kusiliza.
Am a catholic but I love the song
❤Thank you JESUS for loving me so much, no boundaries at all. The song is really touching. God bless the singers. 🙏🏼🙏🏼🙏🏼Amen.
@levinamwacha6004
Жыл бұрын
So blessing 🙏❣️
@emilynzisakioko
Жыл бұрын
Amen 🙏🙌🙌🙏🙏🙏
Huu wimbo hunibariki sana. Thankyou Jesus Christ of Nazareth for dying on the cross for the sake of my sins. As I countdown minutes to my birthday, I pray for forgiveness of sins and as I enter a new birth year, I pray for God's guidance and that He may hold me with His mighty hand. Listening on 02/04/2024 @ 11:38pm
@SamMbuvi-fp1wi
4 ай бұрын
Daniel 9:9 'The Lord our God is mercyful and forgiving ' Have a blessed year😊
Hizi ndio nyimbo ambazo zinaleta hisia na majuto ya dhambi ❤❤na hazichuji ubora wake, asanteni sana mamajusi kwaya sijui bado wapo mpka Leo maana ni long time ago
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏Thank you lord msamaha wa dhambi katika maisha yangu xana wako 😢😢😢😢
I like this song.Happy hiyo sauti ya wanakwaya inanipendeza saaana. Utukufu kwa mungu ameeen 🎉🎉🎉❤❤❤
@kamaukuie157
10 ай бұрын
amen
God has changed my life I was in dangeo God 🙏 is so lovely ❤❤
Mwanadam gani anaeweza kukusaidia akashindwa kukusema. Kufanya haya yesu peke anaweza 🙏🙏🙏🙏🙏