Ni Nani Mwenye Mamlaka Ya Kutangaza Mwezi -Sheikh Kassim Bin Mafuta

#Mwezi

Пікірлер: 12

  • @user-gn6ku2ui2p
    @user-gn6ku2ui2p4 ай бұрын

    safi sana je tanzania kuna taasisi ngapi za kidini

  • @suleimanmohommed5209
    @suleimanmohommed5209 Жыл бұрын

    Hakikatan Ya Fadhla tu Sheikh Mwenyezi Mungu akuhifadhi tuzidi kuelimika Insha’Allah

  • @daudimohamedi4508
    @daudimohamedi45082 жыл бұрын

    Good

  • @topfreelancer5151
    @topfreelancer51514 ай бұрын

    LEO MUFT ameikubali hii fatwa, ATAKA watu wajue yeye ndio mwenye mamlaka hayo

  • @AthumanRajabu-pg4of
    @AthumanRajabu-pg4of4 ай бұрын

    Huyu kaja kuihalibu suna itakua kuna kitu nyuma yake kimejificha nyuma ya paziia

  • @abdulaziizmgude9779
    @abdulaziizmgude9779 Жыл бұрын

    Sasa Nyie Masalafu mwenye Mamlaka Katika Manhaji yenu ni nani Nchini?? Ambae Mtu akiona Mwezi basi Taharifa zimfikie na yeye atangaze??

  • @sameerndekeja3460

    @sameerndekeja3460

    Жыл бұрын

    viongozi

  • @DuaatSalaftz

    @DuaatSalaftz

    Жыл бұрын

    Rudia Kusikiliza Tena Jawabu Utalipata Ndani Yake

  • @azizinantubwi3948

    @azizinantubwi3948

    4 ай бұрын

    Ni kiongozi Muadilifu wa Dini wa nchi, mf. Mufti/Khadhi au yeyote aliyepewa Mamlaka na Mufti ya kutangaza mwezi kwa niaba yake.

  • @catchall9364

    @catchall9364

    4 ай бұрын

    ​@@azizinantubwi3948hayupo huyo, hatazaliwa mpaka kiama

  • @salemaliy1963
    @salemaliy19634 ай бұрын

    Nyinyi mnasema mnafuata sunna . Je huo mwez WA kimataifa hakufunga mtume Wala maswahaba Wala tabii tabiyina .Miaka 1300 imepita haikuepo huo ...

Келесі