crois
Jaman hizi ndo spirital songs yaani mnajua kunifurahisha namwona subi ,Flomena,Daud mwangomba dah long sana
Sina MENGI na MUNGU awapiganie KWA yote hizi nyimbo aaaaaa
Pasina, shaka ninyimbo zakumwongoza mwanadamu Mbinguni Kwa Baba Mungu
Ameeen kubwa 🙏🙏🙏❤🧏 nyimbo zamaneno makubwa ndo nyimbo izo zina tuponya roho namwili, apana za kileo zinatupeleka motoni directed
Jamani New Jerusalem mbarikiwe sana Kwa utume mwema,ninafuatilia zaidi nyimbo zenu toka mwaka 2002 hadi Sasa mwavutia sana,
haleluyaa nimebarikiwa sana nmekumbuka zamani sanaaaa
2022 ila bado upako mbichiii
Arrowed to heaven!
Toka Nipo darasa la tatu 1996 naimba hizi nyimbo baba yangu alinunua kanda na mpaka Leo zipo kyela. R.I.P mzee wangu
Wow my uwata be blessed at all the time
Woow what a favorite song, I realy really love those songs , remains blessed
I feel nostalgic when listening to this…..I used to listen to them nikiwa mdogo
asantee sana nyimbo za rohoni inanikumbusha mbali sana nasikia kubarikiwa nawaona ndugu wa zamani sana
New yelusalemu uwata
Proudly African Mungu awabariki sana
Nimekumbuka mbali
Poleni sana kwanyimbo zenu kwakweli ninzuri sana mungu awapokeye salama
Nyimbo zenu ni baraka tupu
Uwata mbeya
Naipenda sana hii kwaya Mungu awabariki
Asante ndugu zangu mungu awabariki saana wapendwa. Toka Canada.
Mbalizi uwata
Thomas Lokofe And Kalux Kalongi Album: Nzambe Na Eliya Version CD Production: Glenn Music(Blacks Stars)Paris France 1994/95
mimi naitafuta album ya video yao ya kwanza iitwayo Pesa. mwenye nayo jamani msaada pls
Mimi ninawimbo mmoja wa alubam ya kwanza unaitwa Kamamaua
Bwana awabariki sana
Waoo very nice
Amen
Uwata idumu milele
Amina
wakati huo una double decker auto reverse inapiga mpaka aaubuhi chezea ww
Ongera Sana uwata
hizi ndio kwaya za injili,it is biblical,sio kwaya za leo
ukweli kabisa.
hongereni mlio simama nas tulio teleza mtuombee
Bwana awabaliki pale mulipo
Mungu awabariki nyote waimbaji ukifa hauna muda tena wakutubu kweli.
mungu awbrk
Mungu awabarik
Пікірлер: 39
Jaman hizi ndo spirital songs yaani mnajua kunifurahisha namwona subi ,Flomena,Daud mwangomba dah long sana
Sina MENGI na MUNGU awapiganie KWA yote hizi nyimbo aaaaaa
Pasina, shaka ninyimbo zakumwongoza mwanadamu Mbinguni Kwa Baba Mungu
Ameeen kubwa 🙏🙏🙏❤🧏 nyimbo zamaneno makubwa ndo nyimbo izo zina tuponya roho namwili, apana za kileo zinatupeleka motoni directed
Jamani New Jerusalem mbarikiwe sana Kwa utume mwema,ninafuatilia zaidi nyimbo zenu toka mwaka 2002 hadi Sasa mwavutia sana,
haleluyaa nimebarikiwa sana nmekumbuka zamani sanaaaa
2022 ila bado upako mbichiii
Arrowed to heaven!
Toka Nipo darasa la tatu 1996 naimba hizi nyimbo baba yangu alinunua kanda na mpaka Leo zipo kyela. R.I.P mzee wangu
Wow my uwata be blessed at all the time
Woow what a favorite song, I realy really love those songs , remains blessed
I feel nostalgic when listening to this…..I used to listen to them nikiwa mdogo
asantee sana nyimbo za rohoni inanikumbusha mbali sana nasikia kubarikiwa nawaona ndugu wa zamani sana
New yelusalemu uwata
Proudly African Mungu awabariki sana
Nimekumbuka mbali
Poleni sana kwanyimbo zenu kwakweli ninzuri sana mungu awapokeye salama
Nyimbo zenu ni baraka tupu
Uwata mbeya
Naipenda sana hii kwaya Mungu awabariki
Asante ndugu zangu mungu awabariki saana wapendwa. Toka Canada.
Mbalizi uwata
Thomas Lokofe And Kalux Kalongi Album: Nzambe Na Eliya Version CD Production: Glenn Music(Blacks Stars)Paris France 1994/95
mimi naitafuta album ya video yao ya kwanza iitwayo Pesa. mwenye nayo jamani msaada pls
@obedidamasi3537
3 жыл бұрын
Mimi ninawimbo mmoja wa alubam ya kwanza unaitwa Kamamaua
Bwana awabariki sana
Waoo very nice
Amen
Uwata idumu milele
@agnecymturo573
2 жыл бұрын
Amina
wakati huo una double decker auto reverse inapiga mpaka aaubuhi chezea ww
Ongera Sana uwata
hizi ndio kwaya za injili,it is biblical,sio kwaya za leo
@benardo.k8641
6 жыл бұрын
ukweli kabisa.
@marthacharles2860
5 жыл бұрын
hongereni mlio simama nas tulio teleza mtuombee
@selemanimakago3328
3 жыл бұрын
Bwana awabaliki pale mulipo
@williamkirway4620
2 жыл бұрын
Mungu awabariki nyote waimbaji ukifa hauna muda tena wakutubu kweli.
mungu awbrk
@nahamanchengula29
5 жыл бұрын
Mungu awabarik