Nimependa jinsi mnavyoweka maneno yenyu kimsingi nimebarikiwa sana na nyimbo zenu bwana wetu yesu kristo awabariki
@ValentinaTungaraza-bb5qj3 ай бұрын
Mungu awabariki sana nyimbo zenu zote mumeimba kwa neno la Mungu tofauti na sasa hivi nyimbo zimekosa upako kwa sababu zinakuwa hazina maandiko.
@kesiyadenise74167 жыл бұрын
Amen wa ndugu wangu,baraka za Bwana ziwafikiye maali mlipo popote 🙏🏽
@edwardcherogony87454 ай бұрын
hao wamama watatu wanifurahisha saana
@clementbankuwiha88776 жыл бұрын
mungu awabariki mno, nimekuwa nazisikiliza mpaka leo naendelea kukua zinaendelea kupenya ktk moyo.wangu GOD BLESED ALL
@xrisasanyo67205 жыл бұрын
hawa wako wapi? injili neno kwa neno toka kwa biblia, be blessed wherever you are ulyankulu choir.
@luhinzojospin57747 жыл бұрын
nimekosa maneno ,mungu awazidichiye mara dufu .nawapenda
@mutukupaul7462 Жыл бұрын
Napenda xana nyimbo zenu .Hizi kwaya za zamani ndizo zilikuwa zinaimba nyimbo za kiroho. MUNGU awabariki xana popote kila mmoja wenu alipo
@davidmoris7787Ай бұрын
2024 tubarikiwe pamoja.
@chantalkibunga91952 жыл бұрын
Mubarike sana ,izi nyimbo ni Baraka wangu, laisse que mon Dieu vous bénisse abondamment
@esthersymons10365 ай бұрын
Nyimbo za baraka sana my dad loved the songs we sang along with the choir when we were young. Just listened and prayed to God in tears that none of these choir members will moss heaven
@kayitareeric72833 жыл бұрын
Kumbe tangu zamani nasikiya wimbo huu na sasa naona vidio. Kutoka Kigali. God bless you
@EvangelisteMireilleMITAMBA8 жыл бұрын
Utukufu wote ni wa BWANA, tangu tuko vijana wadogo, nyimbo hizi zinabariki mioyo yetu. Mubarikiwe saana waimbaji wenzangu, Tukaze mwendo mpaka mwisho, hata tukitangulia kwa Baba kazi tulioifanya hapa chini ya jua inatenda na itatenda kazi. Tafadhali someni 1Wakorinto 15: 58 na pia Zaburi 20. Amina. Nawapenda nakuwafurahia saaaana. Muinjilisti M. MITAMBA Ny.
@restcharles1492
7 жыл бұрын
Evangeliste Mireille MITAMBA napenda xana kazi hizii ,zmesukwa vizuri
@restcharles1492
7 жыл бұрын
Evangeliste Mireille MITAMBA napenda xana kazi hizii ,zmesukwa vizuri
@happinesstesha706111 күн бұрын
Mbarikiwe uko mliko jaman
@amonjason77223 жыл бұрын
Natazama na nani leo 02.08.2020? Weka like tafadhali.
@andrewnday9127
3 жыл бұрын
Pamoja na mie
@isacksamwel94882 жыл бұрын
Huu wimbo unanikumbusha miaka ya 1987 hadi 199I nikiwa Primary School. Nilikuwa napenda sana kuisikiliza kwaya hii kwa kutumia redio pendwa za kizamani a.k.a radio cassette. Ilikuwa raha sana.
@frankkinyaiya.8217
Ай бұрын
Kumbe za miaka ya 80's huko, nilizani za miaka 90's
@henrychaula11743 жыл бұрын
So lovely ooh my Lord bless these birdsong like singers wherever they are live or dead.
@erickkayungu8185
3 жыл бұрын
Mostly of them arlead died
@charlzmafaru78598 жыл бұрын
napenda sana hizi kwaya za zamani. .Mungu awabadiliki
@francoisen6755
7 жыл бұрын
charlz mafaru Mimi pia
@geshanutenga1320
4 жыл бұрын
Mungu awabariki sana waumbaji
@muhirwaernesto4154
3 жыл бұрын
Amen, Na Mimi piya
@reagankihwelo15176 жыл бұрын
kweli cha zamani dhahabu nyimbo hizi huchoki hata kidogo kusikiliza
@williamkirway46203 жыл бұрын
Upendo wa kweli ni amri kuu aliyotuachia yesu,tukianza na wazazi,ndugu na jirani.mbarikiwe waimbaji kama ninyi Kwa mnavyotuonyea Kwa vitendo.
@restcharles14927 жыл бұрын
Napenda xana kazi hizi ,zmesukwa sawasawa
@amosmchiwa37627 жыл бұрын
jina la Bwana wetu Yesu lihimidiwe
@sadikielie481221 күн бұрын
Tangu utoto hadi hivi nina barikiwa sana kupitia nyimbo hizi ila sijuwe kama waimbaji hawa wapo nafasi gani Tanzania. nani anayeweza toa hata historia yao kwa ufupi! mimi ni mkongo kutoka Goma DRC mu barikiwe sana na bwana
@rachellaizer9413 жыл бұрын
Kwa kweli zinanikumbudha mbali zaidi sana npenda hizi nyimbo hasa
@shedomumbere2044 Жыл бұрын
Nakumbuka utoto Wangu 🤗🤗🤗 ata babayangu Nime mukumbuka
@augustabisetsa50079 ай бұрын
Jamani nyimbo nzuri hazichuji, Zina nguvu ya roho mtakatifu
@collinkanza55588 жыл бұрын
Mungu awabariki zaid na zaid...huwa najisikia amani sana nikizisikiliza hizi nyimbo
@jonathankizindo2817
6 жыл бұрын
collin kanza. Hakika ni nzuri sana. old is gold
@davidimmael13002 жыл бұрын
Kwa kuunga unga hiv hiv mpaka tutaingia kwenye ufalme wa Mungu since childhood nasikililiza hizi ngoma kumbe Roho wa Mungu alikuwa ananifundisha bila kujua I understand God love us .......
@elizabethrichard33496 жыл бұрын
Kwaya zilikuwaga zamani kwakweli
@jorambranchofmud6299 Жыл бұрын
Wahu sauti nzuri kabisa
@mhojanghwagindimila9681 Жыл бұрын
Wabarikiwe waimbaji wote waliokuwa wakiimba katika kwaya hii
@intergalacticbeing Жыл бұрын
I sang this song while in a medical school 1993.I love it absolutely.soothes my sole.Sang by the Diguna AIC choir. I hope they did notbridged copyright
@eatvnews86176 жыл бұрын
2018 february natazama, nani mwingine???
@childofgodthroughjesuschri3326
6 жыл бұрын
Eatv News naangalia na kusikiliza kila siku na leo 4/25/2018 nasikiliza na kuzifurahia
@johndeogratias8099 Жыл бұрын
Nadhani nilikuwa chini ya miaka 7 nikisikiliza nyimbo hizi, leo 3.april 2023 ni miaka 37 lakini bado nguvu ya Mungu imo katika nyimbo hizi. Nitarudi mwaka 2092 kuusikikiza tena hapa
@olaislukumay5717 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni wabariki sana
@esthernyongesa85289 ай бұрын
Nyimbo zenye utariji mwingi,nazipenda sana.
@irakozejeanclaude3890Ай бұрын
Mbalikiwe saana
@nancyombati6661 Жыл бұрын
Heard this song when I was ten years old,It made me memorize the fruits of the holy spirit up to now it's so fresh in my mind.God bless you so much for spreading the gospel of Christ.
@kpbuildtv9189
8 ай бұрын
namely
@bensonjohn9633 Жыл бұрын
Atukuzwe Mungu juu Mbinguni🎉
@muhizielisee84907 жыл бұрын
Mapigano Ulyankulu na Ulyankulu Barabaraba ya 13 nyote nawapenda
@user-gp8tw4ww3s9 ай бұрын
Nani ana ule wimbo wa Heri aliyesamehewa wa Ulyankuru Mapigano
Hawa watu bado wapo jamani? Naweza kumwona hata mmoja? Barikiwe sana
@mariaezekieli45207 жыл бұрын
NAPENDA NYIMBO ZENU UNATUMBUSHA MBALI
@faithwaeni3069 Жыл бұрын
Dad's favorite cassette
@adamrashid2410 Жыл бұрын
Albam inaitwaje naomba jibu
@alembeasukulu98499 ай бұрын
❤❤❤❤❤Muko wapi?
@camillakibara85433 жыл бұрын
2021 anyone?
@ezekielronoh4282
Жыл бұрын
2022
@user-mk9tx6kn3q4 ай бұрын
Nyimbo zenye uvuvio 😅
@bantukauky54083 жыл бұрын
Nimeokoka kupitia huduma za nyimbo zenu nimebarikiwa
@charlesmeijo2884 Жыл бұрын
Hakika upendo tunda la roho
@josephatmongare6674 Жыл бұрын
I love this choir, but I haven't heard of them for a long time ,are they there & active?
@mesharkjames1629 Жыл бұрын
Who's still watching in 2022?
@charlesmeijo2884 Жыл бұрын
Upendo
@mwananyamalaz442710 ай бұрын
Amen God bless 🙏
@graciakabika55887 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@brianokothogol14402 жыл бұрын
Love the solo guitar
@aminamikidadi1542 Жыл бұрын
Mbatikiwe
@maishasebastian82855 жыл бұрын
amina Mungu awabariki
@user-zv1ks8ms2v11 күн бұрын
Amen
@juliuslangat6260 Жыл бұрын
Asande I!!
@janeeliason27056 жыл бұрын
Mungi ni mwema
@amostuyisenge6495 Жыл бұрын
Bahati
@sethmwaigomole10913 жыл бұрын
safii kabisa
@phanuelnkeshi41972 жыл бұрын
Napezanilbohiizi
@alexshukrani68756 жыл бұрын
Muriimba,kwagufia,kwakina
@user-yv7ij4zh4k24 күн бұрын
Kuna Albam ya Ulyankulu hadi leo ni mwaka wa 30 tangu niisikilize sijawahi kuisikia tena. Moja ya nyimbo ambazo zilinivutia sana kwenye Albamu hiyo ni Wimbo wa YERUSALEM MJI MWEMA .... na wimbo mwingine sijui unaitwaje ila moja ya maneno yake kwenye ubeti wa kwanza na kisha CHORUS yanaimbwa hivi: "Tazama Mungu alionesha pendo lake eeeeh ili sote tuokolewe. Hata akamtoa mwanawe wa pekee ili sote tuokoleweeee.... CHORUS Amwaminiye yeye hahukumiwi, asiyeamini amekwisha kuhukumiwa kwasababu hakuliamini jina la Mwana Pekee wa Mungu aliye mbinguni" Hiyo albam nilikuwa nikiisikiliza wakati huo ni mdogo nilikuwa naona mbinguni ni hapo kabisa. Kwakweli enzi hazirudi tena. Mwenye Nyimbo hizi tafadhali kama yupo nitafarijika sana..
@selemanihussein50733 жыл бұрын
God be with you
@derickjuma4251Ай бұрын
2024❤❤❤
@gindulugendenga75006 жыл бұрын
nawapendaa saan
@stevemrope3935
5 жыл бұрын
safi sana nyimbo zenye upako wa Roho Mtakatifu
@Gidion-ht4ug Жыл бұрын
❤❤
@masterhogh653510 ай бұрын
🎉
@mugabeherman8285 Жыл бұрын
Asante
@chenzhenlee76333 жыл бұрын
Nani anaweza kunisaidiya na ALBUM YA SISI NI BARUA tafadhali yeyote anayo Album hiyi aniwekeye au anitumiye kwenye what's app +25768348552
@EndrewNdabigeze-kh5fj11 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@magaramugaka33666 жыл бұрын
These are my best songs.Mungu awabariki sana na awashike mikono
Пікірлер: 99
2020 sep,Nani anabarikiwa na mimi?
@emelda5420
9 ай бұрын
Me
@emelda5420
9 ай бұрын
Mimi
@nshimirimanalydia9103
7 ай бұрын
Mimi hapa 2023 bado nabarikiwa🎉🎉🎉🎉
Nimependa jinsi mnavyoweka maneno yenyu kimsingi nimebarikiwa sana na nyimbo zenu bwana wetu yesu kristo awabariki
Mungu awabariki sana nyimbo zenu zote mumeimba kwa neno la Mungu tofauti na sasa hivi nyimbo zimekosa upako kwa sababu zinakuwa hazina maandiko.
Amen wa ndugu wangu,baraka za Bwana ziwafikiye maali mlipo popote 🙏🏽
hao wamama watatu wanifurahisha saana
mungu awabariki mno, nimekuwa nazisikiliza mpaka leo naendelea kukua zinaendelea kupenya ktk moyo.wangu GOD BLESED ALL
hawa wako wapi? injili neno kwa neno toka kwa biblia, be blessed wherever you are ulyankulu choir.
nimekosa maneno ,mungu awazidichiye mara dufu .nawapenda
Napenda xana nyimbo zenu .Hizi kwaya za zamani ndizo zilikuwa zinaimba nyimbo za kiroho. MUNGU awabariki xana popote kila mmoja wenu alipo
2024 tubarikiwe pamoja.
Mubarike sana ,izi nyimbo ni Baraka wangu, laisse que mon Dieu vous bénisse abondamment
Nyimbo za baraka sana my dad loved the songs we sang along with the choir when we were young. Just listened and prayed to God in tears that none of these choir members will moss heaven
Kumbe tangu zamani nasikiya wimbo huu na sasa naona vidio. Kutoka Kigali. God bless you
Utukufu wote ni wa BWANA, tangu tuko vijana wadogo, nyimbo hizi zinabariki mioyo yetu. Mubarikiwe saana waimbaji wenzangu, Tukaze mwendo mpaka mwisho, hata tukitangulia kwa Baba kazi tulioifanya hapa chini ya jua inatenda na itatenda kazi. Tafadhali someni 1Wakorinto 15: 58 na pia Zaburi 20. Amina. Nawapenda nakuwafurahia saaaana. Muinjilisti M. MITAMBA Ny.
@restcharles1492
7 жыл бұрын
Evangeliste Mireille MITAMBA napenda xana kazi hizii ,zmesukwa vizuri
@restcharles1492
7 жыл бұрын
Evangeliste Mireille MITAMBA napenda xana kazi hizii ,zmesukwa vizuri
Mbarikiwe uko mliko jaman
Natazama na nani leo 02.08.2020? Weka like tafadhali.
@andrewnday9127
3 жыл бұрын
Pamoja na mie
Huu wimbo unanikumbusha miaka ya 1987 hadi 199I nikiwa Primary School. Nilikuwa napenda sana kuisikiliza kwaya hii kwa kutumia redio pendwa za kizamani a.k.a radio cassette. Ilikuwa raha sana.
@frankkinyaiya.8217
Ай бұрын
Kumbe za miaka ya 80's huko, nilizani za miaka 90's
So lovely ooh my Lord bless these birdsong like singers wherever they are live or dead.
@erickkayungu8185
3 жыл бұрын
Mostly of them arlead died
napenda sana hizi kwaya za zamani. .Mungu awabadiliki
@francoisen6755
7 жыл бұрын
charlz mafaru Mimi pia
@geshanutenga1320
4 жыл бұрын
Mungu awabariki sana waumbaji
@muhirwaernesto4154
3 жыл бұрын
Amen, Na Mimi piya
kweli cha zamani dhahabu nyimbo hizi huchoki hata kidogo kusikiliza
Upendo wa kweli ni amri kuu aliyotuachia yesu,tukianza na wazazi,ndugu na jirani.mbarikiwe waimbaji kama ninyi Kwa mnavyotuonyea Kwa vitendo.
Napenda xana kazi hizi ,zmesukwa sawasawa
jina la Bwana wetu Yesu lihimidiwe
Tangu utoto hadi hivi nina barikiwa sana kupitia nyimbo hizi ila sijuwe kama waimbaji hawa wapo nafasi gani Tanzania. nani anayeweza toa hata historia yao kwa ufupi! mimi ni mkongo kutoka Goma DRC mu barikiwe sana na bwana
Kwa kweli zinanikumbudha mbali zaidi sana npenda hizi nyimbo hasa
Nakumbuka utoto Wangu 🤗🤗🤗 ata babayangu Nime mukumbuka
Jamani nyimbo nzuri hazichuji, Zina nguvu ya roho mtakatifu
Mungu awabariki zaid na zaid...huwa najisikia amani sana nikizisikiliza hizi nyimbo
@jonathankizindo2817
6 жыл бұрын
collin kanza. Hakika ni nzuri sana. old is gold
Kwa kuunga unga hiv hiv mpaka tutaingia kwenye ufalme wa Mungu since childhood nasikililiza hizi ngoma kumbe Roho wa Mungu alikuwa ananifundisha bila kujua I understand God love us .......
Kwaya zilikuwaga zamani kwakweli
Wahu sauti nzuri kabisa
Wabarikiwe waimbaji wote waliokuwa wakiimba katika kwaya hii
I sang this song while in a medical school 1993.I love it absolutely.soothes my sole.Sang by the Diguna AIC choir. I hope they did notbridged copyright
2018 february natazama, nani mwingine???
@childofgodthroughjesuschri3326
6 жыл бұрын
Eatv News naangalia na kusikiliza kila siku na leo 4/25/2018 nasikiliza na kuzifurahia
Nadhani nilikuwa chini ya miaka 7 nikisikiliza nyimbo hizi, leo 3.april 2023 ni miaka 37 lakini bado nguvu ya Mungu imo katika nyimbo hizi. Nitarudi mwaka 2092 kuusikikiza tena hapa
Mungu wa mbinguni wabariki sana
Nyimbo zenye utariji mwingi,nazipenda sana.
Mbalikiwe saana
Heard this song when I was ten years old,It made me memorize the fruits of the holy spirit up to now it's so fresh in my mind.God bless you so much for spreading the gospel of Christ.
@kpbuildtv9189
8 ай бұрын
namely
Atukuzwe Mungu juu Mbinguni🎉
Mapigano Ulyankulu na Ulyankulu Barabaraba ya 13 nyote nawapenda
Nani ana ule wimbo wa Heri aliyesamehewa wa Ulyankuru Mapigano
MUNGU AWABARIKI SANA SANA SANA
Mapigano Unyankulu Kwaya Choir
Still watching this songs 2020 ❤️💕
@lucillekankazi8073
3 жыл бұрын
Muraho Felicite!!
@mybeautifulb1428
3 жыл бұрын
@@lucillekankazi8073 Yego turaho mwebwese mumeze ute
@lucillekankazi8073
3 жыл бұрын
@@mybeautifulb1428 tumeze neza, ndabona nawe urumukunzi wizindirimbo.
Hawa watu bado wapo jamani? Naweza kumwona hata mmoja? Barikiwe sana
NAPENDA NYIMBO ZENU UNATUMBUSHA MBALI
Dad's favorite cassette
Albam inaitwaje naomba jibu
❤❤❤❤❤Muko wapi?
2021 anyone?
@ezekielronoh4282
Жыл бұрын
2022
Nyimbo zenye uvuvio 😅
Nimeokoka kupitia huduma za nyimbo zenu nimebarikiwa
Hakika upendo tunda la roho
I love this choir, but I haven't heard of them for a long time ,are they there & active?
Who's still watching in 2022?
Upendo
Amen God bless 🙏
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Love the solo guitar
Mbatikiwe
amina Mungu awabariki
Amen
Asande I!!
Mungi ni mwema
Bahati
safii kabisa
Napezanilbohiizi
Muriimba,kwagufia,kwakina
Kuna Albam ya Ulyankulu hadi leo ni mwaka wa 30 tangu niisikilize sijawahi kuisikia tena. Moja ya nyimbo ambazo zilinivutia sana kwenye Albamu hiyo ni Wimbo wa YERUSALEM MJI MWEMA .... na wimbo mwingine sijui unaitwaje ila moja ya maneno yake kwenye ubeti wa kwanza na kisha CHORUS yanaimbwa hivi: "Tazama Mungu alionesha pendo lake eeeeh ili sote tuokolewe. Hata akamtoa mwanawe wa pekee ili sote tuokoleweeee.... CHORUS Amwaminiye yeye hahukumiwi, asiyeamini amekwisha kuhukumiwa kwasababu hakuliamini jina la Mwana Pekee wa Mungu aliye mbinguni" Hiyo albam nilikuwa nikiisikiliza wakati huo ni mdogo nilikuwa naona mbinguni ni hapo kabisa. Kwakweli enzi hazirudi tena. Mwenye Nyimbo hizi tafadhali kama yupo nitafarijika sana..
God be with you
2024❤❤❤
nawapendaa saan
@stevemrope3935
5 жыл бұрын
safi sana nyimbo zenye upako wa Roho Mtakatifu
❤❤
🎉
Asante
Nani anaweza kunisaidiya na ALBUM YA SISI NI BARUA tafadhali yeyote anayo Album hiyi aniwekeye au anitumiye kwenye what's app +25768348552
❤❤❤❤❤❤❤❤
These are my best songs.Mungu awabariki sana na awashike mikono
@wonderboy8357
4 жыл бұрын
Barikiwa sana nakumbuka enzi zakale upako kwenu