Mapigano Ulyankulu Kwaya Tazama Yesu

Tazama Yesu By Mapigano Ulyankulu Kwaya

Пікірлер: 99

  • @jiaminitv905
    @jiaminitv9053 жыл бұрын

    2020 sep,Nani anabarikiwa na mimi?

  • @emelda5420

    @emelda5420

    9 ай бұрын

    Me

  • @emelda5420

    @emelda5420

    9 ай бұрын

    Mimi

  • @nshimirimanalydia9103

    @nshimirimanalydia9103

    7 ай бұрын

    Mimi hapa 2023 bado nabarikiwa🎉🎉🎉🎉

  • @pascalbura3310
    @pascalbura33102 жыл бұрын

    Nimependa jinsi mnavyoweka maneno yenyu kimsingi nimebarikiwa sana na nyimbo zenu bwana wetu yesu kristo awabariki

  • @ValentinaTungaraza-bb5qj
    @ValentinaTungaraza-bb5qj3 ай бұрын

    Mungu awabariki sana nyimbo zenu zote mumeimba kwa neno la Mungu tofauti na sasa hivi nyimbo zimekosa upako kwa sababu zinakuwa hazina maandiko.

  • @kesiyadenise7416
    @kesiyadenise74167 жыл бұрын

    Amen wa ndugu wangu,baraka za Bwana ziwafikiye maali mlipo popote 🙏🏽

  • @edwardcherogony8745
    @edwardcherogony87454 ай бұрын

    hao wamama watatu wanifurahisha saana

  • @clementbankuwiha8877
    @clementbankuwiha88776 жыл бұрын

    mungu awabariki mno, nimekuwa nazisikiliza mpaka leo naendelea kukua zinaendelea kupenya ktk moyo.wangu GOD BLESED ALL

  • @xrisasanyo6720
    @xrisasanyo67205 жыл бұрын

    hawa wako wapi? injili neno kwa neno toka kwa biblia, be blessed wherever you are ulyankulu choir.

  • @luhinzojospin5774
    @luhinzojospin57747 жыл бұрын

    nimekosa maneno ,mungu awazidichiye mara dufu .nawapenda

  • @mutukupaul7462
    @mutukupaul7462 Жыл бұрын

    Napenda xana nyimbo zenu .Hizi kwaya za zamani ndizo zilikuwa zinaimba nyimbo za kiroho. MUNGU awabariki xana popote kila mmoja wenu alipo

  • @davidmoris7787
    @davidmoris7787Ай бұрын

    2024 tubarikiwe pamoja.

  • @chantalkibunga9195
    @chantalkibunga91952 жыл бұрын

    Mubarike sana ,izi nyimbo ni Baraka wangu, laisse que mon Dieu vous bénisse abondamment

  • @esthersymons1036
    @esthersymons10365 ай бұрын

    Nyimbo za baraka sana my dad loved the songs we sang along with the choir when we were young. Just listened and prayed to God in tears that none of these choir members will moss heaven

  • @kayitareeric7283
    @kayitareeric72833 жыл бұрын

    Kumbe tangu zamani nasikiya wimbo huu na sasa naona vidio. Kutoka Kigali. God bless you

  • @EvangelisteMireilleMITAMBA
    @EvangelisteMireilleMITAMBA8 жыл бұрын

    Utukufu wote ni wa BWANA, tangu tuko vijana wadogo, nyimbo hizi zinabariki mioyo yetu. Mubarikiwe saana waimbaji wenzangu, Tukaze mwendo mpaka mwisho, hata tukitangulia kwa Baba kazi tulioifanya hapa chini ya jua inatenda na itatenda kazi. Tafadhali someni 1Wakorinto 15: 58 na pia Zaburi 20. Amina. Nawapenda nakuwafurahia saaaana. Muinjilisti M. MITAMBA Ny.

  • @restcharles1492

    @restcharles1492

    7 жыл бұрын

    Evangeliste Mireille MITAMBA napenda xana kazi hizii ,zmesukwa vizuri

  • @restcharles1492

    @restcharles1492

    7 жыл бұрын

    Evangeliste Mireille MITAMBA napenda xana kazi hizii ,zmesukwa vizuri

  • @happinesstesha7061
    @happinesstesha706111 күн бұрын

    Mbarikiwe uko mliko jaman

  • @amonjason7722
    @amonjason77223 жыл бұрын

    Natazama na nani leo 02.08.2020? Weka like tafadhali.

  • @andrewnday9127

    @andrewnday9127

    3 жыл бұрын

    Pamoja na mie

  • @isacksamwel9488
    @isacksamwel94882 жыл бұрын

    Huu wimbo unanikumbusha miaka ya 1987 hadi 199I nikiwa Primary School. Nilikuwa napenda sana kuisikiliza kwaya hii kwa kutumia redio pendwa za kizamani a.k.a radio cassette. Ilikuwa raha sana.

  • @frankkinyaiya.8217

    @frankkinyaiya.8217

    Ай бұрын

    Kumbe za miaka ya 80's huko, nilizani za miaka 90's

  • @henrychaula1174
    @henrychaula11743 жыл бұрын

    So lovely ooh my Lord bless these birdsong like singers wherever they are live or dead.

  • @erickkayungu8185

    @erickkayungu8185

    3 жыл бұрын

    Mostly of them arlead died

  • @charlzmafaru7859
    @charlzmafaru78598 жыл бұрын

    napenda sana hizi kwaya za zamani. .Mungu awabadiliki

  • @francoisen6755

    @francoisen6755

    7 жыл бұрын

    charlz mafaru Mimi pia

  • @geshanutenga1320

    @geshanutenga1320

    4 жыл бұрын

    Mungu awabariki sana waumbaji

  • @muhirwaernesto4154

    @muhirwaernesto4154

    3 жыл бұрын

    Amen, Na Mimi piya

  • @reagankihwelo1517
    @reagankihwelo15176 жыл бұрын

    kweli cha zamani dhahabu nyimbo hizi huchoki hata kidogo kusikiliza

  • @williamkirway4620
    @williamkirway46203 жыл бұрын

    Upendo wa kweli ni amri kuu aliyotuachia yesu,tukianza na wazazi,ndugu na jirani.mbarikiwe waimbaji kama ninyi Kwa mnavyotuonyea Kwa vitendo.

  • @restcharles1492
    @restcharles14927 жыл бұрын

    Napenda xana kazi hizi ,zmesukwa sawasawa

  • @amosmchiwa3762
    @amosmchiwa37627 жыл бұрын

    jina la Bwana wetu Yesu lihimidiwe

  • @sadikielie4812
    @sadikielie481221 күн бұрын

    Tangu utoto hadi hivi nina barikiwa sana kupitia nyimbo hizi ila sijuwe kama waimbaji hawa wapo nafasi gani Tanzania. nani anayeweza toa hata historia yao kwa ufupi! mimi ni mkongo kutoka Goma DRC mu barikiwe sana na bwana

  • @rachellaizer941
    @rachellaizer9413 жыл бұрын

    Kwa kweli zinanikumbudha mbali zaidi sana npenda hizi nyimbo hasa

  • @shedomumbere2044
    @shedomumbere2044 Жыл бұрын

    Nakumbuka utoto Wangu 🤗🤗🤗 ata babayangu Nime mukumbuka

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa50079 ай бұрын

    Jamani nyimbo nzuri hazichuji, Zina nguvu ya roho mtakatifu

  • @collinkanza5558
    @collinkanza55588 жыл бұрын

    Mungu awabariki zaid na zaid...huwa najisikia amani sana nikizisikiliza hizi nyimbo

  • @jonathankizindo2817

    @jonathankizindo2817

    6 жыл бұрын

    collin kanza. Hakika ni nzuri sana. old is gold

  • @davidimmael1300
    @davidimmael13002 жыл бұрын

    Kwa kuunga unga hiv hiv mpaka tutaingia kwenye ufalme wa Mungu since childhood nasikililiza hizi ngoma kumbe Roho wa Mungu alikuwa ananifundisha bila kujua I understand God love us .......

  • @elizabethrichard3349
    @elizabethrichard33496 жыл бұрын

    Kwaya zilikuwaga zamani kwakweli

  • @jorambranchofmud6299
    @jorambranchofmud6299 Жыл бұрын

    Wahu sauti nzuri kabisa

  • @mhojanghwagindimila9681
    @mhojanghwagindimila9681 Жыл бұрын

    Wabarikiwe waimbaji wote waliokuwa wakiimba katika kwaya hii

  • @intergalacticbeing
    @intergalacticbeing Жыл бұрын

    I sang this song while in a medical school 1993.I love it absolutely.soothes my sole.Sang by the Diguna AIC choir. I hope they did notbridged copyright

  • @eatvnews8617
    @eatvnews86176 жыл бұрын

    2018 february natazama, nani mwingine???

  • @childofgodthroughjesuschri3326

    @childofgodthroughjesuschri3326

    6 жыл бұрын

    Eatv News naangalia na kusikiliza kila siku na leo 4/25/2018 nasikiliza na kuzifurahia

  • @johndeogratias8099
    @johndeogratias8099 Жыл бұрын

    Nadhani nilikuwa chini ya miaka 7 nikisikiliza nyimbo hizi, leo 3.april 2023 ni miaka 37 lakini bado nguvu ya Mungu imo katika nyimbo hizi. Nitarudi mwaka 2092 kuusikikiza tena hapa

  • @olaislukumay571
    @olaislukumay5717 жыл бұрын

    Mungu wa mbinguni wabariki sana

  • @esthernyongesa8528
    @esthernyongesa85289 ай бұрын

    Nyimbo zenye utariji mwingi,nazipenda sana.

  • @irakozejeanclaude3890
    @irakozejeanclaude3890Ай бұрын

    Mbalikiwe saana

  • @nancyombati6661
    @nancyombati6661 Жыл бұрын

    Heard this song when I was ten years old,It made me memorize the fruits of the holy spirit up to now it's so fresh in my mind.God bless you so much for spreading the gospel of Christ.

  • @kpbuildtv9189

    @kpbuildtv9189

    8 ай бұрын

    namely

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 Жыл бұрын

    Atukuzwe Mungu juu Mbinguni🎉

  • @muhizielisee8490
    @muhizielisee84907 жыл бұрын

    Mapigano Ulyankulu na Ulyankulu Barabaraba ya 13 nyote nawapenda

  • @user-gp8tw4ww3s
    @user-gp8tw4ww3s9 ай бұрын

    Nani ana ule wimbo wa Heri aliyesamehewa wa Ulyankuru Mapigano

  • @calvinamon4125
    @calvinamon41252 жыл бұрын

    MUNGU AWABARIKI SANA SANA SANA

  • @benryan5622
    @benryan56223 жыл бұрын

    Mapigano Unyankulu Kwaya Choir

  • @mybeautifulb1428
    @mybeautifulb14283 жыл бұрын

    Still watching this songs 2020 ❤️💕

  • @lucillekankazi8073

    @lucillekankazi8073

    3 жыл бұрын

    Muraho Felicite!!

  • @mybeautifulb1428

    @mybeautifulb1428

    3 жыл бұрын

    @@lucillekankazi8073 Yego turaho mwebwese mumeze ute

  • @lucillekankazi8073

    @lucillekankazi8073

    3 жыл бұрын

    @@mybeautifulb1428 tumeze neza, ndabona nawe urumukunzi wizindirimbo.

  • @msc.ing.ericmpayimana9142
    @msc.ing.ericmpayimana9142 Жыл бұрын

    Hawa watu bado wapo jamani? Naweza kumwona hata mmoja? Barikiwe sana

  • @mariaezekieli4520
    @mariaezekieli45207 жыл бұрын

    NAPENDA NYIMBO ZENU UNATUMBUSHA MBALI

  • @faithwaeni3069
    @faithwaeni3069 Жыл бұрын

    Dad's favorite cassette

  • @adamrashid2410
    @adamrashid2410 Жыл бұрын

    Albam inaitwaje naomba jibu

  • @alembeasukulu9849
    @alembeasukulu98499 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤Muko wapi?

  • @camillakibara8543
    @camillakibara85433 жыл бұрын

    2021 anyone?

  • @ezekielronoh4282

    @ezekielronoh4282

    Жыл бұрын

    2022

  • @user-mk9tx6kn3q
    @user-mk9tx6kn3q4 ай бұрын

    Nyimbo zenye uvuvio 😅

  • @bantukauky5408
    @bantukauky54083 жыл бұрын

    Nimeokoka kupitia huduma za nyimbo zenu nimebarikiwa

  • @charlesmeijo2884
    @charlesmeijo2884 Жыл бұрын

    Hakika upendo tunda la roho

  • @josephatmongare6674
    @josephatmongare6674 Жыл бұрын

    I love this choir, but I haven't heard of them for a long time ,are they there & active?

  • @mesharkjames1629
    @mesharkjames1629 Жыл бұрын

    Who's still watching in 2022?

  • @charlesmeijo2884
    @charlesmeijo2884 Жыл бұрын

    Upendo

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz442710 ай бұрын

    Amen God bless 🙏

  • @graciakabika5588
    @graciakabika55887 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @brianokothogol1440
    @brianokothogol14402 жыл бұрын

    Love the solo guitar

  • @aminamikidadi1542
    @aminamikidadi1542 Жыл бұрын

    Mbatikiwe

  • @maishasebastian8285
    @maishasebastian82855 жыл бұрын

    amina Mungu awabariki

  • @user-zv1ks8ms2v
    @user-zv1ks8ms2v11 күн бұрын

    Amen

  • @juliuslangat6260
    @juliuslangat6260 Жыл бұрын

    Asande I!!

  • @janeeliason2705
    @janeeliason27056 жыл бұрын

    Mungi ni mwema

  • @amostuyisenge6495
    @amostuyisenge6495 Жыл бұрын

    Bahati

  • @sethmwaigomole1091
    @sethmwaigomole10913 жыл бұрын

    safii kabisa

  • @phanuelnkeshi4197
    @phanuelnkeshi41972 жыл бұрын

    Napezanilbohiizi

  • @alexshukrani6875
    @alexshukrani68756 жыл бұрын

    Muriimba,kwagufia,kwakina

  • @user-yv7ij4zh4k
    @user-yv7ij4zh4k24 күн бұрын

    Kuna Albam ya Ulyankulu hadi leo ni mwaka wa 30 tangu niisikilize sijawahi kuisikia tena. Moja ya nyimbo ambazo zilinivutia sana kwenye Albamu hiyo ni Wimbo wa YERUSALEM MJI MWEMA .... na wimbo mwingine sijui unaitwaje ila moja ya maneno yake kwenye ubeti wa kwanza na kisha CHORUS yanaimbwa hivi: "Tazama Mungu alionesha pendo lake eeeeh ili sote tuokolewe. Hata akamtoa mwanawe wa pekee ili sote tuokoleweeee.... CHORUS Amwaminiye yeye hahukumiwi, asiyeamini amekwisha kuhukumiwa kwasababu hakuliamini jina la Mwana Pekee wa Mungu aliye mbinguni" Hiyo albam nilikuwa nikiisikiliza wakati huo ni mdogo nilikuwa naona mbinguni ni hapo kabisa. Kwakweli enzi hazirudi tena. Mwenye Nyimbo hizi tafadhali kama yupo nitafarijika sana..

  • @selemanihussein5073
    @selemanihussein50733 жыл бұрын

    God be with you

  • @derickjuma4251
    @derickjuma4251Ай бұрын

    2024❤❤❤

  • @gindulugendenga7500
    @gindulugendenga75006 жыл бұрын

    nawapendaa saan

  • @stevemrope3935

    @stevemrope3935

    5 жыл бұрын

    safi sana nyimbo zenye upako wa Roho Mtakatifu

  • @Gidion-ht4ug
    @Gidion-ht4ug Жыл бұрын

    ❤❤

  • @masterhogh6535
    @masterhogh653510 ай бұрын

    🎉

  • @mugabeherman8285
    @mugabeherman8285 Жыл бұрын

    Asante

  • @chenzhenlee7633
    @chenzhenlee76333 жыл бұрын

    Nani anaweza kunisaidiya na ALBUM YA SISI NI BARUA tafadhali yeyote anayo Album hiyi aniwekeye au anitumiye kwenye what's app +25768348552

  • @EndrewNdabigeze-kh5fj
    @EndrewNdabigeze-kh5fj11 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @magaramugaka3366
    @magaramugaka33666 жыл бұрын

    These are my best songs.Mungu awabariki sana na awashike mikono

  • @wonderboy8357

    @wonderboy8357

    4 жыл бұрын

    Barikiwa sana nakumbuka enzi zakale upako kwenu