Neria (Swahili Version)
Ойын-сауық
Kupita jitihada na ushirikiano mkubwa, Neria na mume wake Patrick wanajitengenezea maisha waliokuwa wakiyataka siku zote. Lakini Patrick anapofariki katika ajali ya gari, maisha ya Neria yanagueka ghafla na kuwa mateso. Wakati Neria anaomboleza kifo cha mume wake kijijini, shemeji yake, Phineas, yuko mjini akishughulika kumnyang'anya mali zake zote. Phineas anadai kuwa mila za Kiafrika zinampa haki ya kurithi mali zote za kaka yake marehemu. Neria anashuku lengo halisi la shemeji yake, lakini Phineas anapowateka watoto wake, ndipo Neria anaamua kumpiga vita.
Hii ni filamu ya Kiafrika ambayo imegusa watu wengi barani, na inayoshirikisha nyimbo za mwanamuziki mahiri kutoka Zimbabwe, Oliver Mtukudzi.
Filamu hii imeshinda tuzo 10 za kimataifa, zikiwemo tuzo ya OAU Carthage (Egypt) mwaka 1991 na tuzo za MNET nchini Africa Kusini za Muigizaji Bora wa Kike na Filamu Bora mwaka 1992.
A film from Zimbabwe dubbed in Kiswahili.
Пікірлер: 470
Like apa tujuane tunao itazama hii movie 2024
Mwenye kutizama movie hii2020 ache like hapa
@user-mk4zh3xm7q
6 ай бұрын
L
Wanawake kama tungekuwa na umoja kama huu tungekuwa mbali sana wenye kumpenda nelia piga like kubwa sana 2019.
@julianasonga5623
4 жыл бұрын
najma abby
@julianasonga5623
4 жыл бұрын
najma abby hi am also called nelia
@salomenand.1486
4 жыл бұрын
najma abby kwa ss watu kama hao hawapo
@salomenand.1486
4 жыл бұрын
najma abby kweli
@Cook-with-nelly
5 ай бұрын
My mommy told me she gaves me name neria becouse of the movie she saw from Tz that neria was so patient woman but I don’t know if is this one 😢
daahh inaskitishaa ,jinsi gani neria alivo pambania Mali ,inatufundisha , tunakumbuka tukiwa wadogo tukiitaza ila Leo tunacomet, angusha like twende sawa
Like tujuane tunaoitazama Kwa mara ya kwanza hii ngoma
@paulebby1552
4 жыл бұрын
Aloyce Usunguwanje hatukua na smartphone
@verified0429
4 жыл бұрын
Muda huu
Najiuliza hivi Baba zangu wadogo Gabriel Sigore, Felix Sigore, Cassian Sigore, Raphael Sigore au mwingine yeyote kati yao amewahi kuona hii move maana walichotufanyia baada ya wazazi wetu kufariki hawana tofauti na huyu. Inauma sana, pole wote mliodhurumiwa baada ya wazazi kufariki dunia 😭😭😭😭
@veronicacharles4527
5 жыл бұрын
Wille Sigore pole sana ,kuna watu wanaroho mbaya mnoo
@bernardnyangena9564
5 жыл бұрын
Wille Sigore Pole sana ndugu
@lucasmhagama8166
3 жыл бұрын
Inatokana na tamaa,kukosa utu,roho mbaya na uvivu wa kutafuta *POLE SANA NDUGU*
@saidasao9897
2 жыл бұрын
Pole
Nani ako hapa after kifo cha oliver 😭RIP legend
@chabycarpoza2998
5 жыл бұрын
Am here dear 😭😭😭😭
@olivakilyenyi4890
5 жыл бұрын
r.i.p Oliver
@evareturn6439
5 жыл бұрын
Chaby Carpoza just came here to see him more😭
@arthurmwakanyamale7651
5 жыл бұрын
tupo p1
@beautyibrahim8428
5 жыл бұрын
Me
Zimbabweans will forever cherish the good content that Mutukudzi Oliver gave us . Our national heroe .
Who is still watching this movie after the death of Oliver R.I.P Legend
@fredrickmbaga5174
4 жыл бұрын
Glory Raphael hapa nko
@lucymwangamilo2904
3 жыл бұрын
Niko hapaaaa
2020 nani bado ako akiwatch?
@jamilasojasafisanakiongozw8227
4 жыл бұрын
Mim napenda San mov iyapa
@khalfaniyusuph1811
3 жыл бұрын
Natokea Tanzania Niko napenda sana movie hii❤️❤️
kwa mara ya kwanza niliangalia hii filam 2001 na leo ni 2023 r.i.p all regend walio husika kwenye hii filamu bila kumsahau oliver kudtukuz
Anyone 2019 ??? Nelia #ARREY🔥😄
@madummadum6216
5 жыл бұрын
Tupo pamoja
Nani anaangalia mwaka 2020 tujuane hapa tafadhali
@jamilasojasafisanakiongozw8227
4 жыл бұрын
Mim APA naipend sanaa
@manueljulius3769
3 жыл бұрын
Inanoga san
2020 who is with me here
@allawiahmedi6096
4 жыл бұрын
Me
@jameshayne5888
4 жыл бұрын
Me
@MissGiggles72
4 жыл бұрын
What's the name of the original movie and what is the original language of the movie?
Hakikaa movie inamafunzo na inatufunzaa muda unakwenda kwa kasi sana,ashume hii movie toka imeigizwa ni miaka mingap imepita mpka sasa,hii inatufunza pia kutumia muda wetu vizuri na wakati wetu kwa mema na kusaidia wengne mana tunajiwekea akiba na ni kwa faida yetu sote,..bila ya hivo tutakua ni wenye kula hasara kwa kutumia muda na wakati wetu vibayaa! Mwenyezi mungu awabariki sana i love you all❤❤❤
Ni historia ya maisha yangu kilicho tokea hapo hakuna tofauti kubwa na kilichotokea kwangu na familia yangu baada ya baba kufariki lakini mahakama ilikuwa ndo msaada kwetu n haki zote tulipata. Ni film ya miaka mingi lakini kila siku ni bado mpya kutokana na uhalisia wa film yenyewe. Naipenda sana.
@swahiliwood
8 жыл бұрын
Asante sana na pole
@denismhina5216
8 жыл бұрын
Asante ndugu ndio maisha
@ismailbariadi1521
7 жыл бұрын
pole sana dada angu
@ismailbariadi1521
7 жыл бұрын
pole sana dada angu
@gidionngorogoro3272
7 жыл бұрын
pole sana
filam hii inanikumbusha mbali sana kipindi Niko mdogo nilikuwa naiangalia kupitia Chanel ya TVT Miaka ya 2001 na nilitotokea kujifunza mengi sana mpaka Leo sija wai kuichoka kwani ni filam bora Africa nzima na ilipendwa na watu wengi zaid miaka hadi miaka, hivi ndivyo inatakiwa wa Africa tutengeneze vitu vyenye ubora mfano movie ya Neria .
@swahiliwood
5 жыл бұрын
Kwa filamu mpya, endelea kubofya kwenye channel yetu
@elizabethvicent3584
4 жыл бұрын
Hakika
@datikazumari515
4 жыл бұрын
Tvt aikuwepo 2001
Kwa movie hii ndo tunaweza kusema kuwa msanii ni kioo cha jamii.Kusema kweli hii ni movie ya Kiafrika inazungumzia jadi zetu kiuhalisia
nazipenda sana filam zakuigiza maisha yazamani kuliko filam za kisasa nimejifunza mengi kwakweli Asanteni ote mlio ifasiri filam hii kwakiswahili.
@leahmafwenga4695
6 жыл бұрын
aryan season kwa kiswahili
Daah yaani huwa nikingalia iih Movie nakumbuka mbali sana maana inanifariji kipindi mama yangu alivo zurmiwa Mali mpaka sasa tunaishi kwa bibi My Mom shindaa moyoo shindaa
@irenekalinjuma4176
5 жыл бұрын
Pole Sana. Bt mungu ni mwema.as long as mko pamoja na mnaishi kwa furaha. Then that's so good.. Tuwapende mama zetu sanaaaaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@avithamashaka2743
5 жыл бұрын
pole sana nmekupenda buree chek me plz hctolia ako imeniuma
@gooddeeds162
5 жыл бұрын
Davis Mwakanosya pole Sana , Kila jambo lina mwanzo na mwisho wake hasa likiwa baya na zito. Mungu akubariki Sana wewe na Mama pia , Awape nguvu na kuwafungulia njia njema na mwisho kila mwenye haki atapata haki yake. Mungu awabariki sana wewe , Mama na Bibi .
@mneneijasmin1493
5 жыл бұрын
Davis Mwakanosya
Filamu nzuri na bora sana, nakumbuka tulikuwa tunaiangalia kwa jirani mwaka 1994, kwetu hatukuwa na luninga.
Asanten sana kwa simulizi na kipindi hiki cha NERIA. Mwenyezi Mungu awalinde na kuwabariki mliokiandaa.
Mwenyewe kuitizama movie hii 2021 like tafadhali
Mashoga wa hivi walipoteaga vita ya 2 ya dunia wa sasa wanatukumbushaga vijora tuuu walahi siichoki hii movie since utoto
@shemdodoseiph5370
5 жыл бұрын
Heheheheeee
@zainabukolelo7027
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤝
@colinehelmas1458
4 жыл бұрын
Umenichekesha saaana
@asnathsweet9688
4 жыл бұрын
Kwakweli marafiki sisi ni fire
Hii movie napenda kuirudia inafundisha sana.....gonga like kwa tulioirudia 2020
The movie is so beautiful! It's perfect. Well written, shot, directed, scored and edited ...we have fallen so far from the standard it set!
Who is still with me in twenty twenty 👍
Excellent movie.Deserves all the credit.Am living in Tanzania so I understand Swahili and I've enjoyed the film so much.Wanawake tunaweza,na wale matapeli kama Phineas Allah atawanyosha InshAllah
@fahamuelmkojera4971
4 жыл бұрын
Hi
@mayombipaul7258
3 жыл бұрын
Imenikumbusha mbali Sana hii picha mala yangu yakwanza kuiona ulikua 2002 sofa ziende kwa waandaaji wa hii picha
Sina hakika kama chozi la mwanaume ni ishara ya udhaifu wake. Lakini kitendo cha nelia kuinuka kwa huzuni baada ya kunyimwa hata picha tu kimenitoa chozi.
@veronicacharles4527
5 жыл бұрын
Moses G. Pendael hahaha hongera ni ishara ya huruma na upendo
Haki filamu nzr sana nimejifunza mnooo naipenda sichoki kuiangalia pole sana Neria kwa yote uliyo yapitia kutokana na tamaa ya mali ya shemeji yako
Ni filamu bora, iliyofichua mifumo dime na unyanyasaji wa wanawake pale wanapofiwa na waume zao
Legends don't die they rest ... We loved u but God loved you more rest in peace daddy
I love this Zimbabwean film i was in form 1(one) then when this film was made.Asande sana
Rest in peace Oliver, I'm still watching this and I love it since I was young.
Sasa wasanii wa Tanzania jifunzeni kazi za kisanii kutokana na awa watangulizi wenu kama hawa. Inapendeza sana ata uchoki kuitazama
@habibtyai4512
7 жыл бұрын
Juve Muchunguzi Ni kweli wallahy nimeanza kuitazama tangu Niko mtoto
@matendoa.online803
5 жыл бұрын
I heard about this short movie long back ago 2008 in South Africa 🇿🇦 by my girlfriend...a Zimbabwean, I got time and chance to watch it today August 27 -2018 . Nice story with nice Conclusion. 🇨🇩
kweli mama zetu huwa wanapata shida sana pale tu mumewake anapofaliki hii ni fundisho tosha tuandae wosia mapema
@swahiliwood
9 жыл бұрын
Sirgo Mahojoa Unadhani kuna haja ya kuandika wosia kabla huja aga dunia..?
@sirgomahojoa969
9 жыл бұрын
ndiyo wosia lazima ona sasa nelia alivyo pata tabu bila ya ushauli kwa mwanasheria na wenzake angepata shida sana
2019 Ten years back nimeiona hii, ila utamu ule ule🔥🔥🔥
Dah laiti filam za saivi zingekua Zina content hizi na kuigiza hivii mafundisho mazur sana ila dah za saiv ni za ajab sana sjawah iangalia hii but Leo ndo nimeiangalia wow best one🎉
Am commenting again!I had to after watchin it for yet another tym!Ni nzuri sana.Alaf inasikitisha vipi watu wengine wanavyo jali mali kuliko undugu.Na ujirani mwema.Marafiki wa zuri na sio wa kona kona
Nani anaitama 2020?
This movie makes me cry because it reminds me of my aunt whom we watched the movie together and now she is dead
Nani yupo hapa baada ya kifo cha tuku 😭😭😭😭
@yakoboamosi1742
4 жыл бұрын
Salf keita
Wakali wa hizi kazi Kama upo Iringa gonga like
Anyone 2018??
@kwilekasheila462
5 жыл бұрын
Chaz Koillah meeeeeè
@chazkoillah2652
5 жыл бұрын
@@kwilekasheila462 now 2019 we are together R. I. P Oliver mtukuz 😑 😥 😥 😭 😭 😭
@verified0429
4 жыл бұрын
25/12/2019
Kitambo sana nilikuwa nachungulia kwa jirani yetu, nikapigwa ikabidi mzee cku iliyofata athletes TV aina ya GRANDING
@saidasao9897
2 жыл бұрын
😊Umenikimbusha hata mm Nilikua natizama kwa jirani
Daaaah ya zamani kweli m nazaliwa ndio movie inatoka
My childhood movie...tulikuwa na liya kila siku kama tuna angaliya iyi movie
@veronicaituka8189
Жыл бұрын
Even me..
naipenda sana hii film, niliweza memorize neno kwa neno, yan nimeiangalia toka mtoto mbaka sasa
@musatz7299
7 жыл бұрын
nelia naipenda sana hii move
nimeipenda sheria ya miaka hiyo jamani haki alikuwa hai
After 22 years nawaza kama ntaweza itazama bila kulia mana saiz nina mume na watoto
enzi hizo tupo kigoma na tv letu la nchi 24,hii ndo ilikua kipenzi cha familia nzima.hapo tumejaa karibia mtaa mzima tunakula shule ya neria.
@angelinalupogo1053
4 жыл бұрын
Naipenda sana inanikumbusha mambo mengi sana.
Well yet for another time!!!!Well done Zimbabwe and we are praying for the situation of the country returns to how it was and better.I just love Neria and koni and her friends at work.Bravo
@swahiliwood
9 жыл бұрын
Fatma Abri Asante..je unadhani filamu gani zingine umependa ha Swahiliwood..?
This movie is always making me cry daah😥😥😔😔😭😭😭😭. It's Deep. Rest in peace legend Oliver mtukudzi 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Dah, leo ni maajabu kuu na tena makuu kwani hii sinema niliitazama 1999 na 2002 hadi waleo tena ndo naikuta baada ya kuitafuta kwa muda na kutofanikiwa. Nitahishi itazama tena na tena hadi dunia ikatae kunibeba ila tu kunifukia kama patrick. Sinema zuri sana, hakika hivi leo au waleo sinema za sasa zingelikuwa kana hizi hakika funzo tungelikuwa nalo kuu mno. Asante na mola awe nanyi kokote mliko,
2021 tena👊🏾
I can't get tired with this video for it reveals real life situation
kameza kadogo mno 2019 nitamuonyesha, nitamkomesha 2019
@jamilasojasafisanakiongozw8227
4 жыл бұрын
Hahaha jamn wa2 Waco na visaa
best movie of all timea neria since my childhood
Nakumbuka mbali kabx
My childhood movie,rest well legend Oliver
Huyu boya fines namchukia
Ni uhakika mambo haya ni ya kila siku na ndivyo yatupasa kuwa macho Mkanda mzuri mnoo na Neria umeacheza vizuri saaana.God bless all of you
nammiss my mumy alikua akipenda sana kuimba nyimbo ya neria 😢😢😢
Nko nawaza.."ingekua vipi Neria asinge kua na kaka ".. means angekua pekeake na ingekua rahisi sana kukata tamaa..mungu awasaidie sana na kuwaongoza mabint wote walio pekeao na wanao tarajis kuwa mama wakesho inshallwah
Hii ndo kuigiza sasa hata walio igiza sauti wametendea haki
@agustinopaul7488
4 жыл бұрын
Kweli
@princezatine105
3 жыл бұрын
Kabisa
Wanawake wangelikuwa kama mwanamke Neria tungejivuna SN.
Inamhusu mamaangu kipenz
Nice movie, R.I.P Mtukudzi
2020 tujuane Etty na vitu vyetu visivyochuja..
Inanikumbsha mbali sana mpk nimelia
wooooow zamani sana nilikuwa mdogo nimeitafuta sana bila mafanikio asante mungu nimeiona tena.
@swahiliwood
5 жыл бұрын
Kwa filamu mpya, endelea kubofya kwenye channel yetu
Afadhali leo kuna sheria ya haki za mjane jaman ...leo hatupitii suruba kama aliyopitia Nelia ...tunashukuru selikali kuyaona haya 👏👏
Iko vyema sana japo sijawahi kuiona ila nimeipenda sana
Kumbusha mbali sana aise,Niria alifundisha wamama wengi sana
Is there any one watching ...this October 2020??
@salimmkwawatz3073
3 жыл бұрын
Pamoja
Hongeraaaa sanaaa, poleeee mama
Asante saana Swahiliwood,Neria ni mfano mkubwa wa kuigwa.
@tausimbalamwezi8265
5 жыл бұрын
Updates Tv 📡 RIP mpendwa wetu mlicheza mover nzuri utakumbukwa kwa hili
hiii move bado naiangalia. 2024
kumbuka xn hii filamu na kuipenda
Anyone 2019
@verified0429
4 жыл бұрын
I'm here
Kitambo sanaaaaaaah
Naipenda sana hii movie inagusa maisha yetu halisi !!!!
Sinema nzuri sana, imejaa mafundisho na hoja za msingi sana katika maisha Hongereni sana waandaaji
Best movie I have ever seen its 2022 but still 🔥🔥🔥🔥🔥
zimbabwe in the good old days!!! Wonderful
11/12/2023 in still watching with tears, from Tanzania
Movie nzuri sana na inanikumbusha mbali sana kipindi nipo kidato cha nne kwenye kiswahili (uhakiki wa kazi za fasihi) dah kweli mama zetu wananyanyasika sana# Sir. Bora @2014
Afikiri hii ni mara yangu ya kwanza kuitazama hii filam nikiwa na ufaham, na nimeipenda sana
Yaani kipindi hicho niko shule ya msingi sasa naangalia niko mama watatu ama kweli siku hazigandi
Yeah, this is among of best Zimbabwean film much much bravo!!!!
Else still watching in 2021🇹🇿🇿🇲
1998 mpaka Leo nikiiangalia inaniliza na uzee wangu jamani inafundisha sana
It shows some of problems faced with our mothers mostly in African societies, I love this movie..
Kufiwa na mwanaume inauma sana,hii movies naipenda sana inafundisha sana,wanawake jifunzeni kwa hii filamu
Mimi naiangalia leo hii 28 DEC 2020
Swahili wood mnazidi kunifurahisha....kazi nzuri endeleeni hivyo hivyo
Jamani hii movie imenifunza mengi kabisa
naikumbuka hii movie,yani kitambo sana aiseee alafu iko gud
Mashoga kama hawa walishapotea na upepo
movie inafundisha maisha ya kila cku blees neira