Neema Gospel Choir - Nikubali Yesu (Official Video) 4K
Музыка
Maneno ya kinywa changu, Na mawazo ya moyo wangu, Yapate kibali mbele zako, Ee BWANA, Mwamba wangu, na mwokozi wangu.
ZAB. 19:14
Let the words of my mouth, and the meditation of my heart, be acceptable in thy sight, O Lord , my strength, and my redeemer.
Psalms 19:14
Song Lyrics:
Kuna vijito vya maji ya uzima
There are streams of living water
Mlimani mwa Bwana
in the Lord's mountain
Kila aogaye humo yuna usalama
whoever swims in, is safe
Kama ungelijua karama yake Mungu leo hii
if you only knew the gift of God
Ya kwamba ye ni nani aongeaye na wewe leo hii
for who you are speaking to
Ungelimwomba Yesu akupe maji ya uzima tele
you would have asked Jesus to give you the living water
Wala hakuna haja ya kusubiri maji yatibuliwe
there's no need to wait for the water to be stirred
Tena hakuna haja ya kusubiri mtu akuwezeshe
and there's no need to wait for someone to help you
Ungelimwomba Yesu akupe maji ya uzima tele
you would have asked Jesus to give you the living water
Je shida yako ni ipi?
what troubles you?
Mwambie Yesu anaweza
tell Jesus, he is able
Mwambie Yesu usinipite
tell Jesus "pass me not"
Niko hapa Bwana
am here my Lord
Nimejaribu mwenyewe pekeyangu nimeshindwa unisaidie
I have tried on my own, i have failed. help me!
Yesu wewe unaweza
Jesus you are able
Yesu wewe unatosha
you are sufficient
Yesu wewe usinipite
pass me not Jesus
Usinipite Bwana
pass me not Lord
Nakuita Yesu
i call upon you Jesus
Nakuita Bwana
i call upon you Lord
Nakuita
i'm calling you
Sikia kuomba kwangu ee Yesu
hear my prayer Jesus!
Amani yangu ni wewe mfalme
you are my peace, my king
Nimesikia habari zako,
i have heared about you
nakimbilia kwako Bwana
i am coming to you Lord
Nisaidie, nisaidie
help me
Nikubalie ombi langu Bwana nikuombalo
accept my prayer oh Lord
Usiniache peke yangu Bwana mimi sitaweza
do not leave me alone, i cant on my own
Nikubali, nikubali
accept me
Ewe Yesu Bwana wangu,
Jesus my Lord
Ewe Yesu
Ooh Jesus
Audio Recorded by: Frester's Record
Video Directed by: Cylivester
Graphics By: Titus Alfred
Contacts:
Email: neemagospelchoir@gmail.com
Phone: +255 (0) 766 777 288
Instagram: neema_gospel_choir
Facebook: Neema Gospel Choir
Twitter: Neema Gospel Choir
Telegram: Neema Gospel Choir
Пікірлер: 295
This deserves 10M + views, Mungu wa mbinguni na akawabariki mpaka mshangae🇹🇿🇹🇿🙏🏿😍
mumeubariki sana moto wangu mungu azidi kuwainuwa Protais from Burundi bujumbura
Bwana Mungu awainue zaidi ya vichwa vyenu
Nabarikiwa sana na wimbo wenu Mungu awainue kwa viwango vingine nawapenda
@NeemaGospelChoir
3 жыл бұрын
Amen. Ubarikiwe sana
I'm speechless,.....saxophooooone, intro,voices,kona kona,solo,dancing na length viko perfect,...mbarikiwe sana NGC😍❤❤
@fredrickfresters3610
3 жыл бұрын
Woooow.... Thank you so much
Mbarikiwe daima. Good song naona vile Yesu hanipiti kwenye maisha yangu. Thanks God
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen utukufu kwa Mungu🙏🙏🙏
Nikubalie ombi langu bwana Usiniach peke yangu Bwana My favourite part
Nikubalie Ombi langu Bwana👏🏼👏🏼😪😪😪😪😪😪
Kazi nzuri sana Mungu azidi kuwainua
Ninabarikiwa sana na hii kwaya Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri
Jamani nawapenda mungu azidi kuwainua juu juu zaidi
Nimeishiwa maneno ya kusema Mbarikiwe sana watumishi
@NeemaGospelChoir
3 жыл бұрын
Amen. Ubarikiwe sana
Ah safi sana quality ya vocal na picha nakubali sana huu wimbo
@NeemaGospelChoir
3 жыл бұрын
Amen. Mungu akubariki sana
Ujumbe uko mahala pake ,,mbarikiwe sana NGC,,,from AIC KIBAHA CHOIR
Huwa sichoki kuwasikiliza mungu azidi kuwainua
Wimbo mzurii mbarikiwe na bwana
Barikiwa sana watu wa Mungu kz zenu nzur
Heeeeeeee ewee yesu bwana wangu hakika hako ka sauti kananibariki
Mnanibariki sana.Mungu awainue zaidi
Mungu awabariki sana 🙏❤ kwa huduma hii ya uimbaji
Lazima Kila siku nisikilize wanibariki sana eh Yesu nikubalie ombi nikuombalo
Je shida yako ni ipi? Mwambie Yesu anaweza,mwambie Yesu usinipite niko hapa Bwana,nimejaribu mwenyewe pekeangu nimeshindwa unisaidie,Yesu wewe unaweza,unatosha......nice song jaman
@NeemaGospelChoir
4 ай бұрын
Amen
From kenya kazi njema nimependa
Aaaaaa Yesu Bwana inagusa mpaka mbinguni kwa Baba
Da nihatari house wimbo respect
Kila siku lazima niiangalie😍😘😘😘
Huu wimbo ni sala yangu ya asubuhi kila wakati
Awesome song and message as always...much love from Nairobi. That lady has a beautiful voice..
@NeemaGospelChoir
3 жыл бұрын
Amen. God bless you!!
Naupenda huo wimbo sna
Nawakubari Sana Neema gospel
Kazi nzuri Sana mubarikiwe sana
Waoooh dah mnanibariku watumishi wa Mungu
Ongereni kwa kuendelea kufanya kazi nzuri
Mungu awabariki sana ili kazi yenu na izidi kusonga mbele
Ya baraka sana
Barikiwa sana watumishi wamungu
@faithkakuta6017
3 жыл бұрын
This Choir i swear, i just love your songs! Whoever wrote this song God bless them tu sana. I can't stop listening.
Yesu awatunze watumishi huu wimbo unanipeleka viwango vingine
Mnaimba vizuri sana mungu awatunze mfike mbalimbali sana
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen utkufu kwa Mungu 🙏🙏
Nawapenda saaana...asanteni i'm blessed with this new song
@NeemaGospelChoir
3 жыл бұрын
Amen. Ubarikiwe sana
Nabarikiwa sana NA hii nyimbo
Mbarikiwe sana yani
Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri.
Perfectly written, perfectly executed, perfectly choreographed.
@josephphilipo5671
3 жыл бұрын
Safi
Nimebarikiwa nanyi
Solo ameutendea haki wimbo
@evalinemungulu9456
3 жыл бұрын
Saaana kbsa
My first time to listen,wooow,this awesome
Sijui kama mnajua kuwa nawapenda nyie watu
Barikiweni sana
Vipenzi vyangu😘😘😘😘😘🙏🙏🙏
Mungu atusaidie tuushinde Ulimwengu huu mbingu nikuzurii Sana
Nasubili kazi itayofuata baada ya hii najua itakuwa bora zaidi ya hii mungu awabariki mzidi kuifanya kazi yake
Cjui niseme nini mnielewe❤
Jaman naipenda sana hii kwaya mwaaaah
Hongereni sana mbalikiweee sana
I first heard this song at pastor muirus church but kept looking for the title and now ive been listening to it daily
@larryjoseph5404
Жыл бұрын
Mungu amibalik xan
Why lie this choir is blessed.their music is heavenly breathed.longing one day to see them face to face.from🇰🇪
And there comes neema gospel choir to steal the show......😍😍😍😍😍 its neema gospel thing
This song is amazing, ni viwango vingne sana hii.GOD Bless you
@anastaziansangalufu9877
Жыл бұрын
Unikubali Yesu Kristo mm na maisha yangu pamoja na familia yangu
My heart is full of Praises..God bless you all abundantly Neema Choir
@NeemaGospelChoir
3 жыл бұрын
Amen. God bless you
Nasikia raha ndani ya Yesu Mungu azid kuwa tumia nawapenda mno sollo Mungu akupandishe juu zaidi ya mawingu
Kazi njema
Nakubaliiiii
Wimbo mzuri,nikubali ombi langu bwana
Naupenda sana huu wimbo.mbarikiwe
Naomba Yesu nikubali namim
Uimbaji unanibariki sana
Nakukubali sana kaka
Mungu awabariki waimbaji.. I love your songs from “kuna mamba kivukoni” when I knew you (2012). You never disappoint me 🔥🔥🔥🔥
@NeemaGospelChoir
3 жыл бұрын
Wow! Amen. God bless you
Oyeyee Yesu Nikubaliiii
Kazi ni njema Sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Mungu awabariki I love ur ministry ❤️❤️❤️
@NeemaGospelChoir
3 жыл бұрын
Amen. Ubarikiwe sana
Ameeeeenaaaaaaaaaaaaa❤❤❤ 1:43
Nice one kazi njema. Wimbo unatubariki
Nikubali Yesu. Mungu awabariki waimbaji.
Ungelimuomba Yesu akupe maj ya uzima tele... Nimemuona Mungu kupitia huduma Yenu nawapendaaa♥️
Waaoh, nilitaman sana kumuona huyu kaka aliyeimba huu wimbo, bt kwa Audio aliimba na sauti ya mdada m1 Margreth nadhan ulikuwa powa sana kwa audio. Mungu awabariki Neema Gospel kwa wimbo huu
nikubalie ombi langu bwana.... this is all i can tell God in morning...before i start my day,...... barikiweni sana na mungu awainue sana....
Nabarikiwa saaan na wimbo huu. Ewe Mungu uwaziidishie upsako wako
Mbarikiwe sana Neema Gospel. I loved this song from the first time I heard it
Mungu awapeleke viwango na viwango
Amina this song is pointing me to Jesus. Thank you. Kenya twatazama
Toka niisikie siku hawez kwenda bila huu wimbo kwel kbsa usipokubaliwa na mungu ni zero love all
🔥🔥🔥🔥🔥 Mung awainue zaid utukuf ad utukufu mnanibariki sanaa Neema gospel
BWANA aendelee kuwaweka pamoja.Naomba Bwana awape neema ya kuanza funya live shooting
Spectacular singing. I can't get enough of this song. May the Almighty God continue taking you to a higher level of singing.
@ndumieshinkya1612
2 жыл бұрын
Wonderful
Thanks can't just have enough of this song!! Everything on point!
Mbarikiwe sana watumishi.. bext song at all 2020
@NeemaGospelChoir
3 жыл бұрын
Amina. Mungu akubariki
Wow This is mind blowing 😊🤗 Mungu wa mbinguni akawabariki mpaka mshangae #hambahatishi#🇹🇿🇹🇿🙏🏿🙏🏿
Aseeeh mnaimba. I like it, Mungu ndo zaidi anajitwalia utukufu. Mungu awainue zaidiii
Wow beautiful song... mnanibariki sana Neema choir
@NeemaGospelChoir
3 жыл бұрын
Asante sana. Mungu akubariki
Best of the best dear team... Big up
Nice song,baraka Tele from Kenya
Amen nabarikiwa Sana mungu azidi kuwabariki neema gospel
Nimeusubiri mnooo huu wimbo aseeee.... Thanks for this NEEMA GOSPEL CHOIR. Nawapenda😍
@NeemaGospelChoir
3 жыл бұрын
Amen. Mungu akubariki!
Nabarikiwa sana na uimbaji wenu Mungu awainue kwa kiwango kingine
This must be the best choir song in Africa.
@zablonrobert1522
3 жыл бұрын
In Tanzania weweeeee cyo Africa
@alexanderbalars
3 жыл бұрын
Zablon ,kwani kuna nyingine gani
@pelesilazaro4312
3 жыл бұрын
Mungu awabaliki Sana ilove so much
very Good it sound well
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu. Mungu azidi kuwainua
Nikubalie ombi langu bwana nikuombalo. Usiniache pekee yangu bwana. Amen amen amen
Kila aombae neno na usala .. MUNGU ndie ajua maish yetu mung awabarik watumish wa bwan
Nafarijika Sana pale napowaona kwa huduma yenu mbarikiwe Sana kalibuni Sana mwanza aic pasiasi mrudi tena kwa Mara ya pili