Neema Gospel Choir - Bado Ninakuamini (Live Music Video)
Музыка
Huu ni wimbo wenye nguvu ya imani na kujitolea. Ni safari ya kuamini na kumtegemea Bwana, ukiwa na ombi la uongozi na uwepo wake.
Pata ujumbe wenye kugusa moyo kwamba licha ya changamoto, kimbilio letu na msaada wetu vinabaki kwa Yesu pekee.
Wimbo huu uvuvie imani yako na ufanye upya tumaini lako kwa Mungu.
Songwriter & Composer: Godwin Mlambo
Leader: Loyce Simon
VICTORIOUS JOURNEY PRODUCT
held on 01st December 2023 at Uhuru Stadium - Dar es Salaam.
𝗖𝗥𝗘𝗗𝗜𝗧:
𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐃𝐢𝐫𝐞𝐜𝐭𝐨𝐫: Amigo Johnson
𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐄𝐝𝐢𝐭𝐨𝐫: Titus Alfred
𝐀𝐮𝐝𝐢𝐨: Victorious Production
𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 & 𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞: ABE Professional Sound
𝐒𝐜𝐫𝐞𝐞𝐧: ABE & Ryzen
𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Jeddy
𝐌𝐨𝐧𝐢𝐭𝐨𝐫 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Junior Albert (Gaddy)
𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐬 𝐏𝐫𝐨𝐯𝐢𝐝𝐞𝐫: Allan Lights
𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐢𝐧𝐠 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maxlifah. (Max the Alternative) 🇰🇪
𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞 𝐃𝐞𝐬𝐢𝐠𝐧: Parmena Winfred
𝐏𝐫𝐨𝐝𝐮𝐜𝐭𝐢𝐨𝐧 𝐌𝐚𝐧𝐚𝐠𝐞𝐫: Production Fundamentals Limited
𝐑𝐢𝐠𝐠𝐢𝐧𝐠 𝐚𝐧𝐝 𝐬𝐚𝐟𝐞𝐭𝐲 𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maurice Sikuku 🇰🇪
𝗖𝗢𝗡𝗡𝗘𝗖𝗧 𝗪𝗜𝗧𝗛 𝗨𝗦:
Instagram: Neema Gospel Choir
Facebook: Neema Gospel Choir
X: Neema Gospel Choir
Threads: Neema Gospel Choir
Tiktok: Neema Gospel Choir
𝐂𝐨𝐧𝐭𝐚𝐜𝐭 𝐮𝐬:
Whatsapp: +255 766 777 288
Email: info@neemagospelchoir.org
Website: www.neemagospelchoir.org
©️2024
Пікірлер: 484
Nianze na wewe, nimalize na wewe Safari yangu niongozwe nawe Ukiniacha nitapotea Bwana Ukiniacha nitaangamia Ukiniacha nitapotea Bwana Usiruhusu yatokee haya Kimbilio langu umebaki mwenyewe Msaada wangu umebaki mwenyewe Wewe tu, wewe tu Bado ninakuamini
@bransonpeter3889
11 күн бұрын
👌🙏
@LuluKija
10 күн бұрын
😭😭nianze na wewe, nimalize na wewe Bwana
@tumainimgaya633
9 күн бұрын
Ukiniacha nitapotea Mimi usiruhusu Bwana yatokee haya
@Kellenkinya
8 күн бұрын
🇰🇪🇰🇪kenya show some love if you are always blessed with this grace🇰🇪
@DoctorMatembo
7 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wangapi Yesu kabaki kwao kama kimbilio kwenye maisha yao....❤️❤️
JAMANI TANGU NIANZE KUCOMMENT SIJAWAHI KUPATA LIKE HATA MOJA😢😢🙆🙆
@festusmwendwa492
12 күн бұрын
nimekupa both like na comment❤
@devisshirima6780
11 күн бұрын
Sawa waki like unapata faida gani?😂😂😂
@WhitneyKihara
11 күн бұрын
Kuna hitilafu upande wako basi 🙃
@stmarysmwenda9722
11 күн бұрын
Be encouraged
@ClaireHappy
11 күн бұрын
Like za nn unakula
Wanaoupenda huu wimbo like zenu❤❤❤❤naanza na ww namaliza naww🎉❤amen bwana
Huu ni aina ya Wimbo unaweza kukufanya ukalia sana mbele za Mungu, ukasema kila kitu kinachokusibu, ukalalamika, ukasema kila ulichoonewa Siwezi hata kueleza 😭😭😭 GOD 🙌🏼
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
Ni wimbo wenye uhai ........ ni wimbo wa kusimama nao katika kipindi chochote. Ni wimbo unaoweza kushinda nao siku nzima hasa ukiwa kwenye maombi ya mfungo, ni wimbo unaoweza kuamka nao usiku wa manane na kufungua mbingu zikafunguka. Mungu awabariki sana NGC, pia solo abarikiwe sana ❤❤❤🙏
@JESUS354
8 күн бұрын
Exactly,hawa Ndugu WAPO ktk UWEPO Mkubwa na NGUVU za Roho Mtakatifu.... Huu Wimbo unafungua anga na Kuingia ktk Maombi ktk Roho,bila kuchooka!! Mbarikiwe Sana watumishi wa Mungu Kwa huduma hii njema Mnoo ❤❤
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen utukufu kwa Mungu 🙏
Silent follower hebu kujeni apa ,Nianze nawe na nimalize nawe Bwana,good song more grace guys🙏🙏🙏.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@FestusKioko-ru7ic
7 күн бұрын
Very touching one
Badooo nakuamini MUNGU TANZANIA MPOO WAPII GONGAA LIKE HAPAA ❤❤❤❤❤
🙌🙌🙌 Ameeeen neema gospel, mmekua kielelezo kizuri katika utumishi hasa eneo la uimbaji, hakika hawa watumishi tuendelee kuwaombea.
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
Powerful message, at the right time, May God confort Brother Titus & Family, wasiache kumuamin huyu Mungu. Katika mapito yote, Bado tutamuamini.
Nitasema, BWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini. Zab 91:2 🙏
Ukiniacha nitapotea BWANA..usiruhusu yatokee tena BWANA..wewe ndiye kimbilio langu..hata kama hukujibu utabaki kuwa bwana..hata kama walituacha ndugu jamaa na marafiki ..utabaki kuwa BWANA.
@eliakimstephen8607
11 күн бұрын
“Iweni hodari na moyo wa ushujaa, msiogope wala msiwahofu; kwa maana Bwana, Mungu wako, yeye ndiye anayekwenda pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha. ” - KumbuTorati 31:6
Very powerful message!! "Nianze na ww, nimalize na ww safari yangu niongozwe na ww". Mungu awape Nguvu Titus &Family
Hata katika haya magumu ninayopitia mm Rachel bado nakuamini 😭😭😭🙌🙌🙌
@jasteve2
10 күн бұрын
Mungu akukumbuke Rachel
Bado ninakuamini,unishughulikie Baba yangu, ponya kila kitu kwa ukuu wako wewe ni Mwaminifu Baba yangu, kwa jina la Yesu Kristo ninakuamini
Napitia Jaribu gumu sana 😢 Yesu bado nakuamini😭
Nitausikiliza, 🎧nitausikiliza nitausikiliza unabariki, unainua moyo, umenibariki mnooo. Bado ninakuamini❤
NA WAKUBALI SANA NEEMA GOSPEL ♥️♥️
@NeemaGospelChoir
12 күн бұрын
Amen
Safari yangu niongozwe na wewe Yesu.....Usiruhusu nipotee, niangamie Powerful confession. Thank you
Mpiga solo ni mwananchi🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu Saidia Nchi Yangu Kenya. Bado Ninakuamini, hata kwenya haya mapigano na Maandamano ya Kuhusu Finance Bill
@paschazianyerere8276
11 күн бұрын
Amen, Bwana awatendee mema
Thanks for sound 🙏 Niko mwanza ninawapenda familia❤️❤️❤️
Kenyan nipeeni likes kwa baraka aki
Kiukweli katika wimbo wa neema uliowahi nigusa ssna sana ni huu dads ubarikiwe sana kuimba kws roho na mguso mkubwa
It's either GOD or GOD. I have no any other options 🙌. what I know It will never end in shame nor pain.
Ndio Mungu bado nakuamini na nitaendelea kukuamini hata niyapitie mangapi. Wewe peke yako ndiwe mwanzo na mwisho eeeh Mungu
@NeemaGospelChoir
6 күн бұрын
Amen
Baba mungu huu wimbo ni ombi langu kwako😭😭🙏
Waoooh! Team ya Naoto zangu Mungu awainue zaidi, nina imani siku moja takuwa wote hapo 🙏🏻🙌❤️
Nitayainua macho tangu nitazame milima 🙌🙌 msaada wangu utatoka kwa Bwana 😢 ABBA FATHER WE TRUST YOU AS A NATION
Kimbilio langu umebaki ww Yesu dah song linatouch Moyo saan 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
MY LOVE FOR THIS GROUP IS ON ANOTHER LEVEL NGC YOU NEVER DISSAPPOINT❤
Bado ninakuamini bwana wangu YESU, hujawahi niacha daima,,,❤❤❤❤
Baaado Ninakuamini na kukupenda❤❤
Bado nakuamin bado Bwana ninakuamin shuulka na maisha yang shuulka na elim yang Bwana😭😭😭🙌🙌🙌❤️
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
Na safari yangu iongozwe nawe Kila wakati.. Much love from Kenya
Jesus this song 😭 😭 😭 🔥 🔥 🔥 I still believes in YOU to eternity
Fredrick Masanja Natamani nipate bahati ya kuonana na wewe tu
Hakika naanza na wewe na kumaliza na wewe Bwana wangu.....🙏 Wimbo unaupako huu,hongereni sana Neema Gospel,hamjawahi kuniangusha
@NeemaGospelChoir
10 күн бұрын
Utukufu kwa Mungu 🙌
Hata katika hili, Bado nakuamini Yesu 🙏 Mungu awabariki Neema Gospel Choir, nyimbo zenu zinaponya,zinainua. K
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
Bado ninakuamini🙏🙏🙏Hapa Kenya bado tunakuamini
@NeemaGospelChoir
12 күн бұрын
Amen
WATU HAWA WAMEBALIKIWA SANA KWA UIMBAJI MUNGU AZIDI KUWAINUA🙏🙏🙏♥️♥️🔥🔥
Bado nakuamini mungu wangu.....nilianza na wewe hata sai Niko na wewe natumai kumaliza na wewe..... Hallelujah spirit of praise 🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
Amen sana MUNGU awabariki sana . bado ninakuamini YESU KRISTO
Jaman hiii kwaya mfike mpaka sumbawanga mbna mimi sijawahi kuchoka kuwasikiliza
@NeemaGospelChoir
8 күн бұрын
Amen kwa utukufu wa Bwana tutafika, endelea tu kuombea huduma yetu
From my heart, God I still trust in you.
hakika siwezi mwenyewe bila wewe Yesu🙌🙌
UKINIACHA NITAPOTEA BWANA, NITAANGAMIA.... Usiruhusu yatokee haya ❤❤❤❤. Kimbilio langu ni Kwa Bwana🙏🙏🙏
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
Bado ninakuamini Mungu wangu ❤❤❤❤like 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
I remember that day baada ya huu wimbo alikuja kaka gwamaka mwakalinga tukaendelea kuabudu I wish uwe next upload wimbo wake
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
Mbarikwe Sana Kwa UTUMISHI wenu unatubariki Sana na familia yangu
Bado nikakuamini bwana hata kama nikiwa napitia changamoto mbalimbali stokata maaa
Ni wimbo ambao umenifanya nimekuwa jasiri sana haijalishi mapitia mgumu aje lakini Bado namwamini Mungu.Mungu awabariki wa wimbo mzuri ambao sichoki kusikiliza kila daki ni wimbo ambao umesimama kama maombi kabisa ❤❤🙏🙏
@NeemaGospelChoir
3 күн бұрын
Amen
I still trust in You Jesus. No matter what! Very powerful message. God bless you Neema Gospel. Nyimbo zenu zinatuvusha. Bwana aendelee kuwavuvia zaidi kwa mafuta ya Roho Mtakatifu muihudumie mioyo ya watu kikamilifu. Mbarikiwe sana!
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
katika raha na katika shida YESU ni kiboko ya yote hakika
Eee Bwana nianze na wewe, nimalize nawe. Safari yangu niongozwe nawe🙏
Asanteni sana Neema gospel kwa kutusemea tuliochoka na kukosa maneno ya kuongea na Baba🙌🏾
From Kenya, watching you live ❤❤🎉🎉
@NeemaGospelChoir
12 күн бұрын
Be blessed
Najivunia wewe Loyce, be blessed the whole team. 🎉🎉good to trust God.
Wow ❤❤❤❤❤ wapi like za wana neema
Mungu aendelee kuwainua wimbo mzuri sana...❤❤❤
@NeemaGospelChoir
4 күн бұрын
Amen
Halafu ukiendelea kusikilia enda enda usubscribe Hadi 1m let's go ❤
Baba maneno ya kinywan kwangu hayatok, hata cha kuomba sijui ila huu wimbo uwe sehemu ya maombi yangu kwako. Moyo wangu umepondeka😭umejeruhika vibaya😭 nifariji tena mwanao. Sina Mungu mwingine ila wewe... BADO NINAKUAMIN🙏 Msaada wangu wa karibu, Rafik mwema.... Nisaidie nivuke salama😭 Babaaaaaa🙌
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
Neema Gospel wameugusa moyo wangu sanaa Mungu azidi kuwabariki hasa hao watoto wanaimba kwa hisia sana ❤❤❤ nimewapenda sana. Ellice ameimba vizuri mno❤❤❤
Amen......Hakika nianze na wewe na nimalize na wewe Bwana wangu
Ni wewe tu Yesu maishani mwangu bado ninakuamini na nitakuamini sana tena sana na sana zaidi
Bado ninakuamini haijalishii napitia magumu kiasi gani ila wewe kwangu ni kila kitu...hakika nitaendelea kukuamini🙏🙏
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
AMEN
A song of my season 😭😭😭😭 God bless you so much Ukiniacha bwana nitapotea Bado ninakuamini wewe uwezaye yote ndani ya yote 🙌🙌🙏🙏
@NeemaGospelChoir
10 күн бұрын
Amen
Hao watoto katika.choir.hii.hubariki nafasi yangu.
Wimbo wenye upako sana ila nahisi watu wa sound kuna kitu kilifeli kidogo,Mungu awabariki sana Neema Gospel
@NeemaGospelChoir
10 күн бұрын
Amen
God bless you all, may he fullfill each ones desire and his heavenly dew fall over every child of God 🥰. More love from +254
BADO NA KUAMINI YESU NITAKWAMINI MAISHANI YANGU YOTE
Naomba Mnilike na Mimi Mungu aniongoze nipate kodi ya mwezi huu imekaribia na sina Fedha👏👏👏👏
@NeemaGospelChoir
3 күн бұрын
Amen Bwana atafanya kwa utukufu wake🙏🙏
Kimbilio langu umebaki mwenyewe, msaada wangu umebaki mwenyewe. Nakutumainia kwa maana najua katika hili utatenda😊 Umeahidi hautaniacha
Please God I pray that you start with me and end with me in all I do. Amen🙏
@NeemaGospelChoir
10 күн бұрын
Amen
Nianze na wewe, nimalize na wewe........😢🙌🙌🙌
@NeemaGospelChoir
12 күн бұрын
Amen
Hata nayoyapitia baba bado ninakuamini
Badoo ninakuaminii YESU wangu hata nikipita ktk magumu mengiii🧎🧎
Wimbo huu unanibariki sana ! Unanipeleka katika uwepo wa Mungu , najikuta naingia ktk maombi ,Amen .
@NeemaGospelChoir
4 күн бұрын
AMEN
Hallelujah,still trusting you my God for financial breakthrough, family in other words still trusting You my God in all aspects of my life.
- for Titus and Janesuzy ❤️
Hallelujah 🙌🙏❤
@NeemaGospelChoir
12 күн бұрын
Amen
Sijawai acha kukuamini Bwana wangu na Bado naendelea Kukuamini , asee this is powerful enough,Jehova Nisi
I trust in you God❤
Nianze na ww BWANA na Nimalize na ww 🙏🙏🙏🙌🏻🙌🏻
Wimbo mzuri sana wapendwa, Mungu aendelee kuwatumia katika huduma aliyoweka Mioyoni na maishani mwenu..🌹✝️🙏
@NeemaGospelChoir
10 күн бұрын
Amen utukufu kwa Mungu
MUNGU peke yake ndiyo amebaki kuwa kimbilio letu.
Mungu Awabariki kwa kazi yake
Amen Neema gospel, tunaona wadada nao wanatumika kwa Sasa, nyimbo nyingi ni wa Kaka tu Mungu awabariki
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
Wooow wimbo mzuri mbarikiwe sana wana-Inland❤❤❤ nawapenda sana huduma yenu ni njema🎉🎉🎉🎉
@NeemaGospelChoir
4 күн бұрын
Amen
Napitia kipindi kigumu eeeh Mungu usikiaye Toka mbinguni usiruhusu yatokeee haya nakuhitaji uwe msaada wangu 😩😩😩😩
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
Niaanze na nimalize na wewe baba. Mbarikiwe sana kwa ujuumbe mzurii
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
Hakika nimebarikiwa sana na wimbo huu... Sijachoka kuusikiliza, umekuwa faraja na kunipa tumaini jipya.
Neema gospel ninyi mmebarikiwa na MUNGU azidi kuwatunza tenq sanaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤
Nitakuamini kila itwapo Leo kwenye maisha yangu 🙏🙏🙌😭😭😭😭😭😭😭🔥🔥🔥
@NeemaGospelChoir
12 күн бұрын
Amen
Ameen❤
Nimebarikiwa sana na wimbo huu wa tumaini kwa BWANA. MUNGU ndiye kimbilio na msaada wetu❤❤,, mbarikiwe sana NGC🎉🎉
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
Bado nakuamini Mungu wangu🙏🙏 Mungu azidi kuwainua Neema gospel
Ee Bwana anza nasi na umalize nasi katika hii safari
Bado ninakuamini Yesu, Mungu awabariki kwaya kwa kuruhusu awatumie kupitia wimbo huu
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen
Wimbo nzuri Mungu azidi kuwatumia NGC❤
@NeemaGospelChoir
7 күн бұрын
Amen