NDOTO INAYO KUONYESHA MCHUMBA WAKO NDIYE UTAOLEWA NAYE.

Ойын-сауық

Join this channel to get access to perks:
/ @revpeternjihia
Katika channel hii, huwa ninakusaidia kujua nini maana ya ndoto zako nikitumia misingi ya Bibilia Takatifu. Subscribe na ubonyeze Kengele ya Notification ili uzipate video zangu pindi ninapoenda live. Pia ukitaka kuwa wa msaada kwa huduma hii kupitia matoleo unaweza nipigia simu kupitia/Whatsapp 0706945821

Пікірлер: 46

  • @FaithMuthoni-jr6fe
    @FaithMuthoni-jr6fe12 күн бұрын

    Nmeota na pastor mwingine wa church kwetu lakini hajaoa na nimekuwa nkiomba kuolewa alikuwa caring sana mpaka alikuwa ana beba mtoto wangu tukiendelea na safari , nkiamka nlimfikiria sana sijui ntatulia aje kwa kanisa

  • @irenemwanri3023
    @irenemwanri3023 Жыл бұрын

    Glory be to God Almighty. I'm blessed with today's teachings.Thank you servant of God. May God bless exceedingly and abundantly.

  • @SelinaMakana-y9k
    @SelinaMakana-y9k11 күн бұрын

    Nimekuwa naolewa nikizaliswa nawachwa nanawatoto 6 nilihamuwa kuhishi nawatoto wangu miaka 44 naota marakwamara nikonamume wanakuja sura tafauti silali nao nikuongea mm nimeokoka ni mtumishi ninapitia majaribu mengi sana

  • @jenipherboma9034
    @jenipherboma90346 ай бұрын

    Ameen asnt kwa kutufundisha God bless you

  • @Banena-gz6kf
    @Banena-gz6kf25 күн бұрын

    Naukiota anakununulia gauni

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib10 ай бұрын

    Glory itakuwa ni nzur hiyo Mana umemuota vizur

  • @AdelaMgimwa
    @AdelaMgimwa2 ай бұрын

    iyo ndoto nimemuona lafiki yangu akilia sanaakimlaumu mchumba wake akiwa mkali sana aliwatukana na kuwafukuza wakwe zake

  • @NdaishimiyeNsomecko
    @NdaishimiyeNsomecko13 күн бұрын

    Ingine nikaota kuna mwanaume ananisaidia kufua nguo lakn nilikuwa simjui

  • @NdaishimiyeNsomecko
    @NdaishimiyeNsomecko13 күн бұрын

    Mm nimeota ananipea hela lakn sikuipokea akaamua kuiacha hapo nilipokuwa nimelala akaondoka

  • @AdelaMgimwa
    @AdelaMgimwa2 ай бұрын

    Mtumish mm usiku wa kuwamkia Leo nimeota mama mke wa mchumba wa lafiki yangu ananisifia kwamba kanipenda ninatabia mzuli

  • @hawahamis2232
    @hawahamis22327 ай бұрын

    Nakuamin sana pasta wangu

  • @saranura9213
    @saranura9213 Жыл бұрын

    Mtumish mm nimeota mwanaume amenioa na amenijukuwa kwenda kunionyesha shamba lao ilo shamba liko na viakula tofauti tena shamba kubwa ...

  • @lucymoha8116
    @lucymoha8116 Жыл бұрын

    Mtumish mm niliona mwanaume akiwa kwa Gari

  • @NiyogushimaNoella-do8xv
    @NiyogushimaNoella-do8xv6 ай бұрын

    Nimeota nimerara namupenzi wangu IRA anamuke bandae tukaamuka tukapiga muswaki IRA hatukufanya mampenzi

  • @WinWiny-34
    @WinWiny-347 күн бұрын

    Mtumishi ukingia kwenye maombi kumuuliza mungo kama huyo mwanaume nilienae ni ni sahihi kwangu nikaota nimeenda dukani kununua nguo,nilipofika nguo niliochagua ikanitosha vizur hiyohiyo inamaana gani?

  • @user-jk6qy6il7v
    @user-jk6qy6il7v8 ай бұрын

    samahani nimeota niko na muchumba wangu tunatembea sehmu ya starehe badae akaniacha akaenda ju ya gorofa yakanisa uku mimi nikiwa nimeka kwenye kikao na mwanawwke wezangu katika wanawake hao kulikuwa naumoja muchumba wangu alikuwa akitoka nae kimapenz uku muchumba wangu akiwa ananiita kwaju nende nikae nae lakini nilichikwa nahasira anikawa nataka kutoka kwenye kikao bahati mbaya nikakuta wamefunga murango nikawa nimerudi kuka uku muku wakikao akiwa ananiuliza kwanini nataka kutoka yule rafiki akamueleza kilakitu naomba unisaidie

  • @francischarles5115
    @francischarles51154 ай бұрын

    Samhni mtumishi wa mungu mim naota mara kwa mara mpenzi wangu anantambulisha kwa ndugu zake help me please

  • @glorykiwoly3311
    @glorykiwoly331111 ай бұрын

    Mtumishi mimi nimeota mchumba wangu kanivisha pete ya uchumba inamaanisha nin

  • @ruthchiluba4932
    @ruthchiluba49327 ай бұрын

    Paster mm niliota mama angu alikua nidereva

  • @vanillahlisah10
    @vanillahlisah107 ай бұрын

    Mungu akubariki... Naomba namba zako mtumishi

  • @revpeternjihia

    @revpeternjihia

    7 ай бұрын

    +254706945821

  • @RahelNicholas-ro4qx
    @RahelNicholas-ro4qx2 ай бұрын

    Mtumishi mimi nimeota nimeitwa kijijin nakuta kuna mwanaume anataka kunioa katoa hadi mahari, ndugu wamejaa na magari mengi, lakini mimi nilikua nakataa sababu ni kijijini nini maana yake

  • @user-cb7sm8ts2z
    @user-cb7sm8ts2z3 ай бұрын

    Pastor nliota napewa ua na mkaka muislam af nililikataa na uyo kaka ameowa hii inamaana gan

  • @user-uf8or8hd9p
    @user-uf8or8hd9p3 ай бұрын

    Naota nawaona wanaume wazungu

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib10 ай бұрын

    Na ukiwa unamuota Sana mpenzi wako

  • @MunsJsvkd
    @MunsJsvkdАй бұрын

    Naukiota mchumba mna fagia nayeye alafu akikubusu😢

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib10 ай бұрын

    Je mchungaji akisema kakuota

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib10 ай бұрын

    Kuna siku barabaran nilikuwa natembea pemben tu lakin kwa nyuma nikamuona mkaka ananikea hili nisigongwe

  • @EstherMbogella-cd9kx
    @EstherMbogella-cd9kx Жыл бұрын

    Mtumishi nimeotanikonamtumishi akaniambiahujuina wezakukuoayeyealikaachini mmnikiwanimesimama

  • @velurakawiche5338
    @velurakawiche53382 ай бұрын

    Pastor mimi nilimuota huyo kaka japokuwa sio mchumba wangu kwa sasa ila niliota ndoto namuona yupo hospitalini amekuja kumjulia hali mdogo wangu ambaye alikuwa anaumwa nikaota pia ndoto ninamuona akiwa ananishauri juu ya kufanya biashara fulani pia niliwahi kuota nipo nae kanisani tumevaa sare na tunapigwa picha nisaidie pastor hiyo ina maana gan?

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib10 ай бұрын

    Je ukiota mpenzi wako anaumwa

  • @ruthchiluba4932
    @ruthchiluba49327 ай бұрын

    Paster mm niliota mchumba angu kanipa mbuzi manake nn

  • @revpeternjihia

    @revpeternjihia

    7 ай бұрын

    Ni heri njema , jitihada na mabadiliko mazuri yaja

  • @ruthchiluba4932

    @ruthchiluba4932

    7 ай бұрын

    As ante Sana paster

  • @user-px2qx1yv6q
    @user-px2qx1yv6q5 ай бұрын

    Ukiota upo na. Chumbaako lakini unachezea uboo wake

  • @RahelNicholas-ro4qx

    @RahelNicholas-ro4qx

    2 ай бұрын

    Ila wewe🥲🤣

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib10 ай бұрын

    Ukiota mpenzi wako amelala na mwanamke mwengine harafu wewe ukakasilika ukawa unawafokea

  • @ZASTAMWE

    @ZASTAMWE

    6 ай бұрын

    Hii ni nini😢.

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib10 ай бұрын

    Mim Mara nyingi ata live naonaga watu wanapita wamekumbatiana nayo ndio wanasemaga ukiona vile ni nzur na wewe utapata mapenzi Kama yale

  • @MagrethMwigulu-wz8yb
    @MagrethMwigulu-wz8yb Жыл бұрын

    Mtumishi nimemwota mchumba wangu anaendesha baiskeli amenibeba anaendesha tu vzr hiyo inamaanisha nini?

  • @revpeternjihia

    @revpeternjihia

    Жыл бұрын

    @Magreth Mwingulu, mtaishi pamoja hila kimaisha mtapitia changamoto nyingi ya kimaisha.

  • @ZASTAMWE
    @ZASTAMWE6 ай бұрын

    Pastor. Mchumba wangu ameota tunapigana harafu mimi nataka kumuua😢

  • @ZASTAMWE

    @ZASTAMWE

    6 ай бұрын

    harafu mimi nimeota namjali na nampenda sana

  • @suzanmichael
    @suzanmichael6 ай бұрын

    Pasta mm nmeota natembea sokon na mpenz wang lakn hatukununua chochote inamaana gan hiyo?

  • @EvalineRobert

    @EvalineRobert

    2 ай бұрын

    Ukiota upo nae kwnye boti lakin anaonyesh kukupend

  • @EvalineRobert

    @EvalineRobert

    2 ай бұрын

    Pasta mimi nimeota nipo nae kwenye boti na kaninunulia mtunda

Келесі