NDOTO INAYO KUONYESHA MCHUMBA WAKO NDIYE UTAOLEWA NAYE.
Ойын-сауық
Join this channel to get access to perks:
/ @revpeternjihia
Katika channel hii, huwa ninakusaidia kujua nini maana ya ndoto zako nikitumia misingi ya Bibilia Takatifu. Subscribe na ubonyeze Kengele ya Notification ili uzipate video zangu pindi ninapoenda live. Pia ukitaka kuwa wa msaada kwa huduma hii kupitia matoleo unaweza nipigia simu kupitia/Whatsapp 0706945821
Пікірлер: 46
Nmeota na pastor mwingine wa church kwetu lakini hajaoa na nimekuwa nkiomba kuolewa alikuwa caring sana mpaka alikuwa ana beba mtoto wangu tukiendelea na safari , nkiamka nlimfikiria sana sijui ntatulia aje kwa kanisa
Glory be to God Almighty. I'm blessed with today's teachings.Thank you servant of God. May God bless exceedingly and abundantly.
Nimekuwa naolewa nikizaliswa nawachwa nanawatoto 6 nilihamuwa kuhishi nawatoto wangu miaka 44 naota marakwamara nikonamume wanakuja sura tafauti silali nao nikuongea mm nimeokoka ni mtumishi ninapitia majaribu mengi sana
Ameen asnt kwa kutufundisha God bless you
Naukiota anakununulia gauni
Glory itakuwa ni nzur hiyo Mana umemuota vizur
iyo ndoto nimemuona lafiki yangu akilia sanaakimlaumu mchumba wake akiwa mkali sana aliwatukana na kuwafukuza wakwe zake
Ingine nikaota kuna mwanaume ananisaidia kufua nguo lakn nilikuwa simjui
Mm nimeota ananipea hela lakn sikuipokea akaamua kuiacha hapo nilipokuwa nimelala akaondoka
Mtumish mm usiku wa kuwamkia Leo nimeota mama mke wa mchumba wa lafiki yangu ananisifia kwamba kanipenda ninatabia mzuli
Nakuamin sana pasta wangu
Mtumish mm nimeota mwanaume amenioa na amenijukuwa kwenda kunionyesha shamba lao ilo shamba liko na viakula tofauti tena shamba kubwa ...
Mtumish mm niliona mwanaume akiwa kwa Gari
Nimeota nimerara namupenzi wangu IRA anamuke bandae tukaamuka tukapiga muswaki IRA hatukufanya mampenzi
Mtumishi ukingia kwenye maombi kumuuliza mungo kama huyo mwanaume nilienae ni ni sahihi kwangu nikaota nimeenda dukani kununua nguo,nilipofika nguo niliochagua ikanitosha vizur hiyohiyo inamaana gani?
samahani nimeota niko na muchumba wangu tunatembea sehmu ya starehe badae akaniacha akaenda ju ya gorofa yakanisa uku mimi nikiwa nimeka kwenye kikao na mwanawwke wezangu katika wanawake hao kulikuwa naumoja muchumba wangu alikuwa akitoka nae kimapenz uku muchumba wangu akiwa ananiita kwaju nende nikae nae lakini nilichikwa nahasira anikawa nataka kutoka kwenye kikao bahati mbaya nikakuta wamefunga murango nikawa nimerudi kuka uku muku wakikao akiwa ananiuliza kwanini nataka kutoka yule rafiki akamueleza kilakitu naomba unisaidie
Samhni mtumishi wa mungu mim naota mara kwa mara mpenzi wangu anantambulisha kwa ndugu zake help me please
Mtumishi mimi nimeota mchumba wangu kanivisha pete ya uchumba inamaanisha nin
Paster mm niliota mama angu alikua nidereva
Mungu akubariki... Naomba namba zako mtumishi
@revpeternjihia
7 ай бұрын
+254706945821
Mtumishi mimi nimeota nimeitwa kijijin nakuta kuna mwanaume anataka kunioa katoa hadi mahari, ndugu wamejaa na magari mengi, lakini mimi nilikua nakataa sababu ni kijijini nini maana yake
Pastor nliota napewa ua na mkaka muislam af nililikataa na uyo kaka ameowa hii inamaana gan
Naota nawaona wanaume wazungu
Na ukiwa unamuota Sana mpenzi wako
Naukiota mchumba mna fagia nayeye alafu akikubusu😢
Je mchungaji akisema kakuota
Kuna siku barabaran nilikuwa natembea pemben tu lakin kwa nyuma nikamuona mkaka ananikea hili nisigongwe
Mtumishi nimeotanikonamtumishi akaniambiahujuina wezakukuoayeyealikaachini mmnikiwanimesimama
Pastor mimi nilimuota huyo kaka japokuwa sio mchumba wangu kwa sasa ila niliota ndoto namuona yupo hospitalini amekuja kumjulia hali mdogo wangu ambaye alikuwa anaumwa nikaota pia ndoto ninamuona akiwa ananishauri juu ya kufanya biashara fulani pia niliwahi kuota nipo nae kanisani tumevaa sare na tunapigwa picha nisaidie pastor hiyo ina maana gan?
Je ukiota mpenzi wako anaumwa
Paster mm niliota mchumba angu kanipa mbuzi manake nn
@revpeternjihia
7 ай бұрын
Ni heri njema , jitihada na mabadiliko mazuri yaja
@ruthchiluba4932
7 ай бұрын
As ante Sana paster
Ukiota upo na. Chumbaako lakini unachezea uboo wake
@RahelNicholas-ro4qx
2 ай бұрын
Ila wewe🥲🤣
Ukiota mpenzi wako amelala na mwanamke mwengine harafu wewe ukakasilika ukawa unawafokea
@ZASTAMWE
6 ай бұрын
Hii ni nini😢.
Mim Mara nyingi ata live naonaga watu wanapita wamekumbatiana nayo ndio wanasemaga ukiona vile ni nzur na wewe utapata mapenzi Kama yale
Mtumishi nimemwota mchumba wangu anaendesha baiskeli amenibeba anaendesha tu vzr hiyo inamaanisha nini?
@revpeternjihia
Жыл бұрын
@Magreth Mwingulu, mtaishi pamoja hila kimaisha mtapitia changamoto nyingi ya kimaisha.
Pastor. Mchumba wangu ameota tunapigana harafu mimi nataka kumuua😢
@ZASTAMWE
6 ай бұрын
harafu mimi nimeota namjali na nampenda sana
Pasta mm nmeota natembea sokon na mpenz wang lakn hatukununua chochote inamaana gan hiyo?
@EvalineRobert
2 ай бұрын
Ukiota upo nae kwnye boti lakin anaonyesh kukupend
@EvalineRobert
2 ай бұрын
Pasta mimi nimeota nipo nae kwenye boti na kaninunulia mtunda