NDOA YA RASTA ILIVYO SHANGAZA WATU / MCHUNGAJI WAO AGEUKA LULU
TUNAFAHAMU KWAMBA #DUNIANI KUNA #DINI TOFAUTI NA WENGINE HUAMINI KATIKA MILA NA DESTURI NA KATIKA UFUNGAJI WA #NDOA KUNA TARATIBU ZAO AMBAZO HUZIFUATA ,SASA KAMA ILIVYO KWA DINI NYINGINE NDIVYO ILIVYO KWA DINI YA #RASTAFARI NAO WANA TARATIBU ZAO ...... EMBU FAHAMU UTARATIBU WA NDOA KATIKA IMANI YA #RASTAFARI
Пікірлер: 18
nimeipend hi mungu awafungulie baraka
Na ikawe heri kwenu Godfrey na mkeo Neema mungu awafanyie wepec kwenye ndoa yenu, hii ilinipita kwakweli daah
Blessing be to lnl Kings an Empress to lnl all over to de four corners of de lwah cause JAH is good
Jambo jema sana Ndugu zangu
Rasta livity
🦁❤🙏
Faith is a something unique📌
duuuh hii nzuri sana safi sana nimependa hongereni majamaa
@josephwilliam5469
3 жыл бұрын
RASTAMAN HAFI NA HATA AKIFA HAOZI NA AKIOZA HANUKI WADUMU MILELE
@josephwilliam5469
3 жыл бұрын
WADUMU MILELE
Duu bagi sio
Blessing
Yoyote atakae fuata dini isiyokuwa uislamu hatokubaliwa dini hiyo hakika rastafari ni makafiri wenye imani ya kuwa hailesellase ni mungu
Upuuzi wa kuiga , rastafarai sio dini rastafarai ni harakati za wanyonge kwenye kusaka khaki uhuru na kujitawala.
Hii dini ya haki ya mwafrika tuitunze
@ALIKHAMIS-un4fv
5 ай бұрын
Hakuna dini ya mwafrika kuwa makini na maneno yako dini ni uislamu ambayo ni ya haki iliyokuja kwa watu wote sio waafrika wala wazungu wala waarabu
Blessing