NDEGE WA MAPAMBO: Afisa wa usalama mstaafu ajichumia riziki kwa kufuga ndege wa mapambo
Ufugaji wa ndege una manufaa mengi. Wengi hufuga ndege kujiimarisha kibiashara lakini kwa Joseph Opondo mkurugenzi mstaafu wa kituo cha kukabiliana na uhalifu nchini, ndege wake wa mapambo wanampa utulivu wa mawazo. Shambani mwake katika kaunti ya siaya, opondo amefuga kila aina ya ndege, wengine wakigharimu hadi shillingi millioni moja kila mmoja.
Пікірлер: 11
That is a spectacular set up and a sound eco system.
The guy has big machines parked there like no one business
Amazing
1m???aiii apana lbda Ugandan shillings
Enyewe reporter anatoa sauti toka miguuni🤣😂😂😂
Alah ajy ndege kuuzwa mita moja 😂😂💕💕
@truckingwithfauz7089
2 жыл бұрын
Na watu hawana food
@morineinziani9547
2 жыл бұрын
Pia mimi imgn nimeshtuka
@scattx
2 жыл бұрын
@@morineinziani9547 eee joh lakini Kenya tunachochwa sana
Tausi gapi
Ngoja at eeh one what? 😂