No video

Wavuvi wawili kutoka Comoros walazimika kula samaki wambichi

#citizentv #citizendigital #kenya #news

Пікірлер: 68

  • @mwikalijosephine5178
    @mwikalijosephine51782 ай бұрын

    U can imagine been stuck in the ocean indeed God is so faithful.

  • @fatmahnoor3717
    @fatmahnoor37172 ай бұрын

    Kenyans are generally Good people🙏God bless kenyans..i really feel bad when i see foreigners wakidharau wakenya..

  • @Ben-fb8he
    @Ben-fb8he2 ай бұрын

    God is great

  • @Alex.Godchild
    @Alex.Godchild2 ай бұрын

    Mungu mkubwa aki

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby42062 ай бұрын

    SubhanaAllah nliona movie kama hii story Netflix poleni Sana ALLAH AWAIFADHI YARABIII

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi37002 ай бұрын

    Baada ya hospitali, wapelekwe kwenye mkahawa halafu wapatiwe vyakula anuwai ili warejeshe nguvu zao mwilini. Asante kwa wale Wasamaria waliowaokoa baharini.

  • @sundaymebur2584

    @sundaymebur2584

    2 ай бұрын

    Vyakula anuwai!

  • @aheudit
    @aheudit2 ай бұрын

    Praise to the almighty. But raw fish is called sushi 🍣

  • @Kipkoech_Andrew
    @Kipkoech_Andrew2 ай бұрын

    Kwa baraka za Mungu wakala sushi bila kulipa chochote 😂

  • @joycewafula935
    @joycewafula935Ай бұрын

    Eeee upepobwa kushi n mkali ulifanya board yenye alkuwa imepepa wanafunzi wa YESU karibu wazame n yeye YESU mwenyewe analala🤔

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif94652 ай бұрын

    kina james ndio wasimamizi wa wavuvi lamu ,,hii ni maajabu 😂😂😂😂

  • @Khalid-mf3iu

    @Khalid-mf3iu

    2 ай бұрын

    Watu hawako serious wallahy

  • @menradmwaliko3661

    @menradmwaliko3661

    2 ай бұрын

    Wewe unataka nani awe msimamizi?

  • @mohamednyuni2631

    @mohamednyuni2631

    2 ай бұрын

    Wanati​@@menradmwaliko3661wanati wa Amu

  • @AdamBilal-sd8uv

    @AdamBilal-sd8uv

    2 ай бұрын

    Imagine walahi ata kuogelewa hajui labda😂😂

  • @janaleokesho8374

    @janaleokesho8374

    2 ай бұрын

    Kwani lamu iko wapi

  • @Datiuspp
    @DatiusppАй бұрын

    Kwahiyo serikari ya kenya imeshindwa kuwasaidia kuwarudisha kwao pamoja boti yao? Maana nimesikia eti boti liuzwe wapewe ela ziwasaidie😂😂😂😂 Dah..!!! Kenya...🙌🙌

  • @nyembomajid1262
    @nyembomajid12622 ай бұрын

    nimesikia eti boty liuzwe ki vipi kwani walikuwa wanakuja Kenya ao walipotea

  • @margaretnamubi4565

    @margaretnamubi4565

    2 ай бұрын

    😢😢😢 hizo ni drama za kenya

  • @hatibbaraka3956

    @hatibbaraka3956

    Ай бұрын

    Wamepotea ila process za kuirejesha boti Comoros itakua ni kubwa ndio maana wameona bora iuzwe wapewe pesa,ili wakifika wakapange mengine kama kununua mpya au kula Bata na familia. Ubalozi utawasafirisha kurudi nyumbani kwao ila kwa boti itakua ngumu.

  • @user-lo6fq9vr6r
    @user-lo6fq9vr6rАй бұрын

    Aki wakenya ni wakarimu sana

  • @izack95
    @izack95Ай бұрын

    Its when am learning of a country known as comoros😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @goodlifeke
    @goodlifeke2 ай бұрын

    samaki wambichi some media houses need to be serious with their jobs

  • @kibetyegon6281

    @kibetyegon6281

    2 ай бұрын

    😂😂😂shida ni gani

  • @eyanlenjorin4566

    @eyanlenjorin4566

    2 ай бұрын

    Wabichi

  • @eyanlenjorin4566

    @eyanlenjorin4566

    2 ай бұрын

    Mbichi-wabichi

  • @alextercisio

    @alextercisio

    2 ай бұрын

    Si bora umeelewa vile wanasama wacha ufala

  • @thirdworldrebel

    @thirdworldrebel

    2 ай бұрын

    Ni wakikuyu, elewa manze

  • @Allybinamour
    @AllybinamourАй бұрын

    subhanallah allah awafanyie wepes

  • @JulixYung-kw2tr
    @JulixYung-kw2tr2 ай бұрын

    Boti ya kwa sasa imeweza kuharibika...haikuharibika ikiwa baharini ilipofika ukingo mwa bahari ikaweza kuharibika

  • @fawziaabdurrahman2251
    @fawziaabdurrahman22512 ай бұрын

    Thought sushi was also raw fish 🤔

  • @kazikazini1042
    @kazikazini10422 ай бұрын

    Nani huwaandikia vichwa? Makosa karibu kila andiko. Hapa ameandika wambichi

  • @wambuievelynwaithira
    @wambuievelynwaithira2 ай бұрын

    Glory be to God Amen

  • @jonathankaranja5857

    @jonathankaranja5857

    2 ай бұрын

    Sasa Everlyne

  • @reubenmbudhia3289
    @reubenmbudhia3289Ай бұрын

    Murifee 🏃🏃🏃

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin34022 ай бұрын

    MUNGEWACHA WAVUVI WENYEWE WAONGEE. SASA NINI HIVI?

  • @NagromAlaka
    @NagromAlaka2 ай бұрын

    Sad story of disaster at sea

  • @josephwairimu6222
    @josephwairimu6222Ай бұрын

    Glory to God

  • @faimstech
    @faimstech2 ай бұрын

    It's wabichi not 'wambichi' bro

  • @julicenyabaro5291
    @julicenyabaro52912 ай бұрын

    😭😢😢😢 God is Great they were rescued 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @johnonyango6069
    @johnonyango60692 ай бұрын

    Ati intarogation Na MTU ako malnourished 😢😢😢 hmmm

  • @margaretnamubi4565

    @margaretnamubi4565

    2 ай бұрын

    Ajabu Sana..hamna utu

  • @barmenbarmen2917
    @barmenbarmen2917Ай бұрын

    Samaki wambachi???

  • @naima5220
    @naima52202 ай бұрын

    Sushi

  • @wanjiruwanganga5707
    @wanjiruwanganga57072 ай бұрын

    Ghai woi 😢

  • @kennethmurage3625
    @kennethmurage36252 ай бұрын

    They have discovered a new DIET !!!

  • @KK-ygh
    @KK-yghАй бұрын

    Hao ni kina SIDBAD the sailor.😂

  • @margaretnamubi4565
    @margaretnamubi45652 ай бұрын

    😢😢God's good

  • @thirdworldrebel
    @thirdworldrebel2 ай бұрын

    Eti 'wambichi'

  • @wawerukamau1260
    @wawerukamau12602 ай бұрын

    South-East trade winds saved them.

  • @am_theman
    @am_theman2 ай бұрын

    Lazima movie itoke juu ya hii story

  • @Biithedomnic
    @Biithedomnic2 ай бұрын

    Wambichi?

  • @kimanga0014
    @kimanga00142 ай бұрын

    Wambichi??

  • @sabinamukonyo6518
    @sabinamukonyo65182 ай бұрын

    JESUS JESUS JESUS JESUS JESUS JESUS JESUS 🤲🤲🙏😭

  • @DjcrysysGospel
    @DjcrysysGospel2 ай бұрын

    NEXT TIME BEBA CHUMVI LIGHTER NA VEGAR

  • @olivermuthoka5587
    @olivermuthoka55872 ай бұрын

    Comoros n wapi

  • @yasminoluoch169

    @yasminoluoch169

    Ай бұрын

    Loh hujui comoro..ni island nchi hiyo ya comoro

  • @Shakur_Pac
    @Shakur_Pac2 ай бұрын

    Need to do some online live news Citizen..... we're tired of covered news we want live shit.

  • @edwinkarani5593
    @edwinkarani55932 ай бұрын

    Mashua sio boti...

  • @reubenmbudhia3289
    @reubenmbudhia32892 ай бұрын

    It's samaki wabichi not wambichi 😂

  • @benjaminosura7665

    @benjaminosura7665

    Ай бұрын

    Wewe hujui kiswahili rudi shule citizen tv is correct 😅😂

  • @micaangote2138
    @micaangote21382 ай бұрын

    God is great

Келесі