Ooh, kwa hiyo rais unakopa kwa kuogopa kukosa fursa ya kukopa? Dah tuna safari ndefu
@drtobias_Ай бұрын
Yani Samia haongei km mtu mwenye mamlaka,Yani ni km na yeye analalamika km wananchi
@judyngowi391
Ай бұрын
Yaani shida sana, kuna tofauti sana ya Magu na huyu
@eliapendakileoАй бұрын
Uchumi umepanda juu ya mti au umepanda kwenye ndege inayoelekea Dubai maana kilio Cha ajira umasikini gharama za matibabu sioni labda Kuna anaeona anioneshe ivi walisema raisi hapingwi ni kweli uchumi umepanda nilisahau
@kuntaalkinte5415Ай бұрын
Hongera mama sichoki kusikiliza hotuba zako zinaeleweka Allah akulinde,
@jogoomohamed2652Ай бұрын
Pole sana mama,pole sana mkuu wa nchi.Pole sana mhe Rais wangu.Ndo dunia mama napia ndio wanadamu.Huwezi kumfurahisha kila mtu or kila mwanadamu.Piga kazi mama napia songa mbele.Mkuu
@user-ne5cg4vv1hАй бұрын
Tatizo sio mikopo usimamizi wa hizo pesa zikopazo watu wanajimegea tu hukohuko usimamizi weka ukali waogope
@ScopionScopion-zj9cdАй бұрын
dah hii ndio tz ya mwigulu nchemba sasa kapewa lungu jipya kukusanya kodi sio tatizo shida Nikwamba izo hera zinaenda wapi miradi inacherewa kuliko maelezo miladi mikubwa mipya hakuna inayomaliziwa Ndio ile ya mtetezi wawa nyonge kukopa tunakopa kodi utitili izo pesa zinaenda wap
@kingmichael1234Ай бұрын
The problem ni mfumo mzima wa uendeshaji wa nchi. Wezi wanalindana
@pauljulius1662Ай бұрын
Endelea kufuata wazungu wakuinguze uchumi wa kati Magufuli alikuacha uchumi wa kati sijui ulikologa wapi ?
@emmanuelsulle911Ай бұрын
Mama wewe haufai kabisa kuwa rais huwezi kuuza bandari zetu kwa waarabu,kuonea watanzania Kwa kuwafukuza kwenye ardhi zao.hatakutaki na hatukuelewi
@awadhsalim2680
Ай бұрын
Utajiju na chuki zako na ubaguzi
@AlexMathiasPaulАй бұрын
😂😂😂 na bado hauwajui watz shida wamesoma wengi wao wapo majumban na hawana kaz wape kaz mama
Mama yangu laisi nakukubali lakini tupe katiba nzuli pili mahama ya mafisadi tatu ondoa machinga barabarani mama ntiliye balabalani hao wote wanao kupigia makofi wote chawa sijawahi kuona Kila laisi ni makofi hao ni chumia tumbo ispo kua jeerry silaa na makonda na bitko na bashungwa wengine watafutie kazi hotelin
@ponsianomnyaru914019 күн бұрын
Wanaume na suti zao wanapigia makof chura mama huna kitu ww tukome watz
@yapukahassanАй бұрын
Inchi ngumu sna hii. Bora kungelikuwa na mfumo endelevu wa viongoz lakini hivi . Mmoja anatengeneza harafu mwingne anakuja kuharibu 2. Hili niku2hangaisha wananchi katka mifumo yao ya kipuuz
@calvinmacha593Ай бұрын
Yaan mtu unakilakitu ndani bado unatoka nje kukopa, kwanza hii nchi tunaongozwa na kusimamiwa na mungu tu, unachokifanya unakijua mwenyewe.
@leokamil6284Ай бұрын
Sikuwahi kusikia mifano ya vyura mara sijui nini kwa marais wa nchi zingine. Haya utayasikia tu Tanzania nchi ya vijembe ,uchumi ni wa watanzania nchi ni ya watanzania sio mali binafsi Rais ni msimamizi tu na mwajiriwa wa watanzania
@judyngowi391
Ай бұрын
Ndio ujue tunaimba taarabu tu
@ibrahimjuma9709Ай бұрын
Ni kweli KAZI kwanza ya ujenzi
@daudibukwimba4226Ай бұрын
Capital investment, youth empowerment in technology, resource utililization and management
@RobinsonKilangoАй бұрын
😂mama huna misingi ya kulinda rasirimali za hili taifa kwani maneno hayo hakuna raisi hajawahi kuyasema lazima ufahamu kuwa umekuta ufa katika yale yalio anziswa na watangurizi wako hii. yakukopa ilianza tangia nyerere .nchi inadaiwa kila kukicha bila ukomo huku tukiomba misamaha ya madeni na hizo fedha kwaajiri ya nini hapa kilimo ziro elimu ziro uvuvi ziro madini ziro ajira ziro teknoroji ziro. afya ziro. siasa ziro utawala bora ziro ufundi stadi sayansi ubunifu sanaa ziro michezo ziro mbinu za kijahasusi za kimataifa kuiba ujuzi kiiviwanda na teknoroji ziro kuweka ulahisi wananchi kutoka nje ya taifa na kuweka hamasa kuchuma nnje kuleta ndani hiyo pia ziro kuzitumia rasilimali. z etu kama aridhi maji hewa watu na solo kubwa duniani la. chakula ambalo .linakabiri ma kutoa tishio duniani hilo pia ziro eti hakuna ajira tunao ujuzi wa kukopa na kuomba misamaha hii aibu itaisha lini kwani huwa hamtafakari kuomba ni fezea nchi nzima hii ni madalari tangia vijijini kata wilaya mikoa huu ndio mtindo wa. maisha ya watanganyika tulinyimwa kila fursa mdawote. huo leo hii raisi samia unaa anzia wapi kwa mikopo huna hata msingi wako .katika. hiyo ulio ikuta mama samia hizo ni lawama tuu huzikwepi hao mchwa wana chekelea chini chini kuupiga. mwingi kwa kila stairi sasa mama) sikia. hii. kama huna hizi siraha usitegemee kuona jipya katika misingi ya wenzio ilio..ingiza hili taifa katika ujinga umasikini nmardhi asomae na afamu
@PhilipoMwita-wc1kuАй бұрын
Ahsante kwakukili kwamba ww ni chura
@leokamil6284Ай бұрын
Mkulima azalishe kwa kuwa mnawapa pembejeo bure sio ?.Kilimo bila mtaji ni kuonea wakulima tu
@user-sy4yj5ci3jАй бұрын
Sisi tungali na maisha ya kwenda kuasujudiya watu ili maisha yetu iyende !ndomana ushaga ushoga una pow kubwa ndani ya Tanzania
Пікірлер: 40
Ooh, kwa hiyo rais unakopa kwa kuogopa kukosa fursa ya kukopa? Dah tuna safari ndefu
Yani Samia haongei km mtu mwenye mamlaka,Yani ni km na yeye analalamika km wananchi
@judyngowi391
Ай бұрын
Yaani shida sana, kuna tofauti sana ya Magu na huyu
Uchumi umepanda juu ya mti au umepanda kwenye ndege inayoelekea Dubai maana kilio Cha ajira umasikini gharama za matibabu sioni labda Kuna anaeona anioneshe ivi walisema raisi hapingwi ni kweli uchumi umepanda nilisahau
Hongera mama sichoki kusikiliza hotuba zako zinaeleweka Allah akulinde,
Pole sana mama,pole sana mkuu wa nchi.Pole sana mhe Rais wangu.Ndo dunia mama napia ndio wanadamu.Huwezi kumfurahisha kila mtu or kila mwanadamu.Piga kazi mama napia songa mbele.Mkuu
Tatizo sio mikopo usimamizi wa hizo pesa zikopazo watu wanajimegea tu hukohuko usimamizi weka ukali waogope
dah hii ndio tz ya mwigulu nchemba sasa kapewa lungu jipya kukusanya kodi sio tatizo shida Nikwamba izo hera zinaenda wapi miradi inacherewa kuliko maelezo miladi mikubwa mipya hakuna inayomaliziwa Ndio ile ya mtetezi wawa nyonge kukopa tunakopa kodi utitili izo pesa zinaenda wap
The problem ni mfumo mzima wa uendeshaji wa nchi. Wezi wanalindana
Endelea kufuata wazungu wakuinguze uchumi wa kati Magufuli alikuacha uchumi wa kati sijui ulikologa wapi ?
Mama wewe haufai kabisa kuwa rais huwezi kuuza bandari zetu kwa waarabu,kuonea watanzania Kwa kuwafukuza kwenye ardhi zao.hatakutaki na hatukuelewi
@awadhsalim2680
Ай бұрын
Utajiju na chuki zako na ubaguzi
😂😂😂 na bado hauwajui watz shida wamesoma wengi wao wapo majumban na hawana kaz wape kaz mama
Chura usingupatie wezi.. magufuli aliwatoa hao wezi, wewe umewarudisha. Watanzania hatuwataki hao Mafisadi
Mama yangu laisi nakukubali lakini tupe katiba nzuli pili mahama ya mafisadi tatu ondoa machinga barabarani mama ntiliye balabalani hao wote wanao kupigia makofi wote chawa sijawahi kuona Kila laisi ni makofi hao ni chumia tumbo ispo kua jeerry silaa na makonda na bitko na bashungwa wengine watafutie kazi hotelin
Wanaume na suti zao wanapigia makof chura mama huna kitu ww tukome watz
Inchi ngumu sna hii. Bora kungelikuwa na mfumo endelevu wa viongoz lakini hivi . Mmoja anatengeneza harafu mwingne anakuja kuharibu 2. Hili niku2hangaisha wananchi katka mifumo yao ya kipuuz
Yaan mtu unakilakitu ndani bado unatoka nje kukopa, kwanza hii nchi tunaongozwa na kusimamiwa na mungu tu, unachokifanya unakijua mwenyewe.
Sikuwahi kusikia mifano ya vyura mara sijui nini kwa marais wa nchi zingine. Haya utayasikia tu Tanzania nchi ya vijembe ,uchumi ni wa watanzania nchi ni ya watanzania sio mali binafsi Rais ni msimamizi tu na mwajiriwa wa watanzania
@judyngowi391
Ай бұрын
Ndio ujue tunaimba taarabu tu
Ni kweli KAZI kwanza ya ujenzi
Capital investment, youth empowerment in technology, resource utililization and management
😂mama huna misingi ya kulinda rasirimali za hili taifa kwani maneno hayo hakuna raisi hajawahi kuyasema lazima ufahamu kuwa umekuta ufa katika yale yalio anziswa na watangurizi wako hii. yakukopa ilianza tangia nyerere .nchi inadaiwa kila kukicha bila ukomo huku tukiomba misamaha ya madeni na hizo fedha kwaajiri ya nini hapa kilimo ziro elimu ziro uvuvi ziro madini ziro ajira ziro teknoroji ziro. afya ziro. siasa ziro utawala bora ziro ufundi stadi sayansi ubunifu sanaa ziro michezo ziro mbinu za kijahasusi za kimataifa kuiba ujuzi kiiviwanda na teknoroji ziro kuweka ulahisi wananchi kutoka nje ya taifa na kuweka hamasa kuchuma nnje kuleta ndani hiyo pia ziro kuzitumia rasilimali. z etu kama aridhi maji hewa watu na solo kubwa duniani la. chakula ambalo .linakabiri ma kutoa tishio duniani hilo pia ziro eti hakuna ajira tunao ujuzi wa kukopa na kuomba misamaha hii aibu itaisha lini kwani huwa hamtafakari kuomba ni fezea nchi nzima hii ni madalari tangia vijijini kata wilaya mikoa huu ndio mtindo wa. maisha ya watanganyika tulinyimwa kila fursa mdawote. huo leo hii raisi samia unaa anzia wapi kwa mikopo huna hata msingi wako .katika. hiyo ulio ikuta mama samia hizo ni lawama tuu huzikwepi hao mchwa wana chekelea chini chini kuupiga. mwingi kwa kila stairi sasa mama) sikia. hii. kama huna hizi siraha usitegemee kuona jipya katika misingi ya wenzio ilio..ingiza hili taifa katika ujinga umasikini nmardhi asomae na afamu
Ahsante kwakukili kwamba ww ni chura
Mkulima azalishe kwa kuwa mnawapa pembejeo bure sio ?.Kilimo bila mtaji ni kuonea wakulima tu
Sisi tungali na maisha ya kwenda kuasujudiya watu ili maisha yetu iyende !ndomana ushaga ushoga una pow kubwa ndani ya Tanzania
Mikopo hoyeeeee
Usizibe masikio vinginevyo utakosa kujuwa wananchi wanafikiri nini.
Mheshimiwa endelea kucheka na nyani! Uwe tayari kuvuna mabua!
Hujibu kwa sababu huna cha kujibu! hivyo lazima uwe chura.
Raisi anapenda kama chura
Wanaume wamekaa wanapiga makofi
Chura bwana wanakupigia makofi
Uchumigani.mama.mbonamaishayanakuwa.magumu.au.uchumi.ukokwamadisadi
Wimbo wa CHURA: kzread.info/dash/bejne/d2uMu9Jxgcq1adY.htmlsi=jqqmLNGWPD9W7NqE
Heee! Hee!..
@judyngowi391
Ай бұрын
Uuwiiiiii
Afadhali
Mama SAMIA Uko vizuri sana 😂hebu cheka kidogo ufurahishe MOYO wako.