NASORO FX: Mkali wa Forex Trading afunguka SIRI ya Mchezo ili ufanikiwe kama yeye

Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/channel/0029Va84...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 152

  • @user-ty7cf4ly2y
    @user-ty7cf4ly2y8 ай бұрын

    Huyu jamaa nilimfahamu 2017 anajuwa sana hiziii mambo halafu hana kelele asante sana sky kwa kutuletea huyu kijana tunaomba umualike tena kaka

  • @carterjordan4216
    @carterjordan42168 ай бұрын

    Forex ni biashara kama biashara nyingine sema sisi watanzania tukishindwa kufanya vitu tunawachukia wale wenye uwezo wa kufanya na wanafanya. Kuna watu wengi tu mtaani wanaopiga biashara hii kama huyu jamaa na hawasemi na maisha yanaenda.Tukubali kujifunza.

  • @hansperson1012
    @hansperson10128 ай бұрын

    Huyu jamaa akiongea na sura yake tofauti yani😂😂😂 ina namkubari sana mpe salamu zake nasoro

  • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
    @peteremmanuelymatwimatwiem32588 ай бұрын

    Asante sana sns ikitu nilikua Siijui yani

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata34838 ай бұрын

    mambo yetu haya! tuko pamoj jeshi! 🎉

  • @Mr.romantictz
    @Mr.romantictz8 ай бұрын

    Hii ni kazi ni ya kiroho.ukiona Mtu anajitangaza bado yuko stage ya chini.wanao ijua hii vizuri wame connect vizuri na hawaongei maana kuna siri ya mafanikio ktk biashara yoyote baina ya mwanadamu na Mungu kama hujaconnect .presha inakuhusu

  • @barbarasara4033

    @barbarasara4033

    4 ай бұрын

    Ukiona biashara yoyote mtu anapromote au anafundisha means hapati faida Bali wewe NI biashara😂😂😂😂

  • @adeodatuskakorozya9064
    @adeodatuskakorozya90648 ай бұрын

    Safi Nassoro👍

  • @abdallaabdalla998
    @abdallaabdalla9988 ай бұрын

    Nimefanya Hii forex kuanzia 2009 ,nilikua nafanya Forex,na stock market but nimeacha nimejikita na US stock market na Crypto …i love it and you can make a lots of money but also you can loose lots of money .Hii game unatakiwa on top of game .

  • @barbarasara4033

    @barbarasara4033

    4 ай бұрын

    US stock market Mimi pia nafanya ni less stressful.

  • @joshmbager3706

    @joshmbager3706

    4 ай бұрын

    Ipoje hii

  • @donkolion9563

    @donkolion9563

    2 ай бұрын

    Uko na Link yake tafadhali?

  • @Magreth1977

    @Magreth1977

    19 күн бұрын

    Nifundishe 🎉

  • @abdallaabdalla998

    @abdallaabdalla998

    19 күн бұрын

    @@Magreth1977ok poa

  • @jonathannjau9129
    @jonathannjau91298 ай бұрын

    SNS natamani mngefanya mahojiano na team ya intelligence Fx ❤

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi70548 ай бұрын

    trading in the zone by mark douglas

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd84288 ай бұрын

    Tatzo la hii mishe huwa wapo kimya sanaaa hasa wale wanaojuwa

  • @brightontv8019
    @brightontv80198 ай бұрын

    Adante sana brother sky kutuletea huyu mwamba. Nilipita kwenye training yake 2019. Niliona account yake1 anahold orders mwaka na kitu

  • @kulwamafuluka9122

    @kulwamafuluka9122

    8 ай бұрын

    Duuh

  • @jumarwambo7420
    @jumarwambo74208 ай бұрын

    Kama ndo unaanza kwenye forex pata elimi sahihi piga demo za kutosha ukiona upo vizur fund live account upime emotion na saikolojia Yako ukiona upo consistent unapata profit,najua mitaji Kwa TZ n challenge nenda nunua prop firm ukishapass zile challenge,ukawa funded pale ndo utaanza kuona utamu wa forex nunua hata account ya $100000

  • @afrodinova

    @afrodinova

    8 ай бұрын

    The industry needs 0% skills😂😂😂 100% discipline

  • @updatediq2203

    @updatediq2203

    8 ай бұрын

    kwa mfano prop firm ipi kaka

  • @epicart3351

    @epicart3351

    8 ай бұрын

    acha uongo kama huna hiyo skill ni zamu pia ni bure @@afrodinova

  • @infiniteabundance2024

    @infiniteabundance2024

    8 ай бұрын

    @@updatediq2203 FTMO

  • @infiniteabundance2024

    @infiniteabundance2024

    8 ай бұрын

    @@afrodinova 0% imekubadilishia maisha kiasi gani through trading?

  • @user-iw5mk2sw5z
    @user-iw5mk2sw5z8 ай бұрын

    Na nilitamani kuskia unamuuliza kuhusu elimu kwasababu huyu alishapitia uwalimu katika chuo cha UTC kipo Dar

  • @kadabra-one1007
    @kadabra-one10078 ай бұрын

    Forex is life, lazima uwe na elimu nzur kuhusu soko

  • @mkoma49
    @mkoma498 ай бұрын

    Hawa wenyew wanaishi kwa pesa za kuchangisha watu wapate mafunzo

  • @IbrahimMohamed-yy2il
    @IbrahimMohamed-yy2il8 ай бұрын

    Forex ni mentor ukiwa lucky kumpata mzuri, mwaka tu basics unapata ila experience ndo changamoto mziki unaweza fika hata miaka 5 hadi 10 kujifunza😂

  • @edigarcharles2012

    @edigarcharles2012

    8 ай бұрын

    Kabisa kaka

  • @martinemhina-ko8gb

    @martinemhina-ko8gb

    Ай бұрын

    Hakuna ukionq hivyo una nidhamu kama unaweza kuamka asubui mapaka jioni huko kwenye meza na pc pamoja na mtandao Wala haichukui muda kaka

  • @user-iw5mk2sw5z
    @user-iw5mk2sw5z8 ай бұрын

    Asante sana kaka sky kwa kutuletea kijana huyu anaijuwa hii biashara nje na ndani na unaambiwa ukijifunza kwake na ukashindwa kuelewa basiii tafuta jembe ukalime

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats8 ай бұрын

    Hapo me nakarbia kununua Range mje mnipokee airport soon natoka china.Price action ndio kila kitu kwenye forex.

  • @deuskazimil8721

    @deuskazimil8721

    8 ай бұрын

    Hongera kama ni kweli ilakama unadanganya unajidanganya mwenyewe

  • @Chrisblaze-beats

    @Chrisblaze-beats

    8 ай бұрын

    @@deuskazimil8721 Epuka matapeli mtu anaepata faida forex hawez kuuza mabot au kutaka vidola $50 vya watu au sjui account management. Wanaopata faida wapo kimya wanapiga ela hao mtaji wao ni wewe. Forex ni biashara kama biashara zingine lazima ukubali hasara na faida.

  • @user-pt3ih2el6y

    @user-pt3ih2el6y

    8 ай бұрын

    😂😂

  • @gabrielmbeye5736

    @gabrielmbeye5736

    24 күн бұрын

    😂😂😂😂​@@deuskazimil8721

  • @revocatuskato9474
    @revocatuskato94748 ай бұрын

    biashara hii ni ngumu sana ,haina uhalisia,unaweza weka hela yako yote ikapotea,haina tofauti na kamali,tatizo la vijana wakiambiwa kuna mafanikio makubwa wanaamini kama wanavyoamini kuwa unaweza kupata mafanikio kwa kubet..,hawa wote wanaopromote ukipoteza wao wanagawio lao ndo maana muda wote wanashawishi watu kujiunga..,

  • @ezraezyofx

    @ezraezyofx

    8 ай бұрын

    Sio kwel mkuu fanya research vzur kabla ya kuongea 😅

  • @joelnoel2016

    @joelnoel2016

    8 ай бұрын

    Says someone with zero Trading knowledge.

  • @infiniteabundance2024

    @infiniteabundance2024

    8 ай бұрын

    na hapo una access ya internet unaongea upumbavu hivi...

  • @m404msigara7

    @m404msigara7

    8 ай бұрын

    😅😅😅😅😅 unajua nini.. knowledge is power

  • @user-ty7cf4ly2y
    @user-ty7cf4ly2y8 ай бұрын

    Huyuuuuuu yupo kwenye hii industry muda mrefu na anacosistency sana mpaka leo kijana wa Tanga huyu kipindi hicho anajiita Chollo001 alwatan😅

  • @obedingilisho
    @obedingilisho8 ай бұрын

    Tatizo la awa madogo wanaacha kufanya trading na kunikita kunufaika na vikozi vya kuwafundisha wengine

  • @martinemhina-ko8gb

    @martinemhina-ko8gb

    Ай бұрын

    Huko sahihi kabisa wengi hawapati profit kwenye market wanapata kwa wanaowafundisha

  • @athanasmasmami5389
    @athanasmasmami5389Ай бұрын

    Cyprus 🇨🇾 ✊

  • @iddikibwana9185
    @iddikibwana91858 ай бұрын

    Hiii naijua tangu 2016.

  • @zackariamtunguja9435
    @zackariamtunguja94358 ай бұрын

    Binance wamepigwa faini ya Mabilion. Huwezi kuweka hela kwa mtu usiyemjua wala mkataba. Biashara yoyote ina faida ukiifanya kwa uaminifu. Biashara yoyote ukiweka tamaa utapigwa tuu

  • @musachimbah6800
    @musachimbah68008 ай бұрын

    Kama jux

  • @brightontv8019
    @brightontv80198 ай бұрын

    Jamaa anajuwa sana hlf hana mbwembwe za mitandao. Anajuwa price action kama kazaliwa nayoo😂. Anapata hizo dili kwasbb ni muaminifu na amenyooka sana huyu dogo. Yupo MTU 1 anamjuwea anasema dogo anapenda kuwekeza kweny ardhi half ni msiri sana😂 unaweza ukakutana nae hlf anakuwa mpole kama hajui kitu

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles57917 ай бұрын

    MTFE makes life better😁😁😁, I'll never forget.

  • @salumucharles9655

    @salumucharles9655

    6 ай бұрын

    Mo dewiji. Bakhresa na hata aliko dangotee Wana fanya forex ndugu.

  • @amatoris_

    @amatoris_

    5 ай бұрын

    Ukiona business inakuambia leta mtu utapata commission % flani .......kimbia kabisa but forex is real ni wewe mwenyewe

  • @omeraJR
    @omeraJR8 ай бұрын

    Forex sio kwa ajili ya wale wanajii ta Genius but wale waliamua ku dedicate muda wao kujifunza

  • @sylivestermwasile4203
    @sylivestermwasile42038 ай бұрын

    Ngoja nimfollow mwamba mwenzangu huyoo anatumia jina gani instar

  • @oscarchiwalala1745
    @oscarchiwalala17458 ай бұрын

    Hello Sky Mambo Vp, Nimependa Sana Interview Yako Na Nasoro Hakika Limekuwa Ya Kuvutia Kwa Kwl Lakini Pande Tuh Kukumbushia Kuwa FOREX SIO MCHEZO NI BIASHARA INAYOJITEGEMEA, Ukisema Ni Mchezo Tunakuwa Unatoa Bado Mwongozo Ambao Sio Sahihi Ndg.

  • @felisteronesmo3091

    @felisteronesmo3091

    8 ай бұрын

    Tni mchezo .. maana operator behind it ndowana run soko indirect kupitia policy zao Hali zao za uchumi nk, .. it's something can be played

  • @DBIRobotics
    @DBIRobotics8 ай бұрын

    Forex ni hardwork,jiandae kujifunza hata miaka 3,kabla hujaanza kuona mafanikio

  • @solomonbuzoya5626

    @solomonbuzoya5626

    7 ай бұрын

    weka miaka 10, 3 haitoshi

  • @freakboy1804
    @freakboy18044 ай бұрын

    Mtaji wa Dola 10 sio tatizo kaka kikubwa risk management ratio akili ndio mtaji

  • @user-lt3iz5kb8v
    @user-lt3iz5kb8v8 ай бұрын

    Tuletee matraders wengi zaidi watu wapate kufahamu...i love forex

  • @user-iw5mk2sw5z
    @user-iw5mk2sw5z8 ай бұрын

    Huyuuu jamaaa anashambaaaa kubwa handeniiii nilimuona mwaka 2022

  • @meddy_upette9511

    @meddy_upette9511

    8 ай бұрын

    Wanapata hela kwenye fx wanawekeza kwenye maisha yakawaida namaisha yanaendelea

  • @ahmedmassoud0806
    @ahmedmassoud08068 ай бұрын

    Duh Idea Debata usinikumbushe😂

  • @rophusmsinga6749
    @rophusmsinga67498 ай бұрын

    Sky Hawa wanaojiita forex trader watakuharibia channel Wana wengi matapeli uku Kenya tunawamulika Sanaa wanadanganya kua wanapiga hela ila wanatapeli watu tu .kua makini nao

  • @paolo4584

    @paolo4584

    8 ай бұрын

    Matatizo ya kenya msolve mkiwa kenya.. ya huku mtuachie, scammers are in every walks of life.

  • @rophusmsinga6749

    @rophusmsinga6749

    8 ай бұрын

    @@paolo4584 Aya endeleni kuupiga mwingi

  • @omarsalum4052
    @omarsalum40528 ай бұрын

    Inabidi sky utuwekee kipindi speacial kwa trader wavute kina elikana Clinton wapo wengi

  • @charlesjohn5792

    @charlesjohn5792

    4 ай бұрын

    Sahihi... Hasa BEN

  • @jumajames1767
    @jumajames17678 ай бұрын

    Ausio

  • @ramateo_tz5220
    @ramateo_tz52208 ай бұрын

    Trader kavaa maherenii😢

  • @thronemoneyfx9730
    @thronemoneyfx97308 ай бұрын

    Ukitaka ufaidike na trading lazima ujikane na ufuate trading inavyoitaji najivunia kujuwa trading kwa mtaji wangu wa usd kwa mwezi sikosi chini ya 50prcnt return

  • @fpcttz

    @fpcttz

    8 ай бұрын

    Mtaji wa USD ndio mtaji wa Tsh ngapi ndugu yangu, mbona unayumba ?

  • @BNT05
    @BNT058 ай бұрын

    Very interesting... However, I am always trying to think what would be the impact of AI on Forex trading. Would we need to pay for a trainer like Nassor in the future or you just pay for an AI App and let it do everything for you in a more precise manner? Things are moving very fast with technology! Mind the gap!

  • @diodoruskyomya9328

    @diodoruskyomya9328

    8 ай бұрын

    AI doesn’t deal with forex

  • @BNT05

    @BNT05

    8 ай бұрын

    @@diodoruskyomya9328 That is as for NOW?!...but who can predict about tomorrow with the pace the technology has set?! Don't delude yourself mate...if it is not there yet, it's around the corner! I hope you read the news around the world from the politicians to the AI gurus about AI and the "fear" it creates!

  • @BNT05

    @BNT05

    8 ай бұрын

    @@diodoruskyomya9328 Someone is living in a bubble here!...I am not and out here!

  • @raicharts1222

    @raicharts1222

    8 ай бұрын

    Can be used period

  • @arafatibrahim1921

    @arafatibrahim1921

    8 ай бұрын

    bots zipo mzee

  • @Nestob
    @Nestob8 ай бұрын

    Nilijua hii ni zamu ya Tanzania...hili wimbi la matrader lilianza Afrika kusini likaja kenya sasa Tanzania na hatuna bodi ya regulate forex....wanasaidiwa na platform kubwa,,mtapigwaaaa

  • @AbdulHalis-zu4lw
    @AbdulHalis-zu4lw3 ай бұрын

    Naipata vp no yake

  • @Zenny89
    @Zenny898 ай бұрын

    Embu tuweni serious..Hawa Jamaa wanakujaga kuzungumzia Forex trading ni choka mbaya tuu kama mie..hakuna kupiga hela hapa zaidi ya kupigwa hela..wanatakiwa wajikomboe wenyewe kwanza Ndo waje kwa watu. Yaani unamwangali mtu alivyo na anachosema ni Kama unataka kwenda kigoma lakini upo kwenye treni ya kwenda Mara.

  • @user-lt3iz5kb8v

    @user-lt3iz5kb8v

    8 ай бұрын

    Kama huna skills utapigwa tuu...watanzania wanataka hela za haraka ila kusoma hawataki. Soma sana utapata tuu hela...hela ipoooo...😂😂😂😂

  • @Theson-eh3ms

    @Theson-eh3ms

    7 ай бұрын

    Kama hauko inspired usiwavunje wenzio moyo

  • @pheninhojr5875

    @pheninhojr5875

    2 ай бұрын

    Wamesoma wengi na wapo bench wanasubil sub kama guede bro usikate tamaa ingali bado upo hai na elimu c kila kitu​@@user-lt3iz5kb8v

  • @Pips_Lab-v2f
    @Pips_Lab-v2f8 ай бұрын

    Mzee fafanua vizur nn maana ya forex 😂forex is more than buying and selling currencies😂

  • @anordgerison8639
    @anordgerison86398 ай бұрын

    Mbona kagoma kusema kiasi kikubwa Cha fedha alicho wahi kuingiza ..

  • @inesstibenda2832

    @inesstibenda2832

    4 ай бұрын

    Ili ukamkabe? Jua forex hela ipo,cha msingi ni kupambana. Kuna watu wanapiga mpk dola 1000 kwa cku

  • @musso238
    @musso2388 ай бұрын

    Ingizo jipya La Upigaji si ndio kutoka franco kaja yeye😅sio

  • @imakimaro69
    @imakimaro698 ай бұрын

    Forex Inahitaji patient kubwa sana kinyume na Mungu alivyotuumba wanadamu Ushauri wangu Fanya biashara zingine na utafuraia sana maisha lkn si forex ni mateso ya hali ya juu sana

  • @johnsonjoshua6707

    @johnsonjoshua6707

    8 ай бұрын

    Maneno ya aliyeshindwa na kukata tamaa...usiwambukize wenzako ujinga

  • @kelvinnyonyi9082

    @kelvinnyonyi9082

    8 ай бұрын

    Umekata tamaa ww, jifunze unapokosea utanikumbuka

  • @Pips_Lab-v2f

    @Pips_Lab-v2f

    8 ай бұрын

    Usipotoshe watu sema mim nimeshindwa siiwez😅😅

  • @learnforex127

    @learnforex127

    7 ай бұрын

    Mbona mimi nafanya

  • @heriethmsambili5711

    @heriethmsambili5711

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂yaani mwamba yuko chali taabani anapumlia mpira amekula za uso sana

  • @martinemhina-ko8gb
    @martinemhina-ko8gbАй бұрын

    Kama unahitaji mtu akufundishe ndio utengeneze pesa acha haikufai hiyo trade

  • @athanasmasmami5389

    @athanasmasmami5389

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @Groupe_Musicien
    @Groupe_Musicien8 ай бұрын

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @samsuyatv4594
    @samsuyatv45948 ай бұрын

    Price action ndo unatumia kwel unasafari ndefu ndogo

  • @inesstibenda2832

    @inesstibenda2832

    4 ай бұрын

    Price action ni how the price is moving katika soko,so kila strategy ni lazima utaitumia. Watu wengi wanajua price action ni trendline pamoja na support and resistance. Huyu jamaa yuko vizuri nimemfatilia,hayuko shallow.

  • @danielmkumbo6895
    @danielmkumbo68958 ай бұрын

    Huwa najiuliza Kwa nn mafunzo Yao wanatoza Hela nying kama kwel wanapiga pesa kweny forex

  • @lee_marley5050

    @lee_marley5050

    7 ай бұрын

    Kwasabab watu wanahitaji kusaidiwa kufundishwa na mtu hawezi kutoa mda wake bure. Kingine ni kama side hustle, unahisi kwanini matajiri wana biashara mbalimbali? Kwann asiridhike na chanzo kimoja cha mapato. Mfano azam kwann asitulie kwenye vyakula ? Ana diversify

  • @heriethmsambili5711

    @heriethmsambili5711

    2 ай бұрын

    Wenyewe pia wametumia nguvu nyingi sana ikiwa ni pamoja na Akili kubwa sana,Pesa nyingi sana na Muda mwingi sana mpaka kufika hapo alipo

  • @eliezerwamungu4614
    @eliezerwamungu46148 ай бұрын

    Ebu naomb siku moja umulete Sirjef Denis

  • @mginatv.

    @mginatv.

    6 ай бұрын

    Nenda ITV ...katafute video KZread ... Inahusu Masoko ya Kifedha ya Dunia. Utamuona sirjeff aliitwa huko

  • @mginatv.

    @mginatv.

    6 ай бұрын

    Ingia account ya ITV .humu humu KZread

  • @Aleckieofficial254
    @Aleckieofficial2548 ай бұрын

    Hii ni kwa Watanzania wote hiyo mchezo ni wizi tu hamna kitu eti mafanikio hapo

  • @JingiClassic

    @JingiClassic

    5 ай бұрын

    Wewe umejuaje kama niwizi usishutumu kitu usichokijua uliza ufundishe siokukatisha wenzako tamaa kama hutaki kujifunza siunaacha acha wajifunze wanaotaka

  • @BlessedCreature-kf4hm
    @BlessedCreature-kf4hm8 ай бұрын

    @sns wewe ni trader wa chinichini🙂😂

  • @Bonnie__1
    @Bonnie__18 ай бұрын

    😂😂😂😂😂jichanganyeee

  • @yusuphsemwaiko3765
    @yusuphsemwaiko37658 ай бұрын

    hujawahi kukosea kaka bigger up

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem71058 ай бұрын

    Kenya watu wanalizwa sana in the name of Forex trading 😂😂

  • @victormwita5943

    @victormwita5943

    8 ай бұрын

    Kafuri FX Sijui Kenyan prince Sijui thee pluto Sijui Nani na Nani ma scammers 😂😂😂

  • @omarsirleem7105

    @omarsirleem7105

    8 ай бұрын

    😂😂 Kafuri ni legit ww uyo ata ni arif wangu

  • @ramadhaniayoub8171
    @ramadhaniayoub81718 ай бұрын

    Wa Nigeria wengi wamefanikiwa kwenye forex kwasababu ya juju

  • @meddy_upette9511

    @meddy_upette9511

    8 ай бұрын

    Kwaio wanairoga forex ili wapate pesa

  • @Nestob

    @Nestob

    8 ай бұрын

    scammers...wanauuza lifestyle

  • @spicyjam9051
    @spicyjam90518 ай бұрын

    Ma broker wengi ni matapeli

  • @tumlakimwaitumule

    @tumlakimwaitumule

    8 ай бұрын

    Kama broker gani

  • @paulntalima6998

    @paulntalima6998

    8 ай бұрын

    ​@@tumlakimwaitumulederiv

  • @NassorMasoud-le1jt

    @NassorMasoud-le1jt

    8 ай бұрын

    @@tumlakimwaitumulewala hajui hawa ndo watu wanao lishwa matango pori…

  • @meddy_upette9511

    @meddy_upette9511

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 we jamaa bwana

  • @afromixstudios

    @afromixstudios

    8 ай бұрын

    Exness

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa40738 ай бұрын

    Mi nauliza; hivi kwanini mnataka kulipwa pesa wkt ukiangalia maelezo yenu ni kwamba mnapiga pesa nyingi sana! Hii ya kwamba mtu alipie kujifunza inakuwaje hii!?

  • @saidmalik6714

    @saidmalik6714

    8 ай бұрын

    No free lunch in economy Hakuna kitu Cha bure duniani

  • @seifseni5050

    @seifseni5050

    7 ай бұрын

    Ww ungeweza kufundisha bure?

  • @youngpaincompany1440
    @youngpaincompany14408 ай бұрын

    Mwamba anavaa helen daah😢😢

  • @kulwamafuluka9122

    @kulwamafuluka9122

    8 ай бұрын

    😂😂😂

  • @user-qi6wy6kl4g
    @user-qi6wy6kl4g5 ай бұрын

    Jamaa linajua kuchez na akili za watu hili😂😂😂

  • @reganmbigili9406
    @reganmbigili94068 ай бұрын

    Uyu mwana aliiiba hela zangu na kusepa

  • @lowbudgetcreation.

    @lowbudgetcreation.

    8 ай бұрын

    Njoo whatsapp kaka nkusaidie namjua uyu

  • @hanschid941

    @hanschid941

    8 ай бұрын

    Ni kweli au nawewe unaleta unafiki2

  • @user-vm4qp8uf4f
    @user-vm4qp8uf4f4 ай бұрын

    2pe link ya group la wasap nasoro