NASORO FX: Mkali wa Forex Trading afunguka SIRI ya Mchezo ili ufanikiwe kama yeye
Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/channel/0029Va84...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Пікірлер: 152
Huyu jamaa nilimfahamu 2017 anajuwa sana hiziii mambo halafu hana kelele asante sana sky kwa kutuletea huyu kijana tunaomba umualike tena kaka
Forex ni biashara kama biashara nyingine sema sisi watanzania tukishindwa kufanya vitu tunawachukia wale wenye uwezo wa kufanya na wanafanya. Kuna watu wengi tu mtaani wanaopiga biashara hii kama huyu jamaa na hawasemi na maisha yanaenda.Tukubali kujifunza.
Huyu jamaa akiongea na sura yake tofauti yani😂😂😂 ina namkubari sana mpe salamu zake nasoro
Asante sana sns ikitu nilikua Siijui yani
mambo yetu haya! tuko pamoj jeshi! 🎉
Hii ni kazi ni ya kiroho.ukiona Mtu anajitangaza bado yuko stage ya chini.wanao ijua hii vizuri wame connect vizuri na hawaongei maana kuna siri ya mafanikio ktk biashara yoyote baina ya mwanadamu na Mungu kama hujaconnect .presha inakuhusu
@barbarasara4033
4 ай бұрын
Ukiona biashara yoyote mtu anapromote au anafundisha means hapati faida Bali wewe NI biashara😂😂😂😂
Safi Nassoro👍
Nimefanya Hii forex kuanzia 2009 ,nilikua nafanya Forex,na stock market but nimeacha nimejikita na US stock market na Crypto …i love it and you can make a lots of money but also you can loose lots of money .Hii game unatakiwa on top of game .
@barbarasara4033
4 ай бұрын
US stock market Mimi pia nafanya ni less stressful.
@joshmbager3706
4 ай бұрын
Ipoje hii
@donkolion9563
2 ай бұрын
Uko na Link yake tafadhali?
@Magreth1977
19 күн бұрын
Nifundishe 🎉
@abdallaabdalla998
19 күн бұрын
@@Magreth1977ok poa
SNS natamani mngefanya mahojiano na team ya intelligence Fx ❤
trading in the zone by mark douglas
Tatzo la hii mishe huwa wapo kimya sanaaa hasa wale wanaojuwa
Adante sana brother sky kutuletea huyu mwamba. Nilipita kwenye training yake 2019. Niliona account yake1 anahold orders mwaka na kitu
@kulwamafuluka9122
8 ай бұрын
Duuh
Kama ndo unaanza kwenye forex pata elimi sahihi piga demo za kutosha ukiona upo vizur fund live account upime emotion na saikolojia Yako ukiona upo consistent unapata profit,najua mitaji Kwa TZ n challenge nenda nunua prop firm ukishapass zile challenge,ukawa funded pale ndo utaanza kuona utamu wa forex nunua hata account ya $100000
@afrodinova
8 ай бұрын
The industry needs 0% skills😂😂😂 100% discipline
@updatediq2203
8 ай бұрын
kwa mfano prop firm ipi kaka
@epicart3351
8 ай бұрын
acha uongo kama huna hiyo skill ni zamu pia ni bure @@afrodinova
@infiniteabundance2024
8 ай бұрын
@@updatediq2203 FTMO
@infiniteabundance2024
8 ай бұрын
@@afrodinova 0% imekubadilishia maisha kiasi gani through trading?
Na nilitamani kuskia unamuuliza kuhusu elimu kwasababu huyu alishapitia uwalimu katika chuo cha UTC kipo Dar
Forex is life, lazima uwe na elimu nzur kuhusu soko
Hawa wenyew wanaishi kwa pesa za kuchangisha watu wapate mafunzo
Forex ni mentor ukiwa lucky kumpata mzuri, mwaka tu basics unapata ila experience ndo changamoto mziki unaweza fika hata miaka 5 hadi 10 kujifunza😂
@edigarcharles2012
8 ай бұрын
Kabisa kaka
@martinemhina-ko8gb
Ай бұрын
Hakuna ukionq hivyo una nidhamu kama unaweza kuamka asubui mapaka jioni huko kwenye meza na pc pamoja na mtandao Wala haichukui muda kaka
Asante sana kaka sky kwa kutuletea kijana huyu anaijuwa hii biashara nje na ndani na unaambiwa ukijifunza kwake na ukashindwa kuelewa basiii tafuta jembe ukalime
Hapo me nakarbia kununua Range mje mnipokee airport soon natoka china.Price action ndio kila kitu kwenye forex.
@deuskazimil8721
8 ай бұрын
Hongera kama ni kweli ilakama unadanganya unajidanganya mwenyewe
@Chrisblaze-beats
8 ай бұрын
@@deuskazimil8721 Epuka matapeli mtu anaepata faida forex hawez kuuza mabot au kutaka vidola $50 vya watu au sjui account management. Wanaopata faida wapo kimya wanapiga ela hao mtaji wao ni wewe. Forex ni biashara kama biashara zingine lazima ukubali hasara na faida.
@user-pt3ih2el6y
8 ай бұрын
😂😂
@gabrielmbeye5736
24 күн бұрын
😂😂😂😂@@deuskazimil8721
biashara hii ni ngumu sana ,haina uhalisia,unaweza weka hela yako yote ikapotea,haina tofauti na kamali,tatizo la vijana wakiambiwa kuna mafanikio makubwa wanaamini kama wanavyoamini kuwa unaweza kupata mafanikio kwa kubet..,hawa wote wanaopromote ukipoteza wao wanagawio lao ndo maana muda wote wanashawishi watu kujiunga..,
@ezraezyofx
8 ай бұрын
Sio kwel mkuu fanya research vzur kabla ya kuongea 😅
@joelnoel2016
8 ай бұрын
Says someone with zero Trading knowledge.
@infiniteabundance2024
8 ай бұрын
na hapo una access ya internet unaongea upumbavu hivi...
@m404msigara7
8 ай бұрын
😅😅😅😅😅 unajua nini.. knowledge is power
Huyuuuuuu yupo kwenye hii industry muda mrefu na anacosistency sana mpaka leo kijana wa Tanga huyu kipindi hicho anajiita Chollo001 alwatan😅
Tatizo la awa madogo wanaacha kufanya trading na kunikita kunufaika na vikozi vya kuwafundisha wengine
@martinemhina-ko8gb
Ай бұрын
Huko sahihi kabisa wengi hawapati profit kwenye market wanapata kwa wanaowafundisha
Cyprus 🇨🇾 ✊
Hiii naijua tangu 2016.
Binance wamepigwa faini ya Mabilion. Huwezi kuweka hela kwa mtu usiyemjua wala mkataba. Biashara yoyote ina faida ukiifanya kwa uaminifu. Biashara yoyote ukiweka tamaa utapigwa tuu
Kama jux
Jamaa anajuwa sana hlf hana mbwembwe za mitandao. Anajuwa price action kama kazaliwa nayoo😂. Anapata hizo dili kwasbb ni muaminifu na amenyooka sana huyu dogo. Yupo MTU 1 anamjuwea anasema dogo anapenda kuwekeza kweny ardhi half ni msiri sana😂 unaweza ukakutana nae hlf anakuwa mpole kama hajui kitu
MTFE makes life better😁😁😁, I'll never forget.
@salumucharles9655
6 ай бұрын
Mo dewiji. Bakhresa na hata aliko dangotee Wana fanya forex ndugu.
@amatoris_
5 ай бұрын
Ukiona business inakuambia leta mtu utapata commission % flani .......kimbia kabisa but forex is real ni wewe mwenyewe
Forex sio kwa ajili ya wale wanajii ta Genius but wale waliamua ku dedicate muda wao kujifunza
Ngoja nimfollow mwamba mwenzangu huyoo anatumia jina gani instar
Hello Sky Mambo Vp, Nimependa Sana Interview Yako Na Nasoro Hakika Limekuwa Ya Kuvutia Kwa Kwl Lakini Pande Tuh Kukumbushia Kuwa FOREX SIO MCHEZO NI BIASHARA INAYOJITEGEMEA, Ukisema Ni Mchezo Tunakuwa Unatoa Bado Mwongozo Ambao Sio Sahihi Ndg.
@felisteronesmo3091
8 ай бұрын
Tni mchezo .. maana operator behind it ndowana run soko indirect kupitia policy zao Hali zao za uchumi nk, .. it's something can be played
Forex ni hardwork,jiandae kujifunza hata miaka 3,kabla hujaanza kuona mafanikio
@solomonbuzoya5626
7 ай бұрын
weka miaka 10, 3 haitoshi
Mtaji wa Dola 10 sio tatizo kaka kikubwa risk management ratio akili ndio mtaji
Tuletee matraders wengi zaidi watu wapate kufahamu...i love forex
Huyuuu jamaaa anashambaaaa kubwa handeniiii nilimuona mwaka 2022
@meddy_upette9511
8 ай бұрын
Wanapata hela kwenye fx wanawekeza kwenye maisha yakawaida namaisha yanaendelea
Duh Idea Debata usinikumbushe😂
Sky Hawa wanaojiita forex trader watakuharibia channel Wana wengi matapeli uku Kenya tunawamulika Sanaa wanadanganya kua wanapiga hela ila wanatapeli watu tu .kua makini nao
@paolo4584
8 ай бұрын
Matatizo ya kenya msolve mkiwa kenya.. ya huku mtuachie, scammers are in every walks of life.
@rophusmsinga6749
8 ай бұрын
@@paolo4584 Aya endeleni kuupiga mwingi
Inabidi sky utuwekee kipindi speacial kwa trader wavute kina elikana Clinton wapo wengi
@charlesjohn5792
4 ай бұрын
Sahihi... Hasa BEN
Ausio
Trader kavaa maherenii😢
Ukitaka ufaidike na trading lazima ujikane na ufuate trading inavyoitaji najivunia kujuwa trading kwa mtaji wangu wa usd kwa mwezi sikosi chini ya 50prcnt return
@fpcttz
8 ай бұрын
Mtaji wa USD ndio mtaji wa Tsh ngapi ndugu yangu, mbona unayumba ?
Very interesting... However, I am always trying to think what would be the impact of AI on Forex trading. Would we need to pay for a trainer like Nassor in the future or you just pay for an AI App and let it do everything for you in a more precise manner? Things are moving very fast with technology! Mind the gap!
@diodoruskyomya9328
8 ай бұрын
AI doesn’t deal with forex
@BNT05
8 ай бұрын
@@diodoruskyomya9328 That is as for NOW?!...but who can predict about tomorrow with the pace the technology has set?! Don't delude yourself mate...if it is not there yet, it's around the corner! I hope you read the news around the world from the politicians to the AI gurus about AI and the "fear" it creates!
@BNT05
8 ай бұрын
@@diodoruskyomya9328 Someone is living in a bubble here!...I am not and out here!
@raicharts1222
8 ай бұрын
Can be used period
@arafatibrahim1921
8 ай бұрын
bots zipo mzee
Nilijua hii ni zamu ya Tanzania...hili wimbi la matrader lilianza Afrika kusini likaja kenya sasa Tanzania na hatuna bodi ya regulate forex....wanasaidiwa na platform kubwa,,mtapigwaaaa
Naipata vp no yake
Embu tuweni serious..Hawa Jamaa wanakujaga kuzungumzia Forex trading ni choka mbaya tuu kama mie..hakuna kupiga hela hapa zaidi ya kupigwa hela..wanatakiwa wajikomboe wenyewe kwanza Ndo waje kwa watu. Yaani unamwangali mtu alivyo na anachosema ni Kama unataka kwenda kigoma lakini upo kwenye treni ya kwenda Mara.
@user-lt3iz5kb8v
8 ай бұрын
Kama huna skills utapigwa tuu...watanzania wanataka hela za haraka ila kusoma hawataki. Soma sana utapata tuu hela...hela ipoooo...😂😂😂😂
@Theson-eh3ms
7 ай бұрын
Kama hauko inspired usiwavunje wenzio moyo
@pheninhojr5875
2 ай бұрын
Wamesoma wengi na wapo bench wanasubil sub kama guede bro usikate tamaa ingali bado upo hai na elimu c kila kitu@@user-lt3iz5kb8v
Mzee fafanua vizur nn maana ya forex 😂forex is more than buying and selling currencies😂
Mbona kagoma kusema kiasi kikubwa Cha fedha alicho wahi kuingiza ..
@inesstibenda2832
4 ай бұрын
Ili ukamkabe? Jua forex hela ipo,cha msingi ni kupambana. Kuna watu wanapiga mpk dola 1000 kwa cku
Ingizo jipya La Upigaji si ndio kutoka franco kaja yeye😅sio
Forex Inahitaji patient kubwa sana kinyume na Mungu alivyotuumba wanadamu Ushauri wangu Fanya biashara zingine na utafuraia sana maisha lkn si forex ni mateso ya hali ya juu sana
@johnsonjoshua6707
8 ай бұрын
Maneno ya aliyeshindwa na kukata tamaa...usiwambukize wenzako ujinga
@kelvinnyonyi9082
8 ай бұрын
Umekata tamaa ww, jifunze unapokosea utanikumbuka
@Pips_Lab-v2f
8 ай бұрын
Usipotoshe watu sema mim nimeshindwa siiwez😅😅
@learnforex127
7 ай бұрын
Mbona mimi nafanya
@heriethmsambili5711
2 ай бұрын
😂😂😂😂yaani mwamba yuko chali taabani anapumlia mpira amekula za uso sana
Kama unahitaji mtu akufundishe ndio utengeneze pesa acha haikufai hiyo trade
@athanasmasmami5389
Ай бұрын
😂😂😂
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Price action ndo unatumia kwel unasafari ndefu ndogo
@inesstibenda2832
4 ай бұрын
Price action ni how the price is moving katika soko,so kila strategy ni lazima utaitumia. Watu wengi wanajua price action ni trendline pamoja na support and resistance. Huyu jamaa yuko vizuri nimemfatilia,hayuko shallow.
Huwa najiuliza Kwa nn mafunzo Yao wanatoza Hela nying kama kwel wanapiga pesa kweny forex
@lee_marley5050
7 ай бұрын
Kwasabab watu wanahitaji kusaidiwa kufundishwa na mtu hawezi kutoa mda wake bure. Kingine ni kama side hustle, unahisi kwanini matajiri wana biashara mbalimbali? Kwann asiridhike na chanzo kimoja cha mapato. Mfano azam kwann asitulie kwenye vyakula ? Ana diversify
@heriethmsambili5711
2 ай бұрын
Wenyewe pia wametumia nguvu nyingi sana ikiwa ni pamoja na Akili kubwa sana,Pesa nyingi sana na Muda mwingi sana mpaka kufika hapo alipo
Ebu naomb siku moja umulete Sirjef Denis
@mginatv.
6 ай бұрын
Nenda ITV ...katafute video KZread ... Inahusu Masoko ya Kifedha ya Dunia. Utamuona sirjeff aliitwa huko
@mginatv.
6 ай бұрын
Ingia account ya ITV .humu humu KZread
Hii ni kwa Watanzania wote hiyo mchezo ni wizi tu hamna kitu eti mafanikio hapo
@JingiClassic
5 ай бұрын
Wewe umejuaje kama niwizi usishutumu kitu usichokijua uliza ufundishe siokukatisha wenzako tamaa kama hutaki kujifunza siunaacha acha wajifunze wanaotaka
@sns wewe ni trader wa chinichini🙂😂
😂😂😂😂😂jichanganyeee
hujawahi kukosea kaka bigger up
Kenya watu wanalizwa sana in the name of Forex trading 😂😂
@victormwita5943
8 ай бұрын
Kafuri FX Sijui Kenyan prince Sijui thee pluto Sijui Nani na Nani ma scammers 😂😂😂
@omarsirleem7105
8 ай бұрын
😂😂 Kafuri ni legit ww uyo ata ni arif wangu
Wa Nigeria wengi wamefanikiwa kwenye forex kwasababu ya juju
@meddy_upette9511
8 ай бұрын
Kwaio wanairoga forex ili wapate pesa
@Nestob
8 ай бұрын
scammers...wanauuza lifestyle
Ma broker wengi ni matapeli
@tumlakimwaitumule
8 ай бұрын
Kama broker gani
@paulntalima6998
8 ай бұрын
@@tumlakimwaitumulederiv
@NassorMasoud-le1jt
8 ай бұрын
@@tumlakimwaitumulewala hajui hawa ndo watu wanao lishwa matango pori…
@meddy_upette9511
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂 we jamaa bwana
@afromixstudios
8 ай бұрын
Exness
Mi nauliza; hivi kwanini mnataka kulipwa pesa wkt ukiangalia maelezo yenu ni kwamba mnapiga pesa nyingi sana! Hii ya kwamba mtu alipie kujifunza inakuwaje hii!?
@saidmalik6714
8 ай бұрын
No free lunch in economy Hakuna kitu Cha bure duniani
@seifseni5050
7 ай бұрын
Ww ungeweza kufundisha bure?
Mwamba anavaa helen daah😢😢
@kulwamafuluka9122
8 ай бұрын
😂😂😂
Jamaa linajua kuchez na akili za watu hili😂😂😂
Uyu mwana aliiiba hela zangu na kusepa
@lowbudgetcreation.
8 ай бұрын
Njoo whatsapp kaka nkusaidie namjua uyu
@hanschid941
8 ай бұрын
Ni kweli au nawewe unaleta unafiki2
2pe link ya group la wasap nasoro