NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA KATIBA NA SHERIA AFUNGUA JENGO JIPYA LA OFISI YA TAIFA YA MASHTAKA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatibu Kazungu leo tarehe 16 Machi, 2024 amefungua jengo jipya la Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Mkoani Shinyanga lililopo katika eneo la Uzunguni.
Akizungumza katika ufunguzi huo Naibu Katibu Mkuu amewataka watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka kuimairisha na kuboresha utendaji kazi kutokana na Serikali kuboresha mazingira ya kufanyia kazi kwa kujenga majengo ya kisasa ili waweze kutoa huduma bora za kimashtaka kwa wananchi.

Пікірлер

    Келесі