Kazi iendelee Kenya, let the work continue Kenya !!!
@sheehamadnganzi8317Ай бұрын
Staree mnapenda na hantaki kufanya kazi
@UB40X1Ай бұрын
Waislamu tizameni madhambi yenu. Mumeshughulishwa na siasa na maneno ya kipuuzi tulekeeni kwa Allah.
@babuuosama8752
Ай бұрын
Wewe Kenya bila pwani sio Kenya MUKOKO kuleni wenyewe POMBE ni Sumu MUKOKO ni Sumu Ruto apatie Wafanya biashara wa POMBE million 500 pia wao
@sheehamadnganzi8317Ай бұрын
Siuama umelazimishwa na nanini kuishi
@halimamfaume1925Ай бұрын
Ni kweli Ruto nchi imemshinda
@dxbnc1328Ай бұрын
Ruto mshenzi mshenzi sana walahi na sisi waislmu kila mskiti pangeni mumswalie rakaa tein bwana mola harudishi dua ya watu wenyekudhulumiwa atamtekua 😢
@sheehamadnganzi8317Ай бұрын
Baa zinauza pombe na pia ni haraa hamtaki kusema hilo
@eshasaid3258Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@sheehamadnganzi8317Ай бұрын
Wanafiki wakubwa nyinyi,misikiti imezunguukwa na vilabu vya pombe hamsemi,wallahi thuma wallahi tuacheni kupewa bahasha na kufumbia macho maovu mengini,huu niunafiki
@abdulhajiahmed8735
Ай бұрын
Mbona unasema ndugu zako WAISLAM wanafiki ??? It's time for forgiveness maisha ni journey
@sheehamadnganzi8317
Ай бұрын
@@abdulhajiahmed8735 niwanafiki sana uislamu hauna haram nzuri,eti miraa iletwe mugokaa husiletwe,pombe ziuze mugokaa marufuku, vyote ni haram na hawataki kuviongelea wanafiki
@dxbnc1328Ай бұрын
Hasbuna Allah ruto
@abdulhakimhasan7673Ай бұрын
Abu shuraim , yaonekana kutoa maoni hapa ni shida na dhiki , hamna ukweli.
@khairatkheir7776Ай бұрын
Kuhusu mugokaa sisi tusipoununua hata ukiletwa utaharibika,kwahio Cha msingi tuelimishe vijana wetu wasile kabsaa
@sarahmuhammed6872
Ай бұрын
KabisaA
@sarahmuhammed6872Ай бұрын
Hasa WAMAMA wa KISWAHILi,huwapa mpaka watoto.wao pesa wakanunuwe,toto miaka 30ja waombwa ppesa kakua hana kaxi nawajua kabisa kia mwanao yuwatafuna MUNGOKAa,na stil.wamppa
@almeidhalu3238Ай бұрын
Wacha bili ipite wanafik nyie walalamika sasa na pesa mlishakula matokeo ya kuuza nchi ndo haya
@abdulhakimhasan7673Ай бұрын
Nchi zote gharama ya maisha imepanda na kuleta masumbufu.
@Khalid-mf3iu
Ай бұрын
Wamaanisha ni tukubali tu kupandikiziwa ushuru?
@bahsansheikh6042
Ай бұрын
@khalid afadhali umuulize
@abdulhakimhasan7673
Ай бұрын
@@bahsansheikh6042Nchi nne za magharibi ya africa walio chochea kupindua serekali zao , na kuchukuliwa na wanajeshi , wanajuta kikweli.
@ThabitsalimKhamis
Ай бұрын
Nikweli nchi zote but wenzetu wapata huduma. Sisi twapata?
@abdulhakimhasan7673
Ай бұрын
@@bahsansheikh6042Nchi nne za magharibi ya africa walio chochea kupindua serekali zao na kuchukuliwa na wanajeshi , sasa wanajuta kikweli.
Пікірлер: 27
Kazi iendelee Kenya, let the work continue Kenya !!!
Staree mnapenda na hantaki kufanya kazi
Waislamu tizameni madhambi yenu. Mumeshughulishwa na siasa na maneno ya kipuuzi tulekeeni kwa Allah.
@babuuosama8752
Ай бұрын
Wewe Kenya bila pwani sio Kenya MUKOKO kuleni wenyewe POMBE ni Sumu MUKOKO ni Sumu Ruto apatie Wafanya biashara wa POMBE million 500 pia wao
Siuama umelazimishwa na nanini kuishi
Ni kweli Ruto nchi imemshinda
Ruto mshenzi mshenzi sana walahi na sisi waislmu kila mskiti pangeni mumswalie rakaa tein bwana mola harudishi dua ya watu wenyekudhulumiwa atamtekua 😢
Baa zinauza pombe na pia ni haraa hamtaki kusema hilo
😂😂😂😂😂😂
Wanafiki wakubwa nyinyi,misikiti imezunguukwa na vilabu vya pombe hamsemi,wallahi thuma wallahi tuacheni kupewa bahasha na kufumbia macho maovu mengini,huu niunafiki
@abdulhajiahmed8735
Ай бұрын
Mbona unasema ndugu zako WAISLAM wanafiki ??? It's time for forgiveness maisha ni journey
@sheehamadnganzi8317
Ай бұрын
@@abdulhajiahmed8735 niwanafiki sana uislamu hauna haram nzuri,eti miraa iletwe mugokaa husiletwe,pombe ziuze mugokaa marufuku, vyote ni haram na hawataki kuviongelea wanafiki
Hasbuna Allah ruto
Abu shuraim , yaonekana kutoa maoni hapa ni shida na dhiki , hamna ukweli.
Kuhusu mugokaa sisi tusipoununua hata ukiletwa utaharibika,kwahio Cha msingi tuelimishe vijana wetu wasile kabsaa
@sarahmuhammed6872
Ай бұрын
KabisaA
Hasa WAMAMA wa KISWAHILi,huwapa mpaka watoto.wao pesa wakanunuwe,toto miaka 30ja waombwa ppesa kakua hana kaxi nawajua kabisa kia mwanao yuwatafuna MUNGOKAa,na stil.wamppa
Wacha bili ipite wanafik nyie walalamika sasa na pesa mlishakula matokeo ya kuuza nchi ndo haya
Nchi zote gharama ya maisha imepanda na kuleta masumbufu.
@Khalid-mf3iu
Ай бұрын
Wamaanisha ni tukubali tu kupandikiziwa ushuru?
@bahsansheikh6042
Ай бұрын
@khalid afadhali umuulize
@abdulhakimhasan7673
Ай бұрын
@@bahsansheikh6042Nchi nne za magharibi ya africa walio chochea kupindua serekali zao , na kuchukuliwa na wanajeshi , wanajuta kikweli.
@ThabitsalimKhamis
Ай бұрын
Nikweli nchi zote but wenzetu wapata huduma. Sisi twapata?
@abdulhakimhasan7673
Ай бұрын
@@bahsansheikh6042Nchi nne za magharibi ya africa walio chochea kupindua serekali zao na kuchukuliwa na wanajeshi , sasa wanajuta kikweli.