NAFASI NYINGINE Joel Lwaga Ft Roc Worshipperz
Umeniita mwana
Niliyekuwa mtumwa
Umenisimamisha katika wingi wa neema
Na umeniketisha mahali pa juu sana
Ninaucheka wakati uliopita
Nikiufurahia ule ujao
Ninaucheka wakati uliopita
Nikiufurahia ule ujao
Maana umenipa
Nafasi nyingine
Umenipenda tena bila kukoma
Nafasi nyingine
Neema yako imeniinua tenah
Nafasi nyingine
Umenipa tena bila kuchoka
Nafasi nyingine
Mungu wa neema (wa neema)
Ahaaaaa.
Wa neema(uuuuh wa neema)
Aaaaah
Wa neema(wa neema)
Aaaah
Wa neema (wa neema)
Aaaaah
Madaktari walisema sitapona tena
Walimu walisema nitafeli
Ndugu na jamaa walisema nimeshindikana
Na kumbe wewe waniwazia mema
Umri uliposogea walisema ndoa sio fungu langu
Nilipofiwa na mpendwa Yule walisema sitaweza tenah
Baada tu ya kufilisika sikumwona wa kuniombea
Na kumbe ndani yao walifurahia niliyopitia
Ninaucheka wakati uliopita
Nikiufurahia ule ujao
Ninaucheka wakati uliopita
Nikiufurahia ule ujao
Maana umenipa
Nafasi nyingine
Umenipenda tenah bila kukoma
Nafasi nyingine
Neema yako imeniinua tenah
Nafasi nyingine
Umenipa tenah bila kuchoka
Nafasi nyingine
Mungu wa neema (Wa neema)
Ahhaaa
Wa neema (Wa neema)
Ahaaaa.
Wa neema (Wa neema)
Ahhaaa (Heeeeyy)
Maana umenipa
Nafasi nyingine (Heeeey)
Kweli umenipa
Nafasi nyingine (Mimi nisiyestahili)
Umenipa
Nafasi nyingine (Heeeey)
Bwana umenipa
Nafasi nyingine
Mungu wa neema (Wa neema)
Aaahh... (Aaahh)
Wa neema (Heeeey Wa neema)
Aaahh (Nashukuru Asante)
Neema (Wa neema)
Aaaah.
Wa neema
#Nafasinyingine #Joellwaga #Rocworshippers
Пікірлер: 80
Walisema nitafel,walisema ctaweza tena now amfly like eagle hii ndo maana halis ya another chance,thx Lord 4everthng😇🙏🙏🙏🙏🙏
Asante roho mtakatifu kwakuniweka nafasi nyingine
Asant MUNGU Kwa nafasi nyngne🙏😇asante Kwa Kila kitu kwenye maisha yanguu🙏🙏🙏🙏🙏
It's 13th April..2024.. nafasi nyimgine❤❤...in deed God is faithful
Mungu wa neema💯❤️
God of second third forth and countless times
He's one the african finest gospel singer to be proud of' #joel Lwaga
Mungu wa Neema ndiye Mungu wangu
God thank you for keeping me during the day until now it's evening. Glory be yours
Huna nyimbo nyingine ulizorecord live mkuu hili song limekaa safi sana asee
Wapiga vyombo saf sana
Never gets old, God of a second chance
Ninaucheka wakati uliopita nikuufuraia ule ujao I love this song
Hyo ni zaid ya real music dah so great vibes and Glory Kwa sisi maproducer tunajua huu ndo mziki halisi Big up #joellwaga
Wow what a nice song,, nafasi nyingine ya kuskiza wimbo mzuri🎶🙏💞
@Harryfavour5142
2 жыл бұрын
Hallelujah, these song describes my whole life,Thankyou Lord for using your servant. Am rejuvenating a new hope.God bles the team.
Thank u Lord for giving us another chance in this life
Kaka kaz yako ninjema xaan😢😢
The drummer is always at the top...he enjoys
Awesome song 🙌🙌 Nafasi nyingine,Mungu wa neema!
Joe,God blessings be with my brother,All the way from County of Dublin
Wow!!! His voice waaa na hizo ma moves I love u guys so powerful be blessed
What if a a reggae cover of this song comes through?? Imagine it
@mbanzamwalyo1682
2 жыл бұрын
Tune Dem band
I love this song so so much it has been a blessing to me
Lite the instrument are ❤️❤️
Huyo ndio Mungu wa neema yupo mtu amepewa nafs nyngine tena. Am so blessed
@chaekajohnson8954
3 жыл бұрын
Gonga like z kutoshaaa watu w mungu
Ohh woooow nice song
God bless you minister,I love your songs
The band ongera sana, to Mr Joel lwaga naipenda sana kazi yako
The music is just amazing as the singer himself 👏🏼🙌🏽
Oh God 🙌🙌🙌🙌can't get enough of this
@breezy9398
3 жыл бұрын
Nyako msawa😻
Kazi safi wakuu wa MUNGU
@arupharomeo3188
3 жыл бұрын
Good good jamaa anajua
I can myself into this song 🎶
My Every days blessings....May Good God bless you my brother...
Waoooh that keyboard tone is amazing
AMEEN
Let's pray for those who down thumped this song
Mbarikiwe sana 🙏
Amazing, wonderful worship to our God .
God bless you all 🙌💕💕💕💕🇨🇩
nice
Wow amzing
Sir record this audio please it's uplifting .GOD bless you abundantly sir
9k LLP
Beautiful song
Ameen
Amazing🥰🥰🥰🥰🥰
This is so amazing........ I love it
Nafasinyingine tena
Uplifting 🙏
Nice song
God bless you 👊
You guys nailed it 👏
Nafasi nyingine
Awesome
Nakukubl San broo
Nice and powerful song
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@victormaina6407
3 жыл бұрын
Very powerful
God bless you brother,
Great work
😻😻😻😻
♥️♥️♥️♥️♥️♥️
𝖆𝖜𝖊𝖘𝖔𝖒𝖊 𝖘𝖔𝖓𝖌🇰🇪🇰🇪
Big up
Music sounds 🔥🔥🔥
Nimebarikiwa an
Ni poa
Nice
Fundiiiiiiii
I love the song,I love Joel Lwanga but,,,am not comfortable with the lady's huko nyuma 😌😌😌. Am not judging but.....the dance n dress up don't match the song,it's seculaish. Anyway great job bro.
I'm looking forward to Lwaga's live recorded album
What is the name of the lead solo guitar
l
Great work
🔥🔥🔥🔥🔥🔥