NAENDEA MSALABA BY DANIEL SIFUNA TENZI ZA ROHONI No.57. swahili gospel songs 2024 Luyah beat.
1. Naendea msalaba,
Ni mnyonge, mpofu,
Yapitayo naacha
nipone msalabani.
×2
2. Nakutumaini tu,
Ewee Mwana wa Mungu;
Nainamia kwako;
Niponye mponya wangu.
×2
3. Nakulilia sana:
Nalemewa na dhambi;
Pole Yesu asema:
“Nitazifuta zote.”
×2
4. Natoa vyote kwako,
nafasi nazo nguvu,
Roho yangu na mwili
viwe vyako milele
.×2
5. Kwa damu yake sasa
Nimegeuka roho,
nikaziacha tama,
nimfuate Yesu tu.
×2
6.Yesu yuaja tena,
nimepevuka kwake,
kila chembe kamili,
Msifuni yeye mponya.
×2
Пікірлер: 81
Always number 1 ,naendea msalaba huu mzingo wa dhambi umekuwa mzito kwangu eeeeeh Bwana nirehemu na unisafiche na damu yako takatifu 🙏🙏
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen amen. God bless you Rosy
@alicemasaki8465
3 ай бұрын
Nice song you got Amen God bless you
@user-pb3mq4cw6l
2 ай бұрын
😂😂😂
Kweli nakutumaini wewe tu mwana WA mungu niponye mponya wangu🙌🙌🙏🙏
Amina
Nimependa huu wimbo sana naskiza kila siku,barikiwa sana bro🙏🙏🙏🙏💯💯💯💯💯🧎🧎🧎🧎🧎
Wow, Hallelujah, listening from Uganda here but feeling the grace of God seriously in this song.
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen amen amen. God bless you soo much
wimbo wa kujenga roho,Barikiwa sana mtumishi
Hallelujah . Thank you Jesus
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen
Halleluyah, Asante kwa wimbo nzuri imenikuza sana 🙏🙏
Hallelujah naendea msalaba is touching me
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen amen
Mungu wetu ni mponya wa rohi na ata mwili ubarikiwe sana brother
@danielsifuna7377
2 ай бұрын
Aaaamen amen
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Pia nami naendea msalaba,asante Kwa umbali umenitoa na jikabidhi kwako,thanks for the great songs
Shalom shalom
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen
Amen and amen 🙏 🙌 👏
utukufu na heshjma ni sa bwana
Hallelujah
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen ❤❤🙏
Very powerful, only blessings for you, Amen 🙏
Amina huwa nabarikiwa sana
Halleluyaaa❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen
Kweli mimi sikitu nanakimbilia kwa msalamba tu brother thank you so much for that song
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen amen
@user-si3uf2hw7o
3 ай бұрын
Tunakutaji sana hivyo hivyo 🎉
Natamani nifike hicho kiwango pray for me pro
Mungu akulinde baba
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen❤❤❤❤
Good songs
Amen
Hallelujah 🙏🙏
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen
Amen🙏🙏
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen
Hallelujah hallelujah 🙏🙏🙏
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen
Keep serving the Lord
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Aaaaamen
Niponye mponya wangu.so nice 🎉i am moving on with God with your lovely voice ❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen amen❤❤❤❤❤❤
Amazing always thank you 🙏
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Aaaamen
Amen 🙏🙏🙏
Hallelujah 🎉🙏🙏
I believe you will never deasarpot me❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏❤
Amen mbona nasikia kulemewa mim😢😢
Very good morning 🙏
Naendea Msalaba.
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen amen❤❤❤❤❤
God bless my brother, listening from nairobi
Amen😰😭😭🙏🙏🙏
@user-wp7fn7yg1l
3 ай бұрын
😭😭😭😭😰😰Amen
Hallelujah hallelujah🧘♂️🧘♂️🙇♀️🙇♀️kweli nimelemewa na dhambi yesu wangu niponye🧘♂️🧘♂️napenda sana nyimbo zako zinanifariji 🙌🙌🙌Mungu akubariki zaidi 🙏🙏🙏
You are truly a man of God.be blessed
@danielsifuna7377
2 ай бұрын
Amen amen amen
Your songs are so blessing barikiwa sana mtumishi. Naendea msalaba ya dunia siyawezi Yesu wangu Amen Amen Amen 🙌
Very great song❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen❤❤❤
@Ontitadeuk
3 ай бұрын
@@danielsifuna7377 will you one day unikubalie tuimbe na wewe? I want to feel the blessing
Kwa Imani tukiufwata musalaba wa yesu tuko salama siku zote
Your new subscriber here; barikiwa🙏sana kwa nyimbo nzuri ambayo yanasafisha mioyo yetu 🙏🤲
Naendea msalaba mungu tu atuongoze katika kila jambo
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen
Huu wimbo imenikuza san barikiwa zaidi mtumishi wa Mungu
@danielsifuna7377
2 ай бұрын
Amen amen Faith
Nani amesikiza huu wimbo ila hachoki nayo
Be blessed for the new song 🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭
Huwa nabarikiwa sana na nyimbo zako my brother imejaa na upako mwingi 🙏🙏🙏🙌
My favorite song all time
Amen
Hallelujah
Amen
@danielsifuna7377
2 ай бұрын
Amen amen