NACHA - Mdahalo (Official Music Video)
Музыка
#MDAHALO #NACHA #NGOMMATZ
An East African Talented Rapper NACHA,Come Up With His Music Video "MDAHALO" Video Was Shot & Directed By Vipper ™Multi Motion Films Works in MWANZA TANZANIA, Audio Track Produced By Bear Beats Kiri Records Studios in DAR_ES_SALAAM TANZANIA.
Watch More Videos
Hadithi▪ • Nacha - Hadithi (offic...
Aah Wapi▪ • Nacha - Aah Wapi [Offi...
Mnachanganya▪ • Nacha - Mnachanganya (...
Subiri Kwanza▪ • NACHA x STAMINA - SUBI...
Boss Mpya▪ • Nacha Ft Gnako // Boss...
Mnawashwa▪ • Nacha MNAWASHWA Offici...
Follow Nacha on socials :
/ nacha_ousam
/ nacha_ousam
For Booking Contact: nachaousam17@gmail.com
Пікірлер: 925
Ubunifu wa huyu Jamaa ni Wa sayari ya mbali sana,,,,,,,Your the best Nacha ever seen before ngoma anasikiliza ata mtoto aliyezaliwa Leo,,,OG%%%%%
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
@ngalambemzulu3062
4 жыл бұрын
After professa Jay the next one is Nacha Fanya kama Unagombea Jimbo sisi jimbo la Kiwalani bombom umepita bila pingamizi
Leo ndio nimehamia kwa nacha mazima naomba like zangu usajili mpya
Mdogo wake Roma mkatoliki Anatembea kwenye Nyao za brother Ake Anajuwa sanaaa,
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
@mosamossile9113
4 жыл бұрын
@@Nacha_ousam Wew Mwanzo tyu unaingia kwa Game nilishaona Mistar yako, Kama mtu ubongo wake Unaitirafu awezi Elewa nini unazungumza big up sana, Mosa mossile from +27 S.A
@aloyceenhardnombo7604
3 жыл бұрын
Ni mdogo wake real
Ubunifu wakugusa kila nyanja siasa, Jamii na uchumu. Kwa mashairi mnastahili pongezi👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
@shabanmnyama2567
4 жыл бұрын
Mmetisha sana
fundi wa muziki kama unakubal gonga like
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
@ismailibrahim9723
3 жыл бұрын
Nakubar san nacha
@sammyhenry1356
Жыл бұрын
Nacha hii pia zaidi
Another R.O.M.A, maudhui ya kijamii zaidi. Hiphop ni sauti ya mtaani
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Vipper Vipper Vipper nimekuita Mara 3 narudia tena Vipper popote ulipo wewe ni MTU mbayaaaaa daaaaaa Best video Director kutoka Rockcity Nacha kaumiza sana Director Vipper kaua yaani daaaaaa
Its sound good "Wamemchokoza Bear 🐻" Shusha like sasa kama mvua
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
👊
Sema jamaa anakosa kupewa airtime tu kwenye media ila anajua sana style yake ya kipekee mnoo creativity kubwa sana 🔥🔥🔥
@clintonbleya1634
4 жыл бұрын
Tatiizo Bongo wivuu mnoo
@chrisskibaking8184
4 жыл бұрын
@Matata Hamza sijui watz tunakwama wapi aisee angalia singeli ya harmonize itapewa promo wakati ya kawaida sana
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
👊
@SadikiSinkala-zi3ln
Жыл бұрын
@@Nacha_ousam kaka
@emmanuelkaka6643
11 ай бұрын
@@Nacha_ousamupo vizuri sana ndugu🔥🔥🔥
Hatari sanaaaaaaaa sina lakuongezea Nyasubi texas mmeua balaa Nacha mdogo wngu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Ubunifu wa hali ya juu !!! Hapa Kenya ninaupenda sana wimbo huu !!! Kongole Nacha.
Hom boy mwenye skills zake be blessed blood👊
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Mtoto wa Nyasubi Pastor TD nimeona kazi njema dogo Amen
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Tuliosikiliza zaidi ya mara moja nyoosha kidole juu
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
@lophecamwamkinga3521
Жыл бұрын
👆
nancha yupo mmoja tu dunia nzima gonga like twende pamoja kama team nacha
Nimependa hapo , ... Hivi walimu na madokta nani mshahara waongezewe " bora wali ila madokta nao wenyewe"
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
We Jamaa noma sana ngoma zako haziishi hamu, ila Hauna bahati ila time itafika na watu watakuelewa maze, Big up kwako
Wejamaa unanifurahishaga sna na creative zako be blessed bro #Nacha
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Nacha bosi mpya..nacha subiri kwanza ujipange..nacha hadithi hadithi..nacha mdahalo ww jamaa noma sana yani izo ngoma zote kali halafu vilevile unasaut ya rap kabisa
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊✊✊
Mnyamaa nakukubal sana usingekuwepo hii dunia ingekuwa ya kibwege sana Kama unamkubal nacha like hapo
Nimejifunza mengi sana hapa... May God Bless your ways brother...
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
It is time to support such mature lines.... Representing caoital of Africa, Kenya254
Gud kk nacha kaza kama namuona#mkatoliki kwa mbaliii📢📢
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊✊✊
Daaah huyuuu mwamba anajuwa sana Bonge la mbunifuuuuu kwambali namwona #Manengooooo
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊✊
More creative Bro... Your talent is immeasurable keep on you have big potential use it up it will pay much that's we call innovation broo yaani hata asiwaze ya stamina umeikaba koo
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
@bryce4234
Жыл бұрын
Swa swa
@bryce4234
Жыл бұрын
Ygdndd
Umepangilia vizuri sana
Nimerud tena kusikiliza mdahalo kwann tusisapot good music .Nacha you deserve
Duuuh umetisha San #nacha
Pure talented huyu jamaa and charismatic fella big up asee
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
Asante Sana ✊
nyasubiiiii on their map🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
@omaryiddy7178
4 жыл бұрын
Iko wap
Hadi rahaaa yani mashairi na #bear kweny mashine bonge la biti
Huu wimbo na wa leo #barua ,grow up , kat ya track zakoo bas hiz kwangu ni the Beeeeeest , mbal na nyingne nyingii
More than what we call innovation and creative ,
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Haya madude kila unalotoa moto sana
Dah nacha uko sawa kinoma ebu mwambie huyo jamaa akuongezee kahawa moja nakuja kulipa
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
🤝
Wewee fundiii narudia tena @NACHA fundiii 🔥 🔥
Nimeshindwa cha kuandika ngoma imesisimamia kucha sio vidole
This man is going places...🔥🔥🔥🔥
Unacho kifanya bro it's another level
upo vzr brooo 👍👍👍
Nipe Like yangu hapa kama una mkubali nacha
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
@piussimpleritius155
4 жыл бұрын
Nishidah
@gustkallydejohn7186
3 жыл бұрын
Umefanya poa xana toa goma jingine ka hilo
@totookai968
3 жыл бұрын
Eeee3eeeeeeee
Hii creativity ni kubwa sanaa-sjui nan aone na afanye kitu kwa NACHA ..wakubwa tafadhalini !!
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
👊
Nakukubali sana Nacha hujawahi kutuangusha sisi shabiki zako
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
👊
Ahhh na Cha brother wew ni jamaa una Tisha sana kwenye game
wanao pewaga promo hata robo hawakufikiii ss kwnn tusikupe promo mashabiki...umetishaaaa
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊✊✊
Nomaaa sanaaa🔥🔥🔥🔥🤙
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Nyasubi,, Nyasubi,, Nyasubi Nenda bro ww ni mteule💣💥💥🎤🎤🎤
Nacha Mie Shabiki Yako Bro We Jamaa Unajua Sanaaaa
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Umetisha Sana ngoma nikali Sana 💯💯💪🏻💪🏻
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
This is best song I have enjoyed listening and watching. From 254 ,Nacha you are so talented.
Kwel bro nacha umetixha
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊✊
Ngoma Kali sanaaaaaaaaa
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Uyu mwenzake na roma kabisa gongalike kama unakubali
Sulut bro kwa hi ngoma
Noma sana bro nacha
HUWA KILA NGOMA UNAKUJA TOFAUTI KABISA MIMI NAAMN KUNA SIKU WATAKUELEWA KUWA HUKUWA WAKAWAIDA KAMA WALIVYOZOEAA KEEP IT UP
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
jamaa anajua ahsante roma kunileta huku
Duuh nacha nakukubali
huwa naumia sana kuona kijana Kama huyu hapati nafsi kabisa ya kusikilizwa maredio daaah too sad ila nacha trust my words ur the best ever seen in Tanzania. Ur have something very unique keep it up... Ipo siku tu........
Hii sasa ndio hip hop. Sio matusi Kama umekubali gonga like
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊✊
Nacha, Nyasubi ndani ya mbanyu🔥🔥🔥
Nakubali sana mzee... Kitu kikali sana mpangilio makini
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊✊✊
Nacha...nyasubi ninja..unajua mzee baba..bonge la idea
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Dope sana🔥🔥🔥
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Daaah acha kabisa yani Ok sawa kwa unaye penda PITIA HAPA KUONA UBUNIFU WA MAPAMBO YA NDANI kwenye bofya kapicha kushoto kisha SUBSCRIBE channel hii
Nice sanaa home boy nacha ngoma kali sanaa
D country nacha unatisha mister
Yeeh baba linimtafuzu kombe ka dunia🤭🤭🤭hata kocha angekuwa morinyooo😁😁😁😁
BEAR ANAJUA SANA BUT BEAT ZAKE KAMA ZINAFANANA NGOMA NI KALI ILA HII NGOMA ALIPASWA IPIGWE NA #ROSTAM
@kabatelletv4157
4 жыл бұрын
hapana kiongozii..si kila #rostam tu..jamaa kajitahid sana
Nacha noma sana
dah,,,ina umiza sana mziki mzuri mashairi yenye mvuto lakini bado like azitoshi jamani
Love from Sweden bro you did
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
👊
WANAOAMINI NACHA AMEFUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE BASI TUJUANE HAPA HAIWEZEKANI AGUSE GUSE ASIISEME SERIKALI YETU MAKOSA YAKE
@matananakid5040
4 жыл бұрын
Mbn kasemaaa
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
👊
Dah bro wewe nomaa sanaaa
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
👊
Creative sana huyu jamaa
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊✊
Budaaaa i real like your content
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Aa eeeh! Fundi nacha nakbl sana nyasubi ndo nimbanyu
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
👊
UMETISHA SANA NDANI YA MBANYUUUUUUUUU YANI UMEKALISHA KIJIJI
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Mawazo kuntu namuelewa sana nacha
Gonga like zako hapa kama unamuelewa nacha
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
👊
@ridhiwaniiddy2439
4 жыл бұрын
Nakubaliana Na Ww Duke
_mnao mkubali dogo tupia like kwanza ndio tuwende sawa_
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
@kingfocustzog
4 жыл бұрын
@@Nacha_ousam _mwanangu piga ngoma kama hizi kila ngoma yako unayo toa uwa ni kali mkuu piga kaz mana siku hizi mziki ni kazi_
Bonge la ubunifu aiseee...superdupa!
No comment unajua sana broo idea zako MTU huwez kuzan kabisa uandishi Wa kiwango cha rami
Kuna wengi watakosa lizik jamn
Aliyevaa jezi ya Yanga mbona kama ni MANENGO? AU wazee hamjaliona hilo kweny Draft hapo?
@juniormchaga1657
4 жыл бұрын
Bando mc
@jerrycharz25
4 жыл бұрын
Mo Baisa niyeye
@saidsuleiman8647
4 жыл бұрын
Yaap manengo mzeee...
Sema we jamaa unajua sana tena snaaaa
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
Asante Sana
Sautu kwako kaka nacha mm nimsani wakahama bado naombeni sapoti kwenu kaka zagu
Tatizo wanaponzwa na chipss😄😄😄😂😂🏃🏃
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Nyasubiiii tenaaa 🔥🔥nakubaliii mkuu....
Nacha Mwanangu Fanya Ngoma na Roma Mzee Itakuwa moto sanaa
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊✊
love nyasuvi mwenyewe umeuwa sana love your uniq style
Uyuu jamaa anaandika sana
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
👊
Wekeni like za #Nacha apa
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
✊
Ahahahah et nchi ishauzwa nipen mm nika lewe🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪
Very creative nimependa idea
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
🤝🤝
Nakubarii kaka Kama umeukubalii like hapaa
Wa 2 Leo naomba like mapema
Daah wamemchokoza nachaaa
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
🔕🔕
Huyu jamaa anajua sana100%
Ifike hatua watanzania tupende vitu bora aisee Uteam unatuharibu sana Hii nchi ishauzwa nipeni changu mi nikalewe 😂😂😂😂
@Nacha_ousam
4 жыл бұрын
👊