No video

MZEE WA UPAKO NAYE AJIBU MKRISTO KUOMBEWA NA MUISLAMU NA MUISLAMU KUOMBEWA NA MKRISTO...

MZEE WA UPAKO NAYE AJIBU MKRISTO KUOMBEWA NA MUISLAMU NA MUISLAMU KUOMBEWA NA MKRISTO...
MTUMISHI wa Mungu Anthony Lusekeolo amezungumza na wanahabari Septemba 24, 2022 ambapo ameeleza msimamo wake juu ya suala la tozo huku akigusia mambo mbalimbali yanayoendelea nchini, ukiwemo mgogoro wa Dk Mwaka na Shehe wa Mkoa wa Dar, Alhad Mussa.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 26

  • @agnesmpangile7682
    @agnesmpangile7682 Жыл бұрын

    Amina baba mzee waupako nimekuelewa

  • @kakuutoenterprises1672
    @kakuutoenterprises1672 Жыл бұрын

    He Is one of the Legend

  • @desderymakoi6595
    @desderymakoi6595 Жыл бұрын

    Tuweke Utanzania mbele wala sio udini.Umoja wetu kama Taifa la Tanzania ndio inshu lakini udini sio inshu wala yasipate nafasi

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Жыл бұрын

    Kweli.

  • @nomamatata754
    @nomamatata754 Жыл бұрын

    Huyu nae leo kamsahau magufuli...mnafiki sana ...eti yule!!!

  • @simonmalegesi414

    @simonmalegesi414

    Жыл бұрын

    Umeona ehee

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Жыл бұрын

    Unapotosha watu --- neno LA Mungu limethibitishwa -- linafaa kwa mafundisho na kwa kuwaonya na kuwaadibisha ktk haki -- ni sheria na kanuni inayoweza kuwaongoza watu ktk kila kizazi --- hata Yesu akishuka Leo,ssingebadili chochote -- kwani ni unabii uliokamilika -- Ufu 22: 18 --- 19.

  • @ramadhanikibenga4284
    @ramadhanikibenga4284 Жыл бұрын

    Hakuna kuombeana dua hapa kila mmoja aombe kwa imani yake, acheni ujinga

  • @autodiagnosiccenterzanziba2980
    @autodiagnosiccenterzanziba2980 Жыл бұрын

    Haifai muislam kumyembea dua mkisto na na ukisema tuanglalie mbele andali life after death. Na issa tunaamini kuwa mtume sio mungu.

  • @veronicascottmollel7897

    @veronicascottmollel7897

    Жыл бұрын

    Hata cc wakristo Kristo ni mwana wa MUNGU na sio MUNGU. Jua kutofautisha

  • @frankmushi8892

    @frankmushi8892

    Жыл бұрын

    Nyie wasilamu ni wabinafsi sanaa mnajihisabia haki wakati ndo wazinifu sanaa

  • @ramadhanikibenga4284

    @ramadhanikibenga4284

    Жыл бұрын

    @@frankmushi8892 uliziniwa wewe hata utoe ushahidi ?? Acha uzwazwa wewe

  • @cassimoa9217
    @cassimoa9217 Жыл бұрын

    Suala la Uislamu lipo ktk mazingira yote. Mzee wa Upako , uislamu umekamilika, hivyo basi hata kama angeshuka nani asingebadilisha chcht eti kiende na wakati tulionao. Kila kimeainishwa kutokana na hitaji lako kwa wakati wako. Zungumzia ukristo wenye kubadilika kila wakati

  • @flova7022

    @flova7022

    Жыл бұрын

    Stop once

  • @rithadonatus8110

    @rithadonatus8110

    Жыл бұрын

    Your insane

  • @johnsonkibadeni5053

    @johnsonkibadeni5053

    Жыл бұрын

    Nonsense

  • @rehemarobert516

    @rehemarobert516

    Жыл бұрын

    Fala kweli🤣🤣

  • @ramadhanikibenga4284

    @ramadhanikibenga4284

    Жыл бұрын

    Muislam abakie na uislam wake na mkristo abakie na ukristo wake. Hakuna kuombeana maana imani ni tofauti

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Жыл бұрын

    Mzee wa upako umeeleweka

  • @Zsdaughter
    @Zsdaughter Жыл бұрын

    Uislam uko wazi tu mbona. Suala la kuabudu hauna mbambamba. Quran 2: 256.

  • @elishakinshuli6822
    @elishakinshuli6822 Жыл бұрын

    Aya madudu tu uyujamaa ajuikitu watukama Hawa ndo wametumwa kualibu

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 Жыл бұрын

    We feki leo umjui magufuri eti yule Mimi umenkela na sikusamei.

  • @spabiton7989
    @spabiton7989 Жыл бұрын

    Wewe ni mnafiki huna lolote

  • @barakarobert1029

    @barakarobert1029

    Жыл бұрын

    Kwel aisee huyo mnafiki sna

  • @winnifridaashery8187

    @winnifridaashery8187

    Жыл бұрын

    Unafiki wake uko wapi?Basi wewe utakuwa MNAFIKI zaidi

  • @frankmushi8892

    @frankmushi8892

    Жыл бұрын

    We ndo mnafiki mkubwa tena unaroho mbayaa nyie na malishababuu pumbavu

Келесі