MZEE WA UPAKO NAYE AJIBU MKRISTO KUOMBEWA NA MUISLAMU NA MUISLAMU KUOMBEWA NA MKRISTO...
MZEE WA UPAKO NAYE AJIBU MKRISTO KUOMBEWA NA MUISLAMU NA MUISLAMU KUOMBEWA NA MKRISTO...
MTUMISHI wa Mungu Anthony Lusekeolo amezungumza na wanahabari Septemba 24, 2022 ambapo ameeleza msimamo wake juu ya suala la tozo huku akigusia mambo mbalimbali yanayoendelea nchini, ukiwemo mgogoro wa Dk Mwaka na Shehe wa Mkoa wa Dar, Alhad Mussa.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Пікірлер: 26
Amina baba mzee waupako nimekuelewa
He Is one of the Legend
Tuweke Utanzania mbele wala sio udini.Umoja wetu kama Taifa la Tanzania ndio inshu lakini udini sio inshu wala yasipate nafasi
Kweli.
Huyu nae leo kamsahau magufuli...mnafiki sana ...eti yule!!!
@simonmalegesi414
Жыл бұрын
Umeona ehee
Unapotosha watu --- neno LA Mungu limethibitishwa -- linafaa kwa mafundisho na kwa kuwaonya na kuwaadibisha ktk haki -- ni sheria na kanuni inayoweza kuwaongoza watu ktk kila kizazi --- hata Yesu akishuka Leo,ssingebadili chochote -- kwani ni unabii uliokamilika -- Ufu 22: 18 --- 19.
Hakuna kuombeana dua hapa kila mmoja aombe kwa imani yake, acheni ujinga
Haifai muislam kumyembea dua mkisto na na ukisema tuanglalie mbele andali life after death. Na issa tunaamini kuwa mtume sio mungu.
@veronicascottmollel7897
Жыл бұрын
Hata cc wakristo Kristo ni mwana wa MUNGU na sio MUNGU. Jua kutofautisha
@frankmushi8892
Жыл бұрын
Nyie wasilamu ni wabinafsi sanaa mnajihisabia haki wakati ndo wazinifu sanaa
@ramadhanikibenga4284
Жыл бұрын
@@frankmushi8892 uliziniwa wewe hata utoe ushahidi ?? Acha uzwazwa wewe
Suala la Uislamu lipo ktk mazingira yote. Mzee wa Upako , uislamu umekamilika, hivyo basi hata kama angeshuka nani asingebadilisha chcht eti kiende na wakati tulionao. Kila kimeainishwa kutokana na hitaji lako kwa wakati wako. Zungumzia ukristo wenye kubadilika kila wakati
@flova7022
Жыл бұрын
Stop once
@rithadonatus8110
Жыл бұрын
Your insane
@johnsonkibadeni5053
Жыл бұрын
Nonsense
@rehemarobert516
Жыл бұрын
Fala kweli🤣🤣
@ramadhanikibenga4284
Жыл бұрын
Muislam abakie na uislam wake na mkristo abakie na ukristo wake. Hakuna kuombeana maana imani ni tofauti
Mzee wa upako umeeleweka
Uislam uko wazi tu mbona. Suala la kuabudu hauna mbambamba. Quran 2: 256.
Aya madudu tu uyujamaa ajuikitu watukama Hawa ndo wametumwa kualibu
We feki leo umjui magufuri eti yule Mimi umenkela na sikusamei.
Wewe ni mnafiki huna lolote
@barakarobert1029
Жыл бұрын
Kwel aisee huyo mnafiki sna
@winnifridaashery8187
Жыл бұрын
Unafiki wake uko wapi?Basi wewe utakuwa MNAFIKI zaidi
@frankmushi8892
Жыл бұрын
We ndo mnafiki mkubwa tena unaroho mbayaa nyie na malishababuu pumbavu