SIMBA SPORT CLUB ❤❤❤❤WAKALI WA KARIAKOO, simba aijanunuliwa
@edwardmalimi89033 ай бұрын
Ukinunua hisa hauwi mwenye kampuni ila unakuwa tuu partner na katkat kukunua hisa kuna kupata hasara na faida kampuni ikipata hasara huna chako kwa maana ya asilimia ya hisa zako kampuni ikipata faida na wewe unapata faida accordingly ila Haina maana et kampuni inakuwa Yako kisa ya hisa Yako ya 1% hiyo haipo na ukinunua hisa baada ya muda zinauzwa ikitokea kampuni haijapata hasara watu wanagawana faida kutegemeana na hisa ulizonunua baada ya apo unasepa unaacha kampuni ya watu. So ukinunua hisa ukubali ku share profit and loss Unfortunately mtu anasema akinunua hisa tuu tayar kampuni n yake hapo wewe umenunua hisa tuu yaan unakuwa shareholder
@user-qu1dz2ed1b3 ай бұрын
Masatu kavulugwa na simba yake na madunduka wenzake😊😊😊😊
@NicholausMgimba-rz7ny3 ай бұрын
Kisugu hajui chochote kuhusu hisa huyu Wikikofia ziro kabisa heri ya yule mzee kdogo anauelewa mzee mandevu unapoteza mda wako hao ngada hamna kitu
@foibebakunda6038
3 ай бұрын
Yaaaani kisugu analopoka tuu
@salimmalaka256
3 ай бұрын
SAWA MUUZA NYANYA WEWE NDI HUPETEZI MUDA WAKO
@TanaMidundo3 ай бұрын
Wewe mwenye madevu hivi unajielewa kweli
@mohamedmlanzi8099
3 ай бұрын
Haelew wapi mbona yupo sawa labda umeshindwa kumuelewa jibu sahihi katoa kisugu ni propaganda na xha zianda huenda ulikuwa hufaham ni kwamba tajir uwezo wake wakufikisha ujumbe ndan ya jamii kubwa hautosh kwa lugha ya kistaarabu(mdogo)ndio matokeo ya mijadala ya namna hii.ametoa matamsh mengi tata si hilo tuu ,ila jibu sahihi hawezi kufikisha ujumbe usio na shaka na huwa hana nia hiyo ya kumaanisha anvyovitamka.hana weledi wa kufikisha ujumbe sahihi
@user-je7no7lq7d3 ай бұрын
sisi tunachojua simba imeuzwa😂 na MO kasibitisha
@francismoka-hd3dn3 ай бұрын
Hapo wote mmechanganyana ila mzee angepewa nafasi anakitu Kiukweli huwezi miliki kitu ambacho sio chako mbali na hapo Ww utakuwa mtunzaji tu haumiliki
@manongishabani98223 ай бұрын
Wanashangaa Nini hao washamba Mo kua mmiliki wa Simba? Mbona sir Jim Raclffe boss mpya wa Man unaited kanunua hisa asilimia25 na Kawa mmiliki wa Manchester united???
@alikawinga22893 ай бұрын
Masatu mrongo
@johnmapunda36833 ай бұрын
Huyo Kisugu mnafki,asiwe anapewa interview
@elizabetharon63343 ай бұрын
Simpendi kisugu
@daudijulius44373 ай бұрын
Kisingu hana hoja namzehe hana hoja mwenye ndevu nasungumza kweli
@richardkokoro3269
3 ай бұрын
Huyo mwenye madevu ana akili kama zake
@ericbrunokalonndwa85903 ай бұрын
Dah aibu kampuni inaweza kuwa na hizo idadi yoyote ila inakuwa converted kwenye % na kuwa na his sio kuwa ndio mwenye mali
@taucdulle74603 ай бұрын
Uyo jamaa huwa ni kilaza sana na modevu yake😂😂😂 hisa hufanywaje kama sio kununua ….fyetuuuu
@jumas.sendekwa2788
3 ай бұрын
Ziliuzwa kwa bei gani kwa hisa moja? Zilitangazwa lini? Maana hisa huuzwa kwenye soko huria.
uyu mzee mbona kama anajieleza sna tena mambow ya ovyoo mwenye isa 51 na mwenye isa 49 kat yao nani mmilik?na mbona iko waz aya machawa jamooon yanatualibia simba yetu
@user-er1dk6zj6u3 ай бұрын
Mashabk wa Simba hawajasoma jmn 😅
@angellomarcel5677
3 ай бұрын
Masatu yuko sahihi Bwege wewe jifunze.
@salimmalaka256
3 ай бұрын
MKUNDU WAKO HAUJASOMA.
@richardkokoro32693 ай бұрын
Huyo madevu Hana anachokijua anapayukabtu. Mzee Masatu Yuko sahihi asilimia mia Moja . Madevu analazimisha asikike kwabkutumia msuli
@vaxminja9053
3 ай бұрын
Yuko sahihi kivipi? Ulishasikia wapi kuwa shareholder kuwa ni Owener? Kuna tofauti kati ya shareholder na owner. Mo alisema yeye ni owner wa Simba
@nicasgenerose
3 ай бұрын
Wee ndo huna akili kama huyo mzee😂😂😂
@salimmalaka256
3 ай бұрын
@@vaxminja9053HUJUWI KITU UNAITA AIBU SI UNYAMAZE TU
@kinanaissango34923 ай бұрын
Madevu ajui kitu afu anajiona anajua
@GodfreyibrMyagila3 ай бұрын
Ni patina siyo mmiriki
@barakachristopher25043 ай бұрын
Huyo mandevu hajui kitu alafu anaona kama anajua. Ukinunua share zaidi ya 25% ww ni mmoja wa wamiliki wakubwa wa kampuni. Sasa mtu anamiliki 49% alafu unamchukulia poa tu
@mohamedmlanzi8099
3 ай бұрын
Naww hajui kitu kununua na kuungana ni vitu viwil tofaut
@barakachristopher2504
3 ай бұрын
@@mohamedmlanzi8099 kitaalam kununua shares sio sawa na partnership ni vitu viwili tofauti. Huyo sio partner wa Simba ila ni mmoja wa wamiliki wakubwa wa Simba. Hilo ni somo kabisa la shule na ina sheria yake.
@SimonJeshi-nq1hs3 ай бұрын
Mashabiki wa simba kwa asilimia kubwa Sio wa elewa kwa sababu niwapenzi wa propaganda
@johanesdeogratias51063 ай бұрын
Mzee anajichanganya kiukwel mo dewj simba sio yake yule mwekezaj, mweny simba ni wanachama na ndio weny hisa Kubwa
@neemadaniel6233
3 ай бұрын
Si alisema ameinunua Simba Billion 1
@msovueliuze19203 ай бұрын
Kisugu ana matatizo ya akili. Yani hajui alafu hajui kwamba hajui. Inamaana kwakua yeye hakubeti amefurahi simba kuliwa???. Akapimwe akili. Au atakua ana njaa sana. Uchawa.
@danielchamoto9376
3 ай бұрын
Wew mwenyewe unaonekana zero 🧠
@angellomarcel56773 ай бұрын
MADEVU HANA KITU NI BWEGE HAJUI CHOCHOTE
@salimmalaka256
3 ай бұрын
BWEGE KWELI.
@mudric-dj7in
3 ай бұрын
Brother Juma uko sahihi mmiliki nikama vile bakheresa ila MO dewji hana maamuzi ya moja kwa moja na alitamani iwe ivo
Пікірлер: 41
SIMBA SPORT CLUB ❤❤❤❤WAKALI WA KARIAKOO, simba aijanunuliwa
Ukinunua hisa hauwi mwenye kampuni ila unakuwa tuu partner na katkat kukunua hisa kuna kupata hasara na faida kampuni ikipata hasara huna chako kwa maana ya asilimia ya hisa zako kampuni ikipata faida na wewe unapata faida accordingly ila Haina maana et kampuni inakuwa Yako kisa ya hisa Yako ya 1% hiyo haipo na ukinunua hisa baada ya muda zinauzwa ikitokea kampuni haijapata hasara watu wanagawana faida kutegemeana na hisa ulizonunua baada ya apo unasepa unaacha kampuni ya watu. So ukinunua hisa ukubali ku share profit and loss Unfortunately mtu anasema akinunua hisa tuu tayar kampuni n yake hapo wewe umenunua hisa tuu yaan unakuwa shareholder
Masatu kavulugwa na simba yake na madunduka wenzake😊😊😊😊
Kisugu hajui chochote kuhusu hisa huyu Wikikofia ziro kabisa heri ya yule mzee kdogo anauelewa mzee mandevu unapoteza mda wako hao ngada hamna kitu
@foibebakunda6038
3 ай бұрын
Yaaaani kisugu analopoka tuu
@salimmalaka256
3 ай бұрын
SAWA MUUZA NYANYA WEWE NDI HUPETEZI MUDA WAKO
Wewe mwenye madevu hivi unajielewa kweli
@mohamedmlanzi8099
3 ай бұрын
Haelew wapi mbona yupo sawa labda umeshindwa kumuelewa jibu sahihi katoa kisugu ni propaganda na xha zianda huenda ulikuwa hufaham ni kwamba tajir uwezo wake wakufikisha ujumbe ndan ya jamii kubwa hautosh kwa lugha ya kistaarabu(mdogo)ndio matokeo ya mijadala ya namna hii.ametoa matamsh mengi tata si hilo tuu ,ila jibu sahihi hawezi kufikisha ujumbe usio na shaka na huwa hana nia hiyo ya kumaanisha anvyovitamka.hana weledi wa kufikisha ujumbe sahihi
sisi tunachojua simba imeuzwa😂 na MO kasibitisha
Hapo wote mmechanganyana ila mzee angepewa nafasi anakitu Kiukweli huwezi miliki kitu ambacho sio chako mbali na hapo Ww utakuwa mtunzaji tu haumiliki
Wanashangaa Nini hao washamba Mo kua mmiliki wa Simba? Mbona sir Jim Raclffe boss mpya wa Man unaited kanunua hisa asilimia25 na Kawa mmiliki wa Manchester united???
Masatu mrongo
Huyo Kisugu mnafki,asiwe anapewa interview
Simpendi kisugu
Kisingu hana hoja namzehe hana hoja mwenye ndevu nasungumza kweli
@richardkokoro3269
3 ай бұрын
Huyo mwenye madevu ana akili kama zake
Dah aibu kampuni inaweza kuwa na hizo idadi yoyote ila inakuwa converted kwenye % na kuwa na his sio kuwa ndio mwenye mali
Uyo jamaa huwa ni kilaza sana na modevu yake😂😂😂 hisa hufanywaje kama sio kununua ….fyetuuuu
@jumas.sendekwa2788
3 ай бұрын
Ziliuzwa kwa bei gani kwa hisa moja? Zilitangazwa lini? Maana hisa huuzwa kwenye soko huria.
Ww kisugu nilikua nakuelewa ila kwasasa dah unayumba simba haina viongozi
uyu mzee mbona kama anajieleza sna tena mambow ya ovyoo mwenye isa 51 na mwenye isa 49 kat yao nani mmilik?na mbona iko waz aya machawa jamooon yanatualibia simba yetu
Mashabk wa Simba hawajasoma jmn 😅
@angellomarcel5677
3 ай бұрын
Masatu yuko sahihi Bwege wewe jifunze.
@salimmalaka256
3 ай бұрын
MKUNDU WAKO HAUJASOMA.
Huyo madevu Hana anachokijua anapayukabtu. Mzee Masatu Yuko sahihi asilimia mia Moja . Madevu analazimisha asikike kwabkutumia msuli
@vaxminja9053
3 ай бұрын
Yuko sahihi kivipi? Ulishasikia wapi kuwa shareholder kuwa ni Owener? Kuna tofauti kati ya shareholder na owner. Mo alisema yeye ni owner wa Simba
@nicasgenerose
3 ай бұрын
Wee ndo huna akili kama huyo mzee😂😂😂
@salimmalaka256
3 ай бұрын
@@vaxminja9053HUJUWI KITU UNAITA AIBU SI UNYAMAZE TU
Madevu ajui kitu afu anajiona anajua
Ni patina siyo mmiriki
Huyo mandevu hajui kitu alafu anaona kama anajua. Ukinunua share zaidi ya 25% ww ni mmoja wa wamiliki wakubwa wa kampuni. Sasa mtu anamiliki 49% alafu unamchukulia poa tu
@mohamedmlanzi8099
3 ай бұрын
Naww hajui kitu kununua na kuungana ni vitu viwil tofaut
@barakachristopher2504
3 ай бұрын
@@mohamedmlanzi8099 kitaalam kununua shares sio sawa na partnership ni vitu viwili tofauti. Huyo sio partner wa Simba ila ni mmoja wa wamiliki wakubwa wa Simba. Hilo ni somo kabisa la shule na ina sheria yake.
Mashabiki wa simba kwa asilimia kubwa Sio wa elewa kwa sababu niwapenzi wa propaganda
Mzee anajichanganya kiukwel mo dewj simba sio yake yule mwekezaj, mweny simba ni wanachama na ndio weny hisa Kubwa
@neemadaniel6233
3 ай бұрын
Si alisema ameinunua Simba Billion 1
Kisugu ana matatizo ya akili. Yani hajui alafu hajui kwamba hajui. Inamaana kwakua yeye hakubeti amefurahi simba kuliwa???. Akapimwe akili. Au atakua ana njaa sana. Uchawa.
@danielchamoto9376
3 ай бұрын
Wew mwenyewe unaonekana zero 🧠
MADEVU HANA KITU NI BWEGE HAJUI CHOCHOTE
@salimmalaka256
3 ай бұрын
BWEGE KWELI.
@mudric-dj7in
3 ай бұрын
Brother Juma uko sahihi mmiliki nikama vile bakheresa ila MO dewji hana maamuzi ya moja kwa moja na alitamani iwe ivo