MZEE JAFARI ALIA NA WACHAMBUZI WANAO PINGA USAJILI WA SIMBA| TAJIRI AMEMWAGA HELA KUSAJILI

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Пікірлер: 12

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h27 күн бұрын

    Unafikiri wachambuzi tu, hata sasa hivi tuna mashabiki uchwarwa kama wewe unavyozungumza, ujue hapo mna wachezaji wawili kutoka Zambia mmewasajiri, hao nao wanywa pombe za kienyeji (ulaka).?.

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb28 күн бұрын

    Mchezaji Bora mbona hajawai kupata tuzo ya uchezaji bora

  • @djumahakizimana
    @djumahakizimana28 күн бұрын

    usiandukie na bado wino upo tusubiri tuone

  • @neemamwijage
    @neemamwijage28 күн бұрын

    Chama atajilazimisha kucheza hata kama atakuwa amechoka ili asidharauliwe na mashabiki wa yanga

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le28 күн бұрын

    Tatizo la bongo Kila mtu ni mchambuz ndio mana soka letu halifiki mbali

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h27 күн бұрын

    Ule ukuta wa eliko ulivunjika?. Kwa hiyo sasa ukuta wa belin, haya bhana.

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff691228 күн бұрын

    Atutaki malalamiko badae cjui wanajivunja

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff691228 күн бұрын

    Kashindwa demands za Chama kumbuka

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb28 күн бұрын

    Wachambuzi nchii wanajizalilisha sana Kwa kupenda bahasha

  • @iddiramadhan

    @iddiramadhan

    28 күн бұрын

    Kabisa kabisa

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo28 күн бұрын

    Wewe kakaangu usilie na wachambuzi wa bongo wanatumwa hao. Sisi hata hatuwasikilizi tena tumeshaziba masikio yetu na wala hawatushughulishi tena haswaaa kwa sababu ni wajinga

  • @abdallahshariff6555

    @abdallahshariff6555

    28 күн бұрын

    Kabsaaaa,wanafiki si wacham uzi

Келесі