MZEE JAFARI ALIA NA WACHAMBUZI WANAO PINGA USAJILI WA SIMBA| TAJIRI AMEMWAGA HELA KUSAJILI
KWA HABARI NA MATANGAZO TUPIGIE SASA 0753393036 CALL 0625466848 WHATSAPP
Жүктеу.....
Пікірлер: 12
@user-bt6ep3yb2h27 күн бұрын
Unafikiri wachambuzi tu, hata sasa hivi tuna mashabiki uchwarwa kama wewe unavyozungumza, ujue hapo mna wachezaji wawili kutoka Zambia mmewasajiri, hao nao wanywa pombe za kienyeji (ulaka).?.
@Esterkomba-ef7eb28 күн бұрын
Mchezaji Bora mbona hajawai kupata tuzo ya uchezaji bora
@djumahakizimana28 күн бұрын
usiandukie na bado wino upo tusubiri tuone
@neemamwijage28 күн бұрын
Chama atajilazimisha kucheza hata kama atakuwa amechoka ili asidharauliwe na mashabiki wa yanga
@HalimaMaulidi-sv7le28 күн бұрын
Tatizo la bongo Kila mtu ni mchambuz ndio mana soka letu halifiki mbali
@user-bt6ep3yb2h27 күн бұрын
Ule ukuta wa eliko ulivunjika?. Kwa hiyo sasa ukuta wa belin, haya bhana.
@jaffjeff691228 күн бұрын
Atutaki malalamiko badae cjui wanajivunja
@jaffjeff691228 күн бұрын
Kashindwa demands za Chama kumbuka
@Esterkomba-ef7eb28 күн бұрын
Wachambuzi nchii wanajizalilisha sana Kwa kupenda bahasha
@iddiramadhan
28 күн бұрын
Kabisa kabisa
@SalmaChamy-tg4bo28 күн бұрын
Wewe kakaangu usilie na wachambuzi wa bongo wanatumwa hao. Sisi hata hatuwasikilizi tena tumeshaziba masikio yetu na wala hawatushughulishi tena haswaaa kwa sababu ni wajinga
Пікірлер: 12
Unafikiri wachambuzi tu, hata sasa hivi tuna mashabiki uchwarwa kama wewe unavyozungumza, ujue hapo mna wachezaji wawili kutoka Zambia mmewasajiri, hao nao wanywa pombe za kienyeji (ulaka).?.
Mchezaji Bora mbona hajawai kupata tuzo ya uchezaji bora
usiandukie na bado wino upo tusubiri tuone
Chama atajilazimisha kucheza hata kama atakuwa amechoka ili asidharauliwe na mashabiki wa yanga
Tatizo la bongo Kila mtu ni mchambuz ndio mana soka letu halifiki mbali
Ule ukuta wa eliko ulivunjika?. Kwa hiyo sasa ukuta wa belin, haya bhana.
Atutaki malalamiko badae cjui wanajivunja
Kashindwa demands za Chama kumbuka
Wachambuzi nchii wanajizalilisha sana Kwa kupenda bahasha
@iddiramadhan
28 күн бұрын
Kabisa kabisa
Wewe kakaangu usilie na wachambuzi wa bongo wanatumwa hao. Sisi hata hatuwasikilizi tena tumeshaziba masikio yetu na wala hawatushughulishi tena haswaaa kwa sababu ni wajinga
@abdallahshariff6555
28 күн бұрын
Kabsaaaa,wanafiki si wacham uzi