MWL C MWAKASEGE: FAIDA ZA KUJAZWA NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU MWANZONI MWA KIPINDI CHAKO KIPYA.
SEMINA YA NENO LA MUNSEMINA YA WANAWAKE DAR ES SALAAM [PART 1C]
Жүктеу.....
Пікірлер: 93
@mhongoleadriano36952 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe wapendwa katika bwana Mimi nitoe ushuhuda juu ya hiii video nilikuwa nachukia mchungaji akianza kusema sijui shagalagalangali kiki nikiwa naongea na dada yangu kijijini kwetu Iringa alipa Somo kidogo kuhusu kunena Kwa lugha nakunieleza kuwa kunena Kwa lugha ni wewe na Mungu wako nikamuelewa lakini nikawa naona kama watu wananiigizia Leo kupitia muongozo wa huyu mama nikajisemea semina ya wanawake lakini na Mimi nataka kupokea hizo nguvu za rohoo mtakatifu nikaanza nikafuatisha Sala ya Toba na baadae Yale maneno ya kumpokea roho mtakatifu kilicho ni kuta nikuongea lugha isiyo eleweka ambayo mwanzo nilidhani watu wanaigiza
@ayoubpaul
Жыл бұрын
Glory to GOD
@wendecharles6353
Жыл бұрын
G Tx y No ftl
@QUEENJoseph-kh6cb2 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu nilikuwa naomba ila nilikuwa natumia nguvu ila umenifundisha kuomba yani kwa Yesu raha sana ukiamini Mungu anatenda
@tuchannyitike2 жыл бұрын
Ubarikiwe Mwl Mwakasege 🙏🏾 🇺🇸 🇹🇿
@betreaceparali9725 Жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na semina ya mtumishi.mungu akubariki.niombee nijazwe roho mtakatifu
@rita96792 жыл бұрын
Barikwa san mwalimu mungu akupe neema ya kuendelea mbele barikiwa sana mungu akubaliki saaan🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@furbenj74052 жыл бұрын
Haleluya I like the powerful of holly sprit thanks my Father I received
@upendoeliudi51962 жыл бұрын
Mungu awabariki sana mwalim Christopher mwakasege na mama
@christinewomanoffaith54792 жыл бұрын
Paul mwangosi hakuwepo jmn!uzuri baba anajua kuimba lkn! Asipokuwepo unajua tu,ye ndo anamjua baba ake kwakweli
@yasintanyakisho1394 Жыл бұрын
Mungu azidi kukupa nguvu na afya ili uzidi kumtmikia Mungu mim nabarikiwa na mafundisho Yako mtumishi
@upendomassawe35332 жыл бұрын
Nashukuru Mungu kwa kunipa NAFASI hii ya kusikiliza neno lako.
@user-pi1st6pj3w3 ай бұрын
Ubarikiwe na MUNGU BABA
@wakywenaky36742 жыл бұрын
Ee mungu wangu naomba nijaze na mm roho wako mtakatifu anitumie
@christinewomanoffaith54792 жыл бұрын
Somo limekuja wakati sahihi! Mungu nisaidie,nijaze nguvu nahitaji kuomba,kutakaswa,kutengwa ktk jina la Yesu
@neemaasheri4204
2 жыл бұрын
Ee mwenyezi Mungu nitie nijazwe nguvu ya roho mtakatifu Kama siku ya pendekoste maana Kila siku narudishwa nyuma
@eliatoshamrosso54842 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi Mwalimu
@restorationpentecostalchur70282 жыл бұрын
Asante Baba yangu kwa maarifa ya kimbingu yanayo nifanya Imara kila siku.
@adelacasmiry9134 Жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu kabisaa
@albertlwesya83612 жыл бұрын
Amen Baba Mwalimu, Mungu atusimamie katika vipindi vyote na Damu ya Yesu itawale nabarikiwa na somo.
@hyasintamlay75472 жыл бұрын
Hakika nimeuona mkono wa bwan kwa maombi na mafundisho haya. Mbarikiwe san watumishi Mungu azid kuwainua kwa viwango vya juu
@alleoo2732 жыл бұрын
E Mungu baba nifundishe kuomba na kulitambua neno lako
@abonikesalome301 Жыл бұрын
Amen ubarikiwe baba
@teddyallimustapha96112 жыл бұрын
Yesu ni fimbo yngu ya uzima Wangu
@edakiputa11082 жыл бұрын
Amina mtumishi,Mungu wa mbinguni akutunze na familia yako.
@carolinejisandu959
2 жыл бұрын
Aminaaa Aminaaa BABA TUNAOMBA NGUVU ZA MAOMBI ZA KUDUMU KWETU,UBARIKIWE SAANA BABA MWL WETU!
@joycenuhu15662 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na somo hili, Mungu naomba unisaidie
@noelswai26602 жыл бұрын
MUNGU akubariki saana Baba kwa kusema kweli ya MUNGU.
@macrinamsigwa87812 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa mungu🙏☝️
@yuajamlimwa17932 жыл бұрын
Silaha yangu daima ni Yesu Kristo, na nguvu zake zinazotenda kazi ndani yangu, AMEN
@official_minister_suleiman68562 жыл бұрын
Yaani unaongea vizuri kabisa Mwl,shida nyingine ipo kwa waimbaji na wapiga vyoombo huwa hawapendi kusikiliza mahubiri/mafundisho....hii ni shida nayo
@gloirebyamunguministry24212 жыл бұрын
Mungu mwenye rehema zote atu saidiye
@christinewomanoffaith54792 жыл бұрын
Kweli kabisa! Kuomba jamani sio mchezo! Adui hataki anapambana ila tutashinda tu!! Mungu naomba hayo mafuta tu,unitenge na chochote kikuziacho!
@elishannko60652 жыл бұрын
Mungu akubariki baba kazi hii ikumbukwe milele
@bilugwemwanzije Жыл бұрын
Nuru ya mungu ikuongoze mtumishi !!?
@agripapiason57742 жыл бұрын
Asante yesu
@hildegaldacolman68482 жыл бұрын
Amen Karibuni Morogoro 🙏
@bernadethashiduki69362 жыл бұрын
Mungu akutunze mwl na mama
@nellymsigwa69972 жыл бұрын
Ameen
@mankastambuli10442 жыл бұрын
Asante Yesu
@ngolopenzen7712 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@estherjustine1973 Жыл бұрын
Mungu azidi kukuwekea ulinzi Baba, Mungu anakutumia sawasawa na kusudi lake
@emanuelsalali55572 жыл бұрын
Asantee rohomtatifu kwaujumbe mzuri YESU mtie nguvu mwalimu c.makasege
@taabujudith7254
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na somo hili mtumishi
@hilgathjoshua88042 жыл бұрын
Ameni Ameni
@SengaLukomya6 ай бұрын
Amina
@happyboniface-mu1eu Жыл бұрын
Amen
@raymondroyer55452 жыл бұрын
Amen Amen
@enithaelias85582 жыл бұрын
Ur preachings ar so realistic en touches inside manifest outside...be blessed man of God...
@neemaasantael500
2 жыл бұрын
Pllp
@agripinamgema36567 ай бұрын
HALELUYA
@wendyaaron96962 жыл бұрын
Blessings
@faridasilwani80402 жыл бұрын
Ameni
@rithakuyala99512 жыл бұрын
Ameeen 🙏
@nestoryaugustine77542 жыл бұрын
AMINA
@selinambele83062 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na mafundisho haya
@emmanuelmakomango65772 жыл бұрын
Amen dady
@teddyallimustapha96112 жыл бұрын
Aimen
@yohanaasajene35202 жыл бұрын
MUNGU akubariki sana
@vailethsiwandilo57482 жыл бұрын
Asante Yesu 😭😭
@charlesmwidete36812 жыл бұрын
Hapo umenifungua
@happysumbya90682 жыл бұрын
Amina baba
@rizikisospeter16862 жыл бұрын
Ameen Baba
@lizzybahati37392 жыл бұрын
Amen babaangu
@jacquelinesamson2 жыл бұрын
Amen 🙏
@akwilinangussa1682 жыл бұрын
Aminaaa
@wendyaaron96962 жыл бұрын
Amen amen
@anamariayuba54572 жыл бұрын
AMINA BABA, kweli kuna usemi unasema mbinduni wanaume ni wengi kuliko wanawake kwa sababu wanawake tumekataa kuachilia vitu vya kidunia naona hapo akina mama wamesuka nywele bandia wamejipodoa sana lakini wa baba wetu ni mashati yao na suruali zao zianatosha MUNGU TUOKOE AKINA MAMA .
@amiwitu14452 жыл бұрын
Ahsante
@teddyallimustapha96112 жыл бұрын
Navunja roho y mauti Kwa mume Wangu teophili Emanuel senga'na
@kristopapaapaulo8112 жыл бұрын
Fire
@kennytwinzi90322 жыл бұрын
🙏🙏👏👏
@hildawagner58252 жыл бұрын
AMEEN
@robertbugali63272 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu alie hai 🙏🙏🙏
@upendogadson84152 жыл бұрын
You
@JOVINSTORY19842 жыл бұрын
Sauw
@noebagundaministries89662 жыл бұрын
C'est en directe ou rediffusion ???
@yuajamlimwa1793
2 жыл бұрын
Oooh voilà D'après moi, c'est en directe.
@judygathoni58612 жыл бұрын
Kweli kabisa kube hata tz mko kama Kenya pia wao wapiga viobo wakisha maliza kuzicheza izo wanajipa shuguli nikama wanatushidikiza kuja kanisa
@glorylekey4550
2 жыл бұрын
Wapo hivyo,hata mchungaji akiwa anaongoza maombi wanakaa kimya
Пікірлер: 93
Bwana yesu asifiwe wapendwa katika bwana Mimi nitoe ushuhuda juu ya hiii video nilikuwa nachukia mchungaji akianza kusema sijui shagalagalangali kiki nikiwa naongea na dada yangu kijijini kwetu Iringa alipa Somo kidogo kuhusu kunena Kwa lugha nakunieleza kuwa kunena Kwa lugha ni wewe na Mungu wako nikamuelewa lakini nikawa naona kama watu wananiigizia Leo kupitia muongozo wa huyu mama nikajisemea semina ya wanawake lakini na Mimi nataka kupokea hizo nguvu za rohoo mtakatifu nikaanza nikafuatisha Sala ya Toba na baadae Yale maneno ya kumpokea roho mtakatifu kilicho ni kuta nikuongea lugha isiyo eleweka ambayo mwanzo nilidhani watu wanaigiza
@ayoubpaul
Жыл бұрын
Glory to GOD
@wendecharles6353
Жыл бұрын
G Tx y No ftl
Mungu akupe maisha marefu nilikuwa naomba ila nilikuwa natumia nguvu ila umenifundisha kuomba yani kwa Yesu raha sana ukiamini Mungu anatenda
Ubarikiwe Mwl Mwakasege 🙏🏾 🇺🇸 🇹🇿
Nabarikiwa Sana na semina ya mtumishi.mungu akubariki.niombee nijazwe roho mtakatifu
Barikwa san mwalimu mungu akupe neema ya kuendelea mbele barikiwa sana mungu akubaliki saaan🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Haleluya I like the powerful of holly sprit thanks my Father I received
Mungu awabariki sana mwalim Christopher mwakasege na mama
Paul mwangosi hakuwepo jmn!uzuri baba anajua kuimba lkn! Asipokuwepo unajua tu,ye ndo anamjua baba ake kwakweli
Mungu azidi kukupa nguvu na afya ili uzidi kumtmikia Mungu mim nabarikiwa na mafundisho Yako mtumishi
Nashukuru Mungu kwa kunipa NAFASI hii ya kusikiliza neno lako.
Ubarikiwe na MUNGU BABA
Ee mungu wangu naomba nijaze na mm roho wako mtakatifu anitumie
Somo limekuja wakati sahihi! Mungu nisaidie,nijaze nguvu nahitaji kuomba,kutakaswa,kutengwa ktk jina la Yesu
@neemaasheri4204
2 жыл бұрын
Ee mwenyezi Mungu nitie nijazwe nguvu ya roho mtakatifu Kama siku ya pendekoste maana Kila siku narudishwa nyuma
Barikiwa mtumishi Mwalimu
Asante Baba yangu kwa maarifa ya kimbingu yanayo nifanya Imara kila siku.
Mungu ni mwaminifu kabisaa
Amen Baba Mwalimu, Mungu atusimamie katika vipindi vyote na Damu ya Yesu itawale nabarikiwa na somo.
Hakika nimeuona mkono wa bwan kwa maombi na mafundisho haya. Mbarikiwe san watumishi Mungu azid kuwainua kwa viwango vya juu
E Mungu baba nifundishe kuomba na kulitambua neno lako
Amen ubarikiwe baba
Yesu ni fimbo yngu ya uzima Wangu
Amina mtumishi,Mungu wa mbinguni akutunze na familia yako.
@carolinejisandu959
2 жыл бұрын
Aminaaa Aminaaa BABA TUNAOMBA NGUVU ZA MAOMBI ZA KUDUMU KWETU,UBARIKIWE SAANA BABA MWL WETU!
Nimebarikiwa sana na somo hili, Mungu naomba unisaidie
MUNGU akubariki saana Baba kwa kusema kweli ya MUNGU.
Asante sana mtumishi wa mungu🙏☝️
Silaha yangu daima ni Yesu Kristo, na nguvu zake zinazotenda kazi ndani yangu, AMEN
Yaani unaongea vizuri kabisa Mwl,shida nyingine ipo kwa waimbaji na wapiga vyoombo huwa hawapendi kusikiliza mahubiri/mafundisho....hii ni shida nayo
Mungu mwenye rehema zote atu saidiye
Kweli kabisa! Kuomba jamani sio mchezo! Adui hataki anapambana ila tutashinda tu!! Mungu naomba hayo mafuta tu,unitenge na chochote kikuziacho!
Mungu akubariki baba kazi hii ikumbukwe milele
Nuru ya mungu ikuongoze mtumishi !!?
Asante yesu
Amen Karibuni Morogoro 🙏
Mungu akutunze mwl na mama
Ameen
Asante Yesu
Nimebarikiwa sana
Mungu azidi kukuwekea ulinzi Baba, Mungu anakutumia sawasawa na kusudi lake
Asantee rohomtatifu kwaujumbe mzuri YESU mtie nguvu mwalimu c.makasege
@taabujudith7254
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na somo hili mtumishi
Ameni Ameni
Amina
Amen
Amen Amen
Ur preachings ar so realistic en touches inside manifest outside...be blessed man of God...
@neemaasantael500
2 жыл бұрын
Pllp
HALELUYA
Blessings
Ameni
Ameeen 🙏
AMINA
Nimebarikiwa sana na mafundisho haya
Amen dady
Aimen
MUNGU akubariki sana
Asante Yesu 😭😭
Hapo umenifungua
Amina baba
Ameen Baba
Amen babaangu
Amen 🙏
Aminaaa
Amen amen
AMINA BABA, kweli kuna usemi unasema mbinduni wanaume ni wengi kuliko wanawake kwa sababu wanawake tumekataa kuachilia vitu vya kidunia naona hapo akina mama wamesuka nywele bandia wamejipodoa sana lakini wa baba wetu ni mashati yao na suruali zao zianatosha MUNGU TUOKOE AKINA MAMA .
Ahsante
Navunja roho y mauti Kwa mume Wangu teophili Emanuel senga'na
Fire
🙏🙏👏👏
AMEEN
Barikiwa sana mtumishi wa mungu alie hai 🙏🙏🙏
You
Sauw
C'est en directe ou rediffusion ???
@yuajamlimwa1793
2 жыл бұрын
Oooh voilà D'après moi, c'est en directe.
Kweli kabisa kube hata tz mko kama Kenya pia wao wapiga viobo wakisha maliza kuzicheza izo wanajipa shuguli nikama wanatushidikiza kuja kanisa
@glorylekey4550
2 жыл бұрын
Wapo hivyo,hata mchungaji akiwa anaongoza maombi wanakaa kimya
Amen
Asante Yesu
Ameni Ameni
Ameen
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Ameen
Amen
Amen