Mwanamuziki aliyevuma katika miaka ya nyuma Sukuma bin Ongaro | Wako Wapi
Na leo kwenye majira ya saa moja unusu katika ktn news utamtazama mwanamuziki aliyevuma katika miaka ya nyuma Sukuma bin Ongaro. Siku hizi anaimba nyimbo za injili na anajulikana kama ongaro digital. Mary kilobi atwoli alimhoji mzee huyo mwenye simulizi za kuvunja mbavu.
SUBSCRIBE to our KZread channel for more great videos: www.youtube.com/
Follow us on Twitter: / ktnnews
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
For more great content go to www.standardmedia.co.ke/ktnnews and download our apps:
std.co.ke/apps/#android
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Пікірлер: 14
The only luhya legend I still remember my youth dancing his songs, noshiri omusumba
Karibu sana bwana Ongaro. Nimefurahi na kumshukuru mungu kwa ajili yako. Tena naupenda wimbo wako huo wa digital. Bwana asifiwe. 😀😀
@polytarimo324
3 жыл бұрын
Inapendeza sana sanaa
LUHYA LEGEND sukuma bin ongaro
Asante kwa kutuletea Bwana Sukuma Bin Ongaro aka Tichito.
Daah kwa Yesu raha sana Mimi nipo Tanzania please nifafanulieni maana ya Tumbaku Kubwa
Hii mzuri sana, hongera viombo vya habari
kusema ukweli ongaro na mzee kalu bado wanawigwa nawatu ikiwa ongaro ameokoka, na kalu pia alibadilika alisema bado anaweza tunga mashahiri, warudiswe kazi hawa watu vijana wapate kuwawiga menende mizuri, mimi nimezaliwa ongaro akiwa nimezeka sahi ongaro bado anang'ara jamani mungu nimwaminifu, ata wangalie ule kalu bado anang'ara
Shenzi sana shenzi,, shenzi sana😘😘😘
Hope muscicians who are living your old life hear this. Sad when all these wasanii end up very poor and desperate that they turn to ppl for fund raising..... I did not point at any one . Nikuogea tu
This mzee is a gem
Ndoko ndoko
@RoroRoserororo
3 жыл бұрын
Nayo nayo
Hehehehe 🤣 🤣 🤣 🤣 ni chukuliwe hewani