Mwanamuziki aliyevuma katika miaka ya nyuma Sukuma bin Ongaro | Wako Wapi

Na leo kwenye majira ya saa moja unusu katika ktn news utamtazama mwanamuziki aliyevuma katika miaka ya nyuma Sukuma bin Ongaro. Siku hizi anaimba nyimbo za injili na anajulikana kama ongaro digital. Mary kilobi atwoli alimhoji mzee huyo mwenye simulizi za kuvunja mbavu.
SUBSCRIBE to our KZread channel for more great videos: www.youtube.com/
Follow us on Twitter: / ktnnews
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
For more great content go to www.standardmedia.co.ke/ktnnews and download our apps:
std.co.ke/apps/#android
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.

Пікірлер: 14

  • @user-zs7ll8pm3o
    @user-zs7ll8pm3o2 ай бұрын

    The only luhya legend I still remember my youth dancing his songs, noshiri omusumba

  • @mtnm7516
    @mtnm75165 жыл бұрын

    Karibu sana bwana Ongaro. Nimefurahi na kumshukuru mungu kwa ajili yako. Tena naupenda wimbo wako huo wa digital. Bwana asifiwe. 😀😀

  • @polytarimo324

    @polytarimo324

    3 жыл бұрын

    Inapendeza sana sanaa

  • @kalemelarubia6340
    @kalemelarubia63406 ай бұрын

    LUHYA LEGEND sukuma bin ongaro

  • @davidsiahi3710
    @davidsiahi37105 жыл бұрын

    Asante kwa kutuletea Bwana Sukuma Bin Ongaro aka Tichito.

  • @polytarimo324
    @polytarimo3243 жыл бұрын

    Daah kwa Yesu raha sana Mimi nipo Tanzania please nifafanulieni maana ya Tumbaku Kubwa

  • @christineinzilia1500
    @christineinzilia15003 жыл бұрын

    Hii mzuri sana, hongera viombo vya habari

  • @wlkmwlkm53
    @wlkmwlkm533 жыл бұрын

    kusema ukweli ongaro na mzee kalu bado wanawigwa nawatu ikiwa ongaro ameokoka, na kalu pia alibadilika alisema bado anaweza tunga mashahiri, warudiswe kazi hawa watu vijana wapate kuwawiga menende mizuri, mimi nimezaliwa ongaro akiwa nimezeka sahi ongaro bado anang'ara jamani mungu nimwaminifu, ata wangalie ule kalu bado anang'ara

  • @Noah-zt5zf
    @Noah-zt5zf3 жыл бұрын

    Shenzi sana shenzi,, shenzi sana😘😘😘

  • @vennyg8144
    @vennyg81443 жыл бұрын

    Hope muscicians who are living your old life hear this. Sad when all these wasanii end up very poor and desperate that they turn to ppl for fund raising..... I did not point at any one . Nikuogea tu

  • @gideonnandwa4077
    @gideonnandwa40773 жыл бұрын

    This mzee is a gem

  • @fotycows3830
    @fotycows38303 жыл бұрын

    Ndoko ndoko

  • @RoroRoserororo

    @RoroRoserororo

    3 жыл бұрын

    Nayo nayo

  • @thomasspencers3872
    @thomasspencers38723 жыл бұрын

    Hehehehe 🤣 🤣 🤣 🤣 ni chukuliwe hewani