KTN Leo Wikendi, Wako Wapi: Khamisi Themo mtangazaji wa zama katika KBC

KTN Leo Wikendi, Wako Wapi: Khamisi Themo mtangazaji wa zama katika KBC asema changamoto zilizokumba habari zama hizo
Watch KTN Live www.ktnkenya.tv/live
Follow us on / ktnkenya
Like us on / ktnkenya

Пікірлер: 43

  • @DanielOwinoOgweno
    @DanielOwinoOgweno7 жыл бұрын

    For some of us who have been around for a while, the voice of Khamisi Themo comes with a lot of nostalgia. It was rejuvenating hearing his voice. Twashukuru

  • @washingtonmbiti9348

    @washingtonmbiti9348

    5 жыл бұрын

    Nikweli kabisa,ufasaha walugha ya kiswahili ulifanikisha katika mtihani wangu enzi hizo.Nawavulia kofia.

  • @bernicerogo9190

    @bernicerogo9190

    2 жыл бұрын

    Kabisaaa

  • @husseinjamal959
    @husseinjamal9593 жыл бұрын

    Namkumbuka Khamis Temo, Anderson Kalu, Willy Mwangi , Ali Salim Manga, Mohamed Juma Njuguna , Khadija Ali , Amina Fakih, Juweiria Omar, Gladys Erude , Elizabeth Obege , Ismail Mohamed , Rashid Khamis , Leonard Mambo Mbotela na Mwengine wengi ....

  • @andrewomondi4230

    @andrewomondi4230

    3 жыл бұрын

    Kila mmoja wao na sauti ya kipekee. Natamani kuwaona tena.

  • @andrewomondi4230

    @andrewomondi4230

    3 жыл бұрын

    Samadu Hassan, Hanunda Sakwa e.t.c.

  • @bettywainaina513

    @bettywainaina513

    Жыл бұрын

    Mariam Omar, Esther Githui etc.

  • @makipelaengineering1955
    @makipelaengineering19556 жыл бұрын

    I vividly remember his voice way back when I was in Primary School.

  • @patriotkenya
    @patriotkenya Жыл бұрын

    Rest well legend.u made my childhood memories on kbc.

  • @fredrickkoech8396
    @fredrickkoech8396 Жыл бұрын

    Who is watching this clip after his passing on?

  • @erickoketch3085
    @erickoketch30855 жыл бұрын

    wapi Adward kadilo jameni

  • @agieulerohojuu3238
    @agieulerohojuu32386 жыл бұрын

    Wah i realy mis ur voice

  • @AFRICANTICHA
    @AFRICANTICHA Жыл бұрын

    RIP friend. Just coming barely 2 months after our meeting.

  • @generalkago5361
    @generalkago53613 жыл бұрын

    I recall your powerful voice way back in 1979.

  • @ianboit7375
    @ianboit7375 Жыл бұрын

    Rip legend, asante

  • @josephkimwaki2366
    @josephkimwaki23662 жыл бұрын

    I miss that voice,great man,wish you can come back for news bulletins

  • @alicemuhoho5188
    @alicemuhoho51884 жыл бұрын

    I really miss his nice voice

  • @poulkiarie254
    @poulkiarie2544 жыл бұрын

    I remember you on kbc habari, mwaka tisanne na moja vita vya ghumba, ukimaliza ukisema ,vita vinaendelea,Katie ya marekani na Iraq. Heko mzee .

  • @mabydal5556
    @mabydal55565 жыл бұрын

    wallah alivyosoma tu hyo khabar mie nimesisimka niko Tanzania na sikuwahi kupata furswa ya kumsikia ila nlivyomsikia hapo kwa kweli nmemkubali kweli YA KALE N DHAHABU...

  • @kiikaleto
    @kiikaleto4 жыл бұрын

    where is Charles omunga kabisai? haha matangazo ya vifo

  • @shadrackkainga7351
    @shadrackkainga73514 жыл бұрын

    Hako wapi hana kiliti raba na gladies erude

  • @josephnyakundi7593
    @josephnyakundi75933 жыл бұрын

    Watangazaji waliobobea siku zile.asanta

  • @ericmwenda6197
    @ericmwenda61975 жыл бұрын

    Wapi Karani Laban?

  • @cynthiawambui3980
    @cynthiawambui3980 Жыл бұрын

    Rest in Peace Dad😭

  • @andrewomondi4230
    @andrewomondi42303 жыл бұрын

    Kutokana na sauti ya watangazaji kama Khamisi Themo, Billy Omala, Jacob William Maunda, singweza kukaa bila kutazama habari. Chochote kingenjoja lakini ilibidi habari itazamwe kwanza. Ninahisi vizuri sana kumuona Khamisi Themo. Naweza iga jinsi alivyokuwa akisoma habari ukadhani ni yeye.

  • @dunxelll
    @dunxelll Жыл бұрын

    She could have done a little research about Khamisi. First few questions were off.

  • @kiturselassie813
    @kiturselassie8134 жыл бұрын

    Na matangazo ya jela

  • @balozibalozi254
    @balozibalozi2545 жыл бұрын

    nilikuwa naskia Khamisi Tembo sio Themo

  • @paulkazungu518

    @paulkazungu518

    3 жыл бұрын

    Jina ni Hamisi themo

  • 9 жыл бұрын

    Ukiwa na nia na njia utafika mahali utakao. Wapi Ngulam Mwabiro..

  • @paulsam2652

    @paulsam2652

    7 жыл бұрын

    Impactwordlife

  • @danielkirurimaina7445
    @danielkirurimaina74455 жыл бұрын

    Sauti ni ile ile, aih

  • @josephnyakundi7593
    @josephnyakundi75936 жыл бұрын

    Nice voice kongole

  • @albertgichana3132
    @albertgichana31323 жыл бұрын

    Mtangazaji hajui kuuliza maswali

  • @robertmaingi4635
    @robertmaingi46354 жыл бұрын

    reporter wa mpira kutoka nakuru zamani mike raendela yuko wapi?

  • @hassanali4838

    @hassanali4838

    4 жыл бұрын

    Mike wandera ni marehemu sasa

  • @muhariwaruua8888
    @muhariwaruua88885 жыл бұрын

    JAMES OYOO SYLVESTER, alienda wapi ?

  • @kiikaleto

    @kiikaleto

    4 жыл бұрын

    i saw his interview. google his name and u will find his interview wako wapi on ktn

  • @kennedywakhungu6751

    @kennedywakhungu6751

    3 жыл бұрын

    Ni Jack sio James

  • @kiikaleto
    @kiikaleto4 жыл бұрын

    where is Charles omunga kabisai? haha matangazo ya vifo

  • @dominicmaluki5242

    @dominicmaluki5242

    3 жыл бұрын

    Hapa hapa tu.

  • @zeddysuedkea5827
    @zeddysuedkea58279 жыл бұрын

    Kila jambo ukilitaka na ukiliamulia kwa nia moja walipata