KTN Leo Wikendi, Wako Wapi: Khamisi Themo mtangazaji wa zama katika KBC
KTN Leo Wikendi, Wako Wapi: Khamisi Themo mtangazaji wa zama katika KBC asema changamoto zilizokumba habari zama hizo
Watch KTN Live www.ktnkenya.tv/live
Follow us on / ktnkenya
Like us on / ktnkenya
Пікірлер: 43
For some of us who have been around for a while, the voice of Khamisi Themo comes with a lot of nostalgia. It was rejuvenating hearing his voice. Twashukuru
@washingtonmbiti9348
5 жыл бұрын
Nikweli kabisa,ufasaha walugha ya kiswahili ulifanikisha katika mtihani wangu enzi hizo.Nawavulia kofia.
@bernicerogo9190
2 жыл бұрын
Kabisaaa
Namkumbuka Khamis Temo, Anderson Kalu, Willy Mwangi , Ali Salim Manga, Mohamed Juma Njuguna , Khadija Ali , Amina Fakih, Juweiria Omar, Gladys Erude , Elizabeth Obege , Ismail Mohamed , Rashid Khamis , Leonard Mambo Mbotela na Mwengine wengi ....
@andrewomondi4230
3 жыл бұрын
Kila mmoja wao na sauti ya kipekee. Natamani kuwaona tena.
@andrewomondi4230
3 жыл бұрын
Samadu Hassan, Hanunda Sakwa e.t.c.
@bettywainaina513
Жыл бұрын
Mariam Omar, Esther Githui etc.
I vividly remember his voice way back when I was in Primary School.
Rest well legend.u made my childhood memories on kbc.
Who is watching this clip after his passing on?
wapi Adward kadilo jameni
Wah i realy mis ur voice
RIP friend. Just coming barely 2 months after our meeting.
I recall your powerful voice way back in 1979.
Rip legend, asante
I miss that voice,great man,wish you can come back for news bulletins
I really miss his nice voice
I remember you on kbc habari, mwaka tisanne na moja vita vya ghumba, ukimaliza ukisema ,vita vinaendelea,Katie ya marekani na Iraq. Heko mzee .
wallah alivyosoma tu hyo khabar mie nimesisimka niko Tanzania na sikuwahi kupata furswa ya kumsikia ila nlivyomsikia hapo kwa kweli nmemkubali kweli YA KALE N DHAHABU...
where is Charles omunga kabisai? haha matangazo ya vifo
Hako wapi hana kiliti raba na gladies erude
Watangazaji waliobobea siku zile.asanta
Wapi Karani Laban?
Rest in Peace Dad😭
Kutokana na sauti ya watangazaji kama Khamisi Themo, Billy Omala, Jacob William Maunda, singweza kukaa bila kutazama habari. Chochote kingenjoja lakini ilibidi habari itazamwe kwanza. Ninahisi vizuri sana kumuona Khamisi Themo. Naweza iga jinsi alivyokuwa akisoma habari ukadhani ni yeye.
She could have done a little research about Khamisi. First few questions were off.
Na matangazo ya jela
nilikuwa naskia Khamisi Tembo sio Themo
@paulkazungu518
3 жыл бұрын
Jina ni Hamisi themo
Ukiwa na nia na njia utafika mahali utakao. Wapi Ngulam Mwabiro..
@paulsam2652
7 жыл бұрын
Impactwordlife
Sauti ni ile ile, aih
Nice voice kongole
Mtangazaji hajui kuuliza maswali
reporter wa mpira kutoka nakuru zamani mike raendela yuko wapi?
@hassanali4838
4 жыл бұрын
Mike wandera ni marehemu sasa
JAMES OYOO SYLVESTER, alienda wapi ?
@kiikaleto
4 жыл бұрын
i saw his interview. google his name and u will find his interview wako wapi on ktn
@kennedywakhungu6751
3 жыл бұрын
Ni Jack sio James
where is Charles omunga kabisai? haha matangazo ya vifo
@dominicmaluki5242
3 жыл бұрын
Hapa hapa tu.
Kila jambo ukilitaka na ukiliamulia kwa nia moja walipata