Allah nijaàliye niwe mke mwema kwa mumemewangu na mama bora kwa kizazichangu
@jumamuhando2504
2 жыл бұрын
Amina inshaallah
@sahromohamed4375
2 жыл бұрын
Alahuma Amiiin
@rahmaabdulla4949
2 жыл бұрын
Amiin
@albertdoherty93942 жыл бұрын
Subhanallah Allah atustiri navizazi vyetu wanawake
@shamsahaji62022 жыл бұрын
LailahaillaAllah Muhammada Rasuulullah ..tupo kwenye mtihani mzito wallah Allah atusaide
@user-pj8ed9kn6g
2 жыл бұрын
اللهم آمين يارب العالمين
@fahadnassor2291
2 жыл бұрын
T
@rahmaabdulla4949
2 жыл бұрын
Amiin
@marinamooh4055
2 жыл бұрын
Ameen Yaa Rabby Alamein 🤲🏿😭
@neemainabikorwa55702 жыл бұрын
Inna lillah wa inna ilaihi radjiun, Cheikh wetu Allah akupe umri mrefu wenye kheri na bakara uzidi kutuelimisha , Allah atupe husnal khatimah🤲
@Ukhtyzuhura2 жыл бұрын
Wallah sheikh wetu unaujua mujtamaa yote ni kweli Ummah tunaangamia na Kwa utandawazi na usasa tuna copy maisha ya kimagharibi
@albusayyd2192 жыл бұрын
Subhannallah Allah atujaalie husnul khatimah yaarabby
@user-pj8ed9kn6g
2 жыл бұрын
اللهم آمين يارب العالمين كلهم
@rahmaabdulla4949
2 жыл бұрын
Amiin
@marinamooh4055
2 жыл бұрын
Ameen
@raiyaaaraiyaa60542 жыл бұрын
Swadact sheikh Yusuf, ukweli mtupu Allah akulipe kila la kher
@gamalashur54122 жыл бұрын
ALLAH ATAWAZIDISHIA ILMU NA KUWAPA SUBRA ZAIDI MUTUPE FAIDA ZAIDI INSHA ALLAH.
@achanifumos10932 жыл бұрын
Allah amuongoze mwanamke yoyote anae kwenda kinyume na dini na awape haya madada zetu na mama zetu na jamii islamu...Allah atujaalie tuione haki na tuweze kuifuata na atuoneshe batil na tuweze kuiepuka.....amiin
@eshasaid32586 ай бұрын
Shukran shk yusuf nikweli hayo simaneno yakusikiya nitujikane watuabisha sana kweye mitadao atuogoze allah piya hawana hishima❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@haseanatnsanya20792 жыл бұрын
Inna lirahi innalillah wajiun mungu atukinge namaasi. atujalie na mema amina
@user-fr5pv7dz7q4 ай бұрын
Maasha Allah kheir iloje kupata mafunzo kama hayo wakti huu mgumu . Kila mtu yuko mbioni. Allah akupe umri na afya umjie nyanya yangu anakusikiza usiku na mtana.maasha ALLAH
@halimmnav94582 жыл бұрын
Eeeh Mungu wangu nipe mwisho mwema. Huu ni msiba kwetu
@salamakhamis80922 жыл бұрын
Alla akuhifadhi yaa Sheykh
@fatmayusuf16562 жыл бұрын
Hili gonjwa sana wanawake huoni wanaume Allah atuongoze ugonjwa mkubwa sana shukraan sheikh
@Ukhtyzuhura2 жыл бұрын
Allah akuzidishie umri mrefu na afya njema na elmu manufaa ili tuzidi kueleimika
@runtownbanger5098
2 жыл бұрын
Ameen zuhurw
@runtownbanger5098
2 жыл бұрын
Zuhura
@ismailyusuph7402 жыл бұрын
Kiufupi wanawake ni mtihani sana...!...Na wanawake Ndio huona haki yao kwenye mambo kama Hayo yasiyofaa....wanasahau kwamba mwanamke ni kiumbe bora sana’ Na ni kiumbe ambacho kina uwezo wa kuharibu kizazi Kwa asilimia kubwa...! leo mwanamke huona fahari mitandaoni Kukaa utupu’ kutingisha makalio.’ Yaani kila aina ya Aibu mwanamke anaifanya mtandaoni...hii ni khatari sana’ ni lazma TUWATETEE WANAWAKE Kwa kuwaambia adui yake mkubwa ni NAFSI yake mwenyewe kuiingiza kwenye UPOTOVU na kuweka mambo yao ya AIBU mitandaoni...!...ALLAHU AKBAR....!
@fatumamuya2139
2 жыл бұрын
Ni kweli Kaka Allah atupe mwisho mwema
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Ukichunguza kwa undani zaidi unakuta mattzo mengi sana yanasababishwa na wanaume. M'me km kakosea kuoa au hajui majukumu yake vizazi vinapotea. Na vile vizazi vinavyopotea ndio unakuta asilimia kubwa ndio vinavyopotosha wale walioongoka.
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Baadhi ya masheikh huruhusu mpaka m'me kuoa m'ke wa kikiristo (mshirikina) wakidai ni ahlul kitabu. Hamsomeshi wala hamsilimi halafu tunategemea kizazi kitakuaje? Kinaeza kupotea/kupoteza. Na hio mitandao ndio imekuja tena unakuta ni mitihani mengine mikubwa zaidi lkn unakuta waloipokea mwanzo ni watu wasiopata malezi ya kiisilam na wao wakitenda na wengine hata wenye malezi nao hufuatia.
@heyumi2340
2 жыл бұрын
katika upande wa mtandao ni kila sampo ipo kwa mtandao waume ni balaa kwawake zao yaan c mwanaume c mwanamke kwa dunia yann ni mtihan wanaume dini hakuna wanawake dini hakuna
@aminaathumani68322 жыл бұрын
Mungu tusaidiyee wanawake jamaniii 🙏🤲🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤲☹️☹️☹️
@asyaasya37662 жыл бұрын
Shukran skeikh wetu mpendwa kwa kutuelimisha
@haseanatnsanya20792 жыл бұрын
Allhamdullaah Allaah atuongoze ktk mambo yakheli dunian na akhera inshaallaah mungu akuzidishie mema
@muhammedasaa44862 жыл бұрын
Asante kwa kuelimisha jamii Allah akuzidishie elimu
@sirpleasureb2 жыл бұрын
mawaidha safi na hekima ya hali ya juu na lugha safi pia.shalom
@happynesbaemuhappynes88132 жыл бұрын
Allah akujaze kila la kheri Sheikh Yusuf.shukrani kwa kutuelimisha
@verynicethifilmnuur1alrahb8872 жыл бұрын
Subhannallah Allah atujalie mwisho atujalie husnul khatim yaarabil mtihani mzito huu
@naswiharashid71662 жыл бұрын
Inna Lilahi Wainna Ilayhi Rajiun ni kweli sheikh uloyasema hz social median zawazuzuwa wanadamu na hio tiktok Allahu Akbar yaskitisha sn utaona mwanamke mwenye watto afanya mambo ya kipuuzi ktk hio tiktok hujibadilisha sura zake akajifanya mwanamume huku atekesha watu Subhana Allah yaskitisha sn Masheikh wetu zidini kuwanaswihi watu kuhusu hz social medium Allah akuzidishiye ilmu yako Amin
@sikukuuchuo30932 жыл бұрын
Walykumsalam warhmatullah wabarakatuh🙈 Sheikh leo umenichekesha kitovu kibovu kimefua.Subhnallah Mungu atuhidi katika njia iliyonjooka
@aydaawadh3882 жыл бұрын
Subhallah Allah atuongoze
@nasradada70502 жыл бұрын
Allah atujalie. Na atu ongoze waja wake
@sakinat2527
2 жыл бұрын
Amiin
@yasodishonest97922 жыл бұрын
Shukran shekhe wetu. Kweli kabisa yani. Simu zinatupeleka motoni.Allah atuifazi.watoto ndokabisa wa nazipenda kuliko wazazi wao😓waweza kumuuliza mtoto wa ss mama na simu unapenda nn akakujibu na penda simu tena i phone 😭
@heyumi2340
2 жыл бұрын
kwa upande wa sim kila mtu ako nayo isipokuwa asiyekuwa na uwezo wa kununua sim
@fatumafatuma14592 жыл бұрын
MASHALLA Allah UBARIKIWE ww na KIZAZI CHAKO unafahamisha uzuri
@maryamfaraj74982 жыл бұрын
Alhamdillah...ukweli...Allah atuhifadhi atupe rehma yake kesho InshaAllah.
@aboukarlee64742 жыл бұрын
Mungu atuongoze👏🏻
@hamisamaundi56612 жыл бұрын
Swadakta sheikh, wanawake wakiislam tumekuwa kama atuna kiongozi na muongozo wa dini yetu, inaskitisha sheikh
@leilahassan61572 жыл бұрын
Mashallah.kweli kabisa.
@habibamkuzi18202 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@sikukuuchuo30932 жыл бұрын
Kumbe mcheshi Mungu akujaalie kheri Afia njema INSHALLAH uzidi kutuelimisha.
@nadhramuhammad76042 жыл бұрын
Mashaallah
@aminakawir1742 жыл бұрын
ManshaAllah
@salmakayanda81262 жыл бұрын
Subuhannallah Allah tusamehe na utunusuru
@marinamooh40552 жыл бұрын
SubhanaAllah, 😭Allah tupe mwisho mwema🤲🏿
@zohoraramadan45402 жыл бұрын
Swadakta shekhe binafsi alhamdulillah nimekuwa nikifaidika kupitia simu
@ahmedsukeyna80342 жыл бұрын
Jazakalahu khail Sheik
@sabrinayounisaden72382 жыл бұрын
JazaakAllah shiekh
@ukhtyhumairah732 жыл бұрын
Allah atupe mwisho mwema tufe khali yakuwa tuko waislam ya Allah
Mjomba maneno mazito ukweli mtupu mashallah suluhisho kwa watoto ni simu kuzitis lock ili wasiweze kucheza gemu mana zinawapumbaza kwa watu wazima na vijana ni simu kuwacha kutizama habari mbaya au kununua simu si za smart phone
@aqmmsm557 ай бұрын
Kwa maoni yangu suluhisho tujitahidikuitumia mitandao kwa yale yanayomndezesha ALLAH
Sheikh umegusa ndipo yaani hio tiktok mpaka imesinya wallahi
@shamimnassor61922 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💯📌
@Ukhtyzuhura2 жыл бұрын
Hakika huu mtihani mkubwaa Jangaa la dunia
@sahromohamed43752 жыл бұрын
Allaah atustiri
@a.8562 жыл бұрын
Jazakallah khayran
@Ukhtyzuhura2 жыл бұрын
Yaani hii mada naisubiri Kwa hamu wallah nijue suluhisho
@adijaamur9622 жыл бұрын
😭😭😭😭😭🙆♂️🙆♂️🙆♂️
@amnahnyangasi83302 жыл бұрын
Simu mtihani kubwa
@gshdhvdhf82832 жыл бұрын
Sheikh uthman maalimu alisema simu yako uisilimishe na mimi nakubaliana wewe kama ni muislam basi simu itasilimu.
@halemahalema72662 жыл бұрын
Ahsantu
@zeitunadabaso71972 жыл бұрын
Asc
@heyumi23402 жыл бұрын
kuna mwanaume kakatwa uume kwa sababu ya sim kapigiwa sim mda wa kulala haitoshi sim haikupokewa katuma sms laa mke kaona bora kuikata 😁😁😁🤸🤸
@rokiroki18252 жыл бұрын
Sheh tujue tu matumiz yale mabaya tuyaache
@minakhamiskhamisi61932 жыл бұрын
Mm ningeomb hii kitu kinatwa tiktok jmn subhhanalh wanawk ambao wako tiktok jmn jmn wanachez uchi mtu amevaa hijab unakut akata mauno wanavaa nguo z ajb ajb hazin madili kun watu wazim mtu amevaa kazu n anachez nae music yn mungu atustiri walhi moton tutaend walh mtandao wa sim unaharib watu jmn
@fatumafatuma14592 жыл бұрын
Una wake wangapi km hjakamilisha na mm uje uniowe
@arthamsharibbya97782 жыл бұрын
Nimtihan kwakweli. wanawake tumekosa haya kabisa wala hofu ya allah
@user-lv9cu1hn1q2 жыл бұрын
Hukum ya talaka tatu kzread.info/dash/bejne/lqustJuucqesoZs.html
@shanelloyd12782 жыл бұрын
John 3:16 For God so loved the world that He gave His only begotten Son, that whoever believes in Him should not perish but have everlasting life. John 14:6 Jesus said to him, “I am the way, the truth, and the life. No one comes to the Father except through Me.
@sophianyangalio37962 жыл бұрын
SubhaAllah Allah atunusuru wallah ni mtihan sn hasa ss wanawake mtihan i imekuwa waz waz nandyo sababu hata wanaume weng hawaowi maana kila kitu wanaviona hata kabla hajaowa
Пікірлер: 93
Allah nijaàliye niwe mke mwema kwa mumemewangu na mama bora kwa kizazichangu
@jumamuhando2504
2 жыл бұрын
Amina inshaallah
@sahromohamed4375
2 жыл бұрын
Alahuma Amiiin
@rahmaabdulla4949
2 жыл бұрын
Amiin
Subhanallah Allah atustiri navizazi vyetu wanawake
LailahaillaAllah Muhammada Rasuulullah ..tupo kwenye mtihani mzito wallah Allah atusaide
@user-pj8ed9kn6g
2 жыл бұрын
اللهم آمين يارب العالمين
@fahadnassor2291
2 жыл бұрын
T
@rahmaabdulla4949
2 жыл бұрын
Amiin
@marinamooh4055
2 жыл бұрын
Ameen Yaa Rabby Alamein 🤲🏿😭
Inna lillah wa inna ilaihi radjiun, Cheikh wetu Allah akupe umri mrefu wenye kheri na bakara uzidi kutuelimisha , Allah atupe husnal khatimah🤲
Wallah sheikh wetu unaujua mujtamaa yote ni kweli Ummah tunaangamia na Kwa utandawazi na usasa tuna copy maisha ya kimagharibi
Subhannallah Allah atujaalie husnul khatimah yaarabby
@user-pj8ed9kn6g
2 жыл бұрын
اللهم آمين يارب العالمين كلهم
@rahmaabdulla4949
2 жыл бұрын
Amiin
@marinamooh4055
2 жыл бұрын
Ameen
Swadact sheikh Yusuf, ukweli mtupu Allah akulipe kila la kher
ALLAH ATAWAZIDISHIA ILMU NA KUWAPA SUBRA ZAIDI MUTUPE FAIDA ZAIDI INSHA ALLAH.
Allah amuongoze mwanamke yoyote anae kwenda kinyume na dini na awape haya madada zetu na mama zetu na jamii islamu...Allah atujaalie tuione haki na tuweze kuifuata na atuoneshe batil na tuweze kuiepuka.....amiin
Shukran shk yusuf nikweli hayo simaneno yakusikiya nitujikane watuabisha sana kweye mitadao atuogoze allah piya hawana hishima❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Inna lirahi innalillah wajiun mungu atukinge namaasi. atujalie na mema amina
Maasha Allah kheir iloje kupata mafunzo kama hayo wakti huu mgumu . Kila mtu yuko mbioni. Allah akupe umri na afya umjie nyanya yangu anakusikiza usiku na mtana.maasha ALLAH
Eeeh Mungu wangu nipe mwisho mwema. Huu ni msiba kwetu
Alla akuhifadhi yaa Sheykh
Hili gonjwa sana wanawake huoni wanaume Allah atuongoze ugonjwa mkubwa sana shukraan sheikh
Allah akuzidishie umri mrefu na afya njema na elmu manufaa ili tuzidi kueleimika
@runtownbanger5098
2 жыл бұрын
Ameen zuhurw
@runtownbanger5098
2 жыл бұрын
Zuhura
Kiufupi wanawake ni mtihani sana...!...Na wanawake Ndio huona haki yao kwenye mambo kama Hayo yasiyofaa....wanasahau kwamba mwanamke ni kiumbe bora sana’ Na ni kiumbe ambacho kina uwezo wa kuharibu kizazi Kwa asilimia kubwa...! leo mwanamke huona fahari mitandaoni Kukaa utupu’ kutingisha makalio.’ Yaani kila aina ya Aibu mwanamke anaifanya mtandaoni...hii ni khatari sana’ ni lazma TUWATETEE WANAWAKE Kwa kuwaambia adui yake mkubwa ni NAFSI yake mwenyewe kuiingiza kwenye UPOTOVU na kuweka mambo yao ya AIBU mitandaoni...!...ALLAHU AKBAR....!
@fatumamuya2139
2 жыл бұрын
Ni kweli Kaka Allah atupe mwisho mwema
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Ukichunguza kwa undani zaidi unakuta mattzo mengi sana yanasababishwa na wanaume. M'me km kakosea kuoa au hajui majukumu yake vizazi vinapotea. Na vile vizazi vinavyopotea ndio unakuta asilimia kubwa ndio vinavyopotosha wale walioongoka.
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Baadhi ya masheikh huruhusu mpaka m'me kuoa m'ke wa kikiristo (mshirikina) wakidai ni ahlul kitabu. Hamsomeshi wala hamsilimi halafu tunategemea kizazi kitakuaje? Kinaeza kupotea/kupoteza. Na hio mitandao ndio imekuja tena unakuta ni mitihani mengine mikubwa zaidi lkn unakuta waloipokea mwanzo ni watu wasiopata malezi ya kiisilam na wao wakitenda na wengine hata wenye malezi nao hufuatia.
@heyumi2340
2 жыл бұрын
katika upande wa mtandao ni kila sampo ipo kwa mtandao waume ni balaa kwawake zao yaan c mwanaume c mwanamke kwa dunia yann ni mtihan wanaume dini hakuna wanawake dini hakuna
Mungu tusaidiyee wanawake jamaniii 🙏🤲🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤲☹️☹️☹️
Shukran skeikh wetu mpendwa kwa kutuelimisha
Allhamdullaah Allaah atuongoze ktk mambo yakheli dunian na akhera inshaallaah mungu akuzidishie mema
Asante kwa kuelimisha jamii Allah akuzidishie elimu
mawaidha safi na hekima ya hali ya juu na lugha safi pia.shalom
Allah akujaze kila la kheri Sheikh Yusuf.shukrani kwa kutuelimisha
Subhannallah Allah atujalie mwisho atujalie husnul khatim yaarabil mtihani mzito huu
Inna Lilahi Wainna Ilayhi Rajiun ni kweli sheikh uloyasema hz social median zawazuzuwa wanadamu na hio tiktok Allahu Akbar yaskitisha sn utaona mwanamke mwenye watto afanya mambo ya kipuuzi ktk hio tiktok hujibadilisha sura zake akajifanya mwanamume huku atekesha watu Subhana Allah yaskitisha sn Masheikh wetu zidini kuwanaswihi watu kuhusu hz social medium Allah akuzidishiye ilmu yako Amin
Walykumsalam warhmatullah wabarakatuh🙈 Sheikh leo umenichekesha kitovu kibovu kimefua.Subhnallah Mungu atuhidi katika njia iliyonjooka
Subhallah Allah atuongoze
Allah atujalie. Na atu ongoze waja wake
@sakinat2527
2 жыл бұрын
Amiin
Shukran shekhe wetu. Kweli kabisa yani. Simu zinatupeleka motoni.Allah atuifazi.watoto ndokabisa wa nazipenda kuliko wazazi wao😓waweza kumuuliza mtoto wa ss mama na simu unapenda nn akakujibu na penda simu tena i phone 😭
@heyumi2340
2 жыл бұрын
kwa upande wa sim kila mtu ako nayo isipokuwa asiyekuwa na uwezo wa kununua sim
MASHALLA Allah UBARIKIWE ww na KIZAZI CHAKO unafahamisha uzuri
Alhamdillah...ukweli...Allah atuhifadhi atupe rehma yake kesho InshaAllah.
Mungu atuongoze👏🏻
Swadakta sheikh, wanawake wakiislam tumekuwa kama atuna kiongozi na muongozo wa dini yetu, inaskitisha sheikh
Mashallah.kweli kabisa.
Ma shaa Allah
Kumbe mcheshi Mungu akujaalie kheri Afia njema INSHALLAH uzidi kutuelimisha.
Mashaallah
ManshaAllah
Subuhannallah Allah tusamehe na utunusuru
SubhanaAllah, 😭Allah tupe mwisho mwema🤲🏿
Swadakta shekhe binafsi alhamdulillah nimekuwa nikifaidika kupitia simu
Jazakalahu khail Sheik
JazaakAllah shiekh
Allah atupe mwisho mwema tufe khali yakuwa tuko waislam ya Allah
@rahmaabdulla4949
2 жыл бұрын
Amiin thumma Amiin
MashaAllah
Subhanallah Allah atupe mwisho mwema
Innaa lillahi wainna ilayhi raajiuun. Msiba mzito .
Inna lillahi waina ileyhi rajicuun😢
ALLAH atusamehe kwa makosa tunayofanya
Mjomba maneno mazito ukweli mtupu mashallah suluhisho kwa watoto ni simu kuzitis lock ili wasiweze kucheza gemu mana zinawapumbaza kwa watu wazima na vijana ni simu kuwacha kutizama habari mbaya au kununua simu si za smart phone
Kwa maoni yangu suluhisho tujitahidikuitumia mitandao kwa yale yanayomndezesha ALLAH
👍
Yaarab tusamehe waja wako..yote ulio yazungumza shekh wetu ndio yaliop ssa..nimsib.mzito kw waislamu 🥺😭😭
Swadakta 👌
Sheikh umegusa ndipo yaani hio tiktok mpaka imesinya wallahi
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💯📌
Hakika huu mtihani mkubwaa Jangaa la dunia
Allaah atustiri
Jazakallah khayran
Yaani hii mada naisubiri Kwa hamu wallah nijue suluhisho
😭😭😭😭😭🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Simu mtihani kubwa
Sheikh uthman maalimu alisema simu yako uisilimishe na mimi nakubaliana wewe kama ni muislam basi simu itasilimu.
Ahsantu
Asc
kuna mwanaume kakatwa uume kwa sababu ya sim kapigiwa sim mda wa kulala haitoshi sim haikupokewa katuma sms laa mke kaona bora kuikata 😁😁😁🤸🤸
Sheh tujue tu matumiz yale mabaya tuyaache
Mm ningeomb hii kitu kinatwa tiktok jmn subhhanalh wanawk ambao wako tiktok jmn jmn wanachez uchi mtu amevaa hijab unakut akata mauno wanavaa nguo z ajb ajb hazin madili kun watu wazim mtu amevaa kazu n anachez nae music yn mungu atustiri walhi moton tutaend walh mtandao wa sim unaharib watu jmn
Una wake wangapi km hjakamilisha na mm uje uniowe
Nimtihan kwakweli. wanawake tumekosa haya kabisa wala hofu ya allah
Hukum ya talaka tatu kzread.info/dash/bejne/lqustJuucqesoZs.html
John 3:16 For God so loved the world that He gave His only begotten Son, that whoever believes in Him should not perish but have everlasting life. John 14:6 Jesus said to him, “I am the way, the truth, and the life. No one comes to the Father except through Me.
SubhaAllah Allah atunusuru wallah ni mtihan sn hasa ss wanawake mtihan i imekuwa waz waz nandyo sababu hata wanaume weng hawaowi maana kila kitu wanaviona hata kabla hajaowa
Yaarab tusamehe waja wako..yote ulio yazungumza shekh wetu ndio yaliop ssa..nimsib.mzito kw waislamu 🥺😭😭