Mashallah Wafalme wawili kwenye Nasheed moja Tunaelimika na kuburudika Asanteni sana.
@user-ph9ds9dm7w2 сағат бұрын
Mashallah.Ni kweli Marafiki wema wamekuwa wachache Allah Atujalie Marafiki wema.
@user-ph9ds9dm7w4 сағат бұрын
Nasheed nzuri sana nawapenda kwa Ajili ya Allah.
@user-qq4bb5cy4m3 күн бұрын
Mashallah
@user-qq4bb5cy4m3 күн бұрын
Wasim mimi ni nahla dugu wa Muhammad wa soma shakhsyah sio wamjua Muhammad kila siku yu ala na nyny basi .msali.mie Yusuf abdiy rafiko ya Muhammad na wangu Wasim Yusuf muadh Yusuf ...
@yassirkayowa5063 күн бұрын
Shukran shekh Yusuf Abdo
@user-yj6yc8fr5z3 күн бұрын
Masha allag
@BahjoAbdi-dh9cl7 күн бұрын
❤❤
@dadiriissamuyaabdulqadirissa7 күн бұрын
1M
@zainabjumaa30558 күн бұрын
Ya rabby msamehe baba yangu upe kauli thaabit amsamehe makosa yake mjaalie kaburi lake liwe ni bustani miongoni mwa ma bustani ya peponi na asijaalie kuwa ni shimo miongoni mwa ma shimo ya motoni amiinii
@mbarakaomary10 күн бұрын
Shukurani Shekh
@AbubakariRashidi-nk8yk13 күн бұрын
Hashat uko vizur sana karibu lushoto tanga❤❤❤❤
@nfyoutube14 күн бұрын
❤❤❤ 🙏
@falidiamiiamii-jz5pf14 күн бұрын
Mashallah manen sahih kabisa lazm tuonyane sh lazm tuamrishan na tuonyane
@user-dn1wd9ru3r15 күн бұрын
Kweli kabisa waume wengi tumekuwa madayyuth..waume tumekaliwa chapati na wake zetu..hao waliowavuta wake zao ma video wakicheza hali ya kua wamejipamba ukichunguza wengi wao mke ndio mtawala wa nyumba..Mke ndo kusema ndani ya io nyumba inafikia hali mume anakua kama dondocha kwa mkewe😮
@user-wb2br3bs7r15 күн бұрын
Innalillah wainna ilaih rajiuun
@khadijabakar384215 күн бұрын
Wallah Sheikh unayosema ni kweli ...Allah atuhifadhi sisi wanawake wa sasaivi ...Tumeipa dini Dharau na kuipakipaumbele Mitandao ya kijamii
@user-vg6gp3bz1f15 күн бұрын
Kabsaaa 💯 umeongea vyema Allah akulipe kheri Shekh Akihifadhi
@user-qx1nm8kp9b15 күн бұрын
Shekh up sahihi allah akumbarik
@user-qx1nm8kp9b15 күн бұрын
Aslm alaykum shekh naomba kuuliz swal
@balkissMuhammad-sk1ic15 күн бұрын
Bismillah
@JidahHamisi-wq5yh15 күн бұрын
Subhannallah subhannallah 😢😢😢😢 nimeumia San kwakweli sheikhe Allah akulinde na kil lenye Shari naw sijawahi posti wala hill failed sina kabis ila ninesikitika San kwaajili ya dad zetu tumeibeba dunia wallah 😢😢😢
@khadijaabdulaziz829716 күн бұрын
Hapa izungumzwe wanawake tumezidi wacha tupewe darasa turudini sote kwa Allah
@FatmaSuleiman-cy4fu16 күн бұрын
Mtihan sheikh Allah awaongoze
@sayeedmsct425516 күн бұрын
Masha-allah yaa sheikh Allah akulinde
@user-xr5lf6pe1n16 күн бұрын
Mashallah mungu akupeni afya njema muzidi kuelewesh ummati wa MTUME S.A.W mana tunafika mbali bilisi ametutawala sana Allah sw atuepushe na shari zake
@hemedmohammed465816 күн бұрын
SubhaAllah 😢
@a.85616 күн бұрын
Jazakallah khayran
@AsoumanTuyishime-on1of16 күн бұрын
Sheikh tuna shukuru sana
@eidduke791116 күн бұрын
Wapi huko ustadh. Ama kuna nn
@AkbarKhan-ii4fo16 күн бұрын
@AkbarKhan-ii4fo 0 seconds ago Asalaam Aleikum Warahmatullahi Wabarakatuh Masha Allah sheikh! Shukran kwa malezo , mawaidha ya uwazi kabisa
@AkbarKhan-ii4fo16 күн бұрын
Asalaam Aleikum Warahmatullahi Wabarakatuh Masha Allah sheikh! Shukran kwa malevolent, mawaidha ya uwazi kabisa
@mohamedsalimaljahdhamy143616 күн бұрын
Maa Shaa Allah Allah akubarik shekh umesema maneno mazito sana na Allah atufanyie wepesi maana kwa kweli mitandao ya kijamii saivi imekuwa ni tatizo kubwa na ndio chombo kinachotuharibia maadili ya vijana wetu wa kiislamu.
@boot3016 күн бұрын
ماشاءالله تبارك الله
@patavyoteonlinetv217718 күн бұрын
mashallah
@ZulfaKatunda19 күн бұрын
Maasha allaah
@boot3024 күн бұрын
❤
@AyishaOman-cw4xs24 күн бұрын
❤❤❤
@AyishaOman-cw4xs24 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@farrysultanumtaha5515Ай бұрын
shukran ❤
@HajrahRamadanАй бұрын
Shehe nakuomba Mungu akusamehe ulipo teleza kama mwanadamu,kupitia mawaidha haya akulipe pepo
@HajrahRamadanАй бұрын
Assalamu alykm warahmatulah wabarakatu, alhamndulilah ,nikweli ndoa nyingi zimevunjika kwa wanaume kutokujitambua matokeo yake wanalaumu wanawake ,mwenyezimungu akulipe na wajifunze neno kutoka kwako ili wanusuru ndoa
@HalimaHamadi-to4xkАй бұрын
Ninampenda sana baba yangu❤❤❤❤❤❤❤❤
@ukhtymwana40Ай бұрын
Hii nasheed hainisha hamu kila siku naisikiliza ni nzuri kwakweli
@raoudhoi4078Ай бұрын
macha lahou longue mougou ata ndaeli woumri naheri nambaraka na familliya icha allahou yaroibi 🤲🤲🤲
@raoudhoi4078Ай бұрын
macha lahou longue vie à toi icha allahou yaroibi 😢😢😢😢😢😭😭😭😭😢😢🥺🥺🥹😭😭😭😭😭
@MudiKitoy-lv7cgАй бұрын
Allah awarehem wazazi wetu,tuwahurumie jamani bila kujali hali zetu
@SabkiMuhdar-dm6mzАй бұрын
Ameen
@MikidadiLabiaАй бұрын
Masha Allah, barakallah fikar
@user-qg7ve6ys1tАй бұрын
@ubaydullahbntchombara... Waleykumu'Ssalam warahmatullahi wabarakatuh shukran sana sheikh kwa ukumbusho mwema Allah akuzidishie elimu yenye manufaa.!
Пікірлер
Mashallah Wafalme wawili kwenye Nasheed moja Tunaelimika na kuburudika Asanteni sana.
Mashallah.Ni kweli Marafiki wema wamekuwa wachache Allah Atujalie Marafiki wema.
Nasheed nzuri sana nawapenda kwa Ajili ya Allah.
Mashallah
Wasim mimi ni nahla dugu wa Muhammad wa soma shakhsyah sio wamjua Muhammad kila siku yu ala na nyny basi .msali.mie Yusuf abdiy rafiko ya Muhammad na wangu Wasim Yusuf muadh Yusuf ...
Shukran shekh Yusuf Abdo
Masha allag
❤❤
1M
Ya rabby msamehe baba yangu upe kauli thaabit amsamehe makosa yake mjaalie kaburi lake liwe ni bustani miongoni mwa ma bustani ya peponi na asijaalie kuwa ni shimo miongoni mwa ma shimo ya motoni amiinii
Shukurani Shekh
Hashat uko vizur sana karibu lushoto tanga❤❤❤❤
❤❤❤ 🙏
Mashallah manen sahih kabisa lazm tuonyane sh lazm tuamrishan na tuonyane
Kweli kabisa waume wengi tumekuwa madayyuth..waume tumekaliwa chapati na wake zetu..hao waliowavuta wake zao ma video wakicheza hali ya kua wamejipamba ukichunguza wengi wao mke ndio mtawala wa nyumba..Mke ndo kusema ndani ya io nyumba inafikia hali mume anakua kama dondocha kwa mkewe😮
Innalillah wainna ilaih rajiuun
Wallah Sheikh unayosema ni kweli ...Allah atuhifadhi sisi wanawake wa sasaivi ...Tumeipa dini Dharau na kuipakipaumbele Mitandao ya kijamii
Kabsaaa 💯 umeongea vyema Allah akulipe kheri Shekh Akihifadhi
Shekh up sahihi allah akumbarik
Aslm alaykum shekh naomba kuuliz swal
Bismillah
Subhannallah subhannallah 😢😢😢😢 nimeumia San kwakweli sheikhe Allah akulinde na kil lenye Shari naw sijawahi posti wala hill failed sina kabis ila ninesikitika San kwaajili ya dad zetu tumeibeba dunia wallah 😢😢😢
Hapa izungumzwe wanawake tumezidi wacha tupewe darasa turudini sote kwa Allah
Mtihan sheikh Allah awaongoze
Masha-allah yaa sheikh Allah akulinde
Mashallah mungu akupeni afya njema muzidi kuelewesh ummati wa MTUME S.A.W mana tunafika mbali bilisi ametutawala sana Allah sw atuepushe na shari zake
SubhaAllah 😢
Jazakallah khayran
Sheikh tuna shukuru sana
Wapi huko ustadh. Ama kuna nn
@AkbarKhan-ii4fo 0 seconds ago Asalaam Aleikum Warahmatullahi Wabarakatuh Masha Allah sheikh! Shukran kwa malezo , mawaidha ya uwazi kabisa
Asalaam Aleikum Warahmatullahi Wabarakatuh Masha Allah sheikh! Shukran kwa malevolent, mawaidha ya uwazi kabisa
Maa Shaa Allah Allah akubarik shekh umesema maneno mazito sana na Allah atufanyie wepesi maana kwa kweli mitandao ya kijamii saivi imekuwa ni tatizo kubwa na ndio chombo kinachotuharibia maadili ya vijana wetu wa kiislamu.
ماشاءالله تبارك الله
mashallah
Maasha allaah
❤
❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
shukran ❤
Shehe nakuomba Mungu akusamehe ulipo teleza kama mwanadamu,kupitia mawaidha haya akulipe pepo
Assalamu alykm warahmatulah wabarakatu, alhamndulilah ,nikweli ndoa nyingi zimevunjika kwa wanaume kutokujitambua matokeo yake wanalaumu wanawake ,mwenyezimungu akulipe na wajifunze neno kutoka kwako ili wanusuru ndoa
Ninampenda sana baba yangu❤❤❤❤❤❤❤❤
Hii nasheed hainisha hamu kila siku naisikiliza ni nzuri kwakweli
macha lahou longue mougou ata ndaeli woumri naheri nambaraka na familliya icha allahou yaroibi 🤲🤲🤲
macha lahou longue vie à toi icha allahou yaroibi 😢😢😢😢😢😭😭😭😭😢😢🥺🥺🥹😭😭😭😭😭
Allah awarehem wazazi wetu,tuwahurumie jamani bila kujali hali zetu
Ameen
Masha Allah, barakallah fikar
@ubaydullahbntchombara... Waleykumu'Ssalam warahmatullahi wabarakatuh shukran sana sheikh kwa ukumbusho mwema Allah akuzidishie elimu yenye manufaa.!