MWANAJESHI AJILIPUA MBELE YA RAIS SAMIA - "MAMA KIKOKOTOO KITATUUA, UKINIPA CHEO NITAFURAHIA"
Ойын-сауық
MWANAJESHI AJILIPUA MBELE YA RAIS SAMIA - "MAMA KIKOKOTOO KITATUUA, UKINIPA CHEO NITAFURAHI"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 30
Huyo safi sana, kikokoto kinawaumiza waastaafu
Bora ume mwambia ukweli
Safiii!! Kikokotooo!!
@jumakapilima7295
10 ай бұрын
maaskofu Katika hili la kikokotoo hawatoi waraka, sijui hawaoni kuwa waleta sadaka madhabahuni wanaathiriwa na kikokotoo? Tena kilio cha kikokotoo kina muda sasa, lakini wala! Wametulia Tu wala hawasemi kuwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu! Wanawaangalia Tu waleta sadaka madhabahuni wakiumizwa na kikokotoo!! Ndio maana tunapata mashaka na kelele zao kuhusu Bandari , kuna nini?
اللهم اهدهم وإن لم تهدهم فخذهم وانصر دينك وصلى الله على محمد وآله وصحبه وسلم
@issamtei
10 ай бұрын
Amiina
Amefanya vizuri sana kuwasilisha suala la kikokotoo moja kwa moja kwa mh.Rais na amejibu kwa kuahidi kufanyaia kazi, kikokotoo kinaumiza wastaafu sana
Hicho kikokotoo kiende na Kwa wabunge kila wanapo maliza miaka mitano wafyekweeeeee na wao hapo utasikia marekebisho ya Sheria mapema
Enyi wahuni mnao jinasibu na Dini tukufu ya kiislamu Acheni kuitukanisha na kuichafua Dini hii kwa sababu ya njaa zenu na kama hamtaki kubadilika ALLAHU Akuangamizeni nyinyi na hao maadui wa uislamu wanaokutumeni muichafue dini✓
@liberatusjackson5045
10 ай бұрын
Toa ushamba maviiii wwss tunataka amaniii kaaukouko
@iva-ox2qn
10 ай бұрын
Huku ukristo huku uislam , kweli kazi ya shetani , dini za shetani , divide and rule.
@user-ou7pg1tx9x
10 ай бұрын
Hilo vazi tu kaka wacha kuwa serious sana,.
@HusseinRj
10 ай бұрын
isikurupuke Mzee , kikatiba Hilo ni vazi la Pwani Wala sio la Dini.
@user-ns5bw3dw6e
10 ай бұрын
@@liberatusjackson5045una kauli chafu weye
Ujumbe umefika kwa mama kikokotoo
Kikokotooo ni hatari sanaaaaa
@sarahmuhammed6872
10 ай бұрын
Kikokotoo ndo ninini
@geofreysadok4823
10 ай бұрын
@@sarahmuhammed6872uatartibu mpya wa kutoa mafao kwa wastaafu,mfano mtu ulikuwa upate million 100 ya mafao unajikuta umepewa million 50 au 40
Kwa kukata mauno ndo mama atasikia kufuta kikokotoo aya ngoja tuone
Kikokotoo ndo niniji
Ili zee vp
@liberatusjackson5045
10 ай бұрын
Shari
@jumakapilima7295
10 ай бұрын
Pumbavu wewe
Ondokeni ongeleeni mambo ya muhimu kama bandari
@jumakapilima7295
10 ай бұрын
Hapo ndio usenge wenu ulipo, waache wajadili Mambo ya msingi, suala la bandari jadilini nyie na maaskofu wenu mnaoona biashara zenu za ujanjaujanja kupitia bandari zinakwenda kwisha, na Kwa taarifa yako mahakama ishawapiga chini tayari sasa kaeni Kwa kutulia Mwarabu aje apige kazi
Haya mazee Majinga haya ndio yaponxa taifa
@liberatusjackson5045
10 ай бұрын
Acha mawazo maviii upendiii amani
@jumakapilima7295
10 ай бұрын
Pumbavu wewe