MWALIMU WA NIDHAMU PART 1

Комедия

#babajoan #comedy #school

Пікірлер: 153

  • @Jumannejr09
    @Jumannejr096 ай бұрын

    Wakwanza kama unamkubali baba Joan ❤❤

  • @silviajuma5510
    @silviajuma55106 ай бұрын

    Hongera sana baba Joan kwa kazi nzuri na mungu akizidishie kipaji zaidi nakupenda sana ktk Kenya🇰🇪❤️❤️

  • @nabahyaombeni-ic4ft
    @nabahyaombeni-ic4ft6 ай бұрын

    Leo Mimi wakwanza naomba like hata tatu please 🙏❤️❤️

  • @mutombocelestin5748

    @mutombocelestin5748

    6 ай бұрын

    Super 🥰❤️❤️❤️

  • @SafarEliezer

    @SafarEliezer

    6 ай бұрын

    Mahapake

  • @gracembando8337

    @gracembando8337

    23 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @judithpendo9985
    @judithpendo99856 ай бұрын

    Tumeanza nayo km team strong n lazma tumalize nayo nawapenda kutoka 🇰🇪🇸🇦

  • @user-fh5ko7he2z
    @user-fh5ko7he2z6 ай бұрын

    Jamani kumbe kuna kitu kipya huku nimechelewa lakini nimewahi, baba Joan nakubali na team yako🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤😂

  • @ibrahimmabrouk-vn3uo
    @ibrahimmabrouk-vn3uo6 ай бұрын

    kidogo sauti kunawakati inakua juu na wakati mwengine chini rekebisha hapo asante

  • @Jaydannychawaboy1.
    @Jaydannychawaboy1.6 ай бұрын

    Nimekua wa Kwanza jamani nipeni likes zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😂😂😂

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula6 ай бұрын

    Almarufu baba joan unapata wp mda wa kuzianda filamu kaa hz ambazo pia n nzuri kbs ili hali mwalimu mgeni bado kumalizika

  • @user-tc7ux3mq4r
    @user-tc7ux3mq4r6 ай бұрын

    Kazi safi baba Joan ❤❤❤

  • @user-zs2hc9qc4p
    @user-zs2hc9qc4p6 ай бұрын

    Ila patronize Ana swaga Kali dah😂😂😂😂

  • @maalimali5513
    @maalimali55136 ай бұрын

    Hongera baba Joan tunafunga mwaka na tamthilia bomba endelea kutupa vitu

  • @EmmanuelMwanga-wz5zm
    @EmmanuelMwanga-wz5zm3 ай бұрын

    Baba Joan filam zako nzur San kama mwl mgeni I like 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @user-uf3py2iv9v
    @user-uf3py2iv9v3 ай бұрын

    Hongera baba Joan filamu zako nazipenda sana natizama kila usiku inamafinzo nyingi kabisa nakufwata toka DRC goma

  • @birungideborah
    @birungideborah6 ай бұрын

    Wa kwanja jameni naomba likes zangu hata tano tuu

  • @user-hp5qf7bu4d
    @user-hp5qf7bu4d6 ай бұрын

    Baba Joan welcome again 👏👏👏

  • @Kiruinickson-rq4fb
    @Kiruinickson-rq4fb4 ай бұрын

    Hongera baba Joan Kwa filamu zako nzuri sana nazipenda sana sana Niko kericho kenya

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko39156 ай бұрын

    Baba Joan once again 🌹🌹🌹👏👏👏💯💯💯🔥🔥🔥

  • @Winleizerabdy
    @Winleizerabdy6 ай бұрын

    Faith character yake iko sawa😂😂😂😂

  • @kas6754
    @kas67546 ай бұрын

    Faith nakupenda, unakuanga mrembo, much love ❤

  • @BintiZuwa
    @BintiZuwa6 ай бұрын

    Uyu feti yarabi hajaumbuka na hzi tabia zake 😂😂😂 no wonder makingi kampa mimba

  • @user-tv8hx5bx8t
    @user-tv8hx5bx8t6 ай бұрын

    Mimi wakwanza leo jamani naomba like hapaaaa❤❤❤

  • @Mariam-er8nn
    @Mariam-er8nn6 ай бұрын

    Good job keep it up baba joan❤

  • @sammymutuamunyoki6291
    @sammymutuamunyoki62916 ай бұрын

    Af bado tunamiss eposode ya mwalimu mgeni

  • @farajambaza
    @farajambaza6 ай бұрын

    you brightten my days. mkisimama jamani daah

  • @HaronLunani

    @HaronLunani

    6 ай бұрын

    Wa Kwanza kutoka Nairobi wapy likes za kwangu wadau🥰🥰🥰

  • @ProsperAmad
    @ProsperAmad6 ай бұрын

    Kazi nzuli Sana ❤❤

  • @user-sh9jl2hx4u
    @user-sh9jl2hx4u6 ай бұрын

    Mwalimu unakosea kumkosoa mwalimu mbele ya wanafunzi kwanza muache atoe adhabu baadae muite pembeni muzungumze

  • @boscokiriki7891
    @boscokiriki78916 ай бұрын

    Uyu mtoto uko na kipuli kwa pua anafanya aonekane sio mwanafuchi

  • @salomejames9639

    @salomejames9639

    6 ай бұрын

    Tangiapo wengin cy wanafunzi dia

  • @philohmutua2968
    @philohmutua29686 ай бұрын

    Welcome baba joan

  • @mapenzimoses-nu7nt
    @mapenzimoses-nu7nt6 ай бұрын

    Kuadhibu mwanafunzi sio suluhisho ya kumfanya anyooke

  • @user-nc8rj2tl2l
    @user-nc8rj2tl2l6 ай бұрын

    Kazi nzuri Mwalimu mgeni ❤❤❤❤❤

  • @jaredondieki2141
    @jaredondieki21416 ай бұрын

    It's not in order a teacher to correct or advice another teacher in front of students😮

  • @martineopapa7383

    @martineopapa7383

    6 ай бұрын

    That is right

  • @malkiamommy293
    @malkiamommy2936 ай бұрын

    Huwa napenda san mov zenu san 🎉🎉🎉🎉

  • @user-xp5tj5jt2p
    @user-xp5tj5jt2p6 ай бұрын

    Wanafunzi wa 4😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @MarthaMkulo
    @MarthaMkuloАй бұрын

    Good job baba Joan

  • @user-nl7vt4kg6p
    @user-nl7vt4kg6p6 ай бұрын

    Keep it up bro

  • @MahindraRonny-uz3mp
    @MahindraRonny-uz3mp4 ай бұрын

    I like it

  • @user-px5rx5wm9x
    @user-px5rx5wm9x6 ай бұрын

    Baba Joan unajua kupanga kazi yako... Kwa Mungu akupe uwezo zaidi wa kutufunza sanaaa.

  • @user-zr7rs6oq5t
    @user-zr7rs6oq5t6 ай бұрын

    Fimbooo so suluhisho kwel an mwalimu mgen bigupp💞💞💞💞💞

  • @user-cg5zr4mo6e
    @user-cg5zr4mo6e6 ай бұрын

    Butamu Sana baba Joan merci bc umenibarikisana minapendaka iyikazilakinisina mwanzo merci sana

  • @user-zq1lh2py3k
    @user-zq1lh2py3k6 ай бұрын

    Leo wa kumi na 19 kucoment naomba like zenu ila we binti mweupe nakupendaa bureeee😂😂😂😂😂

  • @user-yp5or4bd9m
    @user-yp5or4bd9m6 ай бұрын

    Sawa❤

  • @thadeusminja1071
    @thadeusminja10716 ай бұрын

    Kaz nzuri lakini, baba Joan huwa MWALIMU hakosolewi Wala kushauriwa mbele ya wanafunz, hizo zinakuw ni mbinu za waalimu na ikifika kwa wanafunz ni utekelezaji, wew ukimfokea mwalim mbele ya wanafunz inakuw ni kudhalilishan na kushushiana hadhi, lkn lengo la KAZI yenu na ujumbe unafika🙏🙏

  • @user-no5uh6ms6d
    @user-no5uh6ms6d6 ай бұрын

    Elimu yako ni nzuri sana mdogo wangu mtunzi vile

  • @nassorokananongokazulumuna7710
    @nassorokananongokazulumuna77106 ай бұрын

    Congratulations

  • @FestoMwanipezya
    @FestoMwanipezya6 ай бұрын

    Kazi nzuri sana baba joani

  • @user-sj4lz8vp5m
    @user-sj4lz8vp5m5 ай бұрын

    Mwarm wanizam umeazanyo vzur sana baba joan❤🎉

  • @user-lx3oy8hw3m
    @user-lx3oy8hw3m6 ай бұрын

    ❤❤❤sijachelewa sana jamani naomba like Zang 🎉🎉🎉

  • @JoseeSaiboku
    @JoseeSaiboku8 күн бұрын

    Baba Joan filam Sako zuri sana❤❤❤❤

  • @elishamagulu4255
    @elishamagulu42555 ай бұрын

    Hongeren jaman❤❤

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki6 ай бұрын

    Bb Joan hataki mucezo anaelimisha bala tumpe🎉🎉🎉nakutakiyana hery ya mwaka mpya ❤❤❤

  • @user-qm2ib4hc2d
    @user-qm2ib4hc2d6 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤. Baba. Joan. Apewe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @user-cg5zr4mo6e
    @user-cg5zr4mo6e6 ай бұрын

    Ptrn krg sana

  • @angelrichard899
    @angelrichard8996 ай бұрын

    Kazii nzuri xana MUNGU Awabarikii xanaaa wotee

  • @nicholausmaffa5137
    @nicholausmaffa51376 ай бұрын

    hongera baba joan kaz nzuri kaka🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ZakaboyMusa
    @ZakaboyMusa5 ай бұрын

    Ooh yes good job

  • @user-se5bx3vl8r
    @user-se5bx3vl8r6 ай бұрын

    Baba Joan nilkuwa ni mewamiss tambo kabix

  • @JennyKaros-mq3kz
    @JennyKaros-mq3kz6 ай бұрын

    Msicheleweshe party two jamani ni nzuri sana

  • @Trevor.sNyongesa
    @Trevor.sNyongesa6 ай бұрын

    Good job Baba Joan ❤❤❤❤❤❤

  • @user-qt9hr9nl5t
    @user-qt9hr9nl5t4 ай бұрын

    Kitu fresh

  • @calebwafula5787
    @calebwafula57876 ай бұрын

    Kama kawaida Kenya nawakilisha❤❤

  • @evanciaernest4470
    @evanciaernest44706 ай бұрын

    😂😂😂mimi enock

  • @user-hu1fo5el9c
    @user-hu1fo5el9c5 ай бұрын

    Mambo daa ❤

  • @Yovvanyboy-ov5ey
    @Yovvanyboy-ov5ey6 ай бұрын

    Hii tamthilia inaonekana Kali sana ngoja tuone

  • @faieshikoo6955
    @faieshikoo69556 ай бұрын

    Manze veti uko na chali😂😂😂

  • @TRUSTNOONE75
    @TRUSTNOONE756 ай бұрын

    twende kaz baba John💯🔥🔥🔥💯💯💯

  • @hafsahmassemoh3598
    @hafsahmassemoh35986 ай бұрын

    Ila wanafunz wakora hawa 😂😂😂😂 Acha tuone itakuaje ❤❤❤🎉🎉🎉🎉 ongeren nyte 😂😂😂Likizo pia nadhan imeisha tutapata muendelezo wa Mwalim mgen hv karibun ❤❤❤

  • @SidiAm-wn4vb
    @SidiAm-wn4vb6 ай бұрын

    Kazi nzuri sana ❤❤❤❤❤❤

  • @user-zs2vk4ub5x
    @user-zs2vk4ub5x6 ай бұрын

    Ninoma baba joani. naomba lake

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo96716 ай бұрын

    Mm wa mwisho kwa mara nyingine ❤❤❤❤❤❤

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg16526 ай бұрын

    Kazi nzuri sana ❤❤❤

  • @happyalbert5089
    @happyalbert50895 ай бұрын

    Ila kumuonya mwalimu mwenzio mbele za wanafunzi nayo sio njema

  • @mussahosseni8229
    @mussahosseni82296 ай бұрын

    huyu jamaa kwanza anainua vipaji vya watoto ni mojamoja sana wenye moyo wa kuinua vipaji watoto duh nakubali broooo

  • @franciscassian
    @franciscassian6 ай бұрын

    Kutongozana mpaka shuleni

  • @user-cc5uj4nr8p
    @user-cc5uj4nr8p6 ай бұрын

    Kazi nzur❤

  • @jamesmutali4356
    @jamesmutali43566 ай бұрын

    Mm kama mwana familia mark me present

  • @salum8848
    @salum88486 ай бұрын

    Mambo mapya hayooooooo uckose kuifatilia

  • @izakiel72
    @izakiel726 ай бұрын

    Heri kabisaaa

  • @FestoMwanipezya
    @FestoMwanipezya6 ай бұрын

    Nakubali na kukusikiliza

  • @ThamimaRajabu-bs2nd
    @ThamimaRajabu-bs2nd6 ай бұрын

    Feti alizowea kuchapwa😂😂

  • @SinangoaJarufu
    @SinangoaJarufu6 ай бұрын

    Ndogoooo asant baba joan

  • @user-vi2hn2bp3v
    @user-vi2hn2bp3v6 ай бұрын

    Nyie napenda muvi zenu kutokea mwalimu mgeni jina langu Joseline kutokea Rwanda

  • @SAYUKI513
    @SAYUKI5136 ай бұрын

    Kazi nzur

  • @user-wy7kf9jy4e
    @user-wy7kf9jy4e6 ай бұрын

    Like zanguuu joomon mm wa kwanza

  • @GAmedia-tz
    @GAmedia-tz6 ай бұрын

    Uko vizuri, But bila fimbo... Utavuna! Kipara nimekuelewa Labda part ifuatayo nitaelewa dhamira yako

  • @nasirnassor449
    @nasirnassor4496 ай бұрын

    Hujatowa jicho kwel ww

  • @IbrahimAliahmed-rm6tc
    @IbrahimAliahmed-rm6tc6 ай бұрын

    Yaaaaan hiiiii saiv kali sana ten sana na nivizur sana kuwa na kit2 kam ikiii cha ma................nini malizia bas

  • @IbrahimAliahmed-rm6tc
    @IbrahimAliahmed-rm6tc6 ай бұрын

    Fetiiii kaipenda fimbooo kumbeee hahahaha

  • @davidnjuguna1481
    @davidnjuguna14816 ай бұрын

    Tunangoja kipidi Cha mwalim mgeni🤭

  • @Chinyavunyae-ll6iy
    @Chinyavunyae-ll6iy6 ай бұрын

    Mwalimu mgeni ❤❤❤

  • @winifridashoo410
    @winifridashoo4106 ай бұрын

    Mwalimu wa nidhamu kanikumbusha mbal sana

  • @ButoyiThierryve
    @ButoyiThierryve6 ай бұрын

    Burundi wawapigi fimbo wanawatowa adhambu yamanota

  • @malickberry4563
    @malickberry45636 ай бұрын

    🔥 🔥🔥

  • @user-hr3zr6qg1x
    @user-hr3zr6qg1x6 ай бұрын

    Patronaiza 😂😂😂😂

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim21076 ай бұрын

    Ila ni kweli fimbo Siyo suluhisho ya kubadiri tabia iwe shule su nyumbani kuchapa tuchape ila tuangalie na ukubwa WA kosa piya Kuna baadhi ya watoto wakifanya kosa ukawaita nakuwaelekeza Kwa maneno na wakaelewa vizuri zaidiiii fimbo zina mkomaza mtoto unachapa mwisho anazoea so my dear furendiz tuwe makini na fimbo

  • @atifosalimo
    @atifosalimo6 ай бұрын

    Amazing

  • @user-cr9lm2lo3n
    @user-cr9lm2lo3n6 ай бұрын

    Wakwanza Mimi mnipe like zangu

  • @user-cs1ih6dx2x
    @user-cs1ih6dx2x6 ай бұрын

    Namuy hap w kwanz

  • @user-ds1bd6sb2c
    @user-ds1bd6sb2c6 ай бұрын

  • @user-zc4wo3oh9l
    @user-zc4wo3oh9l6 ай бұрын

    Bado tupo pa1

  • @PaskalPasomba
    @PaskalPasomba6 ай бұрын

    😅

Келесі