Келесі
- 12:34
- 628 М.
- 12:53
- 348 М.
- 00:22
- 18 МЛН
- 20 күн бұрын
- 00:58
- 3,4 МЛН
- 16 күн бұрын
- 00:45
- 14 МЛН
- 23 күн бұрын
- 12:25
- 350 М.
- 11:07
- 323 М.
- 10:31
- 651 М.
- 10:01
- 379 М.
- 13:16
- 283 М.
- 13:08
- 1,2 МЛН
- 0:58
- 1,5 МЛН
- 0:27
- 1,3 МЛН
- 0:58
- 1,5 МЛН
- 0:22
- 6 МЛН
Пікірлер: 236
Alaf huyu manjano manjano anakuaga mpuuzi sana sijui kwanini hapewi tuzo😅😂#❤
Daah kaka anaongea kama Steve mweusi🎉 mwenye anahakiki apige like🎉😮
Hivyo ndivyo niliporwa simu, hela na vyeti vyangu around Corner house, Nairobi mwaka wa 2015😢😢😢
@JacobMaganga-re9ji
6 ай бұрын
pole kaka😢
Vichwa vibovu vimekutana leo 😄😄🙌
Steve na Ndaro viboko kwenye vichekesho 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nawapenda sana.
Sijawahiii fikisha like 2 Ila kwa leo sijuwi Kama nitakosaa
Steve siku izi ukiwa na Ndaro mambo ni udaku tuh
Dada unasauti nzuri ungekuw unaimba kwaya mungu angekuinua zaidi
@mhubirimophat1562
10 ай бұрын
Very true
Elud namkubali sana 🤣🤣🤣🤣akiongea tuu unacheka sana 🤣🤣
Napenda hiyo combination ya Steve na Ndaro 😂😂😂😂😂 Keep up guys 💪
@ProsperMjata
Жыл бұрын
Nsa😮
@ElnidaDan-ve8lq
Жыл бұрын
Kazi nzuri kabiza
Wallah nilikua na miss Eliud vs Stive
Haswaaaa hapa ndipo mambo yanapokuwa vizuri Kama mmemuweka na huyu jamaa wa mbeya 💃💃💃💃💃hakika Steve na Ndaro Mmetisha sasa kazi iyendeleee toeni nyingi nyingi zakutosha kikundi hichi hichi
Wakwanza Léo naombeni liké zangu kama tuko pamoja
@fadhilfussi3637
Жыл бұрын
Matako yako
@callmeog4786
Жыл бұрын
@@fadhilfussi3637 mamako
@user-ju7xc4nv5s
7 ай бұрын
You*
Hii ndo apa 254 tunasema talent....ongera kaka...wapi like ya kenya jamani
😂😂😂one love from Kenya 🇰🇪 🤣🤣🤣
Mnanifurahishaga Sanaaa😂😂
Amadi kijicho big up
Smart sana kazi nzuri sana 💯💯💯
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂...we unataka niwe mweupe kwani mi msichana
Eliud my favorite person ❤❤❤❤❤😂😂😂😂
Ndaro mbwa wewe unaweza kinomaa mfanye mpango na me tufanye kazi pamoja na me nipo vzr
naikumbuka siku nliyofanyiwa hivi hadi najicjekelea 😂😂😂😂😂😂
@fatmaally7252
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂 pole sana
Nyinyi nawapenda sana Akina wa stive❤❤❤❤❤❤❤🎉
watching from Uganda here trying to improve my Swahili
ila Steve mweusi apewe heshima yake jaman 👍👍👍💯💯🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
One love 😍😍 from Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🎉🎉
Mchungaji ana SEMA wale wanangu 😢😢😢😢
@JichoMchanganyi
Жыл бұрын
Hamadi kijicho
Wa kwanza. Likes zangu
Kazi nzuri majita saluute
Huyu Ndaro bwana nampenda sababu yupo very siriaz ktk komed zake.Wanafurahisha sana
Eliud umetisha kinyama
Vizuri sana kazi nzur enjoy 😂😂😂😂
Aiseee Steve jaman
Nili patana na watu kama awa Nairobi lakini walingonga mawe
😂😂😂😂 jamnie uyu stive sasa !!!
Nimefurah kumuona eliud
Kazi nzuri 😅😅
Eti kafanana na wayimba choir kama wakina Mwaitege😂😂😂😂😂😂
Homeboi 🙌🔥 mbeya🔥🔥
Eliud is Back😂😂
Ndaro mokojini 😮😮😮😮😮😮😮😮noma sana
😂akh nimecheka ata nikashuta wallah😂😂
@Farithun
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂noma sana
Nakukubali sana mwamba steve mweusi
Jamani tuleteeni Hamad kijicho😁😁😁
Uyo mwamb namkubali san
Mdada huy anajuaaa Gong like
Eliud anajua 😅😅
Mtandao ni poa. Hata Ar Rayyan, Doha Stivu kelele zafika. Kazi safi.
Bonny mwaitege 😂😂
😂😂😂😂jaman kaka Angu kakaribishwa mjini😂😂😂😂😘
Wote nawa kubali na fulaisha sana
Nimeona nisi lale bila kuangalia
Hapo mmemaliza combination Kali xnnn
Tunawependa Burundi 😊q
Wahuni kama kawa fresh😂😂
😂😂😂 hii ilimfanyikia msela wangu akie
Sitawai sahau siku hiyo nimeibiwa kama huyo jamani...nando ilikuwa mara yangu yakwanja naya mwisho kufika inchi sa inje.😂
Daah hapo bado tx dullah mboneke na kicheche wachekeshaji wangu bora wa kizazi kipyaa😂😂
@allymukhsin2962
6 ай бұрын
Mboneke na kicheche kiukweli bro sion ata kama ni macomedian Tosha kama hawa wana 😂😂😂😂
Steve ni noma
Steve nikikupata ndakuowa ata🥰🥰🥰🥰
@allymukhsin2962
6 ай бұрын
Nioe mm bas 🥺😂
STIVE TUNATAKA TUMUONE UYO HAMAD KIJICHO
Mmmh atari kweli kweli😂😊
Much love from Kenya guys 🎉🎉🎉❤❤❤
🎉 woyooo kaka mbishi
Mnajuw wangu
From Kenya 🇰🇪 bado mnatuelimisha kua waagalifu.
Utapeli wa mjini Steve na Ndaro🤣🤣🤣
Jameni wa kwanza nipeni likes
Huu muungano ni hatar sana😂😂
Me wa Kwanza Leo jamani naombeni like hata 10 😂😂😂😂😂😂😂❤😂❤❤❤❤u
nawaelewa vijana wangu
Pamoja xana kaka
😂😂😂Eliud bhana
E mungu nakuomba
😂😂😂😂😂😂😂😂 ndaro &Stevu 🔥🔥🔥🔥
Jamn me naomben tu kumjua uyo hamadi kidicho😂
😂😂😂😂kenyaa love mabregediaah
Maselaaaaa😂
Nawakubali sana aise
@JichoMchanganyi
Жыл бұрын
Udanganyifu wa hali ya juu
Eli yudi noumaa aisee 🤝 🔥
Eti unakulaga ugali😀😀😀
Nani anamjua A boy from mkulanga uku
Eliudi unaupiga mwingi Nakubari san
😅😂😅hv huyu hamadi kijicho ni nan
Mmetixha sana wanangu
Nawapenda sana
Steve mweusi wachekesha sana
Washenzi nyie Kuna mmoja hapo aliibiwa kwa Style hiyo.. 😀😀😀😀😀 hiyo script kuna wahuni wakiniibia shenzi kabisa😀
Hawa jamaa wote wakali
Ila steve😂😂😂😂😂😂😂
Hhhhh Steve Black Ndaro Red 😂
Atareeee😂😂
❤❤❤❤
naona lbd tuanze😂😂😂😂
Nimeipenda hyo
Majita 😃😃😃😃😃😃🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
iyo imeenda😃😃😃😃😃😃
Maselaaaaaaaaa😅😅😅
Kwel hii hatar lakin ndaro atoe huo mkoti wa suti
Eliud hashauriki😂😂😂