Muongozo Sahihi Wa Swala Ya Istikhara - Dr Islam Muhammad Salim

Пікірлер: 30

  • @zakhranahamiss-wn7mw
    @zakhranahamiss-wn7mw6 ай бұрын

    Allah aniwezesh siku moja niwe mwanafunzi wako sheikh

  • @ummusulaish5586
    @ummusulaish5586Ай бұрын

    MashaAllah

  • @hadijamushi8674
    @hadijamushi86742 жыл бұрын

    Mwenyenzi Mungu akulinde na kila baya sheikh wetu

  • @Alhatmi_
    @Alhatmi_3 жыл бұрын

    Maashaallah dr. Islam allah akupe umri mrefu

  • @rumaisafadya6299
    @rumaisafadya62993 жыл бұрын

    MashaAllah Allah akujaaliye kher InshaAllah 🙏🏽

  • @fayeezomary6563
    @fayeezomary65633 жыл бұрын

    Allah Kareem shekh wng, natamn nikuon shkh inshalh

  • @bintihemedmwarundu4615
    @bintihemedmwarundu4615 Жыл бұрын

    Inshaallah Allah atuitikie dua zetu

  • @khalidbajber1581
    @khalidbajber15813 жыл бұрын

    جزاك الله خيرا يا شيخ

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen46753 жыл бұрын

    Allah akupe khery na afya nimeipenda sana Chanel hii

  • @mubaarakamussa9567
    @mubaarakamussa95672 ай бұрын

    Assalaam alaykumu warahmatu llahi wabarakaatuh ndugu,,,,,pole na majukumu mengi ndugu,,,, siku izi sipati darsa za sheikh Dr Islam Mohammad,,,,, kuna shida gani?? Au baada ya ramadhaan hajafanya darsa ??

  • @sidratybinkhamis2837
    @sidratybinkhamis28373 жыл бұрын

    Ukumbusho masaallah allah akulipe kher

  • @maryamjey6340
    @maryamjey63402 жыл бұрын

    Nimejaribu kumtoa mtu moyoni ila nimeshindwa na mda unaenda jmn, ni muislamu anajua sheria na masharti ya dini, ila kila nikiuliza yy hunijibu inshaallah.. Na sio kua twaonana, hupita ata miezi.3 ama 4. Ndio tuonane jmn naombeni ushauri...

  • @zohoraramadan4540

    @zohoraramadan4540

    11 ай бұрын

    Swali hiyo sasa

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Жыл бұрын

    Jazakumllah khaira nilikuwa najjua ni mara 1 tu nimepata faida

  • @mussabendera1751
    @mussabendera17513 жыл бұрын

    Hafidhuhullah

  • @takyatupu6839
    @takyatupu68392 жыл бұрын

    Mimi nilisali mara moja tu nikaota siku ya harusi nimekimbia nimerudi harusi imeisha watu wameondoka na upande wa mume wanasema watanipeleka police nirudishe pesa yao ya mahari. Basi nikasema pengine ndoto tu nikaolewa kuolewa siku hiyo hiyo nimedai talaka sikua na furaha kabisa bwana harusi kweli akataka pesa yk nikamrudishi harusi yangu imedumu siku 3 tu 🙄😒

  • @shailamunis9867

    @shailamunis9867

    2 жыл бұрын

    Maa shaa Allah

  • @hamidamnyika5866

    @hamidamnyika5866

    2 жыл бұрын

    pole mungu alikujibu...

  • @takyatupu6839

    @takyatupu6839

    2 жыл бұрын

    Asante kabisa now nimeolewa na mwengine nipo na furaha alhmdulillah

  • @aishasaid4081

    @aishasaid4081

    Жыл бұрын

    Dah pole sana habbty

  • @zohoraramadan4540

    @zohoraramadan4540

    11 ай бұрын

    Uliomba kwa kiswahili ama kiarabu.

  • @NasraAbdillah-mb9dp
    @NasraAbdillah-mb9dp4 ай бұрын

    Mdaa sahihi wakuswal swala ya istikhara ni upi?

  • @seminiabdullah1853
    @seminiabdullah18533 жыл бұрын

    Naomba muongozo wasala ya istikhara

  • @takyatupu6839

    @takyatupu6839

    2 жыл бұрын

    Amka usiku saa nane na nusu sali raka mbili na unuie unayo taka alafu rudi kulala utaota hp kama ujaota rudia tena mpaka Allah atakuonesha mimi nimesali mara moja tu na nikapata jibu

  • @aishaally1441

    @aishaally1441

    2 жыл бұрын

    @@takyatupu6839Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh Ukhty haifai kwa mda wowote mpk iwe usiku baada ya kuamka kutoka usingiz? Tafadhl naomba unijuze na mm

  • @takyatupu6839

    @takyatupu6839

    2 жыл бұрын

    Ukilala ndio zuri usiku wa saa nane na nusu mpaka 9 alafu rudi kulala ndio utaoneshwa hp

  • @user-bo1xl6ec6n

    @user-bo1xl6ec6n

    Жыл бұрын

    ​@@takyatupu6839jazakallahu khayra

  • @muhrajovic752
    @muhrajovic7522 жыл бұрын

    A.alykum samahan naomba kupata mawasiliano na shekh nasal sana istghara lkn majbu sielewi ndoto zangu

  • @zohoraramadan4540

    @zohoraramadan4540

    11 ай бұрын

    Kuna hii tv rasmi kwa kufasiri ndoto ingia mtavassy TV uliza ndoto zako .

  • @MulhatAliy-vv8hw

    @MulhatAliy-vv8hw

    5 ай бұрын

    Istikhara sio lazma uoto unaweza ukaona khafla tu moyo wko umerizk na kitu ama unaweza ukaon khafla tu kile ulichokiomba kinakutokezea lkn sio lazm uote