MUNGU YU KARIBU NASI - Kwaya ya Mt. Cecilia - Hai Mjini-Moshi (Official Video) - AFLOB STUDIO
Музыка
Hii kwaya ya Mt. Cecilia, Parokia ya Familia Takatifu Hai Mjini, Jimbo Katoliki Moshi.
Recorded at AFLOB STUDIO
Audio Producer & Video Director ALEX LOBULU
Contact: +255 753 453 940
#AlexLobulu #AflobStudio #TumainiLetu #BwanaAmefufuka
Пікірлер: 161
Safi Sana huu wimbo naupunda saaan
Hongera kwa kazi nzuri yenye kubariki na kuinua utukufu wa MUNGU WETU
wanaoangalia kwaya comment na uzur wa jengo.la kanisa kama mm tujuane jmn 👏hakika romani kathorik tumebalikiwa najivunia kuwa mkatoliki
Congratulations for a job well done ✅👍
Mnanibarikisana wanakwaya wangu
Mungu mwenyeesi azidi kuwapaliki kwa nyimbo zuri
Amen.Amen.Amen
Asante Mungu
Amen, mbarikiwe sana
Watching from manga girls high school 🎉
Asanten jaman nikisikilinza hizi nyimbo najihisi Kama vile Niko mbinguni nimeketi na malaika
Watching from manga girls high school kenya 🎉
Naipenda iyo wanakwaya hongereni sana kwetu hai iyo iko hai kwelii
Cayus oginga Watching from manga girls high school kenya 🎉❤
Kazi nzuri sana, hongereni sana wote mliyo shiriki ktk kutuletea ujumbe huo🙏🙏🤔
Hongereni sana wimbo huu nimeupenda sana mbarikiwe sana utume mwema
Nzuri sanaaa.
@SuperKellyalex
2 жыл бұрын
Asante sana
Hongera wapendwa,sauti za ninga .
Mungu Mwenyezi azidi kuwabariki na kuwainua katika uinjilishaji Mzuri mnaofanya.Hakika wimbo huu ni ushuhuda tosha katika maisha yangu .kila nikiusikiliza napata amani katika moyo wangu.Asanteni sana
Munguawabarikisana.kwakippawa.chauimbaji.
Asanten Sana wanakwaya mungu awabariki siku zote.
Nzuri
Baraka ya mungu, nahasa heshma kwake . Vitendo nzuri tu bila ubaguzi niyo siri.Apana????
Organist Swai nakupata vizuri,,, Great
Beautiful ever, I love the message and everything in it. Thanks for putting English subtitles ❤😊
Naupenda huu wimbo, Swai na nakuona kazi nzuri
Tu kwe na Jésus pa modia tuta shukurwa emen. Philippe Mukotshi M
Asante sana Mungu
Wimbo mitatu na wa mafunzo kweli. Heko kwenu Bw. Tumaini Swai na waimbaji wrngineo
Namuona mwalimu wangu Amaro jamaniiiii,,,, hongereni sana kwaya nzuri
❤❤❤❤❤❤the song is so touching to my soul,,,and again nice synchronisation
Mungu Mwenyezi yupo nasi popote tulipo. Sababu kuu ni kwamba ana siri na uumbaji wake, kwa mfano mazingira aliyoumba utajuaje kama pia yanampelekea taarifa zetu na sura zetu. Mungu yu karibu nasi, tupendane na tupende viumbe vyote na mazingira yote.
Mungu akaibariki kazi ya miko yete pamoja na vipaji vyao kwa catholic i love u my songs
Asante Mungu wetu
Kwaya nzuri sana
Nabarikiwa sana na huu wimbo mungu awe nanyi
nyimbo nzuri mungu awabariki
Mzuri sana, Baba apewa Sifa yake kweli pia awajaze na baraka na furaha yake. Asante sana. P. Alphonse Marie.
BONGE LA SONG,,,,kiukweli niupenda bureeeee,,,mlijipanga kufanya vzr,,na ninyi mpo bwana,,,sharapuuuu kwenuuuu,,,mbarikiweeee
Hongereni kwa ujumbe mzuri... Hakika mungu yuko karibu nasi ktk kila hatua
Wonderful sana waimbaji. Kazi nzuri sana hii mlioifanya. Pongezi za dhati tena kwako Mheshimiwa Tumaini kwa kazi yeko nzuri. Ctawai kukusaha kwa kazi nzuuuri uliotufanyia Arusha kwaya yetu kutoka Kenya Mombasa. Tunakupenda sana Tumaini.
Amen ❤❤❤❤
Hakika mbarikiwe na bwana...Wimbo una ujumbe mzurii..Ameena sana
Kwaya
Asanteni kwa nyimbo nzuri. Mungu awazidishie mema
Nzur sna
Ingawa atumuone mungu kwa macho ya ubinadamu asante sana kwamaneno ayo mungu awajalie neema nabaraka katika kazi yenu ya utume ili mpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina
@florakawau5615
4 жыл бұрын
Amina
Mungu awasaidie
Mheshimiwa tumaini hongera kwa kucharaza vyema hyo Yamaha
hongereni sana mko vizuri.
Mungu Wetu yupo pamoja nasi daima, yani milele na milele. Soma zaburi ya 82:6; imetufanya sisi binadamu miungu wake hapa duniani/ulimwenguni. Ebu fikiri hata katika ubatizo wetu tumefanywa wana wa Mungu. Kweli Mungu yu pamoja nasi daima.
Hongereni sana wanakwaua. Mwimbo mzuri kweli, nimeupenda. Msele nakuona. Uimbaji ni wito kweli.Superb!
Wimbo mzuri sana...Hongera👏
Conductor upo juu mdada hongera sana
Wimbo mzuri sana, sauti nzuri, staili za kistaarabu za kumtukuza Mungu pamoja na mpangilio mzuri wa vyombo. Hongereni sana.
Mbarikiwe sana Mimi Flowin Mwinuka ikonda makete
Wah watu waokoke wahachane na yatunia.asanteni sana Mungu yuko karibu nasi
Mbarikiwe sana
Hongereni ni mara ya kwanza kusikia kwaya ya kikatoliki kutoka HAI , nilidhani hai ni walutheri na waislam tuu
@SuperKellyalex
6 жыл бұрын
Bernard John Tunashukuru sana, Hai makanisa ya Katoliki yapo mengi ni wakati umefika sasa kutambulika zaidi
@frenkshaban8080
5 жыл бұрын
Bernard
@williumnguyamu2827
5 жыл бұрын
@@faustinewiboga9997 upo maenro gani
Hayo Marinda yenu yako chonjo mnapendeza Saana.
Hawajawahi kukosea mungu yu pamoja nasi
huu wimbo uucheza karibu kila siku
Wimbo mzuri sana barikiweni kabisa
Bwana Ibariki TZ
It is so good choir
Gooooooooood!!!! 👏👏👏👏
Bahati bukuku
Sauti ya nne wapi Tido na saimoni nimemic Sana wanakwaya wezangu nawapenda Sana na Mungu awabariki
thanks so much my big family
Mbarikiwe Sana mungu aware nguvu ya kuitangaza injiri kupitia kwaya Ni meguswa Sana Na maneno mnayoimba
@williumnguyamu2827
5 жыл бұрын
Amina ubarikiwr
Daaaaaaaaaaaaah kilichonizingua muundo wa jengo daaaaa afuuu sauti zenu zilizonyokaaaa daaaaah,,, natamani ningewepoooo live kuwa on a,,, be blessed awesome work well done
@reyjosee9390
6 жыл бұрын
Sam Sawidi mm hadi sielewi lipo wapi
@samsawidi5648
6 жыл бұрын
Rey Josee,,, bro nitumie video wasapu npo kenya 254798694894
@reyjosee9390
6 жыл бұрын
Sam Sawidi poaaa
@samsawidi5648
6 жыл бұрын
Rey Josee,,,, upoo na video unitumie
@SuperKellyalex
5 жыл бұрын
Sam Sawidi Amina, tunashukuru sanaa
Tumaini nakuona tuu unatiririka,,,Thanks organist wa nguvu,!!!
@catherinetallo4981
5 жыл бұрын
Daaa kumbe Organist ni Tumaini..... nilikuwa sijamuona vizur, Mwl wangu wa nguvu
Hongereni sana kwa kazi nzuri iliyo tukuka
@SuperKellyalex
5 жыл бұрын
BISEKO J MAFWELE Amina
Mungu akubariki kwa kutuinjilisha
Hongera baada ya ksusikia hapa LUHANGA umekuja kivingine Swai upo juu.
@raphaelngulizi1440
4 жыл бұрын
Amina mbarikiwe
Woooooi 😘😘😘😘😘
Listening to inspired melody made my day brighter and fulfill congratulations ma Swahili choir
safi sana
wonderful nice song,,,
Hongereni sana. nawiwa kuitazama pasi na kuchoka. mbarikiwe sana
@SuperKellyalex
5 жыл бұрын
mbatata Kiazi ameen
Blessed
Great.God bless
Organist Kaka Tumaini Swai na Dada yangu Salome nawaona hakika kazi nzuri sanaaaaa.....Mungu awabariki jamani. Mlitusaidia kwenye kazi ya TANGAZENI UKUU WAKE Chuo Kikuu SMMUCO.
@athanasjames4179
5 жыл бұрын
Mmenibariki sana amina
congts may da bless of our lord be with you
Nzuri sana
Wimbo mzuri waimbaji vizuri organist mzuri very excellent instrumentation catholic we need to here what organ sounds like
HAI Kweli mpo hai Bonge moja la song mungu awabariki
@samwelilyakurwa612
6 жыл бұрын
hongereni sana
@SuperKellyalex
6 жыл бұрын
spriano simponda Amina
@SuperKellyalex
6 жыл бұрын
Samweli Lyakurwa Asante sana
Very nice song God bless you people. It is always good to whoship our Lord
Faraja sana
OGod strengthen all catholic believes.
Athénée royale iko wapiiii 😂, ?? 👌
Wonderful
Wow
@konstanziamashayo4061
4 жыл бұрын
Hongereni sana waimbaji nimebarikiwa sana
Nc song
Kazini safi, waaaaaaa
@SuperKellyalex
5 жыл бұрын
Asante sana
More grace to you guys, your voices are so angelistic but most of all your costume are of high decency
This melody is soo good;and the message is very encouraging/inspiring
hongereni sana kwa wimbo mzuri nimeupenda kuliko kawaida
@SuperKellyalex
5 жыл бұрын
Mgao Benson shukrani sana, karibu sana
@williumnguyamu2827
5 жыл бұрын
Asante sana
Yes
26 Pia, kumbuka kuwa yeye ni mtu yule yule na kumbukumbu moja. Anakumbuka kuwa alikuwa na wandugu na dada wengi hivi kwamba alifanya vile na kitendo kama hicho duniani wakati wa maisha yake. Na ni ama malaika wa Mungu ambao wanakupeleka, au malaika wa Shetani ambao wanakupeleka. Yote inaambatana na njia aliyokuwa ameifuata duniani! Mnaona? Sio kitu cha siri, utaonekana huko katika mwili usioonekana kwa wanadamu na watu ambao hauwajui watakupeleka mahali pako pa mbinguni! Na mara tu huko, utagundua wale ambao wapo! Ni wale wa kanisa lako duniani! Unaweza kuona ndugu kama hawa na ambao walikuwa wamekufa! Na kama wewe "ulikuwa mwanasiasa utajikuta katika kikundi cha wanasiasa wengine! Ikiwa ulikuwa mcheza mpira au ikiwa ulichukua hatua kama hiyo na vile, utapata sehemu yenu Mbinguni!