MUNGU YU KARIBU NASI - Kwaya ya Mt. Cecilia - Hai Mjini-Moshi (Official Video) - AFLOB STUDIO

Музыка

Hii kwaya ya Mt. Cecilia, Parokia ya Familia Takatifu Hai Mjini, Jimbo Katoliki Moshi.
Recorded at AFLOB STUDIO
Audio Producer & Video Director ALEX LOBULU
Contact: +255 753 453 940
#AlexLobulu #AflobStudio #TumainiLetu #BwanaAmefufuka

Пікірлер: 161

  • @mariasimon9421
    @mariasimon94212 жыл бұрын

    Safi Sana huu wimbo naupunda saaan

  • @rosemikambi4672
    @rosemikambi467210 күн бұрын

    Hongera kwa kazi nzuri yenye kubariki na kuinua utukufu wa MUNGU WETU

  • @linahsemindu9575
    @linahsemindu95754 жыл бұрын

    wanaoangalia kwaya comment na uzur wa jengo.la kanisa kama mm tujuane jmn 👏hakika romani kathorik tumebalikiwa najivunia kuwa mkatoliki

  • @cayusoginga
    @cayusogingaАй бұрын

    Congratulations for a job well done ✅👍

  • @jamesfesto1178
    @jamesfesto11783 жыл бұрын

    Mnanibarikisana wanakwaya wangu

  • @mahmah7250
    @mahmah7250 Жыл бұрын

    Mungu mwenyeesi azidi kuwapaliki kwa nyimbo zuri

  • @jmskiwi
    @jmskiwi3 жыл бұрын

    Amen.Amen.Amen

  • @cayusoginga
    @cayusogingaАй бұрын

    Asante Mungu

  • @irenekoikai349
    @irenekoikai34924 күн бұрын

    Amen, mbarikiwe sana

  • @cayusoginga
    @cayusogingaАй бұрын

    Watching from manga girls high school 🎉

  • @maycoandrea240
    @maycoandrea2404 жыл бұрын

    Asanten jaman nikisikilinza hizi nyimbo najihisi Kama vile Niko mbinguni nimeketi na malaika

  • @cayusoginga
    @cayusogingaАй бұрын

    Watching from manga girls high school kenya 🎉

  • @user-uv4fd5rz8q
    @user-uv4fd5rz8q3 ай бұрын

    Naipenda iyo wanakwaya hongereni sana kwetu hai iyo iko hai kwelii

  • @cayusoginga
    @cayusogingaАй бұрын

    Cayus oginga Watching from manga girls high school kenya 🎉❤

  • @josephambrose2215
    @josephambrose2215 Жыл бұрын

    Kazi nzuri sana, hongereni sana wote mliyo shiriki ktk kutuletea ujumbe huo🙏🙏🤔

  • @aminaibrahim8466
    @aminaibrahim84662 жыл бұрын

    Hongereni sana wimbo huu nimeupenda sana mbarikiwe sana utume mwema

  • @hekimakuciga7512
    @hekimakuciga75123 жыл бұрын

    Nzuri sanaaa.

  • @SuperKellyalex

    @SuperKellyalex

    2 жыл бұрын

    Asante sana

  • @jusperkhamala9371
    @jusperkhamala9371 Жыл бұрын

    Hongera wapendwa,sauti za ninga .

  • @adelthamiyonga2435
    @adelthamiyonga24353 жыл бұрын

    Mungu Mwenyezi azidi kuwabariki na kuwainua katika uinjilishaji Mzuri mnaofanya.Hakika wimbo huu ni ushuhuda tosha katika maisha yangu .kila nikiusikiliza napata amani katika moyo wangu.Asanteni sana

  • @daudimhoha5050
    @daudimhoha50503 жыл бұрын

    Munguawabarikisana.kwakippawa.chauimbaji.

  • @benmarkmbonabucha5289
    @benmarkmbonabucha52892 жыл бұрын

    Asanten Sana wanakwaya mungu awabariki siku zote.

  • @hamisimarko239
    @hamisimarko2393 жыл бұрын

    Nzuri

  • @wamupepe5301
    @wamupepe530110 ай бұрын

    Baraka ya mungu, nahasa heshma kwake . Vitendo nzuri tu bila ubaguzi niyo siri.Apana????

  • @deokessy6288
    @deokessy62883 жыл бұрын

    Organist Swai nakupata vizuri,,, Great

  • @nathannbanda3345
    @nathannbanda3345 Жыл бұрын

    Beautiful ever, I love the message and everything in it. Thanks for putting English subtitles ❤😊

  • @ambrosethomas5922
    @ambrosethomas59223 жыл бұрын

    Naupenda huu wimbo, Swai na nakuona kazi nzuri

  • @philippemukotshi6179
    @philippemukotshi61793 жыл бұрын

    Tu kwe na Jésus pa modia tuta shukurwa emen. Philippe Mukotshi M

  • @cayusoginga
    @cayusogingaАй бұрын

    Asante sana Mungu

  • @georgengugi4668
    @georgengugi46684 жыл бұрын

    Wimbo mitatu na wa mafunzo kweli. Heko kwenu Bw. Tumaini Swai na waimbaji wrngineo

  • @felistamwita1546
    @felistamwita15463 жыл бұрын

    Namuona mwalimu wangu Amaro jamaniiiii,,,, hongereni sana kwaya nzuri

  • @emmanuelmutinda9621
    @emmanuelmutinda9621 Жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤❤the song is so touching to my soul,,,and again nice synchronisation

  • @dismaskimario2116
    @dismaskimario21164 жыл бұрын

    Mungu Mwenyezi yupo nasi popote tulipo. Sababu kuu ni kwamba ana siri na uumbaji wake, kwa mfano mazingira aliyoumba utajuaje kama pia yanampelekea taarifa zetu na sura zetu. Mungu yu karibu nasi, tupendane na tupende viumbe vyote na mazingira yote.

  • @buraibrahim7079
    @buraibrahim70793 жыл бұрын

    Mungu akaibariki kazi ya miko yete pamoja na vipaji vyao kwa catholic i love u my songs

  • @hildashayo7192
    @hildashayo7192 Жыл бұрын

    Asante Mungu wetu

  • @alexkiwale5883
    @alexkiwale58834 жыл бұрын

    Kwaya nzuri sana

  • @nestorystephen8559
    @nestorystephen85593 жыл бұрын

    Nabarikiwa sana na huu wimbo mungu awe nanyi

  • @emmanueljuma651
    @emmanueljuma6512 жыл бұрын

    nyimbo nzuri mungu awabariki

  • @davidamundala9720
    @davidamundala97205 жыл бұрын

    Mzuri sana, Baba apewa Sifa yake kweli pia awajaze na baraka na furaha yake. Asante sana. P. Alphonse Marie.

  • @bennokiyanga509
    @bennokiyanga5095 жыл бұрын

    BONGE LA SONG,,,,kiukweli niupenda bureeeee,,,mlijipanga kufanya vzr,,na ninyi mpo bwana,,,sharapuuuu kwenuuuu,,,mbarikiweeee

  • @mossesmsuya7401
    @mossesmsuya74014 жыл бұрын

    Hongereni kwa ujumbe mzuri... Hakika mungu yuko karibu nasi ktk kila hatua

  • @edwardkioko4455
    @edwardkioko44554 жыл бұрын

    Wonderful sana waimbaji. Kazi nzuri sana hii mlioifanya. Pongezi za dhati tena kwako Mheshimiwa Tumaini kwa kazi yeko nzuri. Ctawai kukusaha kwa kazi nzuuuri uliotufanyia Arusha kwaya yetu kutoka Kenya Mombasa. Tunakupenda sana Tumaini.

  • @MussaLepani-fk9yj
    @MussaLepani-fk9yj3 ай бұрын

    Amen ❤❤❤❤

  • @shaibuemmanuel5564
    @shaibuemmanuel55645 жыл бұрын

    Hakika mbarikiwe na bwana...Wimbo una ujumbe mzurii..Ameena sana

  • @jovitaarufredi9287
    @jovitaarufredi92874 жыл бұрын

    Kwaya

  • @stellakahambu4134
    @stellakahambu41344 жыл бұрын

    Asanteni kwa nyimbo nzuri. Mungu awazidishie mema

  • @johnmwanga9706
    @johnmwanga97065 жыл бұрын

    Nzur sna

  • @patrickmukambilwa584
    @patrickmukambilwa5844 жыл бұрын

    Ingawa atumuone mungu kwa macho ya ubinadamu asante sana kwamaneno ayo mungu awajalie neema nabaraka katika kazi yenu ya utume ili mpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina

  • @florakawau5615

    @florakawau5615

    4 жыл бұрын

    Amina

  • @zainabumwambughi219
    @zainabumwambughi2194 жыл бұрын

    Mungu awasaidie

  • @deoscorusshayo1909
    @deoscorusshayo19095 жыл бұрын

    Mheshimiwa tumaini hongera kwa kucharaza vyema hyo Yamaha

  • @tasiananicholaus9423
    @tasiananicholaus94236 жыл бұрын

    hongereni sana mko vizuri.

  • @dismaskimario2116
    @dismaskimario21164 жыл бұрын

    Mungu Wetu yupo pamoja nasi daima, yani milele na milele. Soma zaburi ya 82:6; imetufanya sisi binadamu miungu wake hapa duniani/ulimwenguni. Ebu fikiri hata katika ubatizo wetu tumefanywa wana wa Mungu. Kweli Mungu yu pamoja nasi daima.

  • @benleyan
    @benleyan5 жыл бұрын

    Hongereni sana wanakwaua. Mwimbo mzuri kweli, nimeupenda. Msele nakuona. Uimbaji ni wito kweli.Superb!

  • @cecilianzilani5773
    @cecilianzilani57734 жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana...Hongera👏

  • @emmanuelkonki59
    @emmanuelkonki594 жыл бұрын

    Conductor upo juu mdada hongera sana

  • @jumamarwa9985
    @jumamarwa99854 жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana, sauti nzuri, staili za kistaarabu za kumtukuza Mungu pamoja na mpangilio mzuri wa vyombo. Hongereni sana.

  • @frowinimwinuka9736
    @frowinimwinuka97364 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana Mimi Flowin Mwinuka ikonda makete

  • @erastuslutsachishisanya3791
    @erastuslutsachishisanya37914 жыл бұрын

    Wah watu waokoke wahachane na yatunia.asanteni sana Mungu yuko karibu nasi

  • @gloriakomba9380
    @gloriakomba93805 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn87886 жыл бұрын

    Hongereni ni mara ya kwanza kusikia kwaya ya kikatoliki kutoka HAI , nilidhani hai ni walutheri na waislam tuu

  • @SuperKellyalex

    @SuperKellyalex

    6 жыл бұрын

    Bernard John Tunashukuru sana, Hai makanisa ya Katoliki yapo mengi ni wakati umefika sasa kutambulika zaidi

  • @frenkshaban8080

    @frenkshaban8080

    5 жыл бұрын

    Bernard

  • @williumnguyamu2827

    @williumnguyamu2827

    5 жыл бұрын

    @@faustinewiboga9997 upo maenro gani

  • @albertkarakha4364
    @albertkarakha43645 жыл бұрын

    Hayo Marinda yenu yako chonjo mnapendeza Saana.

  • @benedictobenard6825
    @benedictobenard68253 жыл бұрын

    Hawajawahi kukosea mungu yu pamoja nasi

  • @benardmunyao5487
    @benardmunyao54874 жыл бұрын

    huu wimbo uucheza karibu kila siku

  • @petermwololo675
    @petermwololo6754 жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana barikiweni kabisa

  • @fredrickayunga9564
    @fredrickayunga95644 жыл бұрын

    Bwana Ibariki TZ

  • @glorychuwa608
    @glorychuwa6084 жыл бұрын

    It is so good choir

  • @theresiamasawe8544
    @theresiamasawe85444 жыл бұрын

    Gooooooooood!!!! 👏👏👏👏

  • @frenkshaban8080
    @frenkshaban80805 жыл бұрын

    Bahati bukuku

  • @janethkimario6064
    @janethkimario60645 жыл бұрын

    Sauti ya nne wapi Tido na saimoni nimemic Sana wanakwaya wezangu nawapenda Sana na Mungu awabariki

  • @getrudetembop3924
    @getrudetembop39243 жыл бұрын

    thanks so much my big family

  • @magretijohnhongereni3294
    @magretijohnhongereni32945 жыл бұрын

    Mbarikiwe Sana mungu aware nguvu ya kuitangaza injiri kupitia kwaya Ni meguswa Sana Na maneno mnayoimba

  • @williumnguyamu2827

    @williumnguyamu2827

    5 жыл бұрын

    Amina ubarikiwr

  • @samsawidi5648
    @samsawidi56486 жыл бұрын

    Daaaaaaaaaaaaah kilichonizingua muundo wa jengo daaaaa afuuu sauti zenu zilizonyokaaaa daaaaah,,, natamani ningewepoooo live kuwa on a,,, be blessed awesome work well done

  • @reyjosee9390

    @reyjosee9390

    6 жыл бұрын

    Sam Sawidi mm hadi sielewi lipo wapi

  • @samsawidi5648

    @samsawidi5648

    6 жыл бұрын

    Rey Josee,,, bro nitumie video wasapu npo kenya 254798694894

  • @reyjosee9390

    @reyjosee9390

    6 жыл бұрын

    Sam Sawidi poaaa

  • @samsawidi5648

    @samsawidi5648

    6 жыл бұрын

    Rey Josee,,,, upoo na video unitumie

  • @SuperKellyalex

    @SuperKellyalex

    5 жыл бұрын

    Sam Sawidi Amina, tunashukuru sanaa

  • @reyjosee9390
    @reyjosee93906 жыл бұрын

    Tumaini nakuona tuu unatiririka,,,Thanks organist wa nguvu,!!!

  • @catherinetallo4981

    @catherinetallo4981

    5 жыл бұрын

    Daaa kumbe Organist ni Tumaini..... nilikuwa sijamuona vizur, Mwl wangu wa nguvu

  • @bisekojmafwele2777
    @bisekojmafwele27776 жыл бұрын

    Hongereni sana kwa kazi nzuri iliyo tukuka

  • @SuperKellyalex

    @SuperKellyalex

    5 жыл бұрын

    BISEKO J MAFWELE Amina

  • @nicholasmakau8850
    @nicholasmakau88504 жыл бұрын

    Mungu akubariki kwa kutuinjilisha

  • @shukurumshihili2386
    @shukurumshihili23865 жыл бұрын

    Hongera baada ya ksusikia hapa LUHANGA umekuja kivingine Swai upo juu.

  • @raphaelngulizi1440

    @raphaelngulizi1440

    4 жыл бұрын

    Amina mbarikiwe

  • @salomepaul3989
    @salomepaul39894 жыл бұрын

    Woooooi 😘😘😘😘😘

  • @adeekporko8776
    @adeekporko87764 жыл бұрын

    Listening to inspired melody made my day brighter and fulfill congratulations ma Swahili choir

  • @bennynjiku9689
    @bennynjiku96893 жыл бұрын

    safi sana

  • @charlesmutua9460
    @charlesmutua94603 жыл бұрын

    wonderful nice song,,,

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi16785 жыл бұрын

    Hongereni sana. nawiwa kuitazama pasi na kuchoka. mbarikiwe sana

  • @SuperKellyalex

    @SuperKellyalex

    5 жыл бұрын

    mbatata Kiazi ameen

  • @mcfrancoevents8058
    @mcfrancoevents80584 жыл бұрын

    Blessed

  • @judithwangwe2372
    @judithwangwe23723 жыл бұрын

    Great.God bless

  • @merdaniely4775
    @merdaniely47755 жыл бұрын

    Organist Kaka Tumaini Swai na Dada yangu Salome nawaona hakika kazi nzuri sanaaaaa.....Mungu awabariki jamani. Mlitusaidia kwenye kazi ya TANGAZENI UKUU WAKE Chuo Kikuu SMMUCO.

  • @athanasjames4179

    @athanasjames4179

    5 жыл бұрын

    Mmenibariki sana amina

  • @leonidaskwigize9194
    @leonidaskwigize91945 жыл бұрын

    congts may da bless of our lord be with you

  • @emilysankwa5506
    @emilysankwa55065 жыл бұрын

    Nzuri sana

  • @emmanuelkonki59
    @emmanuelkonki594 жыл бұрын

    Wimbo mzuri waimbaji vizuri organist mzuri very excellent instrumentation catholic we need to here what organ sounds like

  • @s.simponda138
    @s.simponda1386 жыл бұрын

    HAI Kweli mpo hai Bonge moja la song mungu awabariki

  • @samwelilyakurwa612

    @samwelilyakurwa612

    6 жыл бұрын

    hongereni sana

  • @SuperKellyalex

    @SuperKellyalex

    6 жыл бұрын

    spriano simponda Amina

  • @SuperKellyalex

    @SuperKellyalex

    6 жыл бұрын

    Samweli Lyakurwa Asante sana

  • @luisandohonchama2347
    @luisandohonchama23474 жыл бұрын

    Very nice song God bless you people. It is always good to whoship our Lord

  • @evancemartin713
    @evancemartin7135 жыл бұрын

    Faraja sana

  • @pasilisajerono7409
    @pasilisajerono74093 жыл бұрын

    OGod strengthen all catholic believes.

  • @wamupepe5301
    @wamupepe53018 ай бұрын

    Athénée royale iko wapiiii 😂, ?? 👌

  • @richardnyakundimorwabe8638
    @richardnyakundimorwabe86384 жыл бұрын

    Wonderful

  • @jacintakiio695
    @jacintakiio6954 жыл бұрын

    Wow

  • @konstanziamashayo4061

    @konstanziamashayo4061

    4 жыл бұрын

    Hongereni sana waimbaji nimebarikiwa sana

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel56624 жыл бұрын

    Nc song

  • @charlesjkyallo5835
    @charlesjkyallo58355 жыл бұрын

    Kazini safi, waaaaaaa

  • @SuperKellyalex

    @SuperKellyalex

    5 жыл бұрын

    Asante sana

  • @nforngwahwilfred7572
    @nforngwahwilfred75725 жыл бұрын

    More grace to you guys, your voices are so angelistic but most of all your costume are of high decency

  • @KIMARUKARUMBA
    @KIMARUKARUMBA5 жыл бұрын

    This melody is soo good;and the message is very encouraging/inspiring

  • @mgaobenson7680
    @mgaobenson76805 жыл бұрын

    hongereni sana kwa wimbo mzuri nimeupenda kuliko kawaida

  • @SuperKellyalex

    @SuperKellyalex

    5 жыл бұрын

    Mgao Benson shukrani sana, karibu sana

  • @williumnguyamu2827

    @williumnguyamu2827

    5 жыл бұрын

    Asante sana

  • @renaudfrancois2094
    @renaudfrancois20944 жыл бұрын

    Yes

  • @dahsiejules7128
    @dahsiejules71284 жыл бұрын

    26 Pia, kumbuka kuwa yeye ni mtu yule yule na kumbukumbu moja. Anakumbuka kuwa alikuwa na wandugu na dada wengi hivi kwamba alifanya vile na kitendo kama hicho duniani wakati wa maisha yake. Na ni ama malaika wa Mungu ambao wanakupeleka, au malaika wa Shetani ambao wanakupeleka. Yote inaambatana na njia aliyokuwa ameifuata duniani! Mnaona? Sio kitu cha siri, utaonekana huko katika mwili usioonekana kwa wanadamu na watu ambao hauwajui watakupeleka mahali pako pa mbinguni! Na mara tu huko, utagundua wale ambao wapo! Ni wale wa kanisa lako duniani! Unaweza kuona ndugu kama hawa na ambao walikuwa wamekufa! Na kama wewe "ulikuwa mwanasiasa utajikuta katika kikundi cha wanasiasa wengine! Ikiwa ulikuwa mcheza mpira au ikiwa ulichukua hatua kama hiyo na vile, utapata sehemu yenu Mbinguni!

Келесі