MUNAJIDAI MNAMPENDA MTUME HALAFU MUNAZUSHA MAMBO|| Muhammad Bachu || MALINDI KENYA ||12/8/2023.

Ойындар

Пікірлер: 95

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork11 ай бұрын

    Sheikh Muhammad Bachu Allah akulipe pepo ya juu na akulinde na chuki za wanaotaka kuharibu... Amiin

  • @allahakujazekheriwowww5694
    @allahakujazekheriwowww569411 ай бұрын

    Mashallah tabarakallah mola akupemaisha mema dunia na akhera uzidi kuilimisha umawakislam🙏🙏

  • @yusufathman2478
    @yusufathman247811 ай бұрын

    Masufi waona gere.. Maa shaa allah sheikh nastafidi sana kwa mawaidha yako

  • @omarally6819
    @omarally681911 ай бұрын

    Shekhe Muhammad naomba kwa faida ya Muhadhara huu, uukate vipande vitatu, ili faida iwafikie wengi, na khasa hapa ulipo anza kuzungumzia vigawanyo vitatu vya wenye kumpenda Mtume Swallallaahu Alayhi Wasallama. Allaah akubariki na akulipe kheri, kwakweli unaeleweka vizuri sana Shekh Maashaa Allaah

  • @eastzooadmin6416
    @eastzooadmin641611 ай бұрын

    Naam shukran akhui Allahuma bark alayk.

  • @jumamahmoud9271
    @jumamahmoud927111 ай бұрын

    Masha Allah.shukran yaa sheikh muhamed bachu

  • @omarmuhamud3302
    @omarmuhamud330211 ай бұрын

    Masha Allah sheikh mohamed nasor Bachu mubgu akuhifadhi

  • @yusufathman2478
    @yusufathman247811 ай бұрын

    Wallai sheikh bachu nakupenda kwa ajili ya Allah.. umefunga watu macho kwa uovu na uvundo wa barzanji.. hoja zako hawajazivunja na hawataweza kuzivunja... haki itazidi kuonekana. Huo mnaqasha wanaotaka siuoni umuhimu tena endelea kutufunza.

  • @user-on6gi8pw7v
    @user-on6gi8pw7v11 ай бұрын

    Allah akuzidixhie elimu na taqwa🙏

  • @fakihkhsaid9353
    @fakihkhsaid935311 ай бұрын

    Hakika ya allah humfadhilisha amtakae allah akuhifadhi shkh wetu tuna stafidi sana kuktoka kwako

  • @RAJABHAMADOTHUMAN-wg2wk
    @RAJABHAMADOTHUMAN-wg2wk11 ай бұрын

    MASHA ALLAH ALLAH AKUZIDISHIE AFAY NA ELIM

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike756811 ай бұрын

    جزاك الله خير

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin324311 ай бұрын

    جزاك الله خيرا واحسن الله إليكم في الدنيا والآخرة اخي العزيز

  • @mustanira5471
    @mustanira547111 ай бұрын

    Mashallah may Allah bless you with more knowledge sheikh

  • @nafisa-3999
    @nafisa-399911 ай бұрын

    Mashallah

  • @arrisalastriker9813
    @arrisalastriker981311 ай бұрын

    Mungu akubariki

  • @rashidmohamed1949
    @rashidmohamed194911 ай бұрын

    Bachoo jr uko sahihi. Usichoke..kutupa ilimu. Usiogope hawa masheikh ubwabwa...ba pilau za maulidi. Na vitambi vya kubweteka

  • @ShaibmbaroukHemed-mi5rf

    @ShaibmbaroukHemed-mi5rf

    11 ай бұрын

    Allah akuhifadhi nakila hasad endelea kuelimisha tunajua umezungukwa nakila mahasidi lkn Allah atakulinda haki itakuja juu sikuzote hata washirikina wakichukia

  • @omaryissa2562
    @omaryissa256211 ай бұрын

    Mashaallah

  • @user-mf3is9iq3t
    @user-mf3is9iq3t10 ай бұрын

    Huyo aliekuekea microphone amefanana na Sheikh Mbarak Ahmed Awes ❤......lakini Awes ni Twariqa Maulidi kwa sana

  • @hashirjuma-4541
    @hashirjuma-454110 ай бұрын

    Hongera

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi737711 ай бұрын

    Mimi nmegundua hawa Masufi Hawasomi Nahic sasa ndıo wataanza kukaa na kusomaaaa! Wanaimbishwa tu. Jazakum Alllah khayran

  • @khadiaally9192

    @khadiaally9192

    11 ай бұрын

    Sasa dungu yangu Katika Imani niambie wewe tangu uingie Katika uisilam niwahbi yupi alikufa akiwa walii na uniambili nimasufii wangapi wamekufa wakiwamawalii chunguza hafu unipe jibu kama wewe nimsomi kwel

  • @hassanmatku1963

    @hassanmatku1963

    11 ай бұрын

    Kwni walii wamefichika baba hkna mtu anaweza kusema mh ni walii

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    11 ай бұрын

    ​@@khadiaally9192hehehehe, mtihani huu na wewe unajuwa vp mtu walii au la?

  • @Yu-jr9uf

    @Yu-jr9uf

    11 ай бұрын

    ​@@khadiaally9192Naomba unipe faida akhii, kwani walii ni nani?

  • @mohd39789

    @mohd39789

    11 ай бұрын

    ​@@khadiaally9192hem tuelezee wewe jahil maana ya uwalii? Kufa uwalii ndio nini? Hizo ndio sifa za masufi kujitukuza na kuitana mawalii, masharifu hadi wengine wanesema wanaongea na Mungu moja kwa moja, na hadi wengine kujiita manabii

  • @kavumohemedi871
    @kavumohemedi87111 ай бұрын

    Sunna 😁Kama kawaida ndugu zetu masufi wanateseka huko clip nyingi naziona KZread ila ni kulalamika tu hoja 19 hazijibiwi

  • @user-fj3dp2xe4q
    @user-fj3dp2xe4q11 ай бұрын

    Mtoto wa bachu wanaokupinga wewe wachawi tu hao wala wali wa maulidi na waroho na mahusda

  • @luqmankhalid2219
    @luqmankhalid221911 ай бұрын

    زادك الله علما وورعا يا شيخ بتشو ❤️

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u11 ай бұрын

    HIZI CLIP ZIFANYENI FUPI FUPI KAMA REFU ZIGAWENI VIPANDE VITATU AU VINNE NDO ITAPENDEZA. USHAURI

  • @omarmwabege

    @omarmwabege

    11 ай бұрын

    Pia azita Tia uvivu wa kusikiliza!

  • @rogertuga007

    @rogertuga007

    11 ай бұрын

    Unaweza kusikiliza nusu nusu kila unapopata muda Kuna sehemu ya kusave hapa hapa KZread ukiingia tu unaplay ulipoishia. Au kariri uliacha dakika ya ngapi

  • @user-ui9in5zj1i

    @user-ui9in5zj1i

    11 ай бұрын

    Hapana ikikatwa vipande vipande kuna vitu hutoelewa maana yake

  • @mohammedlipindula5415
    @mohammedlipindula541511 ай бұрын

    Wape ukweli japo kua kwao inawauma na uzishi wao

  • @eng.aliali8187
    @eng.aliali81879 ай бұрын

    Bachu asema Maulidi ni mchango wa mloo na hizi namba mumeweka kwenye screen zenu ni za nini??? Mwataka mchango wa nini??? Bachu ni sheikh wa swaga

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo781611 ай бұрын

    Allah anasema ktk quran;Shikamaneni katika kamba ya mwenyezi Mungu na wala msifarikiane.Wewe Bachu unafarakanisha waislamu.Tofauti katika dini zilikuwepo,zipo, na zitaendelea kuwepo,jambo baya ni kufarikiana na kuwatoa waislamu wenzako katika dini.Elimu imegawanyika sehemu kuu mbili.Eimu yenye manufaa na Elimu isiyo na manufaa.Wewe bachu unaingia kwenye kundi la elimu isiyo na manufaa kwa kutumia elimu kubishana na kufarakanisha waislamu,kutumia elimu kujiona wewe ni bora na mwenye elimu kubwa kuliko sheikh yeyote.Mlango wa elimu ni mpana sana jitahidi kuuendelea kusoma dini na kuheshimu wetu.

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    11 ай бұрын

    Hutaki upotovu ubainishwe lakini tutaendelea, we kaa gizani hadi ufe

  • @ashachitemo7816

    @ashachitemo7816

    11 ай бұрын

    @@mohagurey2214 hakuna jipya hapo!! wewe usiyejua ndiyo unaona ametoa elimu kubwa sana.pole sana.

  • @Yu-jr9uf

    @Yu-jr9uf

    11 ай бұрын

    Jambo ambalo halina asili(dalili) katika dini alafu likafanywa ni dini alaf watu wakasema ni ikhtilafu hiyo haiwez kuwa sawa ni muhimu ibanishwe na watu kutahadharishwa

  • @ashachitemo7816

    @ashachitemo7816

    11 ай бұрын

    @@Yu-jr9uf Kwa hiyo kumswalia mtume si jambo ktk dini?

  • @omarussi7316

    @omarussi7316

    11 ай бұрын

    ​@@ashachitemo7816 Kwani wapi Muhammad Bachu alisema kumswalia mtume ni jambo lisilo faa!? Uzushi kwenye Dini ya kiislam hauwezi kuitwa kuwa ni ikhtilaf

  • @NoorAli-vj4gn
    @NoorAli-vj4gn10 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/n5unsrahfLe2hrQ.htmlsi=vwRk-GcmlsDfrBJS huyu mwingine kazuka na challenge

  • @HudaOnlinetv
    @HudaOnlinetv11 ай бұрын

    Wewe wamfahamu

  • @othmanalnabhany3208
    @othmanalnabhany320811 ай бұрын

    Unajua Muhammad bachu ww umesoma na hao wengine pia unaolumbana nao wamesoma lkn tatizo hamna ustaarab na heshima ya elimu zenu kwasabab ya kauli zenu hapo hakuna heshma ya elimu zenu kwan hamuheshimiani hamna munaqasha wa kistaarab shida mnatengeneza fitna kwa jamii musiweke utamaduni kwenye dini maana nyinyi ni mashekh jamii inakutegemeeni kwan mbona kama mnawapa hata makafiri faida yakuwa waone uislam pia ni mgumu itafikia mahali mutaitana makafiri sasa wenyewe kwa wenyewe na malumbano hayo wakat hayana ustaarab wa kielimu wala khof ya Allah bali ni munaqasha unaomkaribisha ibilis tu

  • @mwambamwamba6943
    @mwambamwamba694311 ай бұрын

    Tunaomba umjibu hyoo mzeee wa maulidi kzread.info/dash/bejne/qqZ92NuuhtTHgaw.htmlsi=TtvssSptMG5Z5DNB

  • @jumamohamed628
    @jumamohamed62811 ай бұрын

    Huyu anatumia maneno ya Al Imaam Buswiry yaliopo katika kitabu cha Barzanji alichokitupa😂😂😂 anatumia shairi la mtu alomuita Mshirikina na kupinga mashairi yake yasisomwe na huku ayatumia leo😂😂😂😂😂

  • @mohwawatz1546
    @mohwawatz154611 ай бұрын

    Eh bwana Sayyid Abdul qadir, kashatoa Ruhsa... Mbona upo kimya Sasa

  • @mbwanajuma-ug9tq

    @mbwanajuma-ug9tq

    11 ай бұрын

    Mashallah allah akuhifadhi. Juma muaddhin masjid musa mombasa kenya

  • @mbwanajuma-ug9tq

    @mbwanajuma-ug9tq

    11 ай бұрын

    Maashallah pamoja shekh.

  • @swahibal-karama145
    @swahibal-karama14511 ай бұрын

    @الجميع Mbona hutaki kuenda Mamburui?..

  • @omarally6819

    @omarally6819

    11 ай бұрын

    Aende akafanye nini? Kama niwakweli wangefata maelezo yalo wekwa, ukafanywa munaaqasha kwa misingi imara nasio kihuni kama mlivyo zoea. Mnaparamia watu mukitandikwa munamkana alie nyooshwa😅😅😅. Sasa uhuni huu sisi hatuutaki tena, kueni wakweli na tufanye jambo kwa malengo ya kuelimisha watu, tuone kama mtasimama tena mbele za watu na kuwapumbaza na kuwadanganya kwa uongo wenu😅😅😅

  • @user-pg3dc9kz9n

    @user-pg3dc9kz9n

    11 ай бұрын

    Hoja 19 zipo hewani yanatakiwa majibu nasio kujigamba walakumzarau mtu kinachotakiwa majibu tu ya hoja 19 twasubiri hilotu nasivinginevyo

  • @abdallamassoud53
    @abdallamassoud5311 ай бұрын

    Atar

  • @misbah_abdallah
    @misbah_abdallah11 ай бұрын

    Haina sauti

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri850111 ай бұрын

    mizozo hiina malumbano katika dini hii mpaka lini ndugu zangu?? ni lin tutakaa kuwalinginia wasiokua waislam waingie katika usilam ??????

  • @Menino938
    @Menino93811 ай бұрын

    7:55night

  • @shekhsamiudinonlinetv8272
    @shekhsamiudinonlinetv827211 ай бұрын

    Shekh majibu ya niqashi sharifu abdulqadir ameruhusu tayar usiingie mitini tena

  • @JAFARYMUSSA-bg8mf

    @JAFARYMUSSA-bg8mf

    11 ай бұрын

    hatoingia mitini kwa uwezo wa allah

  • @Twayibzain
    @Twayibzain11 ай бұрын

    Washaa kubali mjadala

  • @aminanoor5963
    @aminanoor596311 ай бұрын

    Ww ni mmoja wataka masifa na kuleta balaa juu ya nduguzako wa kiislam. Adabu alokua nao barzanji ww utaweza ifikia kweli. Hebu jipime na huo mdomo wako mchafu

  • @hassankiloba217
    @hassankiloba21711 ай бұрын

    Kasomeni nynyi mawa habi hhhhhhhhhh hujuwe chochote

  • @omarally6819

    @omarally6819

    11 ай бұрын

    Sie ambao hatuja soma ndio tunao wakosesha usingizi masufi nyote.!!! Sasa sijuwi nani anaetakiwa akae kitako asome😅😅😅

  • @mohd39789

    @mohd39789

    11 ай бұрын

    Acha chuki na husda wewe mpumbavu wa kisufi, nguruwe mmoja

  • @hassankiloba217
    @hassankiloba21711 ай бұрын

    Hhhhhhhh 😂😂😂😂😂 ni kikojozi wewe huna elim njo tuku fuze kikojozi hhhhhh kumbe una jijuwa hhhhhhh😂😂😂😂😂😂 d una potosha watu wewe towa kelele

  • @omarally6819

    @omarally6819

    11 ай бұрын

    Anapotosha kweli maana masufi kazi munayo, hasad na ufaasiq wenu hausaidii kitu, bali hao mulio waongoa nyinyi!!! Ndio wanamfata Shekh Muhammad na kuwachukia nyinyi kwa ujinga mulio wafanyisha kwa muda mrefu😅😅😅

  • @usseneandurabe9733

    @usseneandurabe9733

    11 ай бұрын

    Wafuga majini safári ii mumekutana na kipigo kwelikweli

  • @mohd39789

    @mohd39789

    11 ай бұрын

    Acha chuki na husda wewe mpumbavu wa kisufi, nguruwe mmoja

  • @hassankiloba217
    @hassankiloba21711 ай бұрын

    Hakuna elim hapo nynyi mawahabi towa kelele wewe bachu hhhhhhh huna elim wewe

  • @omarally6819

    @omarally6819

    11 ай бұрын

    Hizi hasad zenu ndio sbb miongoni mwa sbb zinazo waangusha masufi na watu wabaatwili nyote😅😅😅

  • @mohd39789

    @mohd39789

    11 ай бұрын

    Wewe mpumbavu wa kisufi utabaki hivo hivo na husda zako

  • @uthmangollo9587
    @uthmangollo958711 ай бұрын

    😂😂😂 يخالف أصحابها ndugu yangu soma nahwu

  • @ShafiAthmani-bu6hq

    @ShafiAthmani-bu6hq

    11 ай бұрын

    Acheni hasadi enyi mahasidi kijana anajitahidi anapokosea mpeni nasaha sio kumtukana mutachuma madhambi yaburi kwasababu yachuki nahasad Allah atuongoze sote

  • @uthmangollo9587

    @uthmangollo9587

    11 ай бұрын

    @@ShafiAthmani-bu6hq hhhhhhh kwanza anaetukana watu ni nyinyi na Wala sio sisi pili hakuna kujitahidi katika lugha ikiwa ww ni sheikh unayegemewa Kisha unakosea lugha tena ya chini kabisa inayosomwa katika darasa la tatu na huku ukijipiga kifua na kutukana watu ukisema hawakusoma ni lazima tutakucheka

  • @hassankiloba217
    @hassankiloba21711 ай бұрын

    Wewe wanawo kusikiliza wote wajinga wasiyo soma kama wewe jifuze adabu huna adabu

  • @omarally6819

    @omarally6819

    11 ай бұрын

    Mjinga niwewe ambae huwezi hata kutofautisha kati ya mchanga na mchele😅😅😅

  • @omarally6819

    @omarally6819

    11 ай бұрын

    Kichwa kibovu kama bubu la dafu tumbwi😅😅😅

  • @SaidJangoli-hr7ww

    @SaidJangoli-hr7ww

    11 ай бұрын

    Mjinga dalili zake hufanya jambo ambalo halina ushahidi sijuwi nyinyi munao danganywa na waongo mukibainishiwa munabisha sababu njaa mumeitowa tumboni imekaa kichwani vp sikurahisi kubadilika Allah awaongowe murizike nasuna

  • @mwalimjecha6893

    @mwalimjecha6893

    11 ай бұрын

    Sisi au nyinyi

Келесі