Sheikh Muhammad Bachu Allah akulipe pepo ya juu na akulinde na chuki za wanaotaka kuharibu... Amiin
@allahakujazekheriwowww569411 ай бұрын
Mashallah tabarakallah mola akupemaisha mema dunia na akhera uzidi kuilimisha umawakislam🙏🙏
@yusufathman247811 ай бұрын
Masufi waona gere.. Maa shaa allah sheikh nastafidi sana kwa mawaidha yako
@omarally681911 ай бұрын
Shekhe Muhammad naomba kwa faida ya Muhadhara huu, uukate vipande vitatu, ili faida iwafikie wengi, na khasa hapa ulipo anza kuzungumzia vigawanyo vitatu vya wenye kumpenda Mtume Swallallaahu Alayhi Wasallama. Allaah akubariki na akulipe kheri, kwakweli unaeleweka vizuri sana Shekh Maashaa Allaah
@eastzooadmin641611 ай бұрын
Naam shukran akhui Allahuma bark alayk.
@jumamahmoud927111 ай бұрын
Masha Allah.shukran yaa sheikh muhamed bachu
@omarmuhamud330211 ай бұрын
Masha Allah sheikh mohamed nasor Bachu mubgu akuhifadhi
@yusufathman247811 ай бұрын
Wallai sheikh bachu nakupenda kwa ajili ya Allah.. umefunga watu macho kwa uovu na uvundo wa barzanji.. hoja zako hawajazivunja na hawataweza kuzivunja... haki itazidi kuonekana. Huo mnaqasha wanaotaka siuoni umuhimu tena endelea kutufunza.
@user-on6gi8pw7v11 ай бұрын
Allah akuzidixhie elimu na taqwa🙏
@fakihkhsaid935311 ай бұрын
Hakika ya allah humfadhilisha amtakae allah akuhifadhi shkh wetu tuna stafidi sana kuktoka kwako
@RAJABHAMADOTHUMAN-wg2wk11 ай бұрын
MASHA ALLAH ALLAH AKUZIDISHIE AFAY NA ELIM
@shanimpenike756811 ай бұрын
جزاك الله خير
@sheikhabuusakakin324311 ай бұрын
جزاك الله خيرا واحسن الله إليكم في الدنيا والآخرة اخي العزيز
@mustanira547111 ай бұрын
Mashallah may Allah bless you with more knowledge sheikh
@nafisa-399911 ай бұрын
Mashallah
@arrisalastriker981311 ай бұрын
Mungu akubariki
@rashidmohamed194911 ай бұрын
Bachoo jr uko sahihi. Usichoke..kutupa ilimu. Usiogope hawa masheikh ubwabwa...ba pilau za maulidi. Na vitambi vya kubweteka
@ShaibmbaroukHemed-mi5rf
11 ай бұрын
Allah akuhifadhi nakila hasad endelea kuelimisha tunajua umezungukwa nakila mahasidi lkn Allah atakulinda haki itakuja juu sikuzote hata washirikina wakichukia
@omaryissa256211 ай бұрын
Mashaallah
@user-mf3is9iq3t10 ай бұрын
Huyo aliekuekea microphone amefanana na Sheikh Mbarak Ahmed Awes ❤......lakini Awes ni Twariqa Maulidi kwa sana
@hashirjuma-454110 ай бұрын
Hongera
@twaibumikidadi737711 ай бұрын
Mimi nmegundua hawa Masufi Hawasomi Nahic sasa ndıo wataanza kukaa na kusomaaaa! Wanaimbishwa tu. Jazakum Alllah khayran
@khadiaally9192
11 ай бұрын
Sasa dungu yangu Katika Imani niambie wewe tangu uingie Katika uisilam niwahbi yupi alikufa akiwa walii na uniambili nimasufii wangapi wamekufa wakiwamawalii chunguza hafu unipe jibu kama wewe nimsomi kwel
@hassanmatku1963
11 ай бұрын
Kwni walii wamefichika baba hkna mtu anaweza kusema mh ni walii
@mohagurey2214
11 ай бұрын
@@khadiaally9192hehehehe, mtihani huu na wewe unajuwa vp mtu walii au la?
@Yu-jr9uf
11 ай бұрын
@@khadiaally9192Naomba unipe faida akhii, kwani walii ni nani?
@mohd39789
11 ай бұрын
@@khadiaally9192hem tuelezee wewe jahil maana ya uwalii? Kufa uwalii ndio nini? Hizo ndio sifa za masufi kujitukuza na kuitana mawalii, masharifu hadi wengine wanesema wanaongea na Mungu moja kwa moja, na hadi wengine kujiita manabii
@kavumohemedi87111 ай бұрын
Sunna 😁Kama kawaida ndugu zetu masufi wanateseka huko clip nyingi naziona KZread ila ni kulalamika tu hoja 19 hazijibiwi
@user-fj3dp2xe4q11 ай бұрын
Mtoto wa bachu wanaokupinga wewe wachawi tu hao wala wali wa maulidi na waroho na mahusda
@luqmankhalid221911 ай бұрын
زادك الله علما وورعا يا شيخ بتشو ❤️
@user-oc8uo9rl3u11 ай бұрын
HIZI CLIP ZIFANYENI FUPI FUPI KAMA REFU ZIGAWENI VIPANDE VITATU AU VINNE NDO ITAPENDEZA. USHAURI
@omarmwabege
11 ай бұрын
Pia azita Tia uvivu wa kusikiliza!
@rogertuga007
11 ай бұрын
Unaweza kusikiliza nusu nusu kila unapopata muda Kuna sehemu ya kusave hapa hapa KZread ukiingia tu unaplay ulipoishia. Au kariri uliacha dakika ya ngapi
@user-ui9in5zj1i
11 ай бұрын
Hapana ikikatwa vipande vipande kuna vitu hutoelewa maana yake
@mohammedlipindula541511 ай бұрын
Wape ukweli japo kua kwao inawauma na uzishi wao
@eng.aliali81879 ай бұрын
Bachu asema Maulidi ni mchango wa mloo na hizi namba mumeweka kwenye screen zenu ni za nini??? Mwataka mchango wa nini??? Bachu ni sheikh wa swaga
@ashachitemo781611 ай бұрын
Allah anasema ktk quran;Shikamaneni katika kamba ya mwenyezi Mungu na wala msifarikiane.Wewe Bachu unafarakanisha waislamu.Tofauti katika dini zilikuwepo,zipo, na zitaendelea kuwepo,jambo baya ni kufarikiana na kuwatoa waislamu wenzako katika dini.Elimu imegawanyika sehemu kuu mbili.Eimu yenye manufaa na Elimu isiyo na manufaa.Wewe bachu unaingia kwenye kundi la elimu isiyo na manufaa kwa kutumia elimu kubishana na kufarakanisha waislamu,kutumia elimu kujiona wewe ni bora na mwenye elimu kubwa kuliko sheikh yeyote.Mlango wa elimu ni mpana sana jitahidi kuuendelea kusoma dini na kuheshimu wetu.
@mohagurey2214
11 ай бұрын
Hutaki upotovu ubainishwe lakini tutaendelea, we kaa gizani hadi ufe
@ashachitemo7816
11 ай бұрын
@@mohagurey2214 hakuna jipya hapo!! wewe usiyejua ndiyo unaona ametoa elimu kubwa sana.pole sana.
@Yu-jr9uf
11 ай бұрын
Jambo ambalo halina asili(dalili) katika dini alafu likafanywa ni dini alaf watu wakasema ni ikhtilafu hiyo haiwez kuwa sawa ni muhimu ibanishwe na watu kutahadharishwa
@ashachitemo7816
11 ай бұрын
@@Yu-jr9uf Kwa hiyo kumswalia mtume si jambo ktk dini?
@omarussi7316
11 ай бұрын
@@ashachitemo7816 Kwani wapi Muhammad Bachu alisema kumswalia mtume ni jambo lisilo faa!? Uzushi kwenye Dini ya kiislam hauwezi kuitwa kuwa ni ikhtilaf
@NoorAli-vj4gn10 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/n5unsrahfLe2hrQ.htmlsi=vwRk-GcmlsDfrBJS huyu mwingine kazuka na challenge
@HudaOnlinetv11 ай бұрын
Wewe wamfahamu
@othmanalnabhany320811 ай бұрын
Unajua Muhammad bachu ww umesoma na hao wengine pia unaolumbana nao wamesoma lkn tatizo hamna ustaarab na heshima ya elimu zenu kwasabab ya kauli zenu hapo hakuna heshma ya elimu zenu kwan hamuheshimiani hamna munaqasha wa kistaarab shida mnatengeneza fitna kwa jamii musiweke utamaduni kwenye dini maana nyinyi ni mashekh jamii inakutegemeeni kwan mbona kama mnawapa hata makafiri faida yakuwa waone uislam pia ni mgumu itafikia mahali mutaitana makafiri sasa wenyewe kwa wenyewe na malumbano hayo wakat hayana ustaarab wa kielimu wala khof ya Allah bali ni munaqasha unaomkaribisha ibilis tu
@mwambamwamba694311 ай бұрын
Tunaomba umjibu hyoo mzeee wa maulidi kzread.info/dash/bejne/qqZ92NuuhtTHgaw.htmlsi=TtvssSptMG5Z5DNB
@jumamohamed62811 ай бұрын
Huyu anatumia maneno ya Al Imaam Buswiry yaliopo katika kitabu cha Barzanji alichokitupa😂😂😂 anatumia shairi la mtu alomuita Mshirikina na kupinga mashairi yake yasisomwe na huku ayatumia leo😂😂😂😂😂
@mohwawatz154611 ай бұрын
Eh bwana Sayyid Abdul qadir, kashatoa Ruhsa... Mbona upo kimya Sasa
@mbwanajuma-ug9tq
11 ай бұрын
Mashallah allah akuhifadhi. Juma muaddhin masjid musa mombasa kenya
@mbwanajuma-ug9tq
11 ай бұрын
Maashallah pamoja shekh.
@swahibal-karama14511 ай бұрын
@الجميع Mbona hutaki kuenda Mamburui?..
@omarally6819
11 ай бұрын
Aende akafanye nini? Kama niwakweli wangefata maelezo yalo wekwa, ukafanywa munaaqasha kwa misingi imara nasio kihuni kama mlivyo zoea. Mnaparamia watu mukitandikwa munamkana alie nyooshwa😅😅😅. Sasa uhuni huu sisi hatuutaki tena, kueni wakweli na tufanye jambo kwa malengo ya kuelimisha watu, tuone kama mtasimama tena mbele za watu na kuwapumbaza na kuwadanganya kwa uongo wenu😅😅😅
@user-pg3dc9kz9n
11 ай бұрын
Hoja 19 zipo hewani yanatakiwa majibu nasio kujigamba walakumzarau mtu kinachotakiwa majibu tu ya hoja 19 twasubiri hilotu nasivinginevyo
@abdallamassoud5311 ай бұрын
Atar
@misbah_abdallah11 ай бұрын
Haina sauti
@jumawaziri850111 ай бұрын
mizozo hiina malumbano katika dini hii mpaka lini ndugu zangu?? ni lin tutakaa kuwalinginia wasiokua waislam waingie katika usilam ??????
@Menino93811 ай бұрын
7:55night
@shekhsamiudinonlinetv827211 ай бұрын
Shekh majibu ya niqashi sharifu abdulqadir ameruhusu tayar usiingie mitini tena
@JAFARYMUSSA-bg8mf
11 ай бұрын
hatoingia mitini kwa uwezo wa allah
@Twayibzain11 ай бұрын
Washaa kubali mjadala
@aminanoor596311 ай бұрын
Ww ni mmoja wataka masifa na kuleta balaa juu ya nduguzako wa kiislam. Adabu alokua nao barzanji ww utaweza ifikia kweli. Hebu jipime na huo mdomo wako mchafu
@hassankiloba21711 ай бұрын
Kasomeni nynyi mawa habi hhhhhhhhhh hujuwe chochote
@omarally6819
11 ай бұрын
Sie ambao hatuja soma ndio tunao wakosesha usingizi masufi nyote.!!! Sasa sijuwi nani anaetakiwa akae kitako asome😅😅😅
@mohd39789
11 ай бұрын
Acha chuki na husda wewe mpumbavu wa kisufi, nguruwe mmoja
@hassankiloba21711 ай бұрын
Hhhhhhhh 😂😂😂😂😂 ni kikojozi wewe huna elim njo tuku fuze kikojozi hhhhhh kumbe una jijuwa hhhhhhh😂😂😂😂😂😂 d una potosha watu wewe towa kelele
@omarally6819
11 ай бұрын
Anapotosha kweli maana masufi kazi munayo, hasad na ufaasiq wenu hausaidii kitu, bali hao mulio waongoa nyinyi!!! Ndio wanamfata Shekh Muhammad na kuwachukia nyinyi kwa ujinga mulio wafanyisha kwa muda mrefu😅😅😅
@usseneandurabe9733
11 ай бұрын
Wafuga majini safári ii mumekutana na kipigo kwelikweli
@mohd39789
11 ай бұрын
Acha chuki na husda wewe mpumbavu wa kisufi, nguruwe mmoja
@@ShafiAthmani-bu6hq hhhhhhh kwanza anaetukana watu ni nyinyi na Wala sio sisi pili hakuna kujitahidi katika lugha ikiwa ww ni sheikh unayegemewa Kisha unakosea lugha tena ya chini kabisa inayosomwa katika darasa la tatu na huku ukijipiga kifua na kutukana watu ukisema hawakusoma ni lazima tutakucheka
@hassankiloba21711 ай бұрын
Wewe wanawo kusikiliza wote wajinga wasiyo soma kama wewe jifuze adabu huna adabu
@omarally6819
11 ай бұрын
Mjinga niwewe ambae huwezi hata kutofautisha kati ya mchanga na mchele😅😅😅
@omarally6819
11 ай бұрын
Kichwa kibovu kama bubu la dafu tumbwi😅😅😅
@SaidJangoli-hr7ww
11 ай бұрын
Mjinga dalili zake hufanya jambo ambalo halina ushahidi sijuwi nyinyi munao danganywa na waongo mukibainishiwa munabisha sababu njaa mumeitowa tumboni imekaa kichwani vp sikurahisi kubadilika Allah awaongowe murizike nasuna
Пікірлер: 95
Sheikh Muhammad Bachu Allah akulipe pepo ya juu na akulinde na chuki za wanaotaka kuharibu... Amiin
Mashallah tabarakallah mola akupemaisha mema dunia na akhera uzidi kuilimisha umawakislam🙏🙏
Masufi waona gere.. Maa shaa allah sheikh nastafidi sana kwa mawaidha yako
Shekhe Muhammad naomba kwa faida ya Muhadhara huu, uukate vipande vitatu, ili faida iwafikie wengi, na khasa hapa ulipo anza kuzungumzia vigawanyo vitatu vya wenye kumpenda Mtume Swallallaahu Alayhi Wasallama. Allaah akubariki na akulipe kheri, kwakweli unaeleweka vizuri sana Shekh Maashaa Allaah
Naam shukran akhui Allahuma bark alayk.
Masha Allah.shukran yaa sheikh muhamed bachu
Masha Allah sheikh mohamed nasor Bachu mubgu akuhifadhi
Wallai sheikh bachu nakupenda kwa ajili ya Allah.. umefunga watu macho kwa uovu na uvundo wa barzanji.. hoja zako hawajazivunja na hawataweza kuzivunja... haki itazidi kuonekana. Huo mnaqasha wanaotaka siuoni umuhimu tena endelea kutufunza.
Allah akuzidixhie elimu na taqwa🙏
Hakika ya allah humfadhilisha amtakae allah akuhifadhi shkh wetu tuna stafidi sana kuktoka kwako
MASHA ALLAH ALLAH AKUZIDISHIE AFAY NA ELIM
جزاك الله خير
جزاك الله خيرا واحسن الله إليكم في الدنيا والآخرة اخي العزيز
Mashallah may Allah bless you with more knowledge sheikh
Mashallah
Mungu akubariki
Bachoo jr uko sahihi. Usichoke..kutupa ilimu. Usiogope hawa masheikh ubwabwa...ba pilau za maulidi. Na vitambi vya kubweteka
@ShaibmbaroukHemed-mi5rf
11 ай бұрын
Allah akuhifadhi nakila hasad endelea kuelimisha tunajua umezungukwa nakila mahasidi lkn Allah atakulinda haki itakuja juu sikuzote hata washirikina wakichukia
Mashaallah
Huyo aliekuekea microphone amefanana na Sheikh Mbarak Ahmed Awes ❤......lakini Awes ni Twariqa Maulidi kwa sana
Hongera
Mimi nmegundua hawa Masufi Hawasomi Nahic sasa ndıo wataanza kukaa na kusomaaaa! Wanaimbishwa tu. Jazakum Alllah khayran
@khadiaally9192
11 ай бұрын
Sasa dungu yangu Katika Imani niambie wewe tangu uingie Katika uisilam niwahbi yupi alikufa akiwa walii na uniambili nimasufii wangapi wamekufa wakiwamawalii chunguza hafu unipe jibu kama wewe nimsomi kwel
@hassanmatku1963
11 ай бұрын
Kwni walii wamefichika baba hkna mtu anaweza kusema mh ni walii
@mohagurey2214
11 ай бұрын
@@khadiaally9192hehehehe, mtihani huu na wewe unajuwa vp mtu walii au la?
@Yu-jr9uf
11 ай бұрын
@@khadiaally9192Naomba unipe faida akhii, kwani walii ni nani?
@mohd39789
11 ай бұрын
@@khadiaally9192hem tuelezee wewe jahil maana ya uwalii? Kufa uwalii ndio nini? Hizo ndio sifa za masufi kujitukuza na kuitana mawalii, masharifu hadi wengine wanesema wanaongea na Mungu moja kwa moja, na hadi wengine kujiita manabii
Sunna 😁Kama kawaida ndugu zetu masufi wanateseka huko clip nyingi naziona KZread ila ni kulalamika tu hoja 19 hazijibiwi
Mtoto wa bachu wanaokupinga wewe wachawi tu hao wala wali wa maulidi na waroho na mahusda
زادك الله علما وورعا يا شيخ بتشو ❤️
HIZI CLIP ZIFANYENI FUPI FUPI KAMA REFU ZIGAWENI VIPANDE VITATU AU VINNE NDO ITAPENDEZA. USHAURI
@omarmwabege
11 ай бұрын
Pia azita Tia uvivu wa kusikiliza!
@rogertuga007
11 ай бұрын
Unaweza kusikiliza nusu nusu kila unapopata muda Kuna sehemu ya kusave hapa hapa KZread ukiingia tu unaplay ulipoishia. Au kariri uliacha dakika ya ngapi
@user-ui9in5zj1i
11 ай бұрын
Hapana ikikatwa vipande vipande kuna vitu hutoelewa maana yake
Wape ukweli japo kua kwao inawauma na uzishi wao
Bachu asema Maulidi ni mchango wa mloo na hizi namba mumeweka kwenye screen zenu ni za nini??? Mwataka mchango wa nini??? Bachu ni sheikh wa swaga
Allah anasema ktk quran;Shikamaneni katika kamba ya mwenyezi Mungu na wala msifarikiane.Wewe Bachu unafarakanisha waislamu.Tofauti katika dini zilikuwepo,zipo, na zitaendelea kuwepo,jambo baya ni kufarikiana na kuwatoa waislamu wenzako katika dini.Elimu imegawanyika sehemu kuu mbili.Eimu yenye manufaa na Elimu isiyo na manufaa.Wewe bachu unaingia kwenye kundi la elimu isiyo na manufaa kwa kutumia elimu kubishana na kufarakanisha waislamu,kutumia elimu kujiona wewe ni bora na mwenye elimu kubwa kuliko sheikh yeyote.Mlango wa elimu ni mpana sana jitahidi kuuendelea kusoma dini na kuheshimu wetu.
@mohagurey2214
11 ай бұрын
Hutaki upotovu ubainishwe lakini tutaendelea, we kaa gizani hadi ufe
@ashachitemo7816
11 ай бұрын
@@mohagurey2214 hakuna jipya hapo!! wewe usiyejua ndiyo unaona ametoa elimu kubwa sana.pole sana.
@Yu-jr9uf
11 ай бұрын
Jambo ambalo halina asili(dalili) katika dini alafu likafanywa ni dini alaf watu wakasema ni ikhtilafu hiyo haiwez kuwa sawa ni muhimu ibanishwe na watu kutahadharishwa
@ashachitemo7816
11 ай бұрын
@@Yu-jr9uf Kwa hiyo kumswalia mtume si jambo ktk dini?
@omarussi7316
11 ай бұрын
@@ashachitemo7816 Kwani wapi Muhammad Bachu alisema kumswalia mtume ni jambo lisilo faa!? Uzushi kwenye Dini ya kiislam hauwezi kuitwa kuwa ni ikhtilaf
kzread.info/dash/bejne/n5unsrahfLe2hrQ.htmlsi=vwRk-GcmlsDfrBJS huyu mwingine kazuka na challenge
Wewe wamfahamu
Unajua Muhammad bachu ww umesoma na hao wengine pia unaolumbana nao wamesoma lkn tatizo hamna ustaarab na heshima ya elimu zenu kwasabab ya kauli zenu hapo hakuna heshma ya elimu zenu kwan hamuheshimiani hamna munaqasha wa kistaarab shida mnatengeneza fitna kwa jamii musiweke utamaduni kwenye dini maana nyinyi ni mashekh jamii inakutegemeeni kwan mbona kama mnawapa hata makafiri faida yakuwa waone uislam pia ni mgumu itafikia mahali mutaitana makafiri sasa wenyewe kwa wenyewe na malumbano hayo wakat hayana ustaarab wa kielimu wala khof ya Allah bali ni munaqasha unaomkaribisha ibilis tu
Tunaomba umjibu hyoo mzeee wa maulidi kzread.info/dash/bejne/qqZ92NuuhtTHgaw.htmlsi=TtvssSptMG5Z5DNB
Huyu anatumia maneno ya Al Imaam Buswiry yaliopo katika kitabu cha Barzanji alichokitupa😂😂😂 anatumia shairi la mtu alomuita Mshirikina na kupinga mashairi yake yasisomwe na huku ayatumia leo😂😂😂😂😂
Eh bwana Sayyid Abdul qadir, kashatoa Ruhsa... Mbona upo kimya Sasa
@mbwanajuma-ug9tq
11 ай бұрын
Mashallah allah akuhifadhi. Juma muaddhin masjid musa mombasa kenya
@mbwanajuma-ug9tq
11 ай бұрын
Maashallah pamoja shekh.
@الجميع Mbona hutaki kuenda Mamburui?..
@omarally6819
11 ай бұрын
Aende akafanye nini? Kama niwakweli wangefata maelezo yalo wekwa, ukafanywa munaaqasha kwa misingi imara nasio kihuni kama mlivyo zoea. Mnaparamia watu mukitandikwa munamkana alie nyooshwa😅😅😅. Sasa uhuni huu sisi hatuutaki tena, kueni wakweli na tufanye jambo kwa malengo ya kuelimisha watu, tuone kama mtasimama tena mbele za watu na kuwapumbaza na kuwadanganya kwa uongo wenu😅😅😅
@user-pg3dc9kz9n
11 ай бұрын
Hoja 19 zipo hewani yanatakiwa majibu nasio kujigamba walakumzarau mtu kinachotakiwa majibu tu ya hoja 19 twasubiri hilotu nasivinginevyo
Atar
Haina sauti
mizozo hiina malumbano katika dini hii mpaka lini ndugu zangu?? ni lin tutakaa kuwalinginia wasiokua waislam waingie katika usilam ??????
7:55night
Shekh majibu ya niqashi sharifu abdulqadir ameruhusu tayar usiingie mitini tena
@JAFARYMUSSA-bg8mf
11 ай бұрын
hatoingia mitini kwa uwezo wa allah
Washaa kubali mjadala
Ww ni mmoja wataka masifa na kuleta balaa juu ya nduguzako wa kiislam. Adabu alokua nao barzanji ww utaweza ifikia kweli. Hebu jipime na huo mdomo wako mchafu
Kasomeni nynyi mawa habi hhhhhhhhhh hujuwe chochote
@omarally6819
11 ай бұрын
Sie ambao hatuja soma ndio tunao wakosesha usingizi masufi nyote.!!! Sasa sijuwi nani anaetakiwa akae kitako asome😅😅😅
@mohd39789
11 ай бұрын
Acha chuki na husda wewe mpumbavu wa kisufi, nguruwe mmoja
Hhhhhhhh 😂😂😂😂😂 ni kikojozi wewe huna elim njo tuku fuze kikojozi hhhhhh kumbe una jijuwa hhhhhhh😂😂😂😂😂😂 d una potosha watu wewe towa kelele
@omarally6819
11 ай бұрын
Anapotosha kweli maana masufi kazi munayo, hasad na ufaasiq wenu hausaidii kitu, bali hao mulio waongoa nyinyi!!! Ndio wanamfata Shekh Muhammad na kuwachukia nyinyi kwa ujinga mulio wafanyisha kwa muda mrefu😅😅😅
@usseneandurabe9733
11 ай бұрын
Wafuga majini safári ii mumekutana na kipigo kwelikweli
@mohd39789
11 ай бұрын
Acha chuki na husda wewe mpumbavu wa kisufi, nguruwe mmoja
Hakuna elim hapo nynyi mawahabi towa kelele wewe bachu hhhhhhh huna elim wewe
@omarally6819
11 ай бұрын
Hizi hasad zenu ndio sbb miongoni mwa sbb zinazo waangusha masufi na watu wabaatwili nyote😅😅😅
@mohd39789
11 ай бұрын
Wewe mpumbavu wa kisufi utabaki hivo hivo na husda zako
😂😂😂 يخالف أصحابها ndugu yangu soma nahwu
@ShafiAthmani-bu6hq
11 ай бұрын
Acheni hasadi enyi mahasidi kijana anajitahidi anapokosea mpeni nasaha sio kumtukana mutachuma madhambi yaburi kwasababu yachuki nahasad Allah atuongoze sote
@uthmangollo9587
11 ай бұрын
@@ShafiAthmani-bu6hq hhhhhhh kwanza anaetukana watu ni nyinyi na Wala sio sisi pili hakuna kujitahidi katika lugha ikiwa ww ni sheikh unayegemewa Kisha unakosea lugha tena ya chini kabisa inayosomwa katika darasa la tatu na huku ukijipiga kifua na kutukana watu ukisema hawakusoma ni lazima tutakucheka
Wewe wanawo kusikiliza wote wajinga wasiyo soma kama wewe jifuze adabu huna adabu
@omarally6819
11 ай бұрын
Mjinga niwewe ambae huwezi hata kutofautisha kati ya mchanga na mchele😅😅😅
@omarally6819
11 ай бұрын
Kichwa kibovu kama bubu la dafu tumbwi😅😅😅
@SaidJangoli-hr7ww
11 ай бұрын
Mjinga dalili zake hufanya jambo ambalo halina ushahidi sijuwi nyinyi munao danganywa na waongo mukibainishiwa munabisha sababu njaa mumeitowa tumboni imekaa kichwani vp sikurahisi kubadilika Allah awaongowe murizike nasuna
@mwalimjecha6893
11 ай бұрын
Sisi au nyinyi