MTOTO Shujaa Anayechambua Soka Serikali Yampa Shavu
Mtoto Kenedy Heri Global Tv iliyogundua kipaji chake cha kuchambua Mpira wa Miguu Kupitia mashindano ya Umiseta katika Jiji la Arusha Ameahidiwa na Kiongozi wa Serikali Afisa wa Michezo wa jiji la Arusha kwa Niaba ya Serikali atafanya mpango wa kumuhamisha mtoto huyo kutoka katika shule anayosoma hivi sasa
lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Пікірлер: 74
Mungu amsaidie mtoto huyu, viongozi pia wasidie ili kipaji chake kilete manufaa katika Taifa.... Kuhusu lugha naamin ataimprove 2 hizo ni athari za kawaida Kulingana na mazngira.
mungu amusaidie saana dogo
that's my boy congrats bby boy
Huyu dogo anajua sanaa..🙌🙌
Congratulations boy kipaji 🤝🤝🤝🙏🙏🇹🇿🇹🇿😄😄😄
@lucaskimogere8291
6 жыл бұрын
Lafudhi ya kichaga sasa hapo noma
Safi sana yuko vizur aendelezwe huyo
Tanzania tuna vipaji. Tunakosa mfumo wa kuendeleza vipaji hivyo ipasavyo. Isitoshe hakuna morali na uzalendo kwa viongozi.
umetisha sana dgo
Ili kumwendeleza inapaswa baadhi ya mechi awe anaitwa anakaa na wachambuzi wa soka anachambua nao, hiyo itamkomaza haraka kuliko hata hizo Shule zenu
sijaona alichokifanya ni sawa na watoto wengine tu wafatilia soka
hongera sana bwana mdogo
Watz tunasifia utumbo.,sjaona cha maana anaulizwa swali I'll anajb ili.. hana jipya sema kwa sababu tu.ni mdogo ndio maana ila hamna kitu hapa
Daaaah hatar sana dogo yupo vizur
Duh
@agnessrobert4165
6 жыл бұрын
dogo umetisha kama alivyokuwaga kaka yangu hotpoti ila hakpata ushilikiano
Wow!
nice
Nimependa sana Moyo wa huyo Afisa wa Michezo mkoa kwa kutambua kipaji. Hakika Naona Mh anafuraha sana na huyo Dogo. Mimi si mtaalam wa Soka ila nimempenda Dogo..
Yupo vzr kuhusu kiswahili kitanyooka tu na ili kinyooke aamishwe hpo chuga
Jamani mbn vipaji vipo huku vijijini kama kijiji cha malomboi mkoani tanga wilaya ya bumbuli wapo wengi tuu
Ila hiki Kiarusha sasa Mtangazaj nae Mnaaa
Congratulations
kwa wenzetu huyu tayari apelekwe kwenye vipawa vya michezo sio kumchanganya masomo yote
Amefikia wapi sasa MIAKA 5??
aitheeee arifu huyo dogo ni nouma sana anii namkubale chalii angu ya RA sanaa imezaliwa upya yelloh subhai
Hataliii hiii
tz banaa
Dogo yuko vizuri
Vizuri
Vema sana dogo....
watanzania tuna vipaji sana sema bdo tupo njini
@allymllanzi4245
6 жыл бұрын
Atari Sana
Chuga boy so nice
muko vizur
Chuga boy
dogo anajitaidi sna kuchambua soka sema inatakiwa apushiwe APO alipo
Dodo yupo vizur
dogo kichwa allwah azid kukupa ufaham
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Mjukuu wa mwlm KASHASHA kabisa huyu😂😂
Aseeee ni kweli kabisaaaa chaliiii yanguuu
Hajui kuongea kiswahilo
@nemlismushi9946
6 жыл бұрын
sadra aly wewe mwenyew hujui kuandika
@bwaihbakari7095
6 жыл бұрын
sadra aly wivu tu
Tanzania ya vipaji!!!!!!!!........
gud boy
aisee mangi unachambua soka
@amimubecha3241
6 жыл бұрын
Modee wiji 😁😁😁😁😁😁
Uko vizur dogo
dogo yupo vzury xn
My son ni zaidi ya huyu and he is only seven years
@hamisedward2055
6 жыл бұрын
Emma Mwaila nzr xn nmependa kwakwel
@chimytz2419
6 жыл бұрын
Emma Mwaila achaaa wivuuuu weuweeee😂😂😂🤣🤣🤣
@johnsonchonja4032
6 жыл бұрын
wivu tu huooooo
@kamanmkina8561
6 жыл бұрын
AISEE WEE NOOMA HADI MTANDAONI WIVU
@neemajavan4125
6 жыл бұрын
Emma Mwaila muweke public basi usimfiche mtoto
unajua dogo
Acheni kupaishana sasa hapo anachambua nini kitu ambacho watu hawakijui
@yaceenmohamed8708
6 жыл бұрын
mahmadou gronkjaer hhhhh
@yaceenmohamed8708
6 жыл бұрын
hahahahajaja
@mc-omoro2366
6 жыл бұрын
Eti Okwi baada ya Yanga alikwenda Arabuni upuuzi mtupu asante Mahmadou kuliona hilo
@neemamwaimu7040
6 жыл бұрын
Hahaaaa
Duh
that's my boy congrats bby boy
Dogo yuko vizuri
@kingmadev
6 жыл бұрын
ongera