MTOTO Shujaa Anayechambua Soka Serikali Yampa Shavu

Mtoto Kenedy Heri Global Tv iliyogundua kipaji chake cha kuchambua Mpira wa Miguu Kupitia mashindano ya Umiseta katika Jiji la Arusha Ameahidiwa na Kiongozi wa Serikali Afisa wa Michezo wa jiji la Arusha kwa Niaba ya Serikali atafanya mpango wa kumuhamisha mtoto huyo kutoka katika shule anayosoma hivi sasa
lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Пікірлер: 74

  • @jacksonseleman_
    @jacksonseleman_6 жыл бұрын

    Mungu amsaidie mtoto huyu, viongozi pia wasidie ili kipaji chake kilete manufaa katika Taifa.... Kuhusu lugha naamin ataimprove 2 hizo ni athari za kawaida Kulingana na mazngira.

  • @charlesmwitamwise5098
    @charlesmwitamwise50986 жыл бұрын

    mungu amusaidie saana dogo

  • @veelulu1805
    @veelulu18056 жыл бұрын

    that's my boy congrats bby boy

  • @rogermuncaster1582
    @rogermuncaster15826 жыл бұрын

    Huyu dogo anajua sanaa..🙌🙌

  • @ahmedseifsuleiman4031
    @ahmedseifsuleiman40316 жыл бұрын

    Congratulations boy kipaji 🤝🤝🤝🙏🙏🇹🇿🇹🇿😄😄😄

  • @lucaskimogere8291

    @lucaskimogere8291

    6 жыл бұрын

    Lafudhi ya kichaga sasa hapo noma

  • @conradjunior5940
    @conradjunior59406 жыл бұрын

    Safi sana yuko vizur aendelezwe huyo

  • @peterbayo4677
    @peterbayo46776 жыл бұрын

    Tanzania tuna vipaji. Tunakosa mfumo wa kuendeleza vipaji hivyo ipasavyo. Isitoshe hakuna morali na uzalendo kwa viongozi.

  • @josephmpemba8951
    @josephmpemba89516 жыл бұрын

    umetisha sana dgo

  • @geofbeka1669
    @geofbeka16696 жыл бұрын

    Ili kumwendeleza inapaswa baadhi ya mechi awe anaitwa anakaa na wachambuzi wa soka anachambua nao, hiyo itamkomaza haraka kuliko hata hizo Shule zenu

  • @godfreymhochi6206
    @godfreymhochi62065 жыл бұрын

    sijaona alichokifanya ni sawa na watoto wengine tu wafatilia soka

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA6 жыл бұрын

    hongera sana bwana mdogo

  • @sparnerboymzeya5427
    @sparnerboymzeya54276 жыл бұрын

    Watz tunasifia utumbo.,sjaona cha maana anaulizwa swali I'll anajb ili.. hana jipya sema kwa sababu tu.ni mdogo ndio maana ila hamna kitu hapa

  • @deolutambi410
    @deolutambi4106 жыл бұрын

    Daaaah hatar sana dogo yupo vizur

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv61216 жыл бұрын

    Duh

  • @agnessrobert4165

    @agnessrobert4165

    6 жыл бұрын

    dogo umetisha kama alivyokuwaga kaka yangu hotpoti ila hakpata ushilikiano

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Жыл бұрын

    Wow!

  • @josephchristian1927
    @josephchristian19276 жыл бұрын

    nice

  • @kihanda2554
    @kihanda25546 жыл бұрын

    Nimependa sana Moyo wa huyo Afisa wa Michezo mkoa kwa kutambua kipaji. Hakika Naona Mh anafuraha sana na huyo Dogo. Mimi si mtaalam wa Soka ila nimempenda Dogo..

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan67706 жыл бұрын

    Yupo vzr kuhusu kiswahili kitanyooka tu na ili kinyooke aamishwe hpo chuga

  • @musaaly4409
    @musaaly44095 жыл бұрын

    Jamani mbn vipaji vipo huku vijijini kama kijiji cha malomboi mkoani tanga wilaya ya bumbuli wapo wengi tuu

  • @sarahhaule3964
    @sarahhaule39646 жыл бұрын

    Ila hiki Kiarusha sasa Mtangazaj nae Mnaaa

  • @joelnassari105
    @joelnassari1056 жыл бұрын

    Congratulations

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi50976 жыл бұрын

    kwa wenzetu huyu tayari apelekwe kwenye vipawa vya michezo sio kumchanganya masomo yote

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Жыл бұрын

    Amefikia wapi sasa MIAKA 5??

  • @hajuboy2882
    @hajuboy28826 жыл бұрын

    aitheeee arifu huyo dogo ni nouma sana anii namkubale chalii angu ya RA sanaa imezaliwa upya yelloh subhai

  • @kakafranc8913
    @kakafranc89136 жыл бұрын

    Hataliii hiii

  • @atheistblood8568
    @atheistblood85686 жыл бұрын

    tz banaa

  • @georgenagabona203
    @georgenagabona2036 жыл бұрын

    Dogo yuko vizuri

  • @maryumamapunda1989
    @maryumamapunda19896 жыл бұрын

    Vizuri

  • @aloyceconstantine2849
    @aloyceconstantine28496 жыл бұрын

    Vema sana dogo....

  • @jackhanson3367
    @jackhanson33676 жыл бұрын

    watanzania tuna vipaji sana sema bdo tupo njini

  • @allymllanzi4245

    @allymllanzi4245

    6 жыл бұрын

    Atari Sana

  • @athumanichato2680
    @athumanichato26806 жыл бұрын

    Chuga boy so nice

  • @samwelideo9553
    @samwelideo95532 жыл бұрын

    muko vizur

  • @frankmwakingwe2265
    @frankmwakingwe22656 жыл бұрын

    Chuga boy

  • @mathewshedrack603
    @mathewshedrack6036 жыл бұрын

    dogo anajitaidi sna kuchambua soka sema inatakiwa apushiwe APO alipo

  • @yohanaalphonce2291
    @yohanaalphonce22916 жыл бұрын

    Dodo yupo vizur

  • @iddirashid8038
    @iddirashid80385 жыл бұрын

    dogo kichwa allwah azid kukupa ufaham

  • @joynnko7144
    @joynnko71446 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @sarahhaule3964
    @sarahhaule39646 жыл бұрын

    Mjukuu wa mwlm KASHASHA kabisa huyu😂😂

  • @salemjamal6762
    @salemjamal67626 жыл бұрын

    Aseeee ni kweli kabisaaaa chaliiii yanguuu

  • @sadraaly3410
    @sadraaly34106 жыл бұрын

    Hajui kuongea kiswahilo

  • @nemlismushi9946

    @nemlismushi9946

    6 жыл бұрын

    sadra aly wewe mwenyew hujui kuandika

  • @bwaihbakari7095

    @bwaihbakari7095

    6 жыл бұрын

    sadra aly wivu tu

  • @saida.muhsin2187
    @saida.muhsin21876 жыл бұрын

    Tanzania ya vipaji!!!!!!!!........

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja40326 жыл бұрын

    gud boy

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif93846 жыл бұрын

    aisee mangi unachambua soka

  • @amimubecha3241

    @amimubecha3241

    6 жыл бұрын

    Modee wiji 😁😁😁😁😁😁

  • @malulamalula738
    @malulamalula7386 жыл бұрын

    Uko vizur dogo

  • @sadajuma9836
    @sadajuma98366 жыл бұрын

    dogo yupo vzury xn

  • @emmamwaila7129
    @emmamwaila71296 жыл бұрын

    My son ni zaidi ya huyu and he is only seven years

  • @hamisedward2055

    @hamisedward2055

    6 жыл бұрын

    Emma Mwaila nzr xn nmependa kwakwel

  • @chimytz2419

    @chimytz2419

    6 жыл бұрын

    Emma Mwaila achaaa wivuuuu weuweeee😂😂😂🤣🤣🤣

  • @johnsonchonja4032

    @johnsonchonja4032

    6 жыл бұрын

    wivu tu huooooo

  • @kamanmkina8561

    @kamanmkina8561

    6 жыл бұрын

    AISEE WEE NOOMA HADI MTANDAONI WIVU

  • @neemajavan4125

    @neemajavan4125

    6 жыл бұрын

    Emma Mwaila muweke public basi usimfiche mtoto

  • @hassannzela6135
    @hassannzela61356 жыл бұрын

    unajua dogo

  • @mahmadougronkjaer8316
    @mahmadougronkjaer83166 жыл бұрын

    Acheni kupaishana sasa hapo anachambua nini kitu ambacho watu hawakijui

  • @yaceenmohamed8708

    @yaceenmohamed8708

    6 жыл бұрын

    mahmadou gronkjaer hhhhh

  • @yaceenmohamed8708

    @yaceenmohamed8708

    6 жыл бұрын

    hahahahajaja

  • @mc-omoro2366

    @mc-omoro2366

    6 жыл бұрын

    Eti Okwi baada ya Yanga alikwenda Arabuni upuuzi mtupu asante Mahmadou kuliona hilo

  • @neemamwaimu7040

    @neemamwaimu7040

    6 жыл бұрын

    Hahaaaa

  • @hassanmaulid1428
    @hassanmaulid14286 жыл бұрын

    Duh

  • @veelulu1805
    @veelulu18056 жыл бұрын

    that's my boy congrats bby boy

  • @salimsalum5962
    @salimsalum59626 жыл бұрын

    Dogo yuko vizuri

  • @kingmadev

    @kingmadev

    6 жыл бұрын

    ongera

Келесі