MSWAHILI : HII NDIO MAANA HALISI YA MJI KIBANDA MAITI HUKO ZANZIBAR

Ойын-сауық

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 104

  • @chancytherapper1006
    @chancytherapper10063 жыл бұрын

    Hiki ndicho kipindi tulichokitaka km enzi zile za uswazi umetisha sanaaa👏

  • @shareefap8741
    @shareefap87413 жыл бұрын

    Zembwela upo juu kabisa nakukubali vipindi vyako home sweet home Zanzibar

  • @nailaomar4810
    @nailaomar48103 жыл бұрын

    Mashaallah wazanzibar wastaarabu hawataki wali na mchuzi juu wana desturi na adabu mashaallah 😘😘😘

  • @keifatuke99

    @keifatuke99

    3 жыл бұрын

    Hata miye sipendi

  • @hassanisadiki824

    @hassanisadiki824

    3 жыл бұрын

    Hamjui kulaaaa😂

  • @emmanuelgabagendi3169
    @emmanuelgabagendi31693 жыл бұрын

    Xaf xan my brother zebwela mungu akubaliki xan tu my brother ahsante

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz47173 жыл бұрын

    Big up mswahili zembera 🇹🇿.

  • @user-gy5ii3ig1d
    @user-gy5ii3ig1d4 ай бұрын

    Big up brother Salum yaan huyo jamaa maashallah kichwa sana yuko vizuri bab salum

  • @kassimkandulu2573
    @kassimkandulu25733 жыл бұрын

    Gonga like hapa tuone team WCB

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud7633 жыл бұрын

    Zembela babu unamopita huko Zanzibar tafta watu wa zamani wa maeneo husika ndo utapata maana halisi ya maeneo husika

  • @princelloris1705
    @princelloris17053 жыл бұрын

    Pamoja Wasafi tv kwa kuja kutembelea kitaa chetu cha Kibanda Maiti(Muungano) ndan ya Unguja Zanzibar

  • @ifahbae4782
    @ifahbae47823 жыл бұрын

    Wazanzibari wnyw nd tuncklz hapa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Жыл бұрын

    Mtangazaji Zembwera juu juu zaidi❤❤❤👍👍👍

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi38993 жыл бұрын

    Makaburi msafa maana yake makaburi anaezikwa kila mtu asiekuwa na shamba yao ya makaburi yaani wageni na wasiokua na kwao pa kuzikia ndio pale wahenga walisema ukatae makaburi msafa Baba ako ana shamba??

  • @mangofish9079
    @mangofish90793 жыл бұрын

    Hizi tawala zetu zimetudumuza kweli yaani huyu dada anasemea shida ya maji mpaka kaona noma kasema siku hizi yanatoka lkn ukiuliza yanatoka ktk bomba nje sio majumbani mwa watu. Kama maendeleo ni kuongopea wananchi basi hapa zanzibar kwetu hakuna anaetupata.

  • @zahraalhabsi7931
    @zahraalhabsi79313 жыл бұрын

    Hahaaa bega moja nimelipenda neno 🤣🤣😆😆😆

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde16903 жыл бұрын

    Mwenyeji yuko vizuri sana 🙏🙏

  • @princelloris1705
    @princelloris17053 жыл бұрын

    Dahhh!!!! Ni mdaa sana yaani tangu ata soko bado halijajengwa

  • @chisaid3999
    @chisaid39993 жыл бұрын

    even their accent is like that of mombasa kenya 100%

  • @mohamedfaris3000

    @mohamedfaris3000

    3 жыл бұрын

    Uyo mzee anaongea lahaja ya kusini na sio Zanzibar Mjini

  • @yusufmwash6299
    @yusufmwash62993 жыл бұрын

    Jamani napenda hichi kipindi, nahisi kama nshafika Zanzibari

  • @user-eg1dr6so4c

    @user-eg1dr6so4c

    3 жыл бұрын

    😁😁

  • @allybaru
    @allybaru3 жыл бұрын

    Shoo Kali baba

  • @dilipdab3714
    @dilipdab37143 жыл бұрын

    Asante.sanaa

  • @a.856
    @a.8563 жыл бұрын

    Mitaa ya kwetu iyo asanteni Wasafi Tv

  • @mrmelody255
    @mrmelody2553 жыл бұрын

    🔥 🔥 🔥

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75893 жыл бұрын

    Kipindi kizur Sana njoo na Pemba

  • @user-eg1dr6so4c

    @user-eg1dr6so4c

    3 жыл бұрын

    Kabisa aje na pemba

  • @didimhutila8985
    @didimhutila89853 жыл бұрын

    Sijapoteza data leo hata kidogo,mutu akizikwa na ikafika miaka 40 sehemu inaweza kutumiwa kwa kazi nyingine.

  • @masudigatoto6494
    @masudigatoto64943 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @ibrahimkhatibu4561
    @ibrahimkhatibu45613 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kenedelia1419
    @kenedelia14193 жыл бұрын

    Nomaa

  • @vitumbawakayanda5988
    @vitumbawakayanda59883 жыл бұрын

    Babuuu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙏🏻

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi38993 жыл бұрын

    Ananikumbusha enzi ya chalinze watu wanaweka pumba kwenye maji unakuta pumba zinaelea wanaitanushwa unaambiwa maji hakuna mitungi imejaa ushwa.

  • @mkadayotv2128
    @mkadayotv21283 жыл бұрын

    Nakubali

  • @johnjoseph763
    @johnjoseph7633 жыл бұрын

    Mzee anafanana na mwinyi

  • @wakaredpower4165
    @wakaredpower41653 жыл бұрын

    Habari

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf75683 жыл бұрын

    Good zembwela

  • @didimhutila8985
    @didimhutila89853 жыл бұрын

    Huyo mama mwenye nguo nyeusi kabeba nini nyuma?

  • @saumuabdi1802

    @saumuabdi1802

    3 жыл бұрын

    Tako ndani ya jalbabu chezea wewe

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo68493 жыл бұрын

    Big up chuma cha pua

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hfАй бұрын

    Kwaio watu wamejenga juu ya makaburi

  • @kassimkasi846
    @kassimkasi846 Жыл бұрын

    Dah kitaani kwetu kabisa hapa

  • @fatumafatuma1459
    @fatumafatuma14593 жыл бұрын

    Salum ushaowa

  • @princebabu6977
    @princebabu69773 жыл бұрын

    Nyumbani raha sana uende na mkele na shaurimoyo

  • @user-pk8bp7th9e

    @user-pk8bp7th9e

    Ай бұрын

    Bado magomeni

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali52223 ай бұрын

    😂mitaa yangu iyo

  • @abukingkima092
    @abukingkima0923 жыл бұрын

    Kibanda maiti palikua na kibanda waakoshwa maiti

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma54283 жыл бұрын

    Maisha yetu ya uswazi

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Жыл бұрын

    Pindi li kijanja uswaz ndiyo kwetu

  • @gabrielbyaese631
    @gabrielbyaese6313 жыл бұрын

    nice kipindi

  • @user-pk8bp7th9e
    @user-pk8bp7th9eАй бұрын

    Wale tunaosikiliza tukiwa omani tujuane

  • @aishasaid6749
    @aishasaid67493 жыл бұрын

    Bongo wanaita matarumbeta

  • @abisahkassimu1073
    @abisahkassimu10733 жыл бұрын

    Daha

  • @aliyahyaissaissa7423
    @aliyahyaissaissa7423 Жыл бұрын

    Nimefaidkika san n hiki kipindi

  • @suleiphwaupendo1030
    @suleiphwaupendo1030 Жыл бұрын

    Njoo kununi zembwela

  • @rahmaabdulla4949
    @rahmaabdulla49493 жыл бұрын

    Yaani nimefurahi kweli leo nyumbani kabisa alipokuwa akiwahoji hao akina mama na dadaangu pia yupo hapo

  • @sleymohamed3825

    @sleymohamed3825

    3 жыл бұрын

    jirani yangu

  • @omarymnuru8746

    @omarymnuru8746

    3 жыл бұрын

    Rahma kumbe majirani eeh, Naomba unitafute Facebook kwa Jina la Omary Mnuru, hapa Siwezi kuweka mawasiliano yangu

  • @florakabadoelkana6764
    @florakabadoelkana67643 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana

  • @babually2302
    @babually23023 жыл бұрын

    wali na mchuzi wa chaza hapo dah!ni hatarii

  • @marthageorge559
    @marthageorge5593 жыл бұрын

    Napenda iki kipindi

  • @mubaraknassor4272
    @mubaraknassor42722 жыл бұрын

    Pana zikwa w2 au maiti duh!!

  • @ulipoulipotupo7564
    @ulipoulipotupo75643 жыл бұрын

    Nyumbani zanzibar

  • @davicekombe9021
    @davicekombe90213 жыл бұрын

    Zebweeeeeeeeeeeeeeee

  • @yusufudongote6440
    @yusufudongote64403 жыл бұрын

    Zembwela hapendi asili yake hapo bara kila mtu anatoka Dsm sijui kwnn hawapendi kutaja makwao

  • @stn4873

    @stn4873

    2 жыл бұрын

    Sasa kama ndio kazaliwa Dar mpaka uzee wake unataka asili yake iwe wapi?

  • @ramshboy6218
    @ramshboy62183 жыл бұрын

    Zembela mtu mbay

  • @samwelirobert2576
    @samwelirobert25763 жыл бұрын

    HII NI YETU SOTE

  • @dilipdab3714
    @dilipdab37143 жыл бұрын

    Zembwela.njoo.kwetu.tulisoma.dole.skul.njoo.dole

  • @adaboychibu1659
    @adaboychibu16593 жыл бұрын

    Wazenji hawapendi kumwagiwa juu😂😂😂😂

  • @TheNaturalThingsss

    @TheNaturalThingsss

    3 жыл бұрын

    🤣😂🤣😂🤣😂

  • @nooor1120

    @nooor1120

    3 жыл бұрын

    Maliza sentesi isilete zako

  • @dennismrutu7824

    @dennismrutu7824

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @youngbob9761
    @youngbob97613 жыл бұрын

    Zanzibar brutality islands of Africa

  • @mudolyomanziri5955
    @mudolyomanziri59553 жыл бұрын

    Elimu ya bure kabisa tunapata

  • @valcomangapie4520

    @valcomangapie4520

    3 жыл бұрын

    I’m just trying out a couple things and I’m just wondering how to

  • @valcomangapie4520

    @valcomangapie4520

    3 жыл бұрын

    The first thing that happens I was in my class today so I’ll just go ahead I have the time I need it haha I don’t want my life back so bad that you

  • @valcomangapie4520

    @valcomangapie4520

    3 жыл бұрын

    The

  • @valcomangapie4520

    @valcomangapie4520

    3 жыл бұрын

    I’m

  • @valcomangapie4520

    @valcomangapie4520

    3 жыл бұрын

    The

  • @amourhassan5218
    @amourhassan52183 жыл бұрын

    Kibanda maiti picha ni mitaa y jang'ombe

  • @suleimanalawy8512

    @suleimanalawy8512

    3 жыл бұрын

    Cyo kweli labda hupajui hapo kibandamaiti

Келесі