MSWAHILI : HII NDIO MAANA HALISI YA MJI KIBANDA MAITI HUKO ZANZIBAR
Ойын-сауық
𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 104
Hiki ndicho kipindi tulichokitaka km enzi zile za uswazi umetisha sanaaa👏
Zembwela upo juu kabisa nakukubali vipindi vyako home sweet home Zanzibar
Mashaallah wazanzibar wastaarabu hawataki wali na mchuzi juu wana desturi na adabu mashaallah 😘😘😘
@keifatuke99
3 жыл бұрын
Hata miye sipendi
@hassanisadiki824
3 жыл бұрын
Hamjui kulaaaa😂
Xaf xan my brother zebwela mungu akubaliki xan tu my brother ahsante
Big up mswahili zembera 🇹🇿.
Big up brother Salum yaan huyo jamaa maashallah kichwa sana yuko vizuri bab salum
Gonga like hapa tuone team WCB
Zembela babu unamopita huko Zanzibar tafta watu wa zamani wa maeneo husika ndo utapata maana halisi ya maeneo husika
Pamoja Wasafi tv kwa kuja kutembelea kitaa chetu cha Kibanda Maiti(Muungano) ndan ya Unguja Zanzibar
Wazanzibari wnyw nd tuncklz hapa
Mtangazaji Zembwera juu juu zaidi❤❤❤👍👍👍
Makaburi msafa maana yake makaburi anaezikwa kila mtu asiekuwa na shamba yao ya makaburi yaani wageni na wasiokua na kwao pa kuzikia ndio pale wahenga walisema ukatae makaburi msafa Baba ako ana shamba??
Hizi tawala zetu zimetudumuza kweli yaani huyu dada anasemea shida ya maji mpaka kaona noma kasema siku hizi yanatoka lkn ukiuliza yanatoka ktk bomba nje sio majumbani mwa watu. Kama maendeleo ni kuongopea wananchi basi hapa zanzibar kwetu hakuna anaetupata.
Hahaaa bega moja nimelipenda neno 🤣🤣😆😆😆
Mwenyeji yuko vizuri sana 🙏🙏
Dahhh!!!! Ni mdaa sana yaani tangu ata soko bado halijajengwa
even their accent is like that of mombasa kenya 100%
@mohamedfaris3000
3 жыл бұрын
Uyo mzee anaongea lahaja ya kusini na sio Zanzibar Mjini
Jamani napenda hichi kipindi, nahisi kama nshafika Zanzibari
@user-eg1dr6so4c
3 жыл бұрын
😁😁
Shoo Kali baba
Asante.sanaa
Mitaa ya kwetu iyo asanteni Wasafi Tv
🔥 🔥 🔥
Kipindi kizur Sana njoo na Pemba
@user-eg1dr6so4c
3 жыл бұрын
Kabisa aje na pemba
Sijapoteza data leo hata kidogo,mutu akizikwa na ikafika miaka 40 sehemu inaweza kutumiwa kwa kazi nyingine.
🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nomaa
Babuuu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙏🏻
Ananikumbusha enzi ya chalinze watu wanaweka pumba kwenye maji unakuta pumba zinaelea wanaitanushwa unaambiwa maji hakuna mitungi imejaa ushwa.
Nakubali
Mzee anafanana na mwinyi
Habari
Good zembwela
Huyo mama mwenye nguo nyeusi kabeba nini nyuma?
@saumuabdi1802
3 жыл бұрын
Tako ndani ya jalbabu chezea wewe
Big up chuma cha pua
Kwaio watu wamejenga juu ya makaburi
Dah kitaani kwetu kabisa hapa
Salum ushaowa
Nyumbani raha sana uende na mkele na shaurimoyo
@user-pk8bp7th9e
Ай бұрын
Bado magomeni
😂mitaa yangu iyo
Kibanda maiti palikua na kibanda waakoshwa maiti
Maisha yetu ya uswazi
Pindi li kijanja uswaz ndiyo kwetu
nice kipindi
Wale tunaosikiliza tukiwa omani tujuane
Bongo wanaita matarumbeta
Daha
Nimefaidkika san n hiki kipindi
Njoo kununi zembwela
Yaani nimefurahi kweli leo nyumbani kabisa alipokuwa akiwahoji hao akina mama na dadaangu pia yupo hapo
@sleymohamed3825
3 жыл бұрын
jirani yangu
@omarymnuru8746
3 жыл бұрын
Rahma kumbe majirani eeh, Naomba unitafute Facebook kwa Jina la Omary Mnuru, hapa Siwezi kuweka mawasiliano yangu
Kazi nzuri sana
wali na mchuzi wa chaza hapo dah!ni hatarii
Napenda iki kipindi
Pana zikwa w2 au maiti duh!!
Nyumbani zanzibar
Zebweeeeeeeeeeeeeeee
Zembwela hapendi asili yake hapo bara kila mtu anatoka Dsm sijui kwnn hawapendi kutaja makwao
@stn4873
2 жыл бұрын
Sasa kama ndio kazaliwa Dar mpaka uzee wake unataka asili yake iwe wapi?
Zembela mtu mbay
HII NI YETU SOTE
Zembwela.njoo.kwetu.tulisoma.dole.skul.njoo.dole
Wazenji hawapendi kumwagiwa juu😂😂😂😂
@TheNaturalThingsss
3 жыл бұрын
🤣😂🤣😂🤣😂
@nooor1120
3 жыл бұрын
Maliza sentesi isilete zako
@dennismrutu7824
3 жыл бұрын
😂😂😂
Zanzibar brutality islands of Africa
Elimu ya bure kabisa tunapata
@valcomangapie4520
3 жыл бұрын
I’m just trying out a couple things and I’m just wondering how to
@valcomangapie4520
3 жыл бұрын
The first thing that happens I was in my class today so I’ll just go ahead I have the time I need it haha I don’t want my life back so bad that you
@valcomangapie4520
3 жыл бұрын
The
@valcomangapie4520
3 жыл бұрын
I’m
@valcomangapie4520
3 жыл бұрын
The
Kibanda maiti picha ni mitaa y jang'ombe
@suleimanalawy8512
3 жыл бұрын
Cyo kweli labda hupajui hapo kibandamaiti