MREMBO WA ALI KAMWE AFUNGUKA A - Z, SAFARI YAKE KUJA DAR, KILICHOTOKEA KATI YAO BAADA YA KUKUTANA

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 26

  • @dayana5513story
    @dayana5513storyАй бұрын

    She is beautiful 😍

  • @steveanthon5523
    @steveanthon5523Ай бұрын

    Ndiyo mkome kupama make up, zinawazeesha, tazama bila make up unavyopendeza!

  • @sophiakayumba5974
    @sophiakayumba5974Ай бұрын

    Ni mzuri sana na wala hana shida yeyote, namfurahia zaidi kwamba ana kitu chake cha kufanya yaani biashara na sio kwamba ni slayqueen aliyekalia kupiga tu picha na kupost, congratulations little queen, tupunguze ku-bull watu.

  • @britneyivy

    @britneyivy

    Ай бұрын

    Wivu ndo shida

  • @wamangaitv2288
    @wamangaitv2288Ай бұрын

    Daaah dadaake nmesoma nae kabisaaaaa❤wow

  • @magrethmagessa2445
    @magrethmagessa2445Ай бұрын

    Mungu akutunze mdogo angu

  • @bennamush4616
    @bennamush4616Ай бұрын

    Nakupenda mtoto wa Edes ❤

  • @oyay2821
    @oyay2821Ай бұрын

    Mbona amekaa kombo? Ali Kamwe ashamvunja centre bolt.

  • @SandreAlhlwah-bv1cx
    @SandreAlhlwah-bv1cxАй бұрын

    Kazuri❤❤

  • @leoniaashery9337
    @leoniaashery9337Ай бұрын

    Mwanahabari mmbeya😊😊😊

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8nАй бұрын

    Sio mekap alikua anatembea km kajinyea ila fec haikua mbaya

  • @user-ek2ij1lk3x
    @user-ek2ij1lk3xАй бұрын

    Kaz NZr

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164Ай бұрын

    Kazuri mno

  • @nancyg8664
    @nancyg8664Ай бұрын

    sauti ya wema inawaaribu warembo wengi kwakwel😂

  • @Annalisejg2ur

    @Annalisejg2ur

    Ай бұрын

    Hicho kisautiii😂😂😂😂

  • @britneyivy

    @britneyivy

    Ай бұрын

    Acha bhn...kwan sauti anayo wema tuu af mbn wala hazifanani

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    Ай бұрын

    @@britneyivy kila mtu anacomment kulingana na kile masikio yake yamesikia mimi naweza kusikia sauti kama ya wema wewe unaweza ukasikia ya jaiva.

  • @javandaudi5553
    @javandaudi5553Ай бұрын

    Kumbe kabaya hivi

  • @ombenikefa7342
    @ombenikefa7342Ай бұрын

    uyo mtu wa make-up ndo alizingua😂

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268Ай бұрын

    Nyie wadadisi wa mambo binafsi

  • @HelsonRuchagula
    @HelsonRuchagulaАй бұрын

    Ni mzr bwana

  • @charlskaswiza2982
    @charlskaswiza2982Ай бұрын

    Kwa ninavyojuwa xx watoto wa TMK ww kamwe mtu kashaliwa apo 😂😂kama msemo wa kondacta nyanyuwa miguu juu tuingize mzigo😂😂

  • @Jackilinedanielikilika
    @JackilinedanielikilikaАй бұрын

    shida nimekapu nimlembo kumbe

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe754328 күн бұрын

    Wewe mwandishi nimwongo sana hayo ni YA mtu binafsi. Udadisi gani huo?

  • @rizikimtui8992
    @rizikimtui8992Ай бұрын

    Kamwe ajamwacha 😢

  • @Mosses8
    @Mosses8Ай бұрын

    Hahahahahahaa nakweli duuu

Келесі