Mpoki na Oscar Oscar wamkejeli Mwijaku juu ya kesi ya kumchafua Masoud Kipanya

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 57

  • @jastinedaudi-qi9vr
    @jastinedaudi-qi9vrАй бұрын

    Mung atakusmamia mwijaku inshallah makos tumeumbiw wanadam akna mkamilifu

  • @user-zn2kx7uj3c
    @user-zn2kx7uj3cАй бұрын

    Huyo shoga mwijaku hakuna kinacho sitahiri kwake zaidi ya kwenda jera iri aenderee kuriwa vizuri mjarana huyo 🎉❤🙏

  • @subralugege7019
    @subralugege7019Ай бұрын

    Allah akifanyie wepesi makosa tumeumbiwa na nosehemu ya kujifunza muombe sana Allah tubia kwake ataalifanya jepesi inshaallah

  • @DavisEnglishTv
    @DavisEnglishTvАй бұрын

    Shida ya mwijaku amezidi mno kuropokaropoka. Ameshafanya hivo mar nyingi kwa watu tofautitofauti lakin hakuwa akichukuliwa hatua za kisheria ila saiv naona ameyakanyaga. Nafkiri saiv atashika adabu yake

  • @chizashungu8364

    @chizashungu8364

    Ай бұрын

    Safi sana,mwijaku amezidi.Too much.

  • @Lucano6144
    @Lucano6144Ай бұрын

    Acha ahadhibiwe ni mpuuzi sana

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936Ай бұрын

    Mwijaku domo rake chafu sana ana

  • @isacklaurent8948
    @isacklaurent8948Ай бұрын

    mwijakua amezoea kumwkan mond anapuuza yey anafkir kila m2 anapuuza

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1oАй бұрын

    Mwijaku amezidi , asamehewe tu juu ameomba radhi

  • @ayshaahnad4472
    @ayshaahnad4472Ай бұрын

    Kwani mwijaku kamfanyaje masoud jamani

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sgАй бұрын

    Yaan mwijaku wameamua tu kumfunga kipindi ichi …huwa simpendi lakini kwenye hili la masoud namuonea mpaka huruma

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3eАй бұрын

    Mwijaku amesha zidi sijui kama ni kiburi cha pesa

  • @fakifaki6263
    @fakifaki6263Ай бұрын

    Masoud kipanya kashachafua majina ya wangapi na katuni zako ?

  • @humphreymwihambi4330

    @humphreymwihambi4330

    Ай бұрын

    Kamchafua nani taja

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13Ай бұрын

    Bado wewe Mpoki maana Aunatafauti na Mwijaku. Nyote ni Wachafu wa Midomo. Safari hino amtoboi amna Chawa wala Mwana habari. Ukichafua hewa uwe na ushaidi au 5B. Jingazzzzzz

  • @HeriRamadan-qx2hk
    @HeriRamadan-qx2hkАй бұрын

    Afundishwe adabu

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383Ай бұрын

    😂😂 atatoboa pua❤

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416Ай бұрын

    Tatizo kuongea kwake ni sifa

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412Ай бұрын

    Achana na hiyo vipi kuhusu Oscar ameludi EFM au

  • @C8stories4645
    @C8stories4645Ай бұрын

    SnS wanakuza hili jambo, mm nawakubali saana ila issue ya kushiriki kumuangusha mtu si jambo jema

  • @judyngowi391

    @judyngowi391

    Ай бұрын

    Huyu nae! Amwangushwaje sasa, si kajiangusha mwenyewe

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491Ай бұрын

    Mwijaku ni takataka

  • @HidayaKarim-wy9yc
    @HidayaKarim-wy9ycАй бұрын

    Mungu atamfanyia wepesi

  • @judyngowi391
    @judyngowi391Ай бұрын

    Ashtakiwe kabisa, kamuharibia mteja wetu

  • @deejeydaev
    @deejeydaevАй бұрын

    Alishindwa kujiongeza

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7zАй бұрын

    Kwani mwijaku ye anaongeleaga mangapi watu...tena uongo mtupu....leo yeye kuambiwa ukweli ni shida

  • @meryamabdullah2081

    @meryamabdullah2081

    Ай бұрын

    Ndo ajifunze awe na mipaka sio anaparamia kila mtu

  • @madamelucy8429
    @madamelucy8429Ай бұрын

    Kwa kumuonya atoe faini ambayo anaweza kulipa sio hizo b 5 atazitoa wapi ! mwishowe yatakuwa ya yule nani sijui vile mpaka leo anadaiwa na marehemu

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652Ай бұрын

    Wote munajaaaaaa😂😂😂 I don’t know Swahili nyote munajaaaa

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316Ай бұрын

    ili jambo sns mnalikuza sana hata mwijaku aliandika akafuta nyie ndo mkaja kulisoma huku

  • @shahamtindo

    @shahamtindo

    Ай бұрын

    Alifuta wakati lishaonekana, na media nyingi tu zilchapisha, sioni kama sns wana kosa lolote hapo

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402Ай бұрын

    DEFAMATION sio DEFOMATION.

  • @MikeFuraha-rw6dr
    @MikeFuraha-rw6drАй бұрын

    Ndo mujue kwamba moyo wa Diamond Platnumz ni wa aina gani....jamaa amekua akimchafua Dangote for so long ila wala hata kunyoshewa kidole bdo

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣oska huna hakili Mzee wakaliuwa

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555Ай бұрын

    😂😂😂😂 Bongo MNA mampo kweli

  • @stivertz7014
    @stivertz7014Ай бұрын

    SIDHANI KAMA MASOUD KIPANYA ANA ROHO NGUMU YA KUTAKA KIAS CHOT CHA FEDHA KUTOKA KWA KIJANA MWENZAKE. ILA ANAMPA FUNZO AMBALO HATAKAA ALISAHAU NA KUJIFUNZA KUONGEA KISTAARABU KILA ANAPOJARIBU KUANDAA CONTENTS ZAKE AU ANAPOKUWA KWENYE HASIRA ZAKE

  • @AishaHaji-jn7sg

    @AishaHaji-jn7sg

    Ай бұрын

    💯

  • @Esquire266
    @Esquire266Ай бұрын

    Mwijaku tajiri, bilioni tano mapeni kidogo sana kwake.Hamuwezi kumtisha😂😂

  • @michelinemapendo6652

    @michelinemapendo6652

    Ай бұрын

    😂😂😂😂kabisa

  • @user-ii6gs2jg4g

    @user-ii6gs2jg4g

    Ай бұрын

    Billion tano sio pumbu kila mwanaume awe nazo ujue

  • @belitomanuel6240

    @belitomanuel6240

    Ай бұрын

    ​@user-ii6gs2jg4g Hatari kabissa😅😅😅😅

  • @Esquire266

    @Esquire266

    Ай бұрын

    @@user-ii6gs2jg4g kumbuka Alhaji Mwijaku ndiye chawa mwenye utajiri zaidi Afrika

  • @HeriRamadan-qx2hk

    @HeriRamadan-qx2hk

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3ygАй бұрын

    Sifa zikidi

  • @Assay-gn1wv
    @Assay-gn1wvАй бұрын

    Oscar hiko kingereza sasa🥹 batiiii ndio but?

  • @sharifali178
    @sharifali178Ай бұрын

    Sifa zitampunguka

  • @DM_15
    @DM_15Ай бұрын

    Ukitaka kujua nini maana ya wakati mgumu wewe mpigie sim mwijaku muulize wakatihuu anahisi nini😂 utakujuza maanayawqkati mgumu

  • @yaduniapeter

    @yaduniapeter

    Ай бұрын

    😂😂😂😂 ila kweli kabisa

  • @VivecCarol

    @VivecCarol

    Ай бұрын

    Nipe namba yake

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934Ай бұрын

    😂😂😂ata toboa poa na mengineyo

  • @user-sf8wt4sr4t
    @user-sf8wt4sr4tАй бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fakifaki6263
    @fakifaki6263Ай бұрын

    Hakuna sheria iyo ....izo faini za serikali hazidi laki mbili ...izo billion Tangu azaliwe ashawahi Kuziona

  • @user-nb2jw4km6f

    @user-nb2jw4km6f

    Ай бұрын

    Hapo sasa na hata ikitokea akazitoa ataanza kuchunguzwa kwa kazi ya matangazo na uchawa tu wew bilioni 5 si mchezo

  • @mkambaj5106

    @mkambaj5106

    Ай бұрын

    Mzee faini inalingana na thaman ya mtu Na uharibifu uliyojitokeza. Kauli alizoongea jamaa zinaathir mambo mengi kwa mwenzie

  • @user-nb2jw4km6f

    @user-nb2jw4km6f

    Ай бұрын

    @@mkambaj5106 Waseme wanataka tu kumfunga sio kwa bil.5 azipate wapi?

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4gАй бұрын

    Muha yule inatakiwa wamkamue mpaka aludi kwako kigoma na mapumbu yake tu. Shenzi kabisa

Келесі