Mpaka Home MAISHA HALISI YA MWIGIZAJI ANKO BENI SELENGO

Пікірлер: 352

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei11332 жыл бұрын

    Mashaallah Abduli mungu akulinde🙏🙏

  • @dullamuso6955
    @dullamuso69552 жыл бұрын

    Namkubali Sana Serengo, nikimuona naona Sura ya Kanumba. Mungu akutunze Serengo

  • @giftgodson5603

    @giftgodson5603

    2 жыл бұрын

    Kasema anaitwa selengo hiyo serengo umeitoa wapi?

  • @fatumahassan1371

    @fatumahassan1371

    2 жыл бұрын

    @@giftgodson5603 🤣🤣🤣🤣 namshangaa

  • @lucyhusein4043

    @lucyhusein4043

    2 жыл бұрын

    Ww kaka mtundu sn hua nikiangaliaga muvizako nachekaga sn daaah!!! Mungu akulinde pena sn

  • @mimij7868

    @mimij7868

    2 жыл бұрын

    Yani kiukweli huyu mshkaji yupo vzr kiukomedi ,,,

  • @lucyhusein4043

    @lucyhusein4043

    2 жыл бұрын

    @@mimij7868 sanaaaa tena sn

  • @allyjumaallyjuma692
    @allyjumaallyjuma6922 жыл бұрын

    Mashallaah Namkubali sana huyu broo ameitendea haki Nafasi yake ya sanaa kiukweli kama alivosema kuwa wanambania2 ila angekuwa mbali zaid ktk hii nche yuko sawa sana mimi kwenye filamu yoyote nikimkuta atakama sio mzur nikimkuta yume2 siachi kuangalia .Big up Akhy

  • @esthernyambura625
    @esthernyambura6252 жыл бұрын

    🙋🙋🙋👍💖💕💖💕💖👌💖hongera sana kwa movie unazo igiza kaka mkizungumzia kanumba wakati wote naishiwa nguvu alikua msani wa kufurahisha sana ila basi tu

  • @saidkulwa8807
    @saidkulwa88072 жыл бұрын

    Daaah umeni kumbusha mbali sana aiseee.weee sister endelea na moyo huo huo wa kuwa kumbuka wakongwe wa Filamu pamoja na muziki

  • @mariamjuma4136
    @mariamjuma41362 жыл бұрын

    Nampenda sana uyu kaka ana show show of kbs katulia sn

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim45902 жыл бұрын

    Tulojua leo serengo Ben jina lake halis abdul tujuane😂😂🕺

  • @chazwilliam8882
    @chazwilliam88822 жыл бұрын

    Salengo ktk Interview ametulia kweli unaweza sema si yeye dah bigap sana brother nazikubali kazi zako

  • @estheronyoro1452
    @estheronyoro14522 жыл бұрын

    Mungu akulinde na family yako insha'Allah 🙏❤️

  • @alexkalonga3632
    @alexkalonga36322 жыл бұрын

    Ila Mbengo TV mnazingua sana mnakuwa kama Matapeli hivi, picha na mlotuwekea ni tofauti video tunayoiona!!! Nyie ni Matapeli tu wa MB za watu!!

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    2 жыл бұрын

    Na pia nashangaa nasubir kuon kijumba kizur kumbe 😎

  • @abdallahissa8323

    @abdallahissa8323

    2 жыл бұрын

    Mi kwa sababu hiyo naji unsubscribe

  • @fisjaykitamuliko1183

    @fisjaykitamuliko1183

    2 жыл бұрын

    @@abdallahissa8323 🤣🤣 ila kiukweli wamezinguwa

  • @wambuakasimu2431

    @wambuakasimu2431

    2 жыл бұрын

    Watching from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪 wanazingua kweli

  • @fatumahassan1371

    @fatumahassan1371

    2 жыл бұрын

    Umeonaeee 😂😂

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene230312 жыл бұрын

    hi serengo boy much love from congo zaire

  • @deewyzeeofficial3512
    @deewyzeeofficial35122 жыл бұрын

    NAMFAHAM KAMA SERENGO AU BLANCO 🔥🔥🔥🔥 NAKUKUBALI BROOO BIG UP SANA

  • @missmwayway4704
    @missmwayway47042 жыл бұрын

    Jamaniii kumbe ni mmakua mwenzangu Daaaahhh karibu kwetu Masasi 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @none9575

    @none9575

    2 жыл бұрын

    Hata mm mmakua lakin cjui pia yaongewaje hyo lugha hhhh

  • @missmwayway4704

    @missmwayway4704

    2 жыл бұрын

    @@none9575 ooohh hujakaa kwetu Masasi ee

  • @nyotawauniquem7462

    @nyotawauniquem7462

    2 жыл бұрын

    Mwenyewe ndio nimejua leo, kumbe mmakua mwenzangu

  • @aminaabdallah9117
    @aminaabdallah91172 жыл бұрын

    Nakupenda Sana Abdul ktk movie zako zote namkumbuka Ile wewe muhogomchungu ukiwamasterkey nayy alikua akchochoea waizi wachomwe ulipokutwaniwewe 😄😂weee

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu28872 жыл бұрын

    SERENGO, KADOKOA NYAMA🤣🤣🤣UPANDE WANGU NAKUKUBARI❤️.

  • @ashuraissak8561
    @ashuraissak85612 жыл бұрын

    Yani serengo unanikumbusa enzi zako na kanumba mliendana sana kama ndugu wa damu allah azidi kukuongoza inshaallah

  • @emmy85sweetie99
    @emmy85sweetie992 жыл бұрын

    Maashalah Abdul jina zuriiii sana unatakiwa ulitendee Haki

  • @dianahasagi1022
    @dianahasagi10222 жыл бұрын

    I love his character he plays all the way from 🇰🇪

  • @josephmonteiro5677
    @josephmonteiro5677 Жыл бұрын

    Yes nimependa kutoka🇲🇿🇲🇿

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji26372 жыл бұрын

    Maashaallah very nice broo Allah SW akupe umri mfef

  • @geofreynjanga6794

    @geofreynjanga6794

    2 жыл бұрын

    Sio mfef ni mrefu shekhe 🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @rashidisereman6974

    @rashidisereman6974

    2 жыл бұрын

    Mashallha Kaka Ben ongera Sana! Napenda Sana! Unavyo fanya kazizako!

  • @khamissalum9285
    @khamissalum92852 жыл бұрын

    Duuu mimi nilizani mkiristo kumbe musilamu allah akuweke

  • @hawwahawwa8533
    @hawwahawwa85332 жыл бұрын

    MashaAllah mi najua unaitwa Ben tu 😱

  • @TeamKRX
    @TeamKRX2 жыл бұрын

    Jamani kumbe muislamu minnilizani mkiristo mashalah

  • @dcgcnyanza8877

    @dcgcnyanza8877

    2 жыл бұрын

    Namkubali sana Ben blanco a,ka serengo

  • @julihanjosephyjs6361

    @julihanjosephyjs6361

    2 жыл бұрын

    Huyu muislam Babu yake mzee bwagu kigogo alikuwa anakaa zamani

  • @hassanmnimbo457

    @hassanmnimbo457

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @rehemasalim4590

    @rehemasalim4590

    2 жыл бұрын

    Mie pia nimejua leo🕺😂😀

  • @mariachuri7123
    @mariachuri71232 жыл бұрын

    😅 Serengo upo serious jmn kwenye interview,hata kucheka..hahaaa! Tofauti na ukiwa kwenye movie..big up then

  • @koletakilasa5988

    @koletakilasa5988

    2 жыл бұрын

    Hongera sana aaaa

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif94672 жыл бұрын

    Dah sikua na faham jamaa km ni muislam mashallah

  • @neemachendwa6827
    @neemachendwa68272 жыл бұрын

    Hongera sana kaka beni unafanya vizuri sana kwenye huba

  • @NiderTV
    @NiderTV2 жыл бұрын

    auncle selengo nmekupata na jamaa hhuyu hahahahahahaaha fire

  • @alayoboyboy6846
    @alayoboyboy68462 жыл бұрын

    wee dem nakupendaga sana unasauti ya kibabe safi sana

  • @zenadaudzena2849

    @zenadaudzena2849

    2 жыл бұрын

    Tom boy huyo

  • @SengekaSilvester
    @SengekaSilvester13 күн бұрын

    Mungu akulinde serengo

  • @godfreyraymond4464
    @godfreyraymond44642 жыл бұрын

    Namkubali sana Ben sikujua kama mmakua mwenzangu Jamaa

  • @manyerereboniphace7989
    @manyerereboniphace79892 жыл бұрын

    Kwahio umeonyesha gari ziri nyumba kali alafu mnaonyesha vitu vingine uboya tu

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana21152 жыл бұрын

    Hungera sana serengo Abudul hamdi. Allaha. Akuhifadhi

  • @husseinjumaikunji622
    @husseinjumaikunji6222 жыл бұрын

    Aise mi nakukubali Sana mheshiwa. Nakumbuka kuna move moja uliigiza na marehemu Kanumba anko jj . Aise noma I'll ulikuwa mganga mle . Niliipenda ile kwikwi

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana21152 жыл бұрын

    Hongera san. Karosi kumbe ina watoto wawili hkeri😘

  • @charlesndallo515
    @charlesndallo5152 жыл бұрын

    What can I say is that, I appreciate you more

  • @idrissamuhamedi3289
    @idrissamuhamedi32892 жыл бұрын

    Ank ben unajua sana wadau w kaskazn wmekumis sn broka 2nataka kz deile hongera sn

  • @makulaikuku6909
    @makulaikuku69092 жыл бұрын

    Heeee abduli ahmad masha Allah me najua naitwa benjamini

  • @fesalchambuso8023

    @fesalchambuso8023

    2 жыл бұрын

    Umeonaee eeeh 🤣

  • @naimaislam552

    @naimaislam552

    2 жыл бұрын

    Mi pia Ben ndio nimezoea yaaani

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @zalhathasaid2060

    @zalhathasaid2060

    2 жыл бұрын

    @Fatherjaytz ndio ttz kuwa sio muslam mtihan

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    2 жыл бұрын

    @Fatherjaytz nimecheka,sema swali zuri hilo

  • @salumallynannume6724
    @salumallynannume67242 жыл бұрын

    Abdulhaliim, uko njema 😄😄. Naikumbuka movie yenu "jumba la maajabu".

  • @simondelefa880
    @simondelefa8802 жыл бұрын

    Nakuelewa sana ktk kaz zako Mwamba .pamban kaka

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho81382 жыл бұрын

    Kumbe ww ni muislam miye nikajuwa mkristo masha allah😘😘😘😘😘🥰😘

  • @joycenicodemus.2232

    @joycenicodemus.2232

    2 жыл бұрын

    Mnapendaga udini nyie

  • @salhamrisho8138

    @salhamrisho8138

    2 жыл бұрын

    @@joycenicodemus.2232 hapana sijamaanisha ivo my miye nikajuwaga hilo ben ndiyo jina lake asaa napiya move zake nyingi yu nakakti ni mkrsto

  • @godblessjrtz.8652

    @godblessjrtz.8652

    2 жыл бұрын

    @@salhamrisho8138 hiyo mashaalah imetoka wapi kama sio udini ina maana angekuwa mkristo ungemsifia hivyo? Acheni mambo ya Udini watanzania nyie. Sisi ni waafrika imani hizi zisitugawe.

  • @joycenicodemus.2232

    @joycenicodemus.2232

    2 жыл бұрын

    @@salhamrisho8138 haya pouwa my.

  • @davidsika5292

    @davidsika5292

    2 жыл бұрын

    @@joycenicodemus.2232 kweli kabisa udin umetawala kwa hawa watu

  • @atanasjisonge2538
    @atanasjisonge25382 жыл бұрын

    Nakukubali sanaa mzee

  • @mayiahnoah2157
    @mayiahnoah21572 жыл бұрын

    Selenko God bless U wewe... Unanikumbusha kanumba walai....

  • @bahlaoman6467
    @bahlaoman64672 жыл бұрын

    Una jina la Kaka angu Mashaallh

  • @GahSjj-sj6ok
    @GahSjj-sj6ok Жыл бұрын

    Da brather nilifikili unaubili kanisani kumbe nishee mashalaah

  • @chidisufiani3777
    @chidisufiani37772 жыл бұрын

    Nakukubari sana wangu

  • @nicolaschan3785
    @nicolaschan37852 жыл бұрын

    Mwanangu Anko Selengoooo 🤣🤣🔥🔥

  • @victorkivuyo6126
    @victorkivuyo61262 жыл бұрын

    AISE UMRI UMEAONGA SI JUZI TU ULIKUWA CHALII , MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO

  • @amedeusnakarashio411
    @amedeusnakarashio4112 жыл бұрын

    Big up Bro

  • @felistermilanzi5167
    @felistermilanzi51672 жыл бұрын

    Kumbe mmakua mwenzangu

  • @farijimartin7031
    @farijimartin70312 жыл бұрын

    Nakusubili sana pamoja sana💗💗💗

  • @shabanially4794
    @shabanially47942 жыл бұрын

    Kwani msipoweka picha ya gorofa hatuangalii?

  • @asiaas6617

    @asiaas6617

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣labda walidhani hatutaangalia

  • @mekeyamusa3523

    @mekeyamusa3523

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @mamalaozphilemon.8800

    @mamalaozphilemon.8800

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 hawa wanapenda sana kuzigua .

  • @aidankakulu398

    @aidankakulu398

    2 жыл бұрын

    Ni upuuzi wao tu huo jamaa yangu

  • @ibnnjoka7649

    @ibnnjoka7649

    2 жыл бұрын

    🤣

  • @aminasaid7657
    @aminasaid76572 жыл бұрын

    Mashaallah Jina zuri

  • @dickaugustino2214
    @dickaugustino22142 жыл бұрын

    Hongera sn, serengo! Ila mling'ara Sana kpnd Cha kanumba.ukweli ndo huo, ingawa nyie wote mnapendwa na cc mashabiki mbaka leo

  • @munatwalib2808
    @munatwalib28082 жыл бұрын

    Mashaaallah mashaallah jina zuri

  • @OmanOman-ep7bw
    @OmanOman-ep7bw2 жыл бұрын

    MaashaAllah kumbe wa kwetuu

  • @saudambinga3832
    @saudambinga38322 жыл бұрын

    Serengo Yuko vzr Sana🇴🇲

  • @hamissusinga4164
    @hamissusinga41642 жыл бұрын

    Ben branco nakubali mwamba

  • @nancymark698
    @nancymark6982 жыл бұрын

    Daaah nampenda Sana huyu jamaa 😅😅😅

  • @elishasamson77
    @elishasamson772 жыл бұрын

    Hongera selengo kwa kukomba mboga na jenipha

  • @ayshaaysha2165
    @ayshaaysha21652 жыл бұрын

    Mashaallah uko vzr

  • @abdallaabedi2354
    @abdallaabedi2354 Жыл бұрын

    Kwamm binafsi namjua kama vumbi vumbindu ile ya matron asee mlitisha Sana baast apunzishwe pema peponi Mzee wetu majuto.

  • @saumuabdi1802
    @saumuabdi18022 жыл бұрын

    Mashaallah Abdul

  • @rehemasalim4590

    @rehemasalim4590

    2 жыл бұрын

    Kwan aitwa abdul😀mashallah jina zur nalijua leo

  • @saumuabdi1802

    @saumuabdi1802

    2 жыл бұрын

    @@rehemasalim4590 mimwenyewe sijawahi juwa kama Muslim wallah nimefurahi

  • @rehemasalim4590

    @rehemasalim4590

    2 жыл бұрын

    @@saumuabdi1802 tupo wengi

  • @rajabuwazir6948

    @rajabuwazir6948

    2 жыл бұрын

    Nakukubali sana ktk jambo lako Allah akuhifadhi na familia yako

  • @oredinondo7876
    @oredinondo78762 жыл бұрын

    Ben next time heshimu interview, simu weka silence.

  • @ramosfally2318
    @ramosfally23182 жыл бұрын

    mmakua.zai salama uwani.from mozambique

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia48242 жыл бұрын

    Masha"Allah Masha"Allah zamwizi ni 40 kingwendu hahaha kali sana

  • @mgorakatembo2642
    @mgorakatembo26422 жыл бұрын

    Nakupenda msaniiwetu ukovizuli ❤️❤️❤️🙏🙏🙋👏👏❤️🔥

  • @niokoemahenge4312
    @niokoemahenge43122 жыл бұрын

    Majibu mazuri sana serengo kanumba ludi duniani muone serengo wako huku anatia huruma anakukumbuka kanumba

  • @godfreyally7787
    @godfreyally77872 жыл бұрын

    Nakukubari Sana selengo..

  • @peteveprosper7186
    @peteveprosper71862 жыл бұрын

    Jamaa hana shidaa na hicho ki interview mna mdharirisha maisha magum sana

  • @faithwemamusic5266
    @faithwemamusic52662 жыл бұрын

    Jamani naomba usaindizi.. Kuna filamu huyu kaka ameicheza Na sikumbuki inaitwaje, huyu kaka alizaliwa wakiwa mapacha mmoja akafariki Na Bandae huyu kaka alipelekwa Kwa nganga akaingizwa kwenye ulimwengu Wa ndoto kupambana... Basi naomba nisaindiwe hiyo filamu inaitwaje wenzangu

  • @happynkya9770
    @happynkya97708 күн бұрын

    Mpaka home ya zamaradi tv ishawapiga bao, maana anaenda mpaoa vyumban mpka jikon seblen kila mahali tunaona sasa nyie jaman

  • @mgmgtheraper6679
    @mgmgtheraper66792 жыл бұрын

    Jama namupendasa mista serengo🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar86082 жыл бұрын

    Mziwanda njoo tufanye maisha

  • @HafidhOmar-rs4ty
    @HafidhOmar-rs4ty2 ай бұрын

    Hyu jmaa mm namfaham kma beni masanduku yaani kma unatka ucheke ,unatka kujifunza zarau, jeuri ,utemi hpa umefka

  • @davidoscooper237
    @davidoscooper2372 жыл бұрын

    Kanumba kaondka na bongo movie hat mkikataa

  • @manyizimusic4366
    @manyizimusic43662 жыл бұрын

    Namkubaliiii saaana

  • @mamumariam7582

    @mamumariam7582

    2 жыл бұрын

    Nakubali kazi yako

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog67522 жыл бұрын

    Namuelewa sana bwana ben

  • @williammasanja1403
    @williammasanja14032 жыл бұрын

    Nilivunja videvu vingi sana

  • @suleimansalim8744
    @suleimansalim87442 жыл бұрын

    beni nakukubalii mchapaa kazii , lkn siku hizii ckuonii ktk movie, tupe vitu, napenda huna tafrani ya mitandao

  • @hamzaathumani7475
    @hamzaathumani74752 жыл бұрын

    Nakuelewa sanna ben blanco

  • @neemazee1864
    @neemazee18642 жыл бұрын

    Mbego TV mimi naji Ansubscribe mana mmezidi uongo, iyo nyumba sasa iko wapi apo

  • @sautinassor2102
    @sautinassor21022 жыл бұрын

    Masha allah kumbe muislam

  • @ladymuna4945
    @ladymuna49452 жыл бұрын

    Mm namjua kama Carlos 😂😂😂

  • @matovuasuman9148

    @matovuasuman9148

    2 жыл бұрын

    #Huba

  • @elizabethverael1709
    @elizabethverael1709Ай бұрын

    😂😂😂😂😂 huo mjengo mzr ndo umewapiga picha au

  • @sumisumi8181
    @sumisumi81812 жыл бұрын

    Mnano mwaka 2000 kaigiza kwenye " MAISHA" pamoja na Dr cheni , shwebe,muongo Mchugu,lina ,max,doki etc ..kitambo mno from North Dakota USA

  • @rukiasadiki9992

    @rukiasadiki9992

    2 жыл бұрын

    Typing bhana😜

  • @zalhathasaid2060

    @zalhathasaid2060

    2 жыл бұрын

    Mwaka uo mm nko tumboni hhhh

  • @petermaro9852

    @petermaro9852

    2 жыл бұрын

    Una kumbukumbu kinouma Sumi,ila dokii hakuwa kaole alikuwa Mambo hayo.Igizo la Hujafa hujaumbika au maisha 2000 walikuwepo akina jerry, bambo,kelvin,mashaka,kahabi,rachel,Nina,Nora,kemmy,Bahati,Zawadi, Bupe,kisa na akina bi mwenda na mama haambiliki.

  • @user-fq6xx4ww4c
    @user-fq6xx4ww4c2 ай бұрын

    Mm nkajua jina lake Ben

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai28122 жыл бұрын

    Wee selengo kitanda kimvulugika.😀😀😀😀😀

  • @sulemannali7004
    @sulemannali70042 жыл бұрын

    Brother Ben tupia hile movi ya kufa kufaana

  • @mwantimazdombo6049
    @mwantimazdombo60492 жыл бұрын

    Namkubali sana salengo 🇰🇪

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud5652 жыл бұрын

    Uncle Ben 😘😘😘

  • @reginapeter5546
    @reginapeter55462 жыл бұрын

    Hongera brother

  • @rechealmbodza8615
    @rechealmbodza86152 жыл бұрын

    A good entertainer

  • @halimabianga2466
    @halimabianga24662 жыл бұрын

    Ukovizur san

  • @sottithomas9443
    @sottithomas94432 жыл бұрын

    Sema hapo kwa kanumba angekubali tu kuwa jamaa alimpa jina na kumfanya ajulikane.

  • @hilalyhashim2194

    @hilalyhashim2194

    2 жыл бұрын

    Wameanza pamoja hao tokea wapo kaole walikua wanaigiza wote itv

  • @sottithomas9443

    @sottithomas9443

    2 жыл бұрын

    @@hilalyhashim2194 ni kweli ila kuanza pamoja siyo sababu maana hata shuleni kuna wanafunzi waliweza kuwaelekeza wenzao waliopo darasa moja. Licha ya kuanza pamoja lakn kanumba alimtambulisha Ben kwenye game

  • @iranangole7007
    @iranangole70072 жыл бұрын

    Ben kumbe mmakuwa mwenzangu

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih99342 жыл бұрын

    Beni mlizi na akina sophia nakumbuka big up bro nakukubali🤲🔥

  • @Stanbul.Y
    @Stanbul.Y2 жыл бұрын

    Weee dem jirekebishe maisha hayendi hivyo

  • @janjalamjini6481
    @janjalamjini64812 жыл бұрын

    Sema kaka

  • @janjalamjini6481

    @janjalamjini6481

    2 жыл бұрын

    Umeiona

  • @hindisaid2413
    @hindisaid24132 жыл бұрын

    Kumbe mjukuu wa Rajab hatia ambae alikua msanii pia redio Tanzania enzi hizo... Nilitegemea na lile jumba na mgari kwenye kava ni halisia

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma52092 жыл бұрын

    Manshallah

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    2 жыл бұрын

    @Kamikazi Salma unakosea kuandika hapo hakuna N yaani sio manshallah bali ni Masha Allah au Mashallah!

Келесі