MOYO WANGU - KWAYA YA BMM YOMBO VITUKA WAKITUMBUIZA KATIKA WARSHA YA WAWATA DSM 08/02/2020
Ойын-сауық
Mawasiliano:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa
Пікірлер: 151
Hakika nafarijika mno na huu wimbo,good message,vocal,Mungu awabariki sanaa
Wimbo unanifaliji sana naupenda sana hongereni sana wakristo wenzangu
Hongera za kipekee pia zimwendee huyo dada aliyeimba kibwagizo cha 'Bwana wangu fungua sikio lako sikia..ah...ooh.. fungua macho yako.. utazame ... niongoze bwana wangu... Big Up Sister, keep it up.
@meshackouko7385
4 жыл бұрын
Anaitwa @Despina Mdende ila simuoni hapo kwenye video.
Hongereni Sana wana BMM vituka. Marehemu Mwalimu Limila apumzike kwa amani.
@JugoMedia
4 жыл бұрын
Amina
Asanteni tele kwa hii nyimbo na sauti zenu nzuri sana. Tunawafwata toka Canada, Montréal.
Wimbo mzuri sana kabisa! Mubarikiwe!
Madam mwenye kusolo I just say congrats to you.Your vibratoh is so wonderful
You left the World Mwalimu Limila but you left a Mark of your Works in Our inner Hearts in and outside The East Africa.Sing with Angels Sir!🙏🏽👍
Hongereni sana Mungu awabariki mzidi kumtumikia kwa unyoofu wa moyo mko vizuri kwa kweli
@kimariotarimo5654
4 жыл бұрын
Hongereni sana
Wimbo huu umebeba ujumbe mzito especially wkati unapitia makumu,be blessed,what a voice from soloist
@fidesisack7546
3 жыл бұрын
Nimependa sana ujumbe nzuri mbarikiwe sana
Enhe Mungu wangu naomba unisikie kilio changu natamani San kuimba kwaya Ila Sina uwezo, nafarijika sana kusikiliza kwaya hongera sana Wana kwaya maana kuimba ni Mara mbilii ya maombi , nimebarikiwa sana kupitia wimbo huu👏👏
Mungu azidi kuwabariki katika Utume wenu uimbaji ni zaidi ya kusali wimbo wenye faraja na tumaini
Nina raha kuwa mkkatoliki Utulivu ulioko katika wimbo huu ni wa kipekee.. Asanteni sana
Am proud being a catholic
@JugoMedia
4 жыл бұрын
Amen
Naupenda sana wimbo huu wa Moyo wangu kwaya ya Bikira Maria Mama wa Mungu wa yombo vituka Dar kathoriki mbalikiwa sana
@JugoMedia
4 жыл бұрын
Amina
@filomenamlelwa1779
2 жыл бұрын
Wimbo huu unanikosha moyo wangu hongereni Sana
Can't get enough of this song
this song has touch my soul thanks for this song
The song gives me hope,blesses me every morning ⛅ thank you choir for preaching to me🙏🙏🙏
This is beautiful hongera Tanzanians.....Soloists you're so great....nice blend
Wimbo naupenda mno. Mungu awabariki
Amina watumishi wa mungu nyimbo ni nzuri sana
Amina bwana ahimidiwe milele
Naipenda sana hii kwaya haijawai kukosea nyimbo zao zote ni nzuri.
TYK, tamaa ya moyo wangu ni kuona Wakristo woote tunaungana na kushinda maovu hapa duniani, tusiruhusu kwa namna yoyote Ile kufumbwa midomo ktk kutetea Haki, ili hata tunapomwimbia MUNGU nyimbo za sifa na maombi Yeye aione tafsiri halisi miyoyoni mwetu, Sifa na Utukufu zimwendee Yeye Pekee,....Asanteni kwa uinjilishaji.
God bless your nice voices and may you continue to praise God in Song this is surely prayer × 2..Mubarikiwe sana.
Infact, ukatoliki mtamu
mmenibariki sana , mpo vizuri hakuna papara safi .
Mwwnyeji mungu awabariki kwa kazi nzuri ya uinjilishaji kwa njia ya nyimbo
@anesiamartin1107
4 жыл бұрын
Mungu awabaribi sana kwa wimbo wenye ujumbe mzuri na apumzike kwa Amani mtunzi wa wimbo akika bado unaishi Kiroho Mwl Steven L
R.I.P mwalimu Limilah tunakukumbuka daima Lala mahala pema
@mamkwenjau3006
4 жыл бұрын
Najivunia kuwa mkatoliki, wimbo mzuri. Hongera kwa sauti nzuri
Mungu awabariki sana , vocal imetulia wimbo unausikilizia moyoni yani , najuvunia kuwa mkatoliki
@mussakiyugu7370
4 жыл бұрын
Move
Nawakubari sana mungu awabariki
Mungu awabariki katika utume wenu nawapenda sana
@godfreymbilinyi2715
Жыл бұрын
Mbarikiwe wimbo mzuri
Muwe mnakandamiza LIVE bana,HONGERENI SANA,
Poleni pia kwa msiba uliowafikeni wakatoriki wenzangu
Whenever I listen to this song... I feel so much blessed 🙏
Mwenyezi Mungu awabariki. Mmependeza sana kazi nzuri.
Mbarikiwe
Hongereni sana BMM YOMBO VITUKA. Huu wimbo unanibariki sana, lakini pia ukiimbwa namkumbuka mtunzi wake, Marehemu Mwl. Steve Limila. RIP Limila
Asanteni kwa jumbe nzr🙏🙏
God bless u forever its de good song that real attracts to listen all de time
Mnajua Sana kuimba mmebarikiwa Sana asante
I liked the song.Be blessed
Bonge la Wimbo
Endeleeni kuinjilisha kupitia kwaya mbarikiwee,pendeza sana
Amina,barikiweni sana
Nice song .it consoles a soul .it build hope in one's soul
Najivunia ukatoliki wangu
Hii nyimbo aisee🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Naupenda sana hongelenu
Mmmmh Lovely sound and voices💓
Kazi nzuri , Hongera sana
Hongereni Godbless
What a nice song for such an occasion! The Burial Ceremonies of the President of the Third Phase Government of the Republic of Tanzania, His Excellency B. W. Mkapa.
Hongereni sana kwaya ya Bmm yombo vituka,nilikuwepo niliipenda sn hii kwaya.kanda zenu zinapatikana wapi mjini hapa?
@mariajoseph5347
4 жыл бұрын
Naomba kujua hii ni parokia ya yohana wa mungu yombo vituka
Inanikumbasha mbali sana hiii kwaya
Am SDA MEMBER BUT THIS SONG FIRE
Ukatoriki raha Sana najivunia kuwa mkatoriki hongeren kwaya ya yombo.vituka
Hongereni sana wana BMM vituka
Barikiweni sana
Huu mwimbo ni mzuri sana lakini ulipoimbwa sio mahala pake, hapa ni mahali pa sherehe zingeimbwa nyimbo za furaha kama mapambio sasa huu mwimbo ni wa huzuni sana ndio maana hata akina mama wanashindwa kucheza Kanisa la roma ni lazima lijifunze kwenda na wakati Nyimbo za huzuni zinapigwa kwenye sherehe?
Che voce soave che meraviglia 🙏❤️siete bravissimi ❤️❤️
Hongereni sana
kazi safi!!!! soloist sauti tamu kweli.Hongereni sana.
Wimbo mzuri sana. Unanibariki sana.
Mbarikiwe sana kwa wombo na sauti nzuri
Wimbo mzuri sana sichoki kuusikiliza kila wakati
Nabarikiwa sana na waimbaji hawa Mungu awabariki sana
Mungu Asante kwa Hawa watu
Safi sana
It's very nice and sounding well
God will reward you dear friends
@pendoupendo580
3 жыл бұрын
Amina
utume mwema
Kazi nzuri barikiwa sana
Mungu awabariki
Safi sana, Mungu awabarike.
Parabéns,belíssimo coro 🙏🙏🙏.
@andrewsaidesalmo3087
3 жыл бұрын
Merece e Deus Todo Poderoso aumente a sua Fé e Dom de cantar bem! Louvado seja ele par sempre!
Najivunia kuwa mkatoriki
Hiyo wimbo inanipeleka kw mungu
That’s awesome 😎 I b b
Asante sana jugo media
@JugoMedia
3 жыл бұрын
Amen
I love it
Ukatolic mtamu hongera kwa kuinjilisha
@JugoMedia
4 жыл бұрын
Amina
@beatricemalisa6984
4 жыл бұрын
@@JugoMedia naomba muwe munaweka subtitle ya kiingereza watu wanauliza ni lugha gani hii na inamaanisha nini
Lovely song
Kwa kusikiza wimbo najivunia kuwa mkatoliki
❤
Nice one
R.i.p Mwalimu Limilah.poleni.
Hongereni San jamani
Pumzika kwa Amani mlimila uinjilishaji wako unatutia chachu hata sasa
I LIKE
Encouraging songs
Beautiful! Gorgeous!
cjawai choka sikiliza huu wimbo naupenda mnoooo
Vizuri sana
Bien chanter vraiment
Wenye wame "dislike" huu wimbo wako na kasoro isioweza kukosolewa
Asant
Blessings upon us all. Amen
Good
Beautiful voices God bless i wish i can have the music naipenda sana hiyo wimbo jmeni
@sammyobambo5804
4 жыл бұрын
Nawapenda sn
@dominiquekwanda6343
3 жыл бұрын
Merci pour votre chanson magnifique.