Moni Centrozone - Kunywa Sumu baada ya kuchana na Nai! Kukosa TUZO TMA na Young Lunya kushinda Part2
Ойын-сауық
Moni Centrozone ameongelea ishu ya kutaka kunywa Sumu kisa mapenzi, baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake, Nai Official! Aitaja list ya rappers ambao anatamani kufanya nao collabo, Kukosa Tuzo TMK na Young Lunya kushinda!
Tazama full interview hapa! Subscribe channel hii #LilOmmyTV, Like, Comment, Share
Пікірлер: 26
Broo Lil ommy napenda Kufatilia Interviews zako coz always ni za kizazi sana ila nilikuwa na wazo km itakupendeza kwenye izi pofcast uwe unawapa pia chance mara Moja moja underground Artists wakali najua kuwapa chances kwa wingi inaweza ikawa changamoto kwenye upande wa biashara ila ukiwapa kwa uchache kutokana na ukubwa wako na ukubwa ya KZread channel yako kuna kitu utakiongeza kwenye Career zao brother ni mtazamo tu broo napenda kuwasilisha kwa Half Man Half amazing 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Kweli ni muhimu kwa msanii kujifunza kujiendesha mwenyewe bila kutegemea management kila siku. Itamsaidia siku management ikiwa haipo. Good point MONI. 👏👏👏
Awadh chami... Tangu tunakuwa,,tunaenda shule,,tunakaa wote vilingeni,,,unarap,,,hustle zako,,,mpaka unaenda mjini,,,ukarud tena,,,ukampata dem wako,,,mkaenda tena mjini,,,interview zote za kuanzia kifimbo fm na karim omary,,mpaka u akutana na langa kileo...ma interview ya clouds fm... Sijawah ona interview bora na its too much intellectual...umetulia yaani huna mbambaa...umetulia sanaa emonai...umekwivaaa..... Bonge moja la interview since nakujua ma nigga...nomaaaa sanaaaaa
Wakwanza mm naitaj like
I insist mnyamwezi moni kuzid kwenda viral
Somo wangu king of interview
First
Malume 📌📌📌📌
Jamaa inaterview ni nzur anajibu vzur yuko poa sana moni
Malume
ALL Gucci 🔥🔥🔥🙌
Usimsahau mchizi is the best bongo hiphop collaboration of all the time
Wakati unajinyima vingine vya ndani usile hujui mkeo ni mzoefu kwenda kinyume na maumbile 🤏🤏
King of interview African kuzini
Moni ft Tgun tozzy will be smash boom 💥🙌 lil ommy fanya kitu apo
malumee
Real 💯
Malume. Ze iLLEST ghost writer
12:34 SUMU
#MALUMEE... 🎧🎤🎶📺🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥💥
Malume big time
Natamani malume afanye collabo na msanii kama black sherif
Maokotoseason!!🤞
Ila kama kuna kitu unatumia
Wanawake wana ushawishi mno kzread.info/dash/bejne/m42ey8yfhpC_gto.html