MKUU wa MKOA Atangaza TAMASHA KUBWA la KIHISTORIA kwenye FUKWE za BAHARI ZANZIBAR
Ойын-сауық
MKUU wa MKOA Atangaza TAMASHA KUBWA la KIHISTORIA kwenye FUKWE za BAHARI ZANZIBAR
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 8
Mbona nafasi ya wajasiri wadogo hawakufikiriwa kupewa nafasi ya chiniya eneo la kuonesha biashara au ujasiri amali
Kungekuwa scree zakuonyesha films za Zanzibar.
Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini na sio Kusini Unguja.
Huu ndio uendelezaji wa uchumi
Nimegundua kumbeee ...!!dawa ya corona ni matamasha tu ya kuitangaza Tanganyika ili ikajenge fukwe Zanzibar,ahaaa...!! Sasanimeelewa.
Mnajali pesa tu mmesahau corona ???
Hayo ndio yajayo yanafurahisha ? munaacha kutuletea maendeleo munatuletea ufuska tu . Tanganyika wanajenga nchi yao Znz domo tupu mara mashindano ya mbio mara mutembee na bicycle mara madisco n.k Tunatozwa tozo pesa zinaenda tanganyika kufanyiwa maendeleo na viongozi wetu wameridhia . kiasi mtu kwao wao pale si kwao wanakuja wakichuma tu wakipeleka kwao .
Mbona nafasi ya wajasiri wadogo hawakufikiriwa kupewa nafasi ya chiniya eneo la kuonesha biashara au ujasiri amali