MKUTANO WAWAKA MOTO BAADA YA KAULI NZITO KUTOKA CHADEMA MANENO MAKALI YASIYOVUMILIKA

MKUTANO WAWAKA MOTO BAADA YA KAULI NZITO KUTOKA CHADEMA MANENO MAKALI YASIYOVUMILIKA

Пікірлер: 34

  • @leokamil6284
    @leokamil628417 күн бұрын

    Waambieni hao waamke wafunge macho Watanzania tuamke usingizini.

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda581912 күн бұрын

    🎉🎉🎉

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga659116 күн бұрын

    wape vidonge vyao kadogooo ingawa kuna wapuuzi wanaokubeza lakini usiogope

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu86617 күн бұрын

    ukisema wachaga ukisema wakristo ni sawa Tu

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga573716 күн бұрын

    ✌️

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko580317 күн бұрын

    UNAKATA VIUNO BARABARA MBOVU 😢

  • @danielphilipo9088
    @danielphilipo908817 күн бұрын

    Mimi napita tu

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya168617 күн бұрын

    Huna lolote! Njaa tu hiyo!😅😅😅

  • @user-gx9jr5le2f
    @user-gx9jr5le2f17 күн бұрын

    Kwani uongo ona sasa mlivyo na akili mbovu nyie ndio mmechoka

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743817 күн бұрын

    Nyumba watu wanajijengea wenyewe sasa unataka ccm iwajengee hata kipindi cha Nwalimu Nyerere hakuwajengea watu nyumb

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    17 күн бұрын

    Majibu yako yanaonyesha ukosaji wa elimu ulionao .

  • @yosephatMasanyiwa-oh1rl

    @yosephatMasanyiwa-oh1rl

    16 күн бұрын

    Huna akili tu tafakari nyoko wewe. Ccm imewafanya wasiweze kuinuka

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    15 күн бұрын

    @@margarethpolepole7438 Usifananishe kipindi cha Mwalimu na hizi nyakati za wabinafsi wachumia matumbo hawajali maendeleo ya nchi wanajijali wenyewe na kujilimbikizia mimali ya ufisadi.Kipindi cha Baba wa Taifa Viongozi walikuwa na Uzalendo waliipenda Tanzania kulikuwa na upendo umoja mshikamano. Hakukuwa na ubinafsi maisha yalikuwa ya furaha sana. Baada ya vita na Uganda ndio nchi iliterereka sana na pale alipoanza Siasa ya Ujamaa na kubinafsisha makampuni viwanda na mahospitali tukalegalega ndio ikawa mara hivi mara vile mpaka leo ndio tumedidimia tumerudi nyuma mno viwanda hakuna Mashamba ya ngano basutu yamekufa ya mkonge Tanga kwisha Alizeti kwisha viwanda vya sukari vinahemea uzalishaji mdogo yaani tafrani tu .

  • @Gelenya-ne2ip
    @Gelenya-ne2ip17 күн бұрын

    Huna lolote wewe!

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya168617 күн бұрын

    Kwa hiyo nyie mnaahidi kuwajengea watanzania wote nyumba bora kwa hela zako au kwa kodi zetu? Akili za kuambiwa changanya na za kwako!😂😂😂😂😂

  • @onesmojustice2348

    @onesmojustice2348

    17 күн бұрын

    Umasikini uliyoko tanzania watu tunaishi maisha magumu Kodi juu tozo zinaongezwa kimyakimya vitu vyote vimepanda Bei miundombinu mibovu maji na umeme shida hayo yote yamesababishwa na ccm . Rasilimali zetu ziko mikononi mwa wageni kwa mikataba ya hovyo ndio maana kila kukicha wanakopa maana hawawezi kutumia rasilimali za nchi kwa kuwa wamewapa wageni na wao wananufaika na familia zao wanaishi nyumba nzuri waktoto zao wanasoma shule za gharama wanatembelea v8 halafu ww unaleta hoja mrenda hapa

  • @LamsonMalenga

    @LamsonMalenga

    15 күн бұрын

    Pumbu we iv umepita ata standard one

  • @youssefsanje8743
    @youssefsanje874317 күн бұрын

    Chama cha mbowe na mke wake

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    17 күн бұрын

    Kwa hiyo wanachama ni watoto wao tumia akili wewe

  • @rogersiddy

    @rogersiddy

    17 күн бұрын

    ​@@leokamil6284Akili yake box kbs hajielewi kbs hana hoja msajili asingesajili Chama cha familia Chadema Chama cha wananchi

  • @edsonkahesi8603

    @edsonkahesi8603

    17 күн бұрын

    Nawewe anzisha chako ukisambaze nchi nzima.

  • @georgesteven5185

    @georgesteven5185

    17 күн бұрын

    Shoga ww Huna akili

  • @user-bx3ko9ft5t

    @user-bx3ko9ft5t

    17 күн бұрын

    Acha upumbavu Mimi mnyakyusa Mimi sio mchaga lakini naipenda chadema sugu mchaga heche mchaga pambalu mchaga pumbavu wewe

  • @AmanaHassan-cy4fi
    @AmanaHassan-cy4fi16 күн бұрын

    Ndg yangu hicho ni Chama cha Wachaga Wewe na Uislam wako wanakucholaa tuuu.

  • @justardzelphine6526

    @justardzelphine6526

    16 күн бұрын

    Wewe chawa acha akili za ukoloni!

  • @gaagwasaugustino2584

    @gaagwasaugustino2584

    15 күн бұрын

    Wewe chawa,uchawa na udini vimekujaa kichwani! N

  • @user-lt1nr4tk9r

    @user-lt1nr4tk9r

    14 күн бұрын

    Mim n mbondei lakin nakupenda chadema acha uwongo

  • @mwllughanosanga960

    @mwllughanosanga960

    14 күн бұрын

    Wachaga wana chama kumbe! kwa mujibu wa sheria za nchi gani?

  • @AthumanDauda

    @AthumanDauda

    14 күн бұрын

    Wangelikua wachaga wanachama Chao nais kasikazin nzima chadema ingerikua ishachukua viti vyote Hivyo kumbk chadema nichama Cha siasa

Келесі