MKUTANO MKUU YANGA | Serikali yaridhia Yanga kujenga uwanja, yaipa masharti

Спорт

MKUTANO MKUU YANGA: “Tumepokea maombi na tumeridhia kuyaingiza katika mpango wa uendelezaji wa eneo hili la Jangwani” maneno ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa akijibu ombi la Yanga SC kuhusu eneo la ujenzi wa uwanja wao.
Ni Mkutano Mkuu wa Yanga unaofanyika leo kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.
#YangaAGM2024 #YangaSC2024 #YangaSC #AGM2024 #MkutanoMkuuYanga #MkutanoMkuuYanga2024

Пікірлер: 15

  • @YassinGofrey
    @YassinGofreyАй бұрын

    Hiii Mungu awabark sana serikal

  • @Emmydeo-jm7zy
    @Emmydeo-jm7zyАй бұрын

    Yang yang bingwa tenaa

  • @MwanahamisiShabani-nk7wm
    @MwanahamisiShabani-nk7wmАй бұрын

    Mungu awalinde serikali na hongera uongozi wa Yanga

  • @musasaguti4760
    @musasaguti4760Ай бұрын

    Hakika waziri, umesema kweli

  • @AllyKiduka
    @AllyKidukaАй бұрын

    Jemedari ataharisha uchungu

  • @YassinGofrey
    @YassinGofreyАй бұрын

    Yanga SC ni Bingwa tena

  • @harithmsiu8980
    @harithmsiu8980Ай бұрын

    👏🏽👏🏽good newssss

  • @StanfordMwaipopo
    @StanfordMwaipopoАй бұрын

    Naitwa Stanford brown mwaipopo wa mbezi malamba ma wiki nataka kujua kama kweli kizumbi amesajiliwa yanga au amesajiliwa na timu gani maana mpaka sasa sirlewi mara amesajiliwa yanga mara timu nyingine naomba ufafanuzi wa kina Mimi ni yanga ya hers said nawathamini wachambuzi wote hongerebi kwa KAZI nzuri na mungu awabariki

  • @H3s4d
    @H3s4dАй бұрын

    Kwa mfumo huu mashabiki wanatakiwa wawe na kadi ili wachangie timu yetu

  • @user-mm9mu5uw4u
    @user-mm9mu5uw4uАй бұрын

    😊😅

  • @hidnakirungi6546
    @hidnakirungi6546Ай бұрын

    Uyu jamaa ni mtu makin sana lkn km umjui utais km kvuli" pambana kiongoz!

  • @VantinMassawe-dh2xf
    @VantinMassawe-dh2xfАй бұрын

    Valentin j massawe

  • @adolfutoyi6677
    @adolfutoyi6677Ай бұрын

    Kila mtu bingwa

  • @dicksonsimon5734
    @dicksonsimon5734Ай бұрын

    😅

  • @mushtaqahmedkadiri2575
    @mushtaqahmedkadiri2575Ай бұрын

    Assalaamalaikum mimi naishi Dubai ni Rafiki wa mtangazaji wa kabumbu wa R T D Mr SALIM MBONDE kama kuna mtu anaye mjua huyo rafiki yuko wapi anitumie msg kwenye hiyo e mail yangu na kama Ana namba yake ya mobile tafadhali anytime AHSANTE

Келесі