MKURUGENZI ALIYESAMEHEWA NA JPM AONGEA KWA HISIA “MUNGU NI MWEMA, SIKUTEGEMEA”
Жүктеу.....
Пікірлер: 115
@venancemalima11813 жыл бұрын
Hongera na pole.Mungu ni mwena yawezekana haukua umekosea sana katika maamuzi yako.
@pitargamba92083 жыл бұрын
Shida wadau hamfatilii habari , huyu si yule wa Msukukuma hap ni mkoa shinyamga kule ni Mkoa wa Geita kwa Msukuma.
@joshuansamiye3342
3 жыл бұрын
Wambie jama yangu kumbewatu sio wafatiliaji
@JOHNKAPAGATV3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣wanaosema wamefurahi kumbe ndio wambea wenyewe
@godsonmahela6915
3 жыл бұрын
Msukua ndio alikuwa ana kuchongea
@mauajames4670
3 жыл бұрын
Hakika kaka hao ni wanafiki wakubwa hao hao walifurahia leo hii tena kujifanya malaika
@lucasbarabara73033 жыл бұрын
Hongera mkurugenzi kahama, ukilia leo kesho utacheka
@shabansamwi98913 жыл бұрын
haki ya nanii jamaa czani kama ten atafanya utopolo😜😜
@abuubakalmtangenange43893 жыл бұрын
Umeona kama umesahewa na Mwenyezi Mungu
@athumaniomari28333 жыл бұрын
Asante sana mwenyezi MUNGU mkuu
@majaliwamtoni51683 жыл бұрын
Hao hao wanaompongeza ndo walikuwa waampiga vita.
@namirihamisi38993 жыл бұрын
Unacheka nao na wabaya ni haohao duu namkumbuka marehemu Issa matona.
@alexkihongola7983 жыл бұрын
Kilio cha mwenye haki kimesikika mbinguni.
@babayakeanna85953 жыл бұрын
Pole kaka Mungu ni mwema piga kazi
@jamesakhabuhaya61943 жыл бұрын
Hapo ndo unapojua kuwa raisi haaga upendeleo
@salmaathuman91563 жыл бұрын
🤣🤣leo atakuwa na kiwewe nyie kukosa kazi sio mchezo inaweza kuongea pekee yako Kama mwehu
@lightmashauri17253 жыл бұрын
Samehe saba mara sabini....
@jacobmakono6983
3 жыл бұрын
25,000,000,000.00niibe hafu nisamehe
@saidhamad71503 жыл бұрын
Mkurungenzi wa kahama chapa kazi, wasamehe wote!!!!
@victormushi66413 жыл бұрын
WANAOMKUMBATIA NDIO WANAFIKI WENYEWE HAO, HONGERA YA NINI WKT MLITAKA AONDOKE
@benedictkayombo23583 жыл бұрын
Wewe Ayo haiko Ivo bana usiharibu. Hatutaki uongee wewe acha tuone akiongea unae muongelea
@machintangachibwena5922
3 жыл бұрын
Tafuta imo youtube kila kitu muwekewe tuu
@abdallahsaid81573 жыл бұрын
Kutumbuliwa ni khatari sana hasa inapokuwa hadharani kama afanyavyo rais wetu. Usiombe ikukute hiyo ishu!!!
@radhiambwana87873 жыл бұрын
Akili kwakichwa! wazuri nawabaya nihao hao.
@dynesssteve97543 жыл бұрын
Msukuma itabidi ajifunze kitu kujipendekeza kwa maboss cyo poa
@nabosedward4836
3 жыл бұрын
Huyu ni mwingn siyo wa geita
@florencekashaija75393 жыл бұрын
Kazi na heshima.
@babafemie45763 жыл бұрын
Wabongo wanafki Sana km sio wao waliokuwa wanapiga majungu..
@gabrielmwikanu11603 жыл бұрын
Mkurugenzi shukuru Sana huo msamaha, Acha Tama Tama za kutaka ufanane na mtu Fulani. Fanya kazi ukijua kuwa cheo NI dhamana, Leo unacho kesho atakiacha na kukabidhiwa mtu mwingine Mali za umma ziogope Kama ukoma. Hata Mimi mwenyewe niliumia Sana ulipokuwa umetimuliwa. Muombe mungu Sana na ukatubu . Acha malumbano na mihemko ya kushindana na wanasiasa
@mdomani24043 жыл бұрын
sas itakuaje aibu ya mzee msukuma🤣🤣
@habibmohamed4766
3 жыл бұрын
Hapo ni Shinyanga yule alikuwa ni wa Geita nyumbu wewe
@sundayandrew17873 жыл бұрын
Hongera sana rafiki yangu Anderson
@kaizamandike87713 жыл бұрын
Usirudie tabia hiyo mkurugenzi sawa! acha kufurahi kama vile umetwaa ubingwa wa ligikuu
@paskalmasake33423 жыл бұрын
Sasa alikwenda kwenye mkutano tena ameniga suti kufanya nn au alijua?
@gabrielisack77863 жыл бұрын
Kwani ulikuwa hujui kama Mungu ni mwema?Mungu ni mwema kila nyakati hata unapopita kwenye shida yeye anabaki kuwa mwema tu maana Mungu ni mkubwa kuliko matatizo yako.
@kinglubwaza96183 жыл бұрын
Inatufundisha kutokurupuka katika maamuzi,hasa kiongozi
@hellenmgungus29353 жыл бұрын
Sasa wale waliokuwa wanapiga vita sijui watawaambia nn watu
@zahirallyzorro53053 жыл бұрын
Kiongozi wa Watu huangalia Utendaji zaidi!
@robertigohe93383 жыл бұрын
Usirudie tena
@mabyserolouchcraig24313 жыл бұрын
Chunga sana wanafki ni wa karibu yk
@chumamihambo80603 жыл бұрын
Piga kazi mkuu wanafiki wapo na wataendelea kuwepo usiogope
@manaseelias23513 жыл бұрын
Kweli Mungu ni mwema aso na MTU ana Mungu
@simonsadala23863 жыл бұрын
Mmmh kwl duniani unafiki ni mwingi jmn walio kuwa wanamponda Mkurugenzi ndo hao hao wanampa hongera na kumharg dunia hiiiii
@haydaralijeraj23123 жыл бұрын
Social distancing amesahau.
@farhannjama38083 жыл бұрын
Kusamwhewa hapo naweza kuelewa lakini kymrudishia gari hapo ndio tatizo, hilo gari lina gharama kubwa ya mafuta na service na vipuli. Bora angemsamehe tu na hilo gari lingepigwa bei kwa watu binafsi wenye uwezo wa kilimiliki.
@salumucharles96553 жыл бұрын
Tufanye kazi tusile Tena hela za wananchi sound from mkurugenzi Hahaha
@mohamedbabu69773 жыл бұрын
Mungu hulipa hapahapa
@eventelias35663 жыл бұрын
Dedication song: Kigeugeu by Jaguar
@festondenga42533 жыл бұрын
Hapo rais kakosa msada wa upelezi
@namirihamisi38993 жыл бұрын
Wamafki wana vikao vyao wameshushuka na uongo wao.
@prettyh75093 жыл бұрын
Na alivyojibu jeuri et gari la mil 400 kitu gani
@omaryrashid78033 жыл бұрын
Millard ayo unakwama wapi mtangazaji hafai
@pieremchome52023 жыл бұрын
Hao wanaokumbatia hapo ndo wanafki wenyew,kama usingesahewa wangefurahi sana,kaa na watu kwa tahadhari,maana adui yako ni yule unayekula naye, kucheka naye,angalia sana mkurugenz
@emanuelpetro74133 жыл бұрын
Na wewe unaongea sana kama lyimo media bwana punguzeni kuongea ongea
@keijoodehustla32593 жыл бұрын
Stori nyingi acheni uhuni
@josephlupasha62283 жыл бұрын
Repoter unaongea sanaaa
@mathiaszakaria70523 жыл бұрын
Mi siwez furahia uchafuzi wa Kodi za wanyonge tunaoumia ni sisi
@zuberikamote20783 жыл бұрын
Waliomnafikia wamwkua wapoleee
@robertigohe9338
3 жыл бұрын
Alikuwa na kosa
@janetsemahimbo80833 жыл бұрын
Msamehe Makonda pia
@ngwelesalu8348
3 жыл бұрын
Kweendraaaaa
@evansbuberwa12353 жыл бұрын
Asnte rais wetu hiyo in busara kubwa Mungu awe nanyi
@tingbatuuka72783 жыл бұрын
hakuiba .alijinunulia gari na watu wakaona.sio wizi
@prfndonje3 жыл бұрын
Tnataka saut ya jpm mwenyewe
@machintangachibwena5922
3 жыл бұрын
Kwani ukuina kwenye mkutano wake
@benmagaya66103 жыл бұрын
Hii Nchi Na Mambo Yake 😀😀😀😀
@verdianabanabi5943
3 жыл бұрын
Mhhhh
@JOHNKAPAGATV
3 жыл бұрын
Kabisa wanafki nao wanakumbatia hapohapo
@lucasbarabara7303
3 жыл бұрын
Hongera mkurugenzi kahama, wadamu ndivyo tulivyo
@kingtv56003 жыл бұрын
Kwa mara ya kwza magufuli kalogwa na kalogeka mamae wewe wee uchawi upo mzee baba
@simonkalinga62613 жыл бұрын
Usirudie
@mariajason35473 жыл бұрын
Hizo comments za watu sasa 😂😂😂😂
@ramadhanimbulu67163 жыл бұрын
Hongera ya nini sasa!!
@hadijamandanje6189
3 жыл бұрын
Kupata tena kitumbua ambacho kiliyeyuka
@omarylukindo53063 жыл бұрын
Endelea kula bata mzee,
@dickchambilo91383 жыл бұрын
atakuwa alienda kwa mwamposa😀😀😀
@fatemaligalawa1918
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@onesmojustice2348
3 жыл бұрын
Yule alieua watu moshi au mwamposa yupi
@alexkabeho5609
3 жыл бұрын
😆😆😆😆
@humoudmohammad31253 жыл бұрын
.
@chantalnizigama50123 жыл бұрын
Bado mnakumbatiana hivyo??? Corona virus 😷😔
@alexkabeho5609
3 жыл бұрын
Mpaka busu chaguo lako tu🤣
@lufufumkudesimba62443 жыл бұрын
Usiludie tena
@wilsongeorge4061
3 жыл бұрын
Waongo watupu hao
@ngwelesalu8348
3 жыл бұрын
Nirudie nini Tena Kama gari nishapata
@dianadayana46613 жыл бұрын
Chezea ugali wewe😉
@salumucharles9655
3 жыл бұрын
Hahaha hatar
@adambakule70663 жыл бұрын
Cjui mbunge msukuma yupo kwenye hali gani? Riziki ya mtu binaadam hawezi kuizia.
@winfredbespoke8440
3 жыл бұрын
Huyu sio yule wa msukuma, huyu ni wa shinyanga, na yule wa geita
@fatemaligalawa1918
3 жыл бұрын
Yule wamsukuma kusamehewa ndoto
@martinemaganga2546
3 жыл бұрын
Huyu ni wa kahama na si yule wa Geita
@jacobletema3681
3 жыл бұрын
@@fatemaligalawa1918 ni kweli, yule wa Geita ni kimeo zaidi!!!
@mussajuma17363 жыл бұрын
Waliokukumbatia wote ndio wabaya wako hawo
@magrethjohn85763 жыл бұрын
Hivi huyu mkurugenzi ndo yule aliyeibuliwa na Msukuma???
Пікірлер: 115
Hongera na pole.Mungu ni mwena yawezekana haukua umekosea sana katika maamuzi yako.
Shida wadau hamfatilii habari , huyu si yule wa Msukukuma hap ni mkoa shinyamga kule ni Mkoa wa Geita kwa Msukuma.
@joshuansamiye3342
3 жыл бұрын
Wambie jama yangu kumbewatu sio wafatiliaji
🤣🤣🤣🤣wanaosema wamefurahi kumbe ndio wambea wenyewe
@godsonmahela6915
3 жыл бұрын
Msukua ndio alikuwa ana kuchongea
@mauajames4670
3 жыл бұрын
Hakika kaka hao ni wanafiki wakubwa hao hao walifurahia leo hii tena kujifanya malaika
Hongera mkurugenzi kahama, ukilia leo kesho utacheka
haki ya nanii jamaa czani kama ten atafanya utopolo😜😜
Umeona kama umesahewa na Mwenyezi Mungu
Asante sana mwenyezi MUNGU mkuu
Hao hao wanaompongeza ndo walikuwa waampiga vita.
Unacheka nao na wabaya ni haohao duu namkumbuka marehemu Issa matona.
Kilio cha mwenye haki kimesikika mbinguni.
Pole kaka Mungu ni mwema piga kazi
Hapo ndo unapojua kuwa raisi haaga upendeleo
🤣🤣leo atakuwa na kiwewe nyie kukosa kazi sio mchezo inaweza kuongea pekee yako Kama mwehu
Samehe saba mara sabini....
@jacobmakono6983
3 жыл бұрын
25,000,000,000.00niibe hafu nisamehe
Mkurungenzi wa kahama chapa kazi, wasamehe wote!!!!
WANAOMKUMBATIA NDIO WANAFIKI WENYEWE HAO, HONGERA YA NINI WKT MLITAKA AONDOKE
Wewe Ayo haiko Ivo bana usiharibu. Hatutaki uongee wewe acha tuone akiongea unae muongelea
@machintangachibwena5922
3 жыл бұрын
Tafuta imo youtube kila kitu muwekewe tuu
Kutumbuliwa ni khatari sana hasa inapokuwa hadharani kama afanyavyo rais wetu. Usiombe ikukute hiyo ishu!!!
Akili kwakichwa! wazuri nawabaya nihao hao.
Msukuma itabidi ajifunze kitu kujipendekeza kwa maboss cyo poa
@nabosedward4836
3 жыл бұрын
Huyu ni mwingn siyo wa geita
Kazi na heshima.
Wabongo wanafki Sana km sio wao waliokuwa wanapiga majungu..
Mkurugenzi shukuru Sana huo msamaha, Acha Tama Tama za kutaka ufanane na mtu Fulani. Fanya kazi ukijua kuwa cheo NI dhamana, Leo unacho kesho atakiacha na kukabidhiwa mtu mwingine Mali za umma ziogope Kama ukoma. Hata Mimi mwenyewe niliumia Sana ulipokuwa umetimuliwa. Muombe mungu Sana na ukatubu . Acha malumbano na mihemko ya kushindana na wanasiasa
sas itakuaje aibu ya mzee msukuma🤣🤣
@habibmohamed4766
3 жыл бұрын
Hapo ni Shinyanga yule alikuwa ni wa Geita nyumbu wewe
Hongera sana rafiki yangu Anderson
Usirudie tabia hiyo mkurugenzi sawa! acha kufurahi kama vile umetwaa ubingwa wa ligikuu
Sasa alikwenda kwenye mkutano tena ameniga suti kufanya nn au alijua?
Kwani ulikuwa hujui kama Mungu ni mwema?Mungu ni mwema kila nyakati hata unapopita kwenye shida yeye anabaki kuwa mwema tu maana Mungu ni mkubwa kuliko matatizo yako.
Inatufundisha kutokurupuka katika maamuzi,hasa kiongozi
Sasa wale waliokuwa wanapiga vita sijui watawaambia nn watu
Kiongozi wa Watu huangalia Utendaji zaidi!
Usirudie tena
Chunga sana wanafki ni wa karibu yk
Piga kazi mkuu wanafiki wapo na wataendelea kuwepo usiogope
Kweli Mungu ni mwema aso na MTU ana Mungu
Mmmh kwl duniani unafiki ni mwingi jmn walio kuwa wanamponda Mkurugenzi ndo hao hao wanampa hongera na kumharg dunia hiiiii
Social distancing amesahau.
Kusamwhewa hapo naweza kuelewa lakini kymrudishia gari hapo ndio tatizo, hilo gari lina gharama kubwa ya mafuta na service na vipuli. Bora angemsamehe tu na hilo gari lingepigwa bei kwa watu binafsi wenye uwezo wa kilimiliki.
Tufanye kazi tusile Tena hela za wananchi sound from mkurugenzi Hahaha
Mungu hulipa hapahapa
Dedication song: Kigeugeu by Jaguar
Hapo rais kakosa msada wa upelezi
Wamafki wana vikao vyao wameshushuka na uongo wao.
Na alivyojibu jeuri et gari la mil 400 kitu gani
Millard ayo unakwama wapi mtangazaji hafai
Hao wanaokumbatia hapo ndo wanafki wenyew,kama usingesahewa wangefurahi sana,kaa na watu kwa tahadhari,maana adui yako ni yule unayekula naye, kucheka naye,angalia sana mkurugenz
Na wewe unaongea sana kama lyimo media bwana punguzeni kuongea ongea
Stori nyingi acheni uhuni
Repoter unaongea sanaaa
Mi siwez furahia uchafuzi wa Kodi za wanyonge tunaoumia ni sisi
Waliomnafikia wamwkua wapoleee
@robertigohe9338
3 жыл бұрын
Alikuwa na kosa
Msamehe Makonda pia
@ngwelesalu8348
3 жыл бұрын
Kweendraaaaa
Asnte rais wetu hiyo in busara kubwa Mungu awe nanyi
hakuiba .alijinunulia gari na watu wakaona.sio wizi
Tnataka saut ya jpm mwenyewe
@machintangachibwena5922
3 жыл бұрын
Kwani ukuina kwenye mkutano wake
Hii Nchi Na Mambo Yake 😀😀😀😀
@verdianabanabi5943
3 жыл бұрын
Mhhhh
@JOHNKAPAGATV
3 жыл бұрын
Kabisa wanafki nao wanakumbatia hapohapo
@lucasbarabara7303
3 жыл бұрын
Hongera mkurugenzi kahama, wadamu ndivyo tulivyo
Kwa mara ya kwza magufuli kalogwa na kalogeka mamae wewe wee uchawi upo mzee baba
Usirudie
Hizo comments za watu sasa 😂😂😂😂
Hongera ya nini sasa!!
@hadijamandanje6189
3 жыл бұрын
Kupata tena kitumbua ambacho kiliyeyuka
Endelea kula bata mzee,
atakuwa alienda kwa mwamposa😀😀😀
@fatemaligalawa1918
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@onesmojustice2348
3 жыл бұрын
Yule alieua watu moshi au mwamposa yupi
@alexkabeho5609
3 жыл бұрын
😆😆😆😆
.
Bado mnakumbatiana hivyo??? Corona virus 😷😔
@alexkabeho5609
3 жыл бұрын
Mpaka busu chaguo lako tu🤣
Usiludie tena
@wilsongeorge4061
3 жыл бұрын
Waongo watupu hao
@ngwelesalu8348
3 жыл бұрын
Nirudie nini Tena Kama gari nishapata
Chezea ugali wewe😉
@salumucharles9655
3 жыл бұрын
Hahaha hatar
Cjui mbunge msukuma yupo kwenye hali gani? Riziki ya mtu binaadam hawezi kuizia.
@winfredbespoke8440
3 жыл бұрын
Huyu sio yule wa msukuma, huyu ni wa shinyanga, na yule wa geita
@fatemaligalawa1918
3 жыл бұрын
Yule wamsukuma kusamehewa ndoto
@martinemaganga2546
3 жыл бұрын
Huyu ni wa kahama na si yule wa Geita
@jacobletema3681
3 жыл бұрын
@@fatemaligalawa1918 ni kweli, yule wa Geita ni kimeo zaidi!!!
Waliokukumbatia wote ndio wabaya wako hawo
Hivi huyu mkurugenzi ndo yule aliyeibuliwa na Msukuma???
@makollonkunujr1198
3 жыл бұрын
Aliyeibuliwa na Msukuma ni wa Geita
@mariajason3547
3 жыл бұрын
@@makollonkunujr1198 Huyu wa wapi?
@blessedservant6020
3 жыл бұрын
@@mariajason3547 wa Kahama
@pitargamba9208
3 жыл бұрын
Hapana
@makollonkunujr1198
3 жыл бұрын
@@mariajason3547 kahama
uMipAtA.nDo.siO.bAaTi.bAaTi.iYo.jAmAni. uMi.i.pAtA.aiSeE.iYo.dU.aTa.mi.uMitOkA.mAcHoZi.
Hii nchi ni kipuuzi kweli.kila kitu kinaenda kisiasa tu.uyu wa kusameewa kweli
@shumbusho8579
3 жыл бұрын
Kwa nini hasiweze kusamehewa??
@dickchambilo9138
3 жыл бұрын
hakuua lkn
@mathiaszakaria7052
3 жыл бұрын
Hata mi nashangaa akat pesa za wanyonge ndo zimeharibiwa
Hii inaonyesha magufuli ni mtu wa munngu. Hasikii upande mmoja.jitume kwa moyo hana tabu. Makosa madogo madogo anasamehe.
Hongera mkurugenzi kahama, ukilia leo kesho utacheka
Kale kuku wanao kupa hongera ndio walifurahi ukitumbuliwa