MKURUGENZI ALIYESAMEHEWA NA JPM AONGEA KWA HISIA “MUNGU NI MWEMA, SIKUTEGEMEA”

Пікірлер: 115

  • @venancemalima1181
    @venancemalima11813 жыл бұрын

    Hongera na pole.Mungu ni mwena yawezekana haukua umekosea sana katika maamuzi yako.

  • @pitargamba9208
    @pitargamba92083 жыл бұрын

    Shida wadau hamfatilii habari , huyu si yule wa Msukukuma hap ni mkoa shinyamga kule ni Mkoa wa Geita kwa Msukuma.

  • @joshuansamiye3342

    @joshuansamiye3342

    3 жыл бұрын

    Wambie jama yangu kumbewatu sio wafatiliaji

  • @JOHNKAPAGATV
    @JOHNKAPAGATV3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣wanaosema wamefurahi kumbe ndio wambea wenyewe

  • @godsonmahela6915

    @godsonmahela6915

    3 жыл бұрын

    Msukua ndio alikuwa ana kuchongea

  • @mauajames4670

    @mauajames4670

    3 жыл бұрын

    Hakika kaka hao ni wanafiki wakubwa hao hao walifurahia leo hii tena kujifanya malaika

  • @lucasbarabara7303
    @lucasbarabara73033 жыл бұрын

    Hongera mkurugenzi kahama, ukilia leo kesho utacheka

  • @shabansamwi9891
    @shabansamwi98913 жыл бұрын

    haki ya nanii jamaa czani kama ten atafanya utopolo😜😜

  • @abuubakalmtangenange4389
    @abuubakalmtangenange43893 жыл бұрын

    Umeona kama umesahewa na Mwenyezi Mungu

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari28333 жыл бұрын

    Asante sana mwenyezi MUNGU mkuu

  • @majaliwamtoni5168
    @majaliwamtoni51683 жыл бұрын

    Hao hao wanaompongeza ndo walikuwa waampiga vita.

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi38993 жыл бұрын

    Unacheka nao na wabaya ni haohao duu namkumbuka marehemu Issa matona.

  • @alexkihongola798
    @alexkihongola7983 жыл бұрын

    Kilio cha mwenye haki kimesikika mbinguni.

  • @babayakeanna8595
    @babayakeanna85953 жыл бұрын

    Pole kaka Mungu ni mwema piga kazi

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya61943 жыл бұрын

    Hapo ndo unapojua kuwa raisi haaga upendeleo

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91563 жыл бұрын

    🤣🤣leo atakuwa na kiwewe nyie kukosa kazi sio mchezo inaweza kuongea pekee yako Kama mwehu

  • @lightmashauri1725
    @lightmashauri17253 жыл бұрын

    Samehe saba mara sabini....

  • @jacobmakono6983

    @jacobmakono6983

    3 жыл бұрын

    25,000,000,000.00niibe hafu nisamehe

  • @saidhamad7150
    @saidhamad71503 жыл бұрын

    Mkurungenzi wa kahama chapa kazi, wasamehe wote!!!!

  • @victormushi6641
    @victormushi66413 жыл бұрын

    WANAOMKUMBATIA NDIO WANAFIKI WENYEWE HAO, HONGERA YA NINI WKT MLITAKA AONDOKE

  • @benedictkayombo2358
    @benedictkayombo23583 жыл бұрын

    Wewe Ayo haiko Ivo bana usiharibu. Hatutaki uongee wewe acha tuone akiongea unae muongelea

  • @machintangachibwena5922

    @machintangachibwena5922

    3 жыл бұрын

    Tafuta imo youtube kila kitu muwekewe tuu

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid81573 жыл бұрын

    Kutumbuliwa ni khatari sana hasa inapokuwa hadharani kama afanyavyo rais wetu. Usiombe ikukute hiyo ishu!!!

  • @radhiambwana8787
    @radhiambwana87873 жыл бұрын

    Akili kwakichwa! wazuri nawabaya nihao hao.

  • @dynesssteve9754
    @dynesssteve97543 жыл бұрын

    Msukuma itabidi ajifunze kitu kujipendekeza kwa maboss cyo poa

  • @nabosedward4836

    @nabosedward4836

    3 жыл бұрын

    Huyu ni mwingn siyo wa geita

  • @florencekashaija7539
    @florencekashaija75393 жыл бұрын

    Kazi na heshima.

  • @babafemie4576
    @babafemie45763 жыл бұрын

    Wabongo wanafki Sana km sio wao waliokuwa wanapiga majungu..

  • @gabrielmwikanu1160
    @gabrielmwikanu11603 жыл бұрын

    Mkurugenzi shukuru Sana huo msamaha, Acha Tama Tama za kutaka ufanane na mtu Fulani. Fanya kazi ukijua kuwa cheo NI dhamana, Leo unacho kesho atakiacha na kukabidhiwa mtu mwingine Mali za umma ziogope Kama ukoma. Hata Mimi mwenyewe niliumia Sana ulipokuwa umetimuliwa. Muombe mungu Sana na ukatubu . Acha malumbano na mihemko ya kushindana na wanasiasa

  • @mdomani2404
    @mdomani24043 жыл бұрын

    sas itakuaje aibu ya mzee msukuma🤣🤣

  • @habibmohamed4766

    @habibmohamed4766

    3 жыл бұрын

    Hapo ni Shinyanga yule alikuwa ni wa Geita nyumbu wewe

  • @sundayandrew1787
    @sundayandrew17873 жыл бұрын

    Hongera sana rafiki yangu Anderson

  • @kaizamandike8771
    @kaizamandike87713 жыл бұрын

    Usirudie tabia hiyo mkurugenzi sawa! acha kufurahi kama vile umetwaa ubingwa wa ligikuu

  • @paskalmasake3342
    @paskalmasake33423 жыл бұрын

    Sasa alikwenda kwenye mkutano tena ameniga suti kufanya nn au alijua?

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack77863 жыл бұрын

    Kwani ulikuwa hujui kama Mungu ni mwema?Mungu ni mwema kila nyakati hata unapopita kwenye shida yeye anabaki kuwa mwema tu maana Mungu ni mkubwa kuliko matatizo yako.

  • @kinglubwaza9618
    @kinglubwaza96183 жыл бұрын

    Inatufundisha kutokurupuka katika maamuzi,hasa kiongozi

  • @hellenmgungus2935
    @hellenmgungus29353 жыл бұрын

    Sasa wale waliokuwa wanapiga vita sijui watawaambia nn watu

  • @zahirallyzorro5305
    @zahirallyzorro53053 жыл бұрын

    Kiongozi wa Watu huangalia Utendaji zaidi!

  • @robertigohe9338
    @robertigohe93383 жыл бұрын

    Usirudie tena

  • @mabyserolouchcraig2431
    @mabyserolouchcraig24313 жыл бұрын

    Chunga sana wanafki ni wa karibu yk

  • @chumamihambo8060
    @chumamihambo80603 жыл бұрын

    Piga kazi mkuu wanafiki wapo na wataendelea kuwepo usiogope

  • @manaseelias2351
    @manaseelias23513 жыл бұрын

    Kweli Mungu ni mwema aso na MTU ana Mungu

  • @simonsadala2386
    @simonsadala23863 жыл бұрын

    Mmmh kwl duniani unafiki ni mwingi jmn walio kuwa wanamponda Mkurugenzi ndo hao hao wanampa hongera na kumharg dunia hiiiii

  • @haydaralijeraj2312
    @haydaralijeraj23123 жыл бұрын

    Social distancing amesahau.

  • @farhannjama3808
    @farhannjama38083 жыл бұрын

    Kusamwhewa hapo naweza kuelewa lakini kymrudishia gari hapo ndio tatizo, hilo gari lina gharama kubwa ya mafuta na service na vipuli. Bora angemsamehe tu na hilo gari lingepigwa bei kwa watu binafsi wenye uwezo wa kilimiliki.

  • @salumucharles9655
    @salumucharles96553 жыл бұрын

    Tufanye kazi tusile Tena hela za wananchi sound from mkurugenzi Hahaha

  • @mohamedbabu6977
    @mohamedbabu69773 жыл бұрын

    Mungu hulipa hapahapa

  • @eventelias3566
    @eventelias35663 жыл бұрын

    Dedication song: Kigeugeu by Jaguar

  • @festondenga4253
    @festondenga42533 жыл бұрын

    Hapo rais kakosa msada wa upelezi

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi38993 жыл бұрын

    Wamafki wana vikao vyao wameshushuka na uongo wao.

  • @prettyh7509
    @prettyh75093 жыл бұрын

    Na alivyojibu jeuri et gari la mil 400 kitu gani

  • @omaryrashid7803
    @omaryrashid78033 жыл бұрын

    Millard ayo unakwama wapi mtangazaji hafai

  • @pieremchome5202
    @pieremchome52023 жыл бұрын

    Hao wanaokumbatia hapo ndo wanafki wenyew,kama usingesahewa wangefurahi sana,kaa na watu kwa tahadhari,maana adui yako ni yule unayekula naye, kucheka naye,angalia sana mkurugenz

  • @emanuelpetro7413
    @emanuelpetro74133 жыл бұрын

    Na wewe unaongea sana kama lyimo media bwana punguzeni kuongea ongea

  • @keijoodehustla3259
    @keijoodehustla32593 жыл бұрын

    Stori nyingi acheni uhuni

  • @josephlupasha6228
    @josephlupasha62283 жыл бұрын

    Repoter unaongea sanaaa

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria70523 жыл бұрын

    Mi siwez furahia uchafuzi wa Kodi za wanyonge tunaoumia ni sisi

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote20783 жыл бұрын

    Waliomnafikia wamwkua wapoleee

  • @robertigohe9338

    @robertigohe9338

    3 жыл бұрын

    Alikuwa na kosa

  • @janetsemahimbo8083
    @janetsemahimbo80833 жыл бұрын

    Msamehe Makonda pia

  • @ngwelesalu8348

    @ngwelesalu8348

    3 жыл бұрын

    Kweendraaaaa

  • @evansbuberwa1235
    @evansbuberwa12353 жыл бұрын

    Asnte rais wetu hiyo in busara kubwa Mungu awe nanyi

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka72783 жыл бұрын

    hakuiba .alijinunulia gari na watu wakaona.sio wizi

  • @prfndonje
    @prfndonje3 жыл бұрын

    Tnataka saut ya jpm mwenyewe

  • @machintangachibwena5922

    @machintangachibwena5922

    3 жыл бұрын

    Kwani ukuina kwenye mkutano wake

  • @benmagaya6610
    @benmagaya66103 жыл бұрын

    Hii Nchi Na Mambo Yake 😀😀😀😀

  • @verdianabanabi5943

    @verdianabanabi5943

    3 жыл бұрын

    Mhhhh

  • @JOHNKAPAGATV

    @JOHNKAPAGATV

    3 жыл бұрын

    Kabisa wanafki nao wanakumbatia hapohapo

  • @lucasbarabara7303

    @lucasbarabara7303

    3 жыл бұрын

    Hongera mkurugenzi kahama, wadamu ndivyo tulivyo

  • @kingtv5600
    @kingtv56003 жыл бұрын

    Kwa mara ya kwza magufuli kalogwa na kalogeka mamae wewe wee uchawi upo mzee baba

  • @simonkalinga6261
    @simonkalinga62613 жыл бұрын

    Usirudie

  • @mariajason3547
    @mariajason35473 жыл бұрын

    Hizo comments za watu sasa 😂😂😂😂

  • @ramadhanimbulu6716
    @ramadhanimbulu67163 жыл бұрын

    Hongera ya nini sasa!!

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    3 жыл бұрын

    Kupata tena kitumbua ambacho kiliyeyuka

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo53063 жыл бұрын

    Endelea kula bata mzee,

  • @dickchambilo9138
    @dickchambilo91383 жыл бұрын

    atakuwa alienda kwa mwamposa😀😀😀

  • @fatemaligalawa1918

    @fatemaligalawa1918

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @onesmojustice2348

    @onesmojustice2348

    3 жыл бұрын

    Yule alieua watu moshi au mwamposa yupi

  • @alexkabeho5609

    @alexkabeho5609

    3 жыл бұрын

    😆😆😆😆

  • @humoudmohammad3125
    @humoudmohammad31253 жыл бұрын

    .

  • @chantalnizigama5012
    @chantalnizigama50123 жыл бұрын

    Bado mnakumbatiana hivyo??? Corona virus 😷😔

  • @alexkabeho5609

    @alexkabeho5609

    3 жыл бұрын

    Mpaka busu chaguo lako tu🤣

  • @lufufumkudesimba6244
    @lufufumkudesimba62443 жыл бұрын

    Usiludie tena

  • @wilsongeorge4061

    @wilsongeorge4061

    3 жыл бұрын

    Waongo watupu hao

  • @ngwelesalu8348

    @ngwelesalu8348

    3 жыл бұрын

    Nirudie nini Tena Kama gari nishapata

  • @dianadayana4661
    @dianadayana46613 жыл бұрын

    Chezea ugali wewe😉

  • @salumucharles9655

    @salumucharles9655

    3 жыл бұрын

    Hahaha hatar

  • @adambakule7066
    @adambakule70663 жыл бұрын

    Cjui mbunge msukuma yupo kwenye hali gani? Riziki ya mtu binaadam hawezi kuizia.

  • @winfredbespoke8440

    @winfredbespoke8440

    3 жыл бұрын

    Huyu sio yule wa msukuma, huyu ni wa shinyanga, na yule wa geita

  • @fatemaligalawa1918

    @fatemaligalawa1918

    3 жыл бұрын

    Yule wamsukuma kusamehewa ndoto

  • @martinemaganga2546

    @martinemaganga2546

    3 жыл бұрын

    Huyu ni wa kahama na si yule wa Geita

  • @jacobletema3681

    @jacobletema3681

    3 жыл бұрын

    @@fatemaligalawa1918 ni kweli, yule wa Geita ni kimeo zaidi!!!

  • @mussajuma1736
    @mussajuma17363 жыл бұрын

    Waliokukumbatia wote ndio wabaya wako hawo

  • @magrethjohn8576
    @magrethjohn85763 жыл бұрын

    Hivi huyu mkurugenzi ndo yule aliyeibuliwa na Msukuma???

  • @makollonkunujr1198

    @makollonkunujr1198

    3 жыл бұрын

    Aliyeibuliwa na Msukuma ni wa Geita

  • @mariajason3547

    @mariajason3547

    3 жыл бұрын

    @@makollonkunujr1198 Huyu wa wapi?

  • @blessedservant6020

    @blessedservant6020

    3 жыл бұрын

    @@mariajason3547 wa Kahama

  • @pitargamba9208

    @pitargamba9208

    3 жыл бұрын

    Hapana

  • @makollonkunujr1198

    @makollonkunujr1198

    3 жыл бұрын

    @@mariajason3547 kahama

  • @jumakiatu.628
    @jumakiatu.6283 жыл бұрын

    uMipAtA.nDo.siO.bAaTi.bAaTi.iYo.jAmAni. uMi.i.pAtA.aiSeE.iYo.dU.aTa.mi.uMitOkA.mAcHoZi.

  • @seifkassim4579
    @seifkassim45793 жыл бұрын

    Hii nchi ni kipuuzi kweli.kila kitu kinaenda kisiasa tu.uyu wa kusameewa kweli

  • @shumbusho8579

    @shumbusho8579

    3 жыл бұрын

    Kwa nini hasiweze kusamehewa??

  • @dickchambilo9138

    @dickchambilo9138

    3 жыл бұрын

    hakuua lkn

  • @mathiaszakaria7052

    @mathiaszakaria7052

    3 жыл бұрын

    Hata mi nashangaa akat pesa za wanyonge ndo zimeharibiwa

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim67453 жыл бұрын

    Hii inaonyesha magufuli ni mtu wa munngu. Hasikii upande mmoja.jitume kwa moyo hana tabu. Makosa madogo madogo anasamehe.

  • @lucasbarabara7303
    @lucasbarabara73033 жыл бұрын

    Hongera mkurugenzi kahama, ukilia leo kesho utacheka

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni7013 жыл бұрын

    Kale kuku wanao kupa hongera ndio walifurahi ukitumbuliwa

Келесі