MKONO JR : BADO MISIMU MITATU GSM ANAICHA YANGA |SIMBA HATUWEZI KUONGOZWA NA MDOGO WAKE GSM

Пікірлер: 67

  • @jumongjr5837
    @jumongjr583725 күн бұрын

    Mbona anaongea kama mtu alie Bemendwa hivi 😂😂😂😂😂

  • @Mgema001
    @Mgema00126 күн бұрын

    6:37 ukimuongelea chama unampa nini😂😂

  • @leothobias8116
    @leothobias811625 күн бұрын

    Kolo ni kolo tu😂😂

  • @thobiaskatoto1770
    @thobiaskatoto177027 күн бұрын

    chagamba naona unaanza kupoteza mwelekeo sasa, hawa watu wako wanaweka ushabiki mbele kuliko uhalisia, unazingua

  • @hashimsalum7025
    @hashimsalum702524 күн бұрын

    Naota naota nadanganywa oooo! naota naota nadanganywa hooo!, kichaa kapata nafuu!.😅

  • @Macamp312
    @Macamp31224 күн бұрын

    Chagamba unazingua unafata watu ambao Hawajui boriiii😢😂😂😂

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe24 күн бұрын

    Trai Ageni anajuwa Simba imeuzwa ukitaka kujuwa hata rogo ya usajili Simba imebadilika Kuna hati za usajili anazo kilomoni na Kuna hati ya usajili wa mosimba

  • @jamesbakera2135
    @jamesbakera213526 күн бұрын

    Simba nguvu moja ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi917124 күн бұрын

    Chagamba hii takataka imeoikota wapi😢😢

  • @AllyMikidadiAlly-v5f
    @AllyMikidadiAlly-v5f24 күн бұрын

    We mjinga Kijili anaakili hawezi kwenda kubato na Yao kaenda kwa mchovu Kapombe

  • @AlexSamweli-jj9tt
    @AlexSamweli-jj9tt27 күн бұрын

    huyo anahakili kijiri akua kwenye mpango wayanga Wala huyo kagoma

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford357224 күн бұрын

    Chagamba unatukosea sana ii taka taka umeitoa wapi

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn24 күн бұрын

    Huyo kubwa jinga chagamba kamwambie kama hajala aje GSM atampa msosi ili akili ikae sawa kuongea maneno ya busara koloooo nyang'ao

  • @emanuelpetro9591
    @emanuelpetro959124 күн бұрын

    Punguza maneno we kenge acha inyeshe tutaonapanapovuja usiwe wakwanza tu kulalamika

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz848527 күн бұрын

    Daaaah Gambaaa mwambie huyuu kolo hana hakilii 😂😂😂😂😂😂😂

  • @RashidKaoneka-bj8mm
    @RashidKaoneka-bj8mm25 күн бұрын

    Makolo hmjaiyona timu yenu inavyocheza kelele tukutane 888.

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe24 күн бұрын

    Huyo c mwanachama Simba hakuna wanachama maana walipoacha kusajili wanachama huyo alikuwa mtoto 2015

  • @ALLYBULULA
    @ALLYBULULA25 күн бұрын

    Ngoja tukutane alafu aludie maneno yake ingekua mpila mdomon saiz vikombe vyote mngekua navyo

  • @user-mt5xn7xj4t
    @user-mt5xn7xj4t27 күн бұрын

    cv zako chagamba unapoteza namuelewa mzee saidi kidogo miraji waliobaki wote hawajielewi

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau349325 күн бұрын

    Sasa Miaka Mitatu Midogo.

  • @chng1990
    @chng199026 күн бұрын

    Tajiri hana maneno mengi.. YANGA BINGWA

  • @halidijuma1884
    @halidijuma188427 күн бұрын

    Chungeni hizi video makolo hawakawii kubadilika

  • @AliAliahmada-ht4ri
    @AliAliahmada-ht4ri24 күн бұрын

    Huyu jamaa anaongea kama umekunywa maziko saa 8, haongei futboli anaongea unazi

  • @user-ws6tp8gl5m
    @user-ws6tp8gl5m26 күн бұрын

    Huyu atafutwe tarehe 9 aiseeee

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi14826 күн бұрын

    Kabisa hata Mimi naona moyo kwa sababu ya semaji letu la nguvu

  • @robertphilip385
    @robertphilip38525 күн бұрын

    Wewe ni popo kweli

  • @emmanuelzwallo3933
    @emmanuelzwallo393327 күн бұрын

    Mtafute tarehe 9 huyu kanjanja atakukimbia.

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc120025 күн бұрын

    Mlamba lips toka lin akajua moira hoj watu wenye hoja sio wasaka kiki

  • @YassinDeva
    @YassinDeva26 күн бұрын

    Chagamba,, uwe unahoji watu wenye akili timamu na wanaojua mpira,, unamuhoji mtu anamkubali msemaji kiliko mchezaji,,

  • @leonardlubala393
    @leonardlubala39327 күн бұрын

    Kweli akiri ni nywele kila mtu na zake.

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv740827 күн бұрын

    😂😂hii takataka ume

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff691227 күн бұрын

    Wee nawe ni chawa tu kama machawa wengine oyaaa Gamba wanaishusha finest touchline yetu hao

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff691227 күн бұрын

    Gamba vilaza kama hao usiwalete uku waende kwenye vimedia vya udaku hapa hawanogi

  • @minazsaid2470
    @minazsaid247027 күн бұрын

    Ila makolo wakihojiwa huwa wana jazba sijui hawajiamini 😂

  • @jumamakame3978
    @jumamakame397827 күн бұрын

    Chagamba sio kila mtu anahojiwaaaaa

  • @RashidKaoneka-bj8mm
    @RashidKaoneka-bj8mm25 күн бұрын

    Ongea makolo timu yako

  • @paulmagese7900
    @paulmagese790027 күн бұрын

    Hapo sjaona kitu

  • @PatrickiSichone
    @PatrickiSichone26 күн бұрын

    chagamba wewe ninoma unanifurahisha sana

  • @allyuchebe8451
    @allyuchebe845127 күн бұрын

    We tunakuweka goli kumi endelea kubwabwaja

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g27 күн бұрын

    Cchagamba unapoteza mvuto mlevi huyo bangi mbichi

  • @samwelsanyura-iw9nr
    @samwelsanyura-iw9nr27 күн бұрын

    Mpeleke huyu chizi mirembe

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe24 күн бұрын

    Unanijuwa Simba karibuni mpira wa Tanzania ni WA Simba? Ukisikia makombe 30 Kwa 22 unaelewa nini we mjinga

  • @user-mt5xn7xj4t
    @user-mt5xn7xj4t27 күн бұрын

    wanaugua hao makoro

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe24 күн бұрын

    Kwani Hawa wengine kweli ni watu wa mpira au? Sasa Hawa ni wajinga sana

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba31327 күн бұрын

    Huyu jamaa amekuja Leo hospital kwetu anamalaria yamepanda kichwa ni ,chagamba unapoteza muda bure

  • @user-om1wo1ql2v

    @user-om1wo1ql2v

    26 күн бұрын

    Akuongelea wew atuongelea Wana simba shghulii aikuus hiii

  • @emmanuelzwallo3933
    @emmanuelzwallo393327 күн бұрын

    Tunajua nini sasa Magoli unamjua wewe na simba yako.

  • @mwakatumbulamwakaleli5153
    @mwakatumbulamwakaleli515327 күн бұрын

    mjinga uyo ajui kitu kenge iyoo

  • @sadih5333

    @sadih5333

    27 күн бұрын

    Wewe ndio haujui kitu

  • @emanuelpetro9591
    @emanuelpetro959124 күн бұрын

    Chagamba acha kuhoji wasenge tutaku unsubscribe siyo muda mrefu

  • @kokubyakwaga68
    @kokubyakwaga6826 күн бұрын

    Kwenda

  • @AllyMikidadiAlly-v5f
    @AllyMikidadiAlly-v5f24 күн бұрын

    Usiape kwa Mungu kwa utabili wako wa kijinga halafu Simba ni yanani.Kama madhaifu ndo yanaleta ushindi kwetu poa tu.

  • @BobuMarsata
    @BobuMarsata24 күн бұрын

    Yan chagamba kama unatak watu waache kukufatilia kuwachukua wajinga hawa

  • @ImanuelMataba
    @ImanuelMataba27 күн бұрын

    Chagamba kama utakuwa unafata wajinga kama huyo utapoteza watu wako

  • @emanuelpetro9591

    @emanuelpetro9591

    24 күн бұрын

    Nikweli sana

  • @user-nt4ov8uv4n
    @user-nt4ov8uv4n27 күн бұрын

    Chagamba hawa wajinga umewaokota wapi? Umefeli vibaya sana leo!

  • @abunajreenELSESANY

    @abunajreenELSESANY

    27 күн бұрын

    Mbona jamaa anaongea vizuur tuu

  • @nasseralshaibani6995

    @nasseralshaibani6995

    27 күн бұрын

    Muandishi wa habari atajuaje huyo jamaa atazungumza nini. Na fikiri wewe akili zako haziko sawa

  • @leeobite2507

    @leeobite2507

    27 күн бұрын

    ​@@abunajreenELSESANYchama na Ahmed bora Ahmed ally abak chama asepe.duh Ahmed Ally anacheza namba ngap?..et chama tunampa valuuu..duh huyu shabiki Aiseee....chagamba utapoteza wafuasi wakukufuatilia ikiwa unawahoji awa wenda wazimu...shabiki bora milaji tu anafata mzee said

  • @maimunaathumani9121

    @maimunaathumani9121

    27 күн бұрын

    Mjinga mwenyewe

  • @abunajreenELSESANY

    @abunajreenELSESANY

    26 күн бұрын

    @@leeobite2507 anazungumzia MSAADA wa mtu kwa CLUB, Team haijengwi kwa wachezaji pekee, kuna benchi la ufundi, kuna propaganda na kuna hamasa, AHMED ALLY kwa nafasi yake, alipambana saana kwa nafasi yake kuliko CHAMA kwa nafasi yake.

  • @AmirRashid-dw2sb
    @AmirRashid-dw2sb27 күн бұрын

    Chagambo naona unamchora tu huyo kolo😂😂😂😂😂

  • @thobiaskatoto1770
    @thobiaskatoto177027 күн бұрын

    chagamba naona unaanza kupoteza mwelekeo sasa, hawa watu wako wanaweka ushabiki mbele kuliko uhalisia, unazingua

Келесі