MKONGWE WA TAARABU SABAHA KAFUNGUKA KUHAMIA ZANZIBAR, KUACHA MUZIKI KUMRUDIA MUNGU NA MENGINE

Пікірлер: 161

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 Жыл бұрын

    Nami nakuombe uache mamangu km ulivyosema unamkosea Mungu hujapindisha maneno Mashallah

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    Miaka 40 simchezo kwakweli wazee wetu wazamani wanajutuma sana vijana wa sasa mtu mwaka 1 tu kashachoka kufanya kazi , Mungu akusimamie Mama 😍😍♥️

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Жыл бұрын

    Masha allaah bi sabaha mungu akujaalie utulie uwache taarabu umri umeenda imebak kumuomba mungu 🙏🙏 nakupenda mama

  • @aishaz1

    @aishaz1

    Жыл бұрын

    Kwani kuna Umri wa kuacha dhambi au

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Жыл бұрын

    uamuzi muafaka Allah amuongoze zaidi mmngu Ushike dini utubie Allah akupe mwisho mwema nafurahi sana kusikia unarudi Kwa Allah jazakallah kheir Allah akupe umry mrefu wenyewe neemaa

  • @fatmamohamed372
    @fatmamohamed372 Жыл бұрын

    Sister nakuombea kwa Allah Subhanahu Wataala Uwache kabisa .yaani uwache moja kwa moja .usiwe ni mwalimu au mkosoaji wa waimbaji wengine. utaisabiwa hujaacha kuimba . Na mauti huja ghafla my sister tubia Leo kabla ya kesho . Allah akuongoze katika hakki na akuepushe na batil. ALLAHUMMAAMIIN

  • @jaymwinyi6957

    @jaymwinyi6957

    Жыл бұрын

    Ameeen yaarabbi na ss tuzidi kumuombea

  • @zainabissa7851
    @zainabissa7851 Жыл бұрын

    Mama kama unataka kuachana na masuala ya kuimbaa basi uwache tu mana mziki ni kharam usimsapoti wala usimkosoe mtu wee achaa tu na ishallah Allah atakupa kheri

  • @jkizondoswahilibites434

    @jkizondoswahilibites434

    Жыл бұрын

    Haram au kharam?

  • @themembinga3996

    @themembinga3996

    Жыл бұрын

    Kweli ni haramu

  • @jkizondoswahilibites434

    @jkizondoswahilibites434

    Жыл бұрын

    Kiarabu cha kharam bado hakijafika 😂 we all know neno ni HARAM… unifunze unkileta wewe duniani khaa 😂

  • @jkizondoswahilibites434

    @jkizondoswahilibites434

    Жыл бұрын

    @@themembinga3996 najua hilo ndugu ila katamka vengine ndio nikauliza

  • @wasilaahmad7913

    @wasilaahmad7913

    Жыл бұрын

    @@jkizondoswahilibites434 😂😂😂😂 kumbe unajua nilizani umedandia gari hahahhha

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Жыл бұрын

    bisabahi nakushauri basi tena pumzika mama acha kuimba mamangu , Allah atuongoze njia ya haki.na atujalie Mwisho mwema

  • @kalssambaboo9932

    @kalssambaboo9932

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @yahyahamad1802

    @yahyahamad1802

    Жыл бұрын

    @@kalssambaboo9932 enheee aamiyna yaarabiyy

  • @Khalid-mf3iu

    @Khalid-mf3iu

    Жыл бұрын

    HERI KUACHA KITU KULIKO KITU KIKUACHE WEWE....tuombeane hidaya na muongozo mwema

  • @yahyahamad1802

    @yahyahamad1802

    Жыл бұрын

    @@Khalid-mf3iu hakika swadaktaaa Allah atuzindue

  • @bintmuhammad4913
    @bintmuhammad4913 Жыл бұрын

    BI Sabah umri ushaenda sana Allah akuongoze wewe pamoja na sisi. Mauti huja ghafla sana kama kupwesa tu! Niliwahi kuskia interview yake alisema akifikisha 50yrs ataacha kuimba! Sasa 63 yrs Ibilisi bado amemvaa na anajua kabisaa kama anamkasirisha Mungu. Miezi mitukufu hii jamanii tumuogope Mungu adhabu zake ni Kali hatuziwezii tuache ukaidi tumrudie Allah kisawasawa. Allah husamehe madhambi yooote tunapo muomba Toba ya kweli. Hakika ukumbusho huwafaa walioamini.

  • @muhsinisihaka7739

    @muhsinisihaka7739

    Жыл бұрын

    We mama ludi kwa ALLAH mauti ujaghafla achakuimba kwa ajili ya ALLAH na izo nyusi Kama umetinda acha it nizambipia

  • @ausimuba6336

    @ausimuba6336

    Жыл бұрын

    Mungu akupe Imani umrudie Allah achana na taarab

  • @husseintayar699
    @husseintayar699 Жыл бұрын

    Alhamd mashalah kila siku nikijiuliza kwa nn mamaangu hawachi kuimba mungu akuongoze iwe muendelezo kuacha kwako hadi kiama

  • @citychannel2393
    @citychannel2393 Жыл бұрын

    Asalamalykum m.mungu abadilishe yalioko ktk nafsi zetu tuikinai dunia na tutaman akhera iliyo bora na ya kudumj

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын

    Wa Muchacho. Napenda kazi zako. Wanakupenda sana Zanzibar!

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 Жыл бұрын

    🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰💕 bi sabaha mama wa morogoro Moja

  • @almasially6509
    @almasially6509 Жыл бұрын

    nimemkumbuka marehemu bibi yangu. Allah ampunguzie adhabu ya kaburi, najua angefurahi sana kuiona hii interview ya msanii wake pendwa

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    Жыл бұрын

    Yaani bado unamuombea angekuwa hai kuona haramu

  • @jaymwinyi6957

    @jaymwinyi6957

    Жыл бұрын

    ​@@aliabdalla9297ndo. Nashangaa waallahi

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Жыл бұрын

    Mashaalah ALLAH akukinaishe urejehe kwa Allah

  • @thuraiyathuraiya401
    @thuraiyathuraiya401 Жыл бұрын

    Mungu atakusimamia dada yangu inshaallah utaenda makaa kwa nguvu za mungu

  • @hamadmohamed3056
    @hamadmohamed3056 Жыл бұрын

    Afadhal Mungu akufanyie kheir na wepes uache kabisa ufike Makkah kuhijj InshaAllah

  • @khadijazungu8627
    @khadijazungu8627 Жыл бұрын

    ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH IKIWA NI KWELI BASI TUMEFURAHI SANAA MAMA WA MWENZETU MAAANA JUZI NILIONA STATUS YA MTU KAWEKA UNAIMBA KWENYE SHEREHE NYAMA NA USO ZISHAKUSHUKA NIKASEMA UNGEKUWA KARIBU NIKUNASIHI MAMA WA MWENZANGU LKN MOLA AKUSIMAMIE KWENYE NIA YAKO NJEMA NA AKUONDOSHEE KILA MABILISI WA KIBINAADAM NA KIJINI PIA 😭😭😭

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    Жыл бұрын

    Anaimba kama kawa

  • @tatotato506

    @tatotato506

    Жыл бұрын

    ​@@sabihaibrahim143 sianasema apo anataka kuacha akiacha kinakuumanini

  • @lilianmakwati5228
    @lilianmakwati5228 Жыл бұрын

    Hongera mama unajua kuimba sio siri nikisiliza nyimbo zako huwaga nakumbuka mbali mno

  • @fauzenkassim8424
    @fauzenkassim8424 Жыл бұрын

    Mzazi mwenzangu Allah Akujaalie kuwacha kuimba maana dunia imeisha sasa

  • @shamzone388
    @shamzone388 Жыл бұрын

    Umekwenda umra na in sha allah atakujalia ukamilishe hajj amin Music ni haram... Zina haram... Ulevi haram... Wizi ni haram... Ukisema music ni kazi umekosea sana

  • @kiri5807

    @kiri5807

    Жыл бұрын

    Kashahiji huyu ikisha amerudi na kuimba .

  • @bintmuhammad4913

    @bintmuhammad4913

    Жыл бұрын

    @@kiri5807 kasema amekwenda hijja ndogo ( Umra ). Akienda Hijja kubwa ndio ataacha rasmi!! Kama anajua vile miaka atayoishi Subhana Allah!

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    Жыл бұрын

    ​@@kiri5807 KWENDA UMRA SIO KUHIJI.

  • @kiri5807

    @kiri5807

    Жыл бұрын

    @@bintmuhammad4913 Najua tofauti ya Umra na Hija ila nilijua alienda Macca ktk kumbukumbu zangu sikujua nikipindi gani km cha hija au laa . Inshaallah Mungu amjaaliye huyo shetani wa kuimba amuondokee . Amin

  • @bintmuhammad4913

    @bintmuhammad4913

    Жыл бұрын

    @@kiri5807 Amiin

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 Жыл бұрын

    Heeee dadangu tubia kabla umauti haujakufika. Mtu hajuwi wapi au saangapi au lini. Anae juwa ni yy peke yke Allah

  • @linahkweka5492
    @linahkweka5492 Жыл бұрын

    Ila mama mzur huyu 63 stops looking good

  • @kalssambaboo9932

    @kalssambaboo9932

    Жыл бұрын

    Mashaa allah

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Жыл бұрын

    Tatizo hamna imani yadini

  • @surusuru1994

    @surusuru1994

    Жыл бұрын

    Kabisa we esilam majina

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Жыл бұрын

    Sabah salum muchacho ni bibi sasa. Rudi kwa mungu umri umekwenda ALLAH AKUPE UKUMBUSHO IBILISI. LLAANA AKUWACHE

  • @rehemaothman2475
    @rehemaothman2475 Жыл бұрын

    Kila kitu kina mwisho wake

  • @mouzaseif1099
    @mouzaseif1099 Жыл бұрын

    Allah akukinaishe ishaAllah naulizia kwanza nauli inayotokana namziki inafaa ucjeukaenda kutembea tuu umri umeenda mama rudi kwa Allah hebu muogope muumba wako mama

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Жыл бұрын

    Allah humma aminy mama anajielewa

  • @just.elhadji__7148
    @just.elhadji__7148 Жыл бұрын

    Nyimbo zake zinanikosha hadi leo.....zinatupa matumaini,Believe,Hopes,positivity! Zangu pendwa ni #Mlango wa mungu uwazi #Tamba❣👊🙌 Mungu akuweke Mama🙏

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Жыл бұрын

    Huyu mama namkubali Sana ngoma zake Zinanikosha hadi Leo haziishi ham

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Жыл бұрын

    M'Mungu atuongoze sote

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Жыл бұрын

    Mama mzuri Sana ana rangi moja Mungu alimjalia uzuri nakipaji

  • @3nllymhamad784
    @3nllymhamad784 Жыл бұрын

    Anaimba lakini hajawahi fanya haram tafauti na waimbaji wengine pia sijawahi kusikia matusi kwa nyimbozake hongera khale sabah

  • @jkizondoswahilibites434
    @jkizondoswahilibites434 Жыл бұрын

    Love you cuz❤❤ Gwiji mwenyewe MashaAllah ❤❤❤

  • @saidissa8273
    @saidissa8273 Жыл бұрын

    SABAH MIAKA 63 MAASHALLAH.KAA CHINI MAMA WACHA MZIKI

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Жыл бұрын

    Mama anazeeka na ukali wake ...

  • @wardamahango2455
    @wardamahango2455 Жыл бұрын

    Nakupenda sana sana ant sabaha Allah akuweke

  • @abeidkhamis6130
    @abeidkhamis6130 Жыл бұрын

    We mama tubia haswa maana badala ya swadakatul jahriah we unawezakua haramuljahria kwa sababu hizo nyimbo zilitasikilozwa Hadi kiama baada ya wewe kuondoka Duniani kwaiyo basi fanya Toba ya kweli Allah ni ghafur Rahim. Wacha kupitia pita majukwaani na sura yako ni mtiani kwa wenye maradhi mioyo kwa maana japo umri wote huo bado tu humo vaaga burka au niqab ukitaka kutubia ila usipo taka haya mahakamu ya mutakabir yatusubiri.

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Жыл бұрын

    Ila Huyu Mama maisha yote nilikuwa najua ni Mzanzibari maana lugha yake ni ya Zanzibari kabisa yaani MashaAllah ,kumbe ni Mmorogoro dah ndio najua leo

  • @Wastara001

    @Wastara001

    Жыл бұрын

    Hata mie nilikuwa najua hivyo.

  • @lilianmakwati5228

    @lilianmakwati5228

    Жыл бұрын

    Hata mimi nilijua hivyo

  • @saidnasihu540

    @saidnasihu540

    Жыл бұрын

    Watu wa pwani huongea lugha aziiiz 😅🤣..... huwezi kuelewa km hujawahi kuishi pwani ✌️

  • @hamzamohamedKeslivol
    @hamzamohamedKeslivol Жыл бұрын

    Mama usisikilize pia sio nzuri

  • @alexkabeho5609
    @alexkabeho5609 Жыл бұрын

    Oooh nice to hear you Mama

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Жыл бұрын

    Wee mama acha mziki umri umeenda rudi kwa allah fanya ibada Achana na mziki utapata mwisho mbaya

  • @mikhitaryankombo7350
    @mikhitaryankombo7350 Жыл бұрын

    Hata mm nakupenda sana nakuombea kwa Mungu uache kama Sasa na kitu kihiki ukiachia bc usiwe mshaur wala kumkosoa Mt mana mziki ni haram

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 Жыл бұрын

    Allah akusimamie swabakha

  • @SalehAlAmry-on8lt
    @SalehAlAmry-on8lt Жыл бұрын

    kweli mama Allah atakupa moyo huo huo inshallah

  • @iddimasika1173
    @iddimasika1173 Жыл бұрын

    Namuombaa Allah akuongoze ktk hakii mama 7bu umra cyo mchezoo

  • @saidsalum9587
    @saidsalum9587 Жыл бұрын

    Wewe mama unamkosea sna mungu, unajua kabisa mungu hapendi ila unasema ndo unapotoa riski kuna watu wamehiari kuwa maskini ila wasifanye yakumkera mungu

  • @laukeisa5358
    @laukeisa5358 Жыл бұрын

    Maimamu na mashejkh wa KZread kazi kuhukumu.mwenzenu

  • @ramaamuro1275
    @ramaamuro1275 Жыл бұрын

    Nimefurahi Sana kusikia sauti yako mam naenjoy sana na nyimbo zako uishi miaka mingi

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 Жыл бұрын

    Umri umenda kila kitu kina mwisho wke

  • @enterenter7798
    @enterenter7798 Жыл бұрын

    Lakin tuache ushabiki umeenda umra lkn bado unaimba daa itoe hio kusema music ipo kwenye moyo wako mam usicheze nadini hakuna islam yahivyo unachotakiwa nikuacha music nakufuta hio hali moyoni mwako ufahamishe ninn tena umri umeenda simkipatag mfungue na biashara,, in shaa Allah Allah akufanyie wepesi

  • @BTVBATTAWY
    @BTVBATTAWY Жыл бұрын

    Sabah anajibu vizuri kuliko maswali anayeuliza hajui

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 Жыл бұрын

    Mashaallah mama wacha mziki uelekee kwa Allah mama wakati umendaaaàa

  • @nadiromar9794
    @nadiromar9794 Жыл бұрын

    amin inshaAllah Allah atakuongoa ulipo

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Жыл бұрын

    Nakupenda sana mama😍😍😍😍😍😍😍

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    Жыл бұрын

    Anazeeka na utamu wake dahh njoo nikuoe sabaha umri huo huwa ni watamu na full kudeka ni mwendo wa kukupelekea moto

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Жыл бұрын

    Uyu mama anajua Sana hadja kopa anmjua vzur uyu napia ana busarah Sana kulko malkia wamipasho

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Жыл бұрын

    Milad ayo nawakubali Sana kamera zenu zinatoa safi

  • @stonetown578
    @stonetown578 Жыл бұрын

    Kwani mwenyewe hajui kama kuimba dhambi mwacheni, kila mtu na shimole.

  • @bizzoforreal8502
    @bizzoforreal8502 Жыл бұрын

    Basi huyu nilikua najua ni mzanzibar duuuh sio pwa

  • @ismailmjeshi8145
    @ismailmjeshi8145 Жыл бұрын

    Uyu mom me nampenda mpk sijielewi......

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Жыл бұрын

    Ovoo

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 Жыл бұрын

    Nice

  • @nassorsalum3846
    @nassorsalum3846 Жыл бұрын

    zanzibar ni njema atakae na aje 🥥🏝

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    👌🏽

  • @enterenter7798
    @enterenter7798 Жыл бұрын

    Nitamasha zuri Mashaa Allah lakin ifike mda mtu aridhike naalichokifanya hususan music niharam

  • @salimsaid3292
    @salimsaid3292 Жыл бұрын

    Unauhakika gani utafika kwenda kuhiji..

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 Жыл бұрын

    Dogo amkia ww Salam maana yake nn vidooo

  • @vidovidox2632

    @vidovidox2632

    Жыл бұрын

    Nilishamwambia Shikamoo alipofika nikampokea

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    Жыл бұрын

    @@vidovidox2632 😁😁

  • @wasilaahmad7913

    @wasilaahmad7913

    Жыл бұрын

    @@vidovidox2632 achana nae kakosa lakusema tu

  • @mohddelo
    @mohddelo Жыл бұрын

    Mashauri na kopa aache

  • @SafiaOmar
    @SafiaOmar Жыл бұрын

    Mungu akufanyie wepesi uache kwani hakika music ni haraam

  • @khalidkamanda8154
    @khalidkamanda8154 Жыл бұрын

    Ukiamua kuacha acha tu usishiriki kwa namna yoyote

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Жыл бұрын

    🤔Mchango wangu: Kama bado unaweza kuimba, kufanya kazi na watu wanakupenda, usiache fani yako dada yangu. Kwa kupitia imani basi sali tu na kumuomba Mungu lakini katu usidanganyike na maneno ya watu. Watu hawapendi kazi za watu wanahukumu ovyo na kuchanganya mambo. Dini ni ya Mungu, kazi ni kwa maslahi yako na familia yako🤔.

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Жыл бұрын

    Ma sha allah nampenda sana sana mama huyu hanasahunti mzri allah hakusimamie na uwendele kupata mafanikio zaid nyie mritakiwa mujengewe masanamu yenu we dada yangu ?

  • @salimsaid3292
    @salimsaid3292 Жыл бұрын

    Mama umejistiri vizuri kidini hassa lkn muziki kharamu. Jitahidi kurudi kwa Mola

  • @khadijazungu8627
    @khadijazungu8627 Жыл бұрын

    Na haya matamasha sijui kwa nini lazima yafanyike karibu na Ramadhan

  • @surusuru1994

    @surusuru1994

    Жыл бұрын

    Hayatuusu sie wa Tanzania kwn Zanzibar wanaubanguzi najionea paka mausitazati wanadiriki kusema eti unakuja kuoa znz mtu weyewe kutoka bara kahiyo tunasema tz hayatu usu matamasha ila lailah rashidi anatuusu kw sabbu nimu Tanzania halisi not cop

  • @mahamoudduchi3318

    @mahamoudduchi3318

    Жыл бұрын

    @@surusuru1994 mbn pumba tupu hufahamiki wewe

  • @samahabdallahmohamed1135

    @samahabdallahmohamed1135

    Жыл бұрын

    Acha mama toba inatuhitajia sana

  • @samahabdallahmohamed1135

    @samahabdallahmohamed1135

    Жыл бұрын

    Penda quran sio mziki hasa allah amekupa umri uweze kufanya toba wala usifundishe mtu ujaendekeza dhambi hy adhabu itakupata pk kaburin

  • @neamusic2601

    @neamusic2601

    Жыл бұрын

    Anapenda pesa huyu bibi ukimuita ujipangee hasa....

  • @choba7101
    @choba7101 Жыл бұрын

    BIBI ACHIA TENA HAYA MAMBO UMRI USHAENDA.

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Жыл бұрын

    Ata hujaelekea asa kuwa muimbaji hujielewi tu inamaana hujui kama zambi kuimba

  • @ilhambilly-mc9re
    @ilhambilly-mc9re Жыл бұрын

    mbona muda tu alisemaga anaacha na bado akawa yupo tu na taarabu. Anyways Mungu akuongoze

  • @nassirazzyazzy9871
    @nassirazzyazzy9871 Жыл бұрын

    ♥️💫

  • @mosiomar

    @mosiomar

    Жыл бұрын

    Shabaha acha kuimba we c usharudi kuhiji Makka, unaomba kichwa wazi "Subbhanna'allah"

  • @ramadhanfoum7713
    @ramadhanfoum7713 Жыл бұрын

    Iwe uhakika t asimtanie Mungu

  • @ngoni7944
    @ngoni7944 Жыл бұрын

    Mtangazaji, hujamuuliza chochote kuhusu alikozaliwa morogoro, umeuliza sana kuhusu zanzibar, umekosea sana, Leo ndio najua ametoka morogoro, ungeuliza zaidi kuhusu connection yake na morogoro. Sad

  • @simbafadhili
    @simbafadhili Жыл бұрын

    mbona sautti kama mama samia

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Жыл бұрын

    Ukiacha acha, sy useme unasaport waimbaji chipukizi

  • @nayfatsalim7828
    @nayfatsalim7828 Жыл бұрын

    Pesa ya umra niyakutoka kweny mziki wko ?.....Watoto wko wako sahihi...Ukiend hija ucjshrikishe kmuandkia mtu wala kumshaur kuhs mzki man itkua kzi nibure t dhamb iko pleple

  • @zubedasaid5962
    @zubedasaid5962 Жыл бұрын

    Mrudie tu Allah!maana na umri nao ndio hivyo tena,waachie vijana

  • @shamsaelbeity8250
    @shamsaelbeity8250 Жыл бұрын

    Ye kila sku anacha tafabu tu

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 Жыл бұрын

    Tubia tena bibi weye saa ya kutolewa roho utajuta na kulia sana

  • @yassirgiya6743
    @yassirgiya6743 Жыл бұрын

    #fundii

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 Жыл бұрын

    HISANI ni wimbo hatari unajua mama.

  • @mussamc641
    @mussamc641 Жыл бұрын

    Du hakutosh iyo siku

  • @fathiyasalim3946
    @fathiyasalim3946 Жыл бұрын

    Hata pumzi huna tena

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 Жыл бұрын

    Vizuri watoto wako hawataki sasa jitulize uwache uwe na Allah

  • @faudhiaabubakary1704
    @faudhiaabubakary1704 Жыл бұрын

    Mashaallaah Alhamdulilaah

  • @saidissa8273
    @saidissa8273 Жыл бұрын

    SABAH BADO HUJATUBU.

  • @bakarimohammed2796
    @bakarimohammed2796 Жыл бұрын

    Mpaka uende MAKKAH ndio uwache kuimba je una uhakika wa kufika kesho?

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Жыл бұрын

    Basi wacha kuimba NA urudi kwa salah NA ibada uombe akhera kuimba ni haramu

  • @mamalamama7010
    @mamalamama7010 Жыл бұрын

    Kumbe ni wa moro nilijua ni mzanzibar

  • @ayshamahariq6665

    @ayshamahariq6665

    Жыл бұрын

    pia mm

  • @hafsabakar3141
    @hafsabakar3141 Жыл бұрын

    Et naacha alf nackiliza

  • @shanmlawa
    @shanmlawa Жыл бұрын

    Huyu mama kisu😘

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula4965 Жыл бұрын

    Swabaha salum zindabar

  • @wasilaahmad7913

    @wasilaahmad7913

    Жыл бұрын

    Sawa muhind ila ni zindabad

  • @husseinmaula4965

    @husseinmaula4965

    Жыл бұрын

    @@wasilaahmad7913 axante leo nimejua kumbe ni zindabad

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Жыл бұрын

    Mungu akusamehe mama maana inaonekana huijui dini vizuri,,,

  • @zakiaali4429
    @zakiaali4429 Жыл бұрын

    Mtu mzima ovyo tafuta msala uswali

  • @Khalid-mf3iu

    @Khalid-mf3iu

    Жыл бұрын

    Zakia mbona mkali bro ni kuombeana hidaya na ukimnasihi mtu tumia hekma 👍

Келесі