MKONGWE WA TAARABU SABAHA KAFUNGUKA KUHAMIA ZANZIBAR, KUACHA MUZIKI KUMRUDIA MUNGU NA MENGINE
Жүктеу.....
Пікірлер: 161
@fatmaahamadabass8080 Жыл бұрын
Nami nakuombe uache mamangu km ulivyosema unamkosea Mungu hujapindisha maneno Mashallah
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Miaka 40 simchezo kwakweli wazee wetu wazamani wanajutuma sana vijana wa sasa mtu mwaka 1 tu kashachoka kufanya kazi , Mungu akusimamie Mama 😍😍♥️
@jamilajamila4572 Жыл бұрын
Masha allaah bi sabaha mungu akujaalie utulie uwache taarabu umri umeenda imebak kumuomba mungu 🙏🙏 nakupenda mama
@aishaz1
Жыл бұрын
Kwani kuna Umri wa kuacha dhambi au
@roseatienoogutu7641 Жыл бұрын
uamuzi muafaka Allah amuongoze zaidi mmngu Ushike dini utubie Allah akupe mwisho mwema nafurahi sana kusikia unarudi Kwa Allah jazakallah kheir Allah akupe umry mrefu wenyewe neemaa
@fatmamohamed372 Жыл бұрын
Sister nakuombea kwa Allah Subhanahu Wataala Uwache kabisa .yaani uwache moja kwa moja .usiwe ni mwalimu au mkosoaji wa waimbaji wengine. utaisabiwa hujaacha kuimba . Na mauti huja ghafla my sister tubia Leo kabla ya kesho . Allah akuongoze katika hakki na akuepushe na batil. ALLAHUMMAAMIIN
@jaymwinyi6957
Жыл бұрын
Ameeen yaarabbi na ss tuzidi kumuombea
@zainabissa7851 Жыл бұрын
Mama kama unataka kuachana na masuala ya kuimbaa basi uwache tu mana mziki ni kharam usimsapoti wala usimkosoe mtu wee achaa tu na ishallah Allah atakupa kheri
@jkizondoswahilibites434
Жыл бұрын
Haram au kharam?
@themembinga3996
Жыл бұрын
Kweli ni haramu
@jkizondoswahilibites434
Жыл бұрын
Kiarabu cha kharam bado hakijafika 😂 we all know neno ni HARAM… unifunze unkileta wewe duniani khaa 😂
@jkizondoswahilibites434
Жыл бұрын
@@themembinga3996 najua hilo ndugu ila katamka vengine ndio nikauliza
bisabahi nakushauri basi tena pumzika mama acha kuimba mamangu , Allah atuongoze njia ya haki.na atujalie Mwisho mwema
@kalssambaboo9932
Жыл бұрын
Ameen
@yahyahamad1802
Жыл бұрын
@@kalssambaboo9932 enheee aamiyna yaarabiyy
@Khalid-mf3iu
Жыл бұрын
HERI KUACHA KITU KULIKO KITU KIKUACHE WEWE....tuombeane hidaya na muongozo mwema
@yahyahamad1802
Жыл бұрын
@@Khalid-mf3iu hakika swadaktaaa Allah atuzindue
@bintmuhammad4913 Жыл бұрын
BI Sabah umri ushaenda sana Allah akuongoze wewe pamoja na sisi. Mauti huja ghafla sana kama kupwesa tu! Niliwahi kuskia interview yake alisema akifikisha 50yrs ataacha kuimba! Sasa 63 yrs Ibilisi bado amemvaa na anajua kabisaa kama anamkasirisha Mungu. Miezi mitukufu hii jamanii tumuogope Mungu adhabu zake ni Kali hatuziwezii tuache ukaidi tumrudie Allah kisawasawa. Allah husamehe madhambi yooote tunapo muomba Toba ya kweli. Hakika ukumbusho huwafaa walioamini.
@muhsinisihaka7739
Жыл бұрын
We mama ludi kwa ALLAH mauti ujaghafla achakuimba kwa ajili ya ALLAH na izo nyusi Kama umetinda acha it nizambipia
@ausimuba6336
Жыл бұрын
Mungu akupe Imani umrudie Allah achana na taarab
@husseintayar699 Жыл бұрын
Alhamd mashalah kila siku nikijiuliza kwa nn mamaangu hawachi kuimba mungu akuongoze iwe muendelezo kuacha kwako hadi kiama
@citychannel2393 Жыл бұрын
Asalamalykum m.mungu abadilishe yalioko ktk nafsi zetu tuikinai dunia na tutaman akhera iliyo bora na ya kudumj
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
Wa Muchacho. Napenda kazi zako. Wanakupenda sana Zanzibar!
@salhamrishoi4943 Жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰💕 bi sabaha mama wa morogoro Moja
@almasially6509 Жыл бұрын
nimemkumbuka marehemu bibi yangu. Allah ampunguzie adhabu ya kaburi, najua angefurahi sana kuiona hii interview ya msanii wake pendwa
@aliabdalla9297
Жыл бұрын
Yaani bado unamuombea angekuwa hai kuona haramu
@jaymwinyi6957
Жыл бұрын
@@aliabdalla9297ndo. Nashangaa waallahi
@OnlyRuky Жыл бұрын
Mashaalah ALLAH akukinaishe urejehe kwa Allah
@thuraiyathuraiya401 Жыл бұрын
Mungu atakusimamia dada yangu inshaallah utaenda makaa kwa nguvu za mungu
@hamadmohamed3056 Жыл бұрын
Afadhal Mungu akufanyie kheir na wepes uache kabisa ufike Makkah kuhijj InshaAllah
@khadijazungu8627 Жыл бұрын
ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH IKIWA NI KWELI BASI TUMEFURAHI SANAA MAMA WA MWENZETU MAAANA JUZI NILIONA STATUS YA MTU KAWEKA UNAIMBA KWENYE SHEREHE NYAMA NA USO ZISHAKUSHUKA NIKASEMA UNGEKUWA KARIBU NIKUNASIHI MAMA WA MWENZANGU LKN MOLA AKUSIMAMIE KWENYE NIA YAKO NJEMA NA AKUONDOSHEE KILA MABILISI WA KIBINAADAM NA KIJINI PIA 😭😭😭
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Anaimba kama kawa
@tatotato506
Жыл бұрын
@@sabihaibrahim143 sianasema apo anataka kuacha akiacha kinakuumanini
@lilianmakwati5228 Жыл бұрын
Hongera mama unajua kuimba sio siri nikisiliza nyimbo zako huwaga nakumbuka mbali mno
@fauzenkassim8424 Жыл бұрын
Mzazi mwenzangu Allah Akujaalie kuwacha kuimba maana dunia imeisha sasa
@shamzone388 Жыл бұрын
Umekwenda umra na in sha allah atakujalia ukamilishe hajj amin Music ni haram... Zina haram... Ulevi haram... Wizi ni haram... Ukisema music ni kazi umekosea sana
@kiri5807
Жыл бұрын
Kashahiji huyu ikisha amerudi na kuimba .
@bintmuhammad4913
Жыл бұрын
@@kiri5807 kasema amekwenda hijja ndogo ( Umra ). Akienda Hijja kubwa ndio ataacha rasmi!! Kama anajua vile miaka atayoishi Subhana Allah!
@salimmalaka256
Жыл бұрын
@@kiri5807 KWENDA UMRA SIO KUHIJI.
@kiri5807
Жыл бұрын
@@bintmuhammad4913 Najua tofauti ya Umra na Hija ila nilijua alienda Macca ktk kumbukumbu zangu sikujua nikipindi gani km cha hija au laa . Inshaallah Mungu amjaaliye huyo shetani wa kuimba amuondokee . Amin
@bintmuhammad4913
Жыл бұрын
@@kiri5807 Amiin
@safiayussuf9308 Жыл бұрын
Heeee dadangu tubia kabla umauti haujakufika. Mtu hajuwi wapi au saangapi au lini. Anae juwa ni yy peke yke Allah
@linahkweka5492 Жыл бұрын
Ila mama mzur huyu 63 stops looking good
@kalssambaboo9932
Жыл бұрын
Mashaa allah
@sofitanzanian955 Жыл бұрын
Tatizo hamna imani yadini
@surusuru1994
Жыл бұрын
Kabisa we esilam majina
@hafidhnzota2142 Жыл бұрын
Sabah salum muchacho ni bibi sasa. Rudi kwa mungu umri umekwenda ALLAH AKUPE UKUMBUSHO IBILISI. LLAANA AKUWACHE
@rehemaothman2475 Жыл бұрын
Kila kitu kina mwisho wake
@mouzaseif1099 Жыл бұрын
Allah akukinaishe ishaAllah naulizia kwanza nauli inayotokana namziki inafaa ucjeukaenda kutembea tuu umri umeenda mama rudi kwa Allah hebu muogope muumba wako mama
@roqayaro9439 Жыл бұрын
Allah humma aminy mama anajielewa
@just.elhadji__7148 Жыл бұрын
Nyimbo zake zinanikosha hadi leo.....zinatupa matumaini,Believe,Hopes,positivity! Zangu pendwa ni #Mlango wa mungu uwazi #Tamba❣👊🙌 Mungu akuweke Mama🙏
@salehkhamis9994 Жыл бұрын
Huyu mama namkubali Sana ngoma zake Zinanikosha hadi Leo haziishi ham
@fhyubhhh2881 Жыл бұрын
M'Mungu atuongoze sote
@leaherasto929 Жыл бұрын
Mama mzuri Sana ana rangi moja Mungu alimjalia uzuri nakipaji
@3nllymhamad784 Жыл бұрын
Anaimba lakini hajawahi fanya haram tafauti na waimbaji wengine pia sijawahi kusikia matusi kwa nyimbozake hongera khale sabah
@jkizondoswahilibites434 Жыл бұрын
Love you cuz❤❤ Gwiji mwenyewe MashaAllah ❤❤❤
@saidissa8273 Жыл бұрын
SABAH MIAKA 63 MAASHALLAH.KAA CHINI MAMA WACHA MZIKI
@stevewanga957 Жыл бұрын
Mama anazeeka na ukali wake ...
@wardamahango2455 Жыл бұрын
Nakupenda sana sana ant sabaha Allah akuweke
@abeidkhamis6130 Жыл бұрын
We mama tubia haswa maana badala ya swadakatul jahriah we unawezakua haramuljahria kwa sababu hizo nyimbo zilitasikilozwa Hadi kiama baada ya wewe kuondoka Duniani kwaiyo basi fanya Toba ya kweli Allah ni ghafur Rahim. Wacha kupitia pita majukwaani na sura yako ni mtiani kwa wenye maradhi mioyo kwa maana japo umri wote huo bado tu humo vaaga burka au niqab ukitaka kutubia ila usipo taka haya mahakamu ya mutakabir yatusubiri.
@rajabmsinzia1715 Жыл бұрын
Ila Huyu Mama maisha yote nilikuwa najua ni Mzanzibari maana lugha yake ni ya Zanzibari kabisa yaani MashaAllah ,kumbe ni Mmorogoro dah ndio najua leo
@Wastara001
Жыл бұрын
Hata mie nilikuwa najua hivyo.
@lilianmakwati5228
Жыл бұрын
Hata mimi nilijua hivyo
@saidnasihu540
Жыл бұрын
Watu wa pwani huongea lugha aziiiz 😅🤣..... huwezi kuelewa km hujawahi kuishi pwani ✌️
@hamzamohamedKeslivol Жыл бұрын
Mama usisikilize pia sio nzuri
@alexkabeho5609 Жыл бұрын
Oooh nice to hear you Mama
@skjjsj1889 Жыл бұрын
Wee mama acha mziki umri umeenda rudi kwa allah fanya ibada Achana na mziki utapata mwisho mbaya
@mikhitaryankombo7350 Жыл бұрын
Hata mm nakupenda sana nakuombea kwa Mungu uache kama Sasa na kitu kihiki ukiachia bc usiwe mshaur wala kumkosoa Mt mana mziki ni haram
@shamsakiobia6421 Жыл бұрын
Allah akusimamie swabakha
@SalehAlAmry-on8lt Жыл бұрын
kweli mama Allah atakupa moyo huo huo inshallah
@iddimasika1173 Жыл бұрын
Namuombaa Allah akuongoze ktk hakii mama 7bu umra cyo mchezoo
@saidsalum9587 Жыл бұрын
Wewe mama unamkosea sna mungu, unajua kabisa mungu hapendi ila unasema ndo unapotoa riski kuna watu wamehiari kuwa maskini ila wasifanye yakumkera mungu
@laukeisa5358 Жыл бұрын
Maimamu na mashejkh wa KZread kazi kuhukumu.mwenzenu
@ramaamuro1275 Жыл бұрын
Nimefurahi Sana kusikia sauti yako mam naenjoy sana na nyimbo zako uishi miaka mingi
@safiayussuf9308 Жыл бұрын
Umri umenda kila kitu kina mwisho wke
@enterenter7798 Жыл бұрын
Lakin tuache ushabiki umeenda umra lkn bado unaimba daa itoe hio kusema music ipo kwenye moyo wako mam usicheze nadini hakuna islam yahivyo unachotakiwa nikuacha music nakufuta hio hali moyoni mwako ufahamishe ninn tena umri umeenda simkipatag mfungue na biashara,, in shaa Allah Allah akufanyie wepesi
@BTVBATTAWY Жыл бұрын
Sabah anajibu vizuri kuliko maswali anayeuliza hajui
@rizikimohamed2449 Жыл бұрын
Mashaallah mama wacha mziki uelekee kwa Allah mama wakati umendaaaàa
@nadiromar9794 Жыл бұрын
amin inshaAllah Allah atakuongoa ulipo
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
Nakupenda sana mama😍😍😍😍😍😍😍
@Pedeshee01
Жыл бұрын
Anazeeka na utamu wake dahh njoo nikuoe sabaha umri huo huwa ni watamu na full kudeka ni mwendo wa kukupelekea moto
@cleartzboy Жыл бұрын
Uyu mama anajua Sana hadja kopa anmjua vzur uyu napia ana busarah Sana kulko malkia wamipasho
@salehkhamis9994 Жыл бұрын
Milad ayo nawakubali Sana kamera zenu zinatoa safi
@stonetown578 Жыл бұрын
Kwani mwenyewe hajui kama kuimba dhambi mwacheni, kila mtu na shimole.
@bizzoforreal8502 Жыл бұрын
Basi huyu nilikua najua ni mzanzibar duuuh sio pwa
@ismailmjeshi8145 Жыл бұрын
Uyu mom me nampenda mpk sijielewi......
@sofitanzanian955 Жыл бұрын
Ovoo
@fauziyaomar7090 Жыл бұрын
Nice
@nassorsalum3846 Жыл бұрын
zanzibar ni njema atakae na aje 🥥🏝
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
👌🏽
@enterenter7798 Жыл бұрын
Nitamasha zuri Mashaa Allah lakin ifike mda mtu aridhike naalichokifanya hususan music niharam
@salimsaid3292 Жыл бұрын
Unauhakika gani utafika kwenda kuhiji..
@rizikiabdalla2501 Жыл бұрын
Dogo amkia ww Salam maana yake nn vidooo
@vidovidox2632
Жыл бұрын
Nilishamwambia Shikamoo alipofika nikampokea
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@vidovidox2632 😁😁
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
@@vidovidox2632 achana nae kakosa lakusema tu
@mohddelo Жыл бұрын
Mashauri na kopa aache
@SafiaOmar Жыл бұрын
Mungu akufanyie wepesi uache kwani hakika music ni haraam
@khalidkamanda8154 Жыл бұрын
Ukiamua kuacha acha tu usishiriki kwa namna yoyote
@amourmtungo623 Жыл бұрын
🤔Mchango wangu: Kama bado unaweza kuimba, kufanya kazi na watu wanakupenda, usiache fani yako dada yangu. Kwa kupitia imani basi sali tu na kumuomba Mungu lakini katu usidanganyike na maneno ya watu. Watu hawapendi kazi za watu wanahukumu ovyo na kuchanganya mambo. Dini ni ya Mungu, kazi ni kwa maslahi yako na familia yako🤔.
@lailalaila8206 Жыл бұрын
Ma sha allah nampenda sana sana mama huyu hanasahunti mzri allah hakusimamie na uwendele kupata mafanikio zaid nyie mritakiwa mujengewe masanamu yenu we dada yangu ?
@salimsaid3292 Жыл бұрын
Mama umejistiri vizuri kidini hassa lkn muziki kharamu. Jitahidi kurudi kwa Mola
@khadijazungu8627 Жыл бұрын
Na haya matamasha sijui kwa nini lazima yafanyike karibu na Ramadhan
@surusuru1994
Жыл бұрын
Hayatuusu sie wa Tanzania kwn Zanzibar wanaubanguzi najionea paka mausitazati wanadiriki kusema eti unakuja kuoa znz mtu weyewe kutoka bara kahiyo tunasema tz hayatu usu matamasha ila lailah rashidi anatuusu kw sabbu nimu Tanzania halisi not cop
@mahamoudduchi3318
Жыл бұрын
@@surusuru1994 mbn pumba tupu hufahamiki wewe
@samahabdallahmohamed1135
Жыл бұрын
Acha mama toba inatuhitajia sana
@samahabdallahmohamed1135
Жыл бұрын
Penda quran sio mziki hasa allah amekupa umri uweze kufanya toba wala usifundishe mtu ujaendekeza dhambi hy adhabu itakupata pk kaburin
@neamusic2601
Жыл бұрын
Anapenda pesa huyu bibi ukimuita ujipangee hasa....
@choba7101 Жыл бұрын
BIBI ACHIA TENA HAYA MAMBO UMRI USHAENDA.
@sofitanzanian955 Жыл бұрын
Ata hujaelekea asa kuwa muimbaji hujielewi tu inamaana hujui kama zambi kuimba
@ilhambilly-mc9re Жыл бұрын
mbona muda tu alisemaga anaacha na bado akawa yupo tu na taarabu. Anyways Mungu akuongoze
@nassirazzyazzy9871 Жыл бұрын
♥️💫
@mosiomar
Жыл бұрын
Shabaha acha kuimba we c usharudi kuhiji Makka, unaomba kichwa wazi "Subbhanna'allah"
@ramadhanfoum7713 Жыл бұрын
Iwe uhakika t asimtanie Mungu
@ngoni7944 Жыл бұрын
Mtangazaji, hujamuuliza chochote kuhusu alikozaliwa morogoro, umeuliza sana kuhusu zanzibar, umekosea sana, Leo ndio najua ametoka morogoro, ungeuliza zaidi kuhusu connection yake na morogoro. Sad
@simbafadhili Жыл бұрын
mbona sautti kama mama samia
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Ukiacha acha, sy useme unasaport waimbaji chipukizi
@nayfatsalim7828 Жыл бұрын
Pesa ya umra niyakutoka kweny mziki wko ?.....Watoto wko wako sahihi...Ukiend hija ucjshrikishe kmuandkia mtu wala kumshaur kuhs mzki man itkua kzi nibure t dhamb iko pleple
@zubedasaid5962 Жыл бұрын
Mrudie tu Allah!maana na umri nao ndio hivyo tena,waachie vijana
@shamsaelbeity8250 Жыл бұрын
Ye kila sku anacha tafabu tu
@madamaisha1641 Жыл бұрын
Tubia tena bibi weye saa ya kutolewa roho utajuta na kulia sana
@yassirgiya6743 Жыл бұрын
#fundii
@hamadsheni8997 Жыл бұрын
HISANI ni wimbo hatari unajua mama.
@mussamc641 Жыл бұрын
Du hakutosh iyo siku
@fathiyasalim3946 Жыл бұрын
Hata pumzi huna tena
@alhabsi6430 Жыл бұрын
Vizuri watoto wako hawataki sasa jitulize uwache uwe na Allah
@faudhiaabubakary1704 Жыл бұрын
Mashaallaah Alhamdulilaah
@saidissa8273 Жыл бұрын
SABAH BADO HUJATUBU.
@bakarimohammed2796 Жыл бұрын
Mpaka uende MAKKAH ndio uwache kuimba je una uhakika wa kufika kesho?
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Basi wacha kuimba NA urudi kwa salah NA ibada uombe akhera kuimba ni haramu
@mamalamama7010 Жыл бұрын
Kumbe ni wa moro nilijua ni mzanzibar
@ayshamahariq6665
Жыл бұрын
pia mm
@hafsabakar3141 Жыл бұрын
Et naacha alf nackiliza
@shanmlawa Жыл бұрын
Huyu mama kisu😘
@husseinmaula4965 Жыл бұрын
Swabaha salum zindabar
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
Sawa muhind ila ni zindabad
@husseinmaula4965
Жыл бұрын
@@wasilaahmad7913 axante leo nimejua kumbe ni zindabad
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Mungu akusamehe mama maana inaonekana huijui dini vizuri,,,
@zakiaali4429 Жыл бұрын
Mtu mzima ovyo tafuta msala uswali
@Khalid-mf3iu
Жыл бұрын
Zakia mbona mkali bro ni kuombeana hidaya na ukimnasihi mtu tumia hekma 👍
Пікірлер: 161
Nami nakuombe uache mamangu km ulivyosema unamkosea Mungu hujapindisha maneno Mashallah
Miaka 40 simchezo kwakweli wazee wetu wazamani wanajutuma sana vijana wa sasa mtu mwaka 1 tu kashachoka kufanya kazi , Mungu akusimamie Mama 😍😍♥️
Masha allaah bi sabaha mungu akujaalie utulie uwache taarabu umri umeenda imebak kumuomba mungu 🙏🙏 nakupenda mama
@aishaz1
Жыл бұрын
Kwani kuna Umri wa kuacha dhambi au
uamuzi muafaka Allah amuongoze zaidi mmngu Ushike dini utubie Allah akupe mwisho mwema nafurahi sana kusikia unarudi Kwa Allah jazakallah kheir Allah akupe umry mrefu wenyewe neemaa
Sister nakuombea kwa Allah Subhanahu Wataala Uwache kabisa .yaani uwache moja kwa moja .usiwe ni mwalimu au mkosoaji wa waimbaji wengine. utaisabiwa hujaacha kuimba . Na mauti huja ghafla my sister tubia Leo kabla ya kesho . Allah akuongoze katika hakki na akuepushe na batil. ALLAHUMMAAMIIN
@jaymwinyi6957
Жыл бұрын
Ameeen yaarabbi na ss tuzidi kumuombea
Mama kama unataka kuachana na masuala ya kuimbaa basi uwache tu mana mziki ni kharam usimsapoti wala usimkosoe mtu wee achaa tu na ishallah Allah atakupa kheri
@jkizondoswahilibites434
Жыл бұрын
Haram au kharam?
@themembinga3996
Жыл бұрын
Kweli ni haramu
@jkizondoswahilibites434
Жыл бұрын
Kiarabu cha kharam bado hakijafika 😂 we all know neno ni HARAM… unifunze unkileta wewe duniani khaa 😂
@jkizondoswahilibites434
Жыл бұрын
@@themembinga3996 najua hilo ndugu ila katamka vengine ndio nikauliza
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
@@jkizondoswahilibites434 😂😂😂😂 kumbe unajua nilizani umedandia gari hahahhha
bisabahi nakushauri basi tena pumzika mama acha kuimba mamangu , Allah atuongoze njia ya haki.na atujalie Mwisho mwema
@kalssambaboo9932
Жыл бұрын
Ameen
@yahyahamad1802
Жыл бұрын
@@kalssambaboo9932 enheee aamiyna yaarabiyy
@Khalid-mf3iu
Жыл бұрын
HERI KUACHA KITU KULIKO KITU KIKUACHE WEWE....tuombeane hidaya na muongozo mwema
@yahyahamad1802
Жыл бұрын
@@Khalid-mf3iu hakika swadaktaaa Allah atuzindue
BI Sabah umri ushaenda sana Allah akuongoze wewe pamoja na sisi. Mauti huja ghafla sana kama kupwesa tu! Niliwahi kuskia interview yake alisema akifikisha 50yrs ataacha kuimba! Sasa 63 yrs Ibilisi bado amemvaa na anajua kabisaa kama anamkasirisha Mungu. Miezi mitukufu hii jamanii tumuogope Mungu adhabu zake ni Kali hatuziwezii tuache ukaidi tumrudie Allah kisawasawa. Allah husamehe madhambi yooote tunapo muomba Toba ya kweli. Hakika ukumbusho huwafaa walioamini.
@muhsinisihaka7739
Жыл бұрын
We mama ludi kwa ALLAH mauti ujaghafla achakuimba kwa ajili ya ALLAH na izo nyusi Kama umetinda acha it nizambipia
@ausimuba6336
Жыл бұрын
Mungu akupe Imani umrudie Allah achana na taarab
Alhamd mashalah kila siku nikijiuliza kwa nn mamaangu hawachi kuimba mungu akuongoze iwe muendelezo kuacha kwako hadi kiama
Asalamalykum m.mungu abadilishe yalioko ktk nafsi zetu tuikinai dunia na tutaman akhera iliyo bora na ya kudumj
Wa Muchacho. Napenda kazi zako. Wanakupenda sana Zanzibar!
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰💕 bi sabaha mama wa morogoro Moja
nimemkumbuka marehemu bibi yangu. Allah ampunguzie adhabu ya kaburi, najua angefurahi sana kuiona hii interview ya msanii wake pendwa
@aliabdalla9297
Жыл бұрын
Yaani bado unamuombea angekuwa hai kuona haramu
@jaymwinyi6957
Жыл бұрын
@@aliabdalla9297ndo. Nashangaa waallahi
Mashaalah ALLAH akukinaishe urejehe kwa Allah
Mungu atakusimamia dada yangu inshaallah utaenda makaa kwa nguvu za mungu
Afadhal Mungu akufanyie kheir na wepes uache kabisa ufike Makkah kuhijj InshaAllah
ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH IKIWA NI KWELI BASI TUMEFURAHI SANAA MAMA WA MWENZETU MAAANA JUZI NILIONA STATUS YA MTU KAWEKA UNAIMBA KWENYE SHEREHE NYAMA NA USO ZISHAKUSHUKA NIKASEMA UNGEKUWA KARIBU NIKUNASIHI MAMA WA MWENZANGU LKN MOLA AKUSIMAMIE KWENYE NIA YAKO NJEMA NA AKUONDOSHEE KILA MABILISI WA KIBINAADAM NA KIJINI PIA 😭😭😭
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Anaimba kama kawa
@tatotato506
Жыл бұрын
@@sabihaibrahim143 sianasema apo anataka kuacha akiacha kinakuumanini
Hongera mama unajua kuimba sio siri nikisiliza nyimbo zako huwaga nakumbuka mbali mno
Mzazi mwenzangu Allah Akujaalie kuwacha kuimba maana dunia imeisha sasa
Umekwenda umra na in sha allah atakujalia ukamilishe hajj amin Music ni haram... Zina haram... Ulevi haram... Wizi ni haram... Ukisema music ni kazi umekosea sana
@kiri5807
Жыл бұрын
Kashahiji huyu ikisha amerudi na kuimba .
@bintmuhammad4913
Жыл бұрын
@@kiri5807 kasema amekwenda hijja ndogo ( Umra ). Akienda Hijja kubwa ndio ataacha rasmi!! Kama anajua vile miaka atayoishi Subhana Allah!
@salimmalaka256
Жыл бұрын
@@kiri5807 KWENDA UMRA SIO KUHIJI.
@kiri5807
Жыл бұрын
@@bintmuhammad4913 Najua tofauti ya Umra na Hija ila nilijua alienda Macca ktk kumbukumbu zangu sikujua nikipindi gani km cha hija au laa . Inshaallah Mungu amjaaliye huyo shetani wa kuimba amuondokee . Amin
@bintmuhammad4913
Жыл бұрын
@@kiri5807 Amiin
Heeee dadangu tubia kabla umauti haujakufika. Mtu hajuwi wapi au saangapi au lini. Anae juwa ni yy peke yke Allah
Ila mama mzur huyu 63 stops looking good
@kalssambaboo9932
Жыл бұрын
Mashaa allah
Tatizo hamna imani yadini
@surusuru1994
Жыл бұрын
Kabisa we esilam majina
Sabah salum muchacho ni bibi sasa. Rudi kwa mungu umri umekwenda ALLAH AKUPE UKUMBUSHO IBILISI. LLAANA AKUWACHE
Kila kitu kina mwisho wake
Allah akukinaishe ishaAllah naulizia kwanza nauli inayotokana namziki inafaa ucjeukaenda kutembea tuu umri umeenda mama rudi kwa Allah hebu muogope muumba wako mama
Allah humma aminy mama anajielewa
Nyimbo zake zinanikosha hadi leo.....zinatupa matumaini,Believe,Hopes,positivity! Zangu pendwa ni #Mlango wa mungu uwazi #Tamba❣👊🙌 Mungu akuweke Mama🙏
Huyu mama namkubali Sana ngoma zake Zinanikosha hadi Leo haziishi ham
M'Mungu atuongoze sote
Mama mzuri Sana ana rangi moja Mungu alimjalia uzuri nakipaji
Anaimba lakini hajawahi fanya haram tafauti na waimbaji wengine pia sijawahi kusikia matusi kwa nyimbozake hongera khale sabah
Love you cuz❤❤ Gwiji mwenyewe MashaAllah ❤❤❤
SABAH MIAKA 63 MAASHALLAH.KAA CHINI MAMA WACHA MZIKI
Mama anazeeka na ukali wake ...
Nakupenda sana sana ant sabaha Allah akuweke
We mama tubia haswa maana badala ya swadakatul jahriah we unawezakua haramuljahria kwa sababu hizo nyimbo zilitasikilozwa Hadi kiama baada ya wewe kuondoka Duniani kwaiyo basi fanya Toba ya kweli Allah ni ghafur Rahim. Wacha kupitia pita majukwaani na sura yako ni mtiani kwa wenye maradhi mioyo kwa maana japo umri wote huo bado tu humo vaaga burka au niqab ukitaka kutubia ila usipo taka haya mahakamu ya mutakabir yatusubiri.
Ila Huyu Mama maisha yote nilikuwa najua ni Mzanzibari maana lugha yake ni ya Zanzibari kabisa yaani MashaAllah ,kumbe ni Mmorogoro dah ndio najua leo
@Wastara001
Жыл бұрын
Hata mie nilikuwa najua hivyo.
@lilianmakwati5228
Жыл бұрын
Hata mimi nilijua hivyo
@saidnasihu540
Жыл бұрын
Watu wa pwani huongea lugha aziiiz 😅🤣..... huwezi kuelewa km hujawahi kuishi pwani ✌️
Mama usisikilize pia sio nzuri
Oooh nice to hear you Mama
Wee mama acha mziki umri umeenda rudi kwa allah fanya ibada Achana na mziki utapata mwisho mbaya
Hata mm nakupenda sana nakuombea kwa Mungu uache kama Sasa na kitu kihiki ukiachia bc usiwe mshaur wala kumkosoa Mt mana mziki ni haram
Allah akusimamie swabakha
kweli mama Allah atakupa moyo huo huo inshallah
Namuombaa Allah akuongoze ktk hakii mama 7bu umra cyo mchezoo
Wewe mama unamkosea sna mungu, unajua kabisa mungu hapendi ila unasema ndo unapotoa riski kuna watu wamehiari kuwa maskini ila wasifanye yakumkera mungu
Maimamu na mashejkh wa KZread kazi kuhukumu.mwenzenu
Nimefurahi Sana kusikia sauti yako mam naenjoy sana na nyimbo zako uishi miaka mingi
Umri umenda kila kitu kina mwisho wke
Lakin tuache ushabiki umeenda umra lkn bado unaimba daa itoe hio kusema music ipo kwenye moyo wako mam usicheze nadini hakuna islam yahivyo unachotakiwa nikuacha music nakufuta hio hali moyoni mwako ufahamishe ninn tena umri umeenda simkipatag mfungue na biashara,, in shaa Allah Allah akufanyie wepesi
Sabah anajibu vizuri kuliko maswali anayeuliza hajui
Mashaallah mama wacha mziki uelekee kwa Allah mama wakati umendaaaàa
amin inshaAllah Allah atakuongoa ulipo
Nakupenda sana mama😍😍😍😍😍😍😍
@Pedeshee01
Жыл бұрын
Anazeeka na utamu wake dahh njoo nikuoe sabaha umri huo huwa ni watamu na full kudeka ni mwendo wa kukupelekea moto
Uyu mama anajua Sana hadja kopa anmjua vzur uyu napia ana busarah Sana kulko malkia wamipasho
Milad ayo nawakubali Sana kamera zenu zinatoa safi
Kwani mwenyewe hajui kama kuimba dhambi mwacheni, kila mtu na shimole.
Basi huyu nilikua najua ni mzanzibar duuuh sio pwa
Uyu mom me nampenda mpk sijielewi......
Ovoo
Nice
zanzibar ni njema atakae na aje 🥥🏝
👌🏽
Nitamasha zuri Mashaa Allah lakin ifike mda mtu aridhike naalichokifanya hususan music niharam
Unauhakika gani utafika kwenda kuhiji..
Dogo amkia ww Salam maana yake nn vidooo
@vidovidox2632
Жыл бұрын
Nilishamwambia Shikamoo alipofika nikampokea
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@vidovidox2632 😁😁
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
@@vidovidox2632 achana nae kakosa lakusema tu
Mashauri na kopa aache
Mungu akufanyie wepesi uache kwani hakika music ni haraam
Ukiamua kuacha acha tu usishiriki kwa namna yoyote
🤔Mchango wangu: Kama bado unaweza kuimba, kufanya kazi na watu wanakupenda, usiache fani yako dada yangu. Kwa kupitia imani basi sali tu na kumuomba Mungu lakini katu usidanganyike na maneno ya watu. Watu hawapendi kazi za watu wanahukumu ovyo na kuchanganya mambo. Dini ni ya Mungu, kazi ni kwa maslahi yako na familia yako🤔.
Ma sha allah nampenda sana sana mama huyu hanasahunti mzri allah hakusimamie na uwendele kupata mafanikio zaid nyie mritakiwa mujengewe masanamu yenu we dada yangu ?
Mama umejistiri vizuri kidini hassa lkn muziki kharamu. Jitahidi kurudi kwa Mola
Na haya matamasha sijui kwa nini lazima yafanyike karibu na Ramadhan
@surusuru1994
Жыл бұрын
Hayatuusu sie wa Tanzania kwn Zanzibar wanaubanguzi najionea paka mausitazati wanadiriki kusema eti unakuja kuoa znz mtu weyewe kutoka bara kahiyo tunasema tz hayatu usu matamasha ila lailah rashidi anatuusu kw sabbu nimu Tanzania halisi not cop
@mahamoudduchi3318
Жыл бұрын
@@surusuru1994 mbn pumba tupu hufahamiki wewe
@samahabdallahmohamed1135
Жыл бұрын
Acha mama toba inatuhitajia sana
@samahabdallahmohamed1135
Жыл бұрын
Penda quran sio mziki hasa allah amekupa umri uweze kufanya toba wala usifundishe mtu ujaendekeza dhambi hy adhabu itakupata pk kaburin
@neamusic2601
Жыл бұрын
Anapenda pesa huyu bibi ukimuita ujipangee hasa....
BIBI ACHIA TENA HAYA MAMBO UMRI USHAENDA.
Ata hujaelekea asa kuwa muimbaji hujielewi tu inamaana hujui kama zambi kuimba
mbona muda tu alisemaga anaacha na bado akawa yupo tu na taarabu. Anyways Mungu akuongoze
♥️💫
@mosiomar
Жыл бұрын
Shabaha acha kuimba we c usharudi kuhiji Makka, unaomba kichwa wazi "Subbhanna'allah"
Iwe uhakika t asimtanie Mungu
Mtangazaji, hujamuuliza chochote kuhusu alikozaliwa morogoro, umeuliza sana kuhusu zanzibar, umekosea sana, Leo ndio najua ametoka morogoro, ungeuliza zaidi kuhusu connection yake na morogoro. Sad
mbona sautti kama mama samia
Ukiacha acha, sy useme unasaport waimbaji chipukizi
Pesa ya umra niyakutoka kweny mziki wko ?.....Watoto wko wako sahihi...Ukiend hija ucjshrikishe kmuandkia mtu wala kumshaur kuhs mzki man itkua kzi nibure t dhamb iko pleple
Mrudie tu Allah!maana na umri nao ndio hivyo tena,waachie vijana
Ye kila sku anacha tafabu tu
Tubia tena bibi weye saa ya kutolewa roho utajuta na kulia sana
#fundii
HISANI ni wimbo hatari unajua mama.
Du hakutosh iyo siku
Hata pumzi huna tena
Vizuri watoto wako hawataki sasa jitulize uwache uwe na Allah
Mashaallaah Alhamdulilaah
SABAH BADO HUJATUBU.
Mpaka uende MAKKAH ndio uwache kuimba je una uhakika wa kufika kesho?
Basi wacha kuimba NA urudi kwa salah NA ibada uombe akhera kuimba ni haramu
Kumbe ni wa moro nilijua ni mzanzibar
@ayshamahariq6665
Жыл бұрын
pia mm
Et naacha alf nackiliza
Huyu mama kisu😘
Swabaha salum zindabar
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
Sawa muhind ila ni zindabad
@husseinmaula4965
Жыл бұрын
@@wasilaahmad7913 axante leo nimejua kumbe ni zindabad
Mungu akusamehe mama maana inaonekana huijui dini vizuri,,,
Mtu mzima ovyo tafuta msala uswali
@Khalid-mf3iu
Жыл бұрын
Zakia mbona mkali bro ni kuombeana hidaya na ukimnasihi mtu tumia hekma 👍