MKOJANI ,AMKANYA KIJANA WAKE ALIYEMUITA MCHAWI ,MSHIRIKINA AMTAKA KUMUOMBA RADH

Ойын-сауық

#bongo24 #mkojani #mkojanigang

Пікірлер: 95

  • @rahmamct
    @rahmamctАй бұрын

    Huyo mkojan ni mtoto wake kweli mana wamefanana

  • @rogynee8135
    @rogynee8135Ай бұрын

    MKOJANI NAKUPENDA SANA KAKA ANGU NAPENDA KAZI ZAKO. Najua sisi Binadamu haswa waswahili tukiona mtu amefanikiwa huwa tunachuki sana yani lazima kila chema kipigwe mawe. NA HATA KAMA NI KWELI BASI NA WAO WAJARIBU KUWA WACHAWI WAFANIKIE MAAN KILA KTU HUWA ANANJIA YAKE YA KUTOKEA. Mungu akusimamie

  • @shilakodeni2853
    @shilakodeni2853Ай бұрын

    Mkojani simshirikina wewe unamuelewa ❤

  • @KassimMakame-dq6nq
    @KassimMakame-dq6nqАй бұрын

    Mkojani saiv inakubidi utfute kiki kwni upepo unkupotea😂

  • @DavidMichael-og4th
    @DavidMichael-og4thАй бұрын

    😊toa uongo wew mtoto wa kiume kaza

  • @user-vi9yo8sb6u
    @user-vi9yo8sb6uАй бұрын

    Chandimu 😂😂 umejichora kwel😂😂

  • @SAYFANMUSSA
    @SAYFANMUSSAАй бұрын

    Kiukweli mkojani views wako wanapungua hiyo ilikuwa kiki tu jitahidi sana kupost sana maana chumvinyingi anapost sana jitahidi sana shekh yangu niilo tu

  • @user-iz2jh3qw5j
    @user-iz2jh3qw5jАй бұрын

    Mngojana unatafuta Kiki ya nini na wewe ni msanii mkubwa sahifi 🎉🎉🎉❤❤

  • @shamimageta6651
    @shamimageta6651Ай бұрын

    Akili zao mby

  • @user-tb8bc7qz9h
    @user-tb8bc7qz9hАй бұрын

    Mtu na mwanae ao wasiwachanganye watu tu apa ona walivo fanana Kwanza 😂😂😂

  • @ibraaahmwanyello6233
    @ibraaahmwanyello6233Ай бұрын

    swala la uchawi ni la kawaid kwa sanaa ila ifikie muda watu wajitambue dogo kazingua kimsingi na inawezekan ni kweli amefanyiwa hvyo lkn mbn kanenepa kwenye mikono ya mkojani... unafki mwingi sana mtu anasaidiwa halaf analeta usenge mkojan huyo dogo mpige chini hafai kwa kafara

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887Ай бұрын

    Yani Mkojani akiongea kawaida humfikirii kabisa km anaweza kuongea kile kisauti chake "kumbe ng'ombe hunijuuuuuiiii"mtu wa mana kabisa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7zАй бұрын

    MI MTOTO WA KIUME..ILA NIMEJIHISI AIBU KAMA NAOMBA MM HUO MSAMAHA.....TUWEKE AKIBA TUNAPOONGEA 😊

  • @Meddy-Kinowe
    @Meddy-KinoweАй бұрын

    Umeongea sana Mkojani

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lrАй бұрын

    Mtihani wasanii wetu. Hatujui kama hamujielewi wala hamjui 😢.

  • @ramadhanirashidi4175
    @ramadhanirashidi4175Ай бұрын

    Mwenye d2 ndy tunaelewaga hii ishu

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405Ай бұрын

    Sawa Ila sisi tunajua kweli😂😂😂

  • @NdunduTv
    @NdunduTvАй бұрын

    Kila siku kiki moja

  • @FabianMkirikiti-fn9mb
    @FabianMkirikiti-fn9mbАй бұрын

    Umezingua mdogo wangu

  • @user-qq2oc4bt3i
    @user-qq2oc4bt3iАй бұрын

    Polee saaana mkojani Tenda wema nenda zako kiufupi wanafanana ndivyo walivyo ila kwani kuzunguka mbuyu Kwa msaanii ni kawaida tuu kama😂😂😂😂Hana nyota usimsaidieee sasa

  • @eggysulle7988

    @eggysulle7988

    Ай бұрын

    Kila kitu pia mdomo komwe sikio

  • @telvanmasud3346
    @telvanmasud3346Ай бұрын

    Awa wanaenjoy wenzao tu ila lisemwalo lipo mbona huu mwaka wametoka wengi tu mkojani gang 😂😂 mpaka samofi kasema ni mchawi

  • @Gamba177
    @Gamba177Ай бұрын

    Anatafuta jina ili ajulikane huyo Chamavi muongo anatafuta KIKI.

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650Ай бұрын

    Ckuiz mkojani umekuwa unapenda kiki 😅😊

  • @user-yo6dy7kp2m
    @user-yo6dy7kp2mАй бұрын

    Angekusema vizuri usingefikia hapa

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865Ай бұрын

    Kiukweli saving mumezidi Kwa kikii hujui utafautishe kaka Kwa Dada Na Dada Kwa kaka wanaume tumeumbwa uvumilivu ndio maana tumepewa kororo tupunguzeni umama madera yanahusu tuache tabia za kikee

  • @AbelFrancis-ww7cb
    @AbelFrancis-ww7cbАй бұрын

    Noma sana 😂😂😂😂😂

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036Ай бұрын

    Kiki za kishambA.. jokes Gani ulikua unalia kabisa?

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865Ай бұрын

    Simu ya mkojani pia iko on rekod ...nusu ndan nusu nje😅😅😅

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887Ай бұрын

    Mkojani mtu wa mana kabisa

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618Ай бұрын

    Uongo chandimu ashapewa vitisho aongee uongo mbn ata chumvinyingi aliongelea kuhusu uhawi na samofi pia kasema ayo ayo mambo y kuogeshwa dawa inaonyesh kwel mkojan mshirikina 😢

  • @daudikhalid1210
    @daudikhalid1210Ай бұрын

    Wew kuma 2

  • @redydasca8846
    @redydasca8846Ай бұрын

    Tatizo la mkojani ni pale alipoonza kupoteza watu muimu saana Kwake na kuwa anacheza na mtu yeyote tu Anayeomba wacheze naye hakujali brand yake

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213Ай бұрын

    Weeee tuache kidogo,umepangwa na mkojani ukaombe radhi,mctuchanganye,nyie wachawi tumeshawajua,mnaogeshana dawa kweli bhanaa🤣🤣🤣🤣

  • @mdachiog5211

    @mdachiog5211

    Ай бұрын

    😂

  • @naymavenanc4600

    @naymavenanc4600

    Ай бұрын

    Ya I huyo ni mchawi kweli ila amemtisha dogo aje apo kusimama apo kuomba radhi sio kitu kidogo

  • @Shakila-pq2gv

    @Shakila-pq2gv

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @SimonWembo-re3sq
    @SimonWembo-re3sqАй бұрын

    Mtajuwa nyie bhn,, si tunachotaka tucheke,, nakukubal sana bro mkojan

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204Ай бұрын

    Mmmh msitumalizie bando wewe ni muongo ulilia hatali nakumwambia boss wako mchawi katika nafsi yangu mie ulinikela sana

  • @juniorbrown2019
    @juniorbrown2019Ай бұрын

    Hizo kiki zilitengenezwa na wao wenyewe

  • @naibusanga9416
    @naibusanga9416Ай бұрын

    Mtoto mpe chakula ashibe akutukane,anasemwa mzazi na mtoto wake aliemzaa sembuse mkojani chapa kazi

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135Ай бұрын

    Choko ww

  • @ramadhaninasibu9443
    @ramadhaninasibu9443Ай бұрын

    Mtachekesha woote Lakin jot yuko juu😊😊

  • @user-tk2eq7oo2g
    @user-tk2eq7oo2gАй бұрын

    We mkojan ni mchawi umempanga chandimu uyo dogo umulipi ela yake kwakazi anayoifanya

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121Ай бұрын

    Unafki mwingi ni ujinga na upumbafu mtu yeyote wagugumizi wengi wao waongo huyu ni mtaka umaarufu haraka bila kuonyesha uwezo wake.dogo acha ujinga.kipupwe nilianza kumfatiliya kitambo,sana.huyu dogo ni pumba tu.

  • @Peterchila-un2lx

    @Peterchila-un2lx

    Ай бұрын

    Huyu dogo ni msenge san

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын

    Hawezekani watu kama watano wote wakuongelezee Uchawi kuwaogesha katika mbuyu hicho kitu kuwa wewe mchawi ni kweli wewe mchawi Unaupenda Uchawi lisemalro lipo 😂😂😂

  • @twahaanyoni9120
    @twahaanyoni9120Ай бұрын

    Wasanii kama wanasiasa tuu akikwambia usiku toka Nnje uone kweli usiku kenge hawa 😂😂😂

  • @lenakassian-pr3dy
    @lenakassian-pr3dyАй бұрын

    Ila tuangalie zaidi hili maana samofi alisema hivyo vipi huyu nae aseme alafu baadae waje waombe ladhi mmmh anafunga tuu

  • @naibusanga9416
    @naibusanga9416Ай бұрын

    Kujiweka sawa kwenye KAZI Yako kn ubaya gn

  • @JamesMsuya-xp5gm
    @JamesMsuya-xp5gmАй бұрын

    Mm kwa uelewa wang huu n mpang wa mkojan kufikisha ujumbe kwa vijana wenye tabia za namna hyo au kuna kitu kinakuj so anatengnez tension

  • @Amyomy-od5ry

    @Amyomy-od5ry

    Ай бұрын

    Walai😂

  • @MLAWA501
    @MLAWA501Ай бұрын

    Chizi huyo

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlonyАй бұрын

    kmbe mkojan alimaindi

  • @user-xf4qs5ti5m
    @user-xf4qs5ti5mАй бұрын

    Ukiangalia kwa umakini chandimu anakuwa muoga mbele ya mkojani,,kwasababu hili swala dogo alikuwa sirious

  • @emmamasonga4847

    @emmamasonga4847

    Ай бұрын

    Tumepigwa apa ndugu yang 😃😃

  • @OmmySaidy-qg9eu
    @OmmySaidy-qg9euАй бұрын

    Mnazingua

  • @RAMSABOYTZ
    @RAMSABOYTZАй бұрын

    Mshirikini kiadje asa

  • @calebibrahim4111
    @calebibrahim4111Ай бұрын

    Minilijua hii ni kiki ya kusain mkataba wa ubalozi wa ilo duka

  • @user-fr6ix1rb1o
    @user-fr6ix1rb1oАй бұрын

    Chandimu huna akiri unajishusha brand na Kaz zak inshot umeleta utoto

  • @nolanraphael8502
    @nolanraphael8502Ай бұрын

    mshambaa huyuuu chandimuu

  • @MLAWA501
    @MLAWA501Ай бұрын

    Chandimu ww

  • @iddykamona8917
    @iddykamona891722 күн бұрын

    Oya mtajikuta mnapoteza wafuasi

  • @ramadhankombe2643
    @ramadhankombe2643Ай бұрын

    Anajikosha huyo mkojani wasanii wengi washirikina sana.hpo kaambiwa tu akaombe radhi.

  • @ernestgeorge8412
    @ernestgeorge8412Ай бұрын

    Kumbe huyo chandimu mpuuz hana akili, hana adabu mlambe hata Kofi kidgo iwe fundisho kwa watot wasiokua na heshima

  • @QeenPrince-lm7ci
    @QeenPrince-lm7ciАй бұрын

    CHANDIMU WEWE NI MPUMBAVU

  • @Amyomy-od5ry
    @Amyomy-od5ryАй бұрын

    Me nlijua tu una act😅😅😅😅

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146Ай бұрын

    Ona tu.. unavobabaika kuongea

  • @JerryKachenga
    @JerryKachengaАй бұрын

    LETA MZIGO MPYA TUMEPOA SANA DRAMA ZA NN

  • @bakarikisuda4948
    @bakarikisuda4948Ай бұрын

    Alianza Samofi bado kamugisha

  • @habelndumla6236
    @habelndumla6236Ай бұрын

    Dogo kaza acha ujinga

  • @hamadshavuai9236
    @hamadshavuai9236Ай бұрын

    Wacha ujinga

  • @Legends_Interviews
    @Legends_InterviewsАй бұрын

    Kiki😂😂😂

  • @user-hx6lg8cx2y
    @user-hx6lg8cx2yАй бұрын

    Kiki za hovyo

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2uАй бұрын

    Ila nyie mnashindwa kuelewa hawa ni komedi nyie subirien nn kinakuja 😂😂

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146Ай бұрын

    Sindano imemuingia dogo anachek cheka tu/chandim mnafki

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146Ай бұрын

    Tudadavue vp mpumbavu wew unafki huo

  • @Ibrahshayo
    @IbrahshayoАй бұрын

    Dogo limemshuka😂😂😂

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042Ай бұрын

    😂😂😂

  • @user-iz2jh3qw5j
    @user-iz2jh3qw5jАй бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @EdibiliSalum
    @EdibiliSalumАй бұрын

    Ukubwa jalala kwakweli

  • @ip_header
    @ip_headerАй бұрын

    Upuuzi mtupu

  • @BUTILANJIA
    @BUTILANJIAАй бұрын

    Boss hanuni acha upimbi dogo😂😂😂

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146Ай бұрын

    Huyo dogo mnafki tu hana lolote hpo

  • @naibusanga9416
    @naibusanga9416Ай бұрын

    Waoga dawa wengi usemwe wewe

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808Ай бұрын

    Ujinga c o lazma utoke nyute kweli Kwa samofi ilikuwa ivi ivi baadae anakuja sema ilikuwa jokes yaani ujinga mwingi

  • @echosound255
    @echosound255Ай бұрын

    Mpumbavu wewe umemchafua mtu wawatuu

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405Ай бұрын

    Dogo mku**ndu

  • @Peterchila-un2lx

    @Peterchila-un2lx

    Ай бұрын

    Siyo mkundutu huyo ni mkundu kunuka

  • @hezronjoseph405

    @hezronjoseph405

    Ай бұрын

    @@Peterchila-un2lx 😂😂

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887Ай бұрын

    Mh Chandimu apo unatupanga tu muhimu ni Mkojani amekusamehe tu bas ila hayo mngn ni uongo tu,umeomba samahani bas.

  • @saimonwantango9569
    @saimonwantango9569Ай бұрын

    Chandimu kuwa na adabu komaa na mkojani ili upate mwanya wa kutoka,ndo maana wabongo hatubebeki,chandimu bado hujajipata achana na michongo hyo

  • @danielbrizzy
    @danielbrizzyАй бұрын

    😂😂

Келесі