Mkasi | SO9E02 with Fareed Kubanda (Fid Q)
Ойын-сауық
Fareed Kubanda, Wa Kipekee, One of a Kind au kama anavyofahamika kwa wengi Fid-Q, Msanii Mkongwe wa Hip Hop Tanzania mwenye mafanikio makubwa ana machache ya kusema. Msanii alieipandisha Mwanza katika ramani ya kimuziki Tanzania, na mshahiri mahiri mwenye tenzi zenye uzito katika lugha adhimu ya Kiswahili.
Miaka saba bila kushinda tuzo yoyote pamoja na kuteuliwa, na almanusra akate tama, anatukumbusha kuwa mvumilivu hula mbivu.
Fareed anatukumbusha machache kuhusu changamoto ya kujenga familia akitolea mfano mahusiano ya wazazi wake. Fid Q pia anatueleza ni jinsi gani malezi yake yamempa funzo katika jinsi anavyotarajia kumlea mwanawe.
Fid Q ana mengi ya kutushirikisha kuhusu alichofanya kukuza sanaa na vipaji, jinsi gani tutawatambua wale waliopiga hatua na kuitambulisha nchi kisanii. Ni mmoja wa wasanii waliokomaa, na hekima zikitiririka kinywani kwake....msikilize mwenyewe, upate machache!
L . O . V . E
Пікірлер: 36
Huyu jamaa huchoki kumskiliza ,hata show ingekuwa ya masaa 24 nikoradhi kumsikiliza,Brother anamengi yakusema sana.....all in all he is one of my inspiration
Natamani ata kila week Fid angekua tu anakuwa interviewed. Much respect
top MC on the land pamoja na mwamba wa kaskazini Jo Makini heavy so heavy weight champions !!!
Fid Q nakkubali san my brother. Kwan mistari yako imenicha na mimi roma k'" nijifunze kuimba hip hop nakkubal san blazaa
I was really waiting for this and i have already watched it twice, keep up the good work guys. And salute to Fareed, the special one/one of a kind.
One of the realest Mceez..Fareed Kubanda..!
Uko vizuri bhna mziki wako wako tu unaujua jua tu.
NAKUHESHIMU SANA NA NAPENDA SAAANA KAZI ZAKO FID Q
@clausdominic5294
6 жыл бұрын
No one like u bro
huyu jamaa namkubali sana, kwa mawazo yang ningependa afanyie kaz yake ya mzik ulaya
I do love this dude so so so so much
I'm still watching this in 2020
Ngoshaa,,,wewe n elimu tosha
you the king babu
Yap bro kiukweli nimekukubali ila wabongo hatukufanyii haki kimuziki naomba ufikilie vitu vingine vya kufanya ili otoke hapo ulipo nikimaanisha kipato
Weeeeee fid Mimi sijaria kabsa
Ukovizuli kubanda
Nice one Salama tuletee watu kama hawa wanaujua kuongea
fid am hadzabe nakukubali sana.
fid fid mkali man.rispect man
OK,
gud
Msanii wangu bora round zote fid q
hahahahhaaha killa show!
Ni ukueli, creativity bila kusukuma ni bure!!
Salama hilo shati vipi mbona kola zimepishana
Ni ful umakini
ebwana kaka q noma ila cjawai ckia kumtoa dogo chipukiz uko kimya acha izo
fidq is the best rapper hiphop tanzania
@bahatiayenga9181
7 жыл бұрын
mzigwais mymoml
@bahatiayenga9181
7 жыл бұрын
mzigwais mymom
Top Elite Emcee in Africa
g
WTF