Mkasi | SO9E02 with Fareed Kubanda (Fid Q)

Ойын-сауық

Fareed Kubanda, Wa Kipekee, One of a Kind au kama anavyofahamika kwa wengi Fid-Q, Msanii Mkongwe wa Hip Hop Tanzania mwenye mafanikio makubwa ana machache ya kusema. Msanii alieipandisha Mwanza katika ramani ya kimuziki Tanzania, na mshahiri mahiri mwenye tenzi zenye uzito katika lugha adhimu ya Kiswahili.
Miaka saba bila kushinda tuzo yoyote pamoja na kuteuliwa, na almanusra akate tama, anatukumbusha kuwa mvumilivu hula mbivu.
Fareed anatukumbusha machache kuhusu changamoto ya kujenga familia akitolea mfano mahusiano ya wazazi wake. Fid Q pia anatueleza ni jinsi gani malezi yake yamempa funzo katika jinsi anavyotarajia kumlea mwanawe.
Fid Q ana mengi ya kutushirikisha kuhusu alichofanya kukuza sanaa na vipaji, jinsi gani tutawatambua wale waliopiga hatua na kuitambulisha nchi kisanii. Ni mmoja wa wasanii waliokomaa, na hekima zikitiririka kinywani kwake....msikilize mwenyewe, upate machache!
L . O . V . E

Пікірлер: 36

  • @siegfrieddavid6816
    @siegfrieddavid681610 жыл бұрын

    Huyu jamaa huchoki kumskiliza ,hata show ingekuwa ya masaa 24 nikoradhi kumsikiliza,Brother anamengi yakusema sana.....all in all he is one of my inspiration

  • @eramuro4853
    @eramuro485310 жыл бұрын

    Natamani ata kila week Fid angekua tu anakuwa interviewed. Much respect

  • @tumpiliksye
    @tumpiliksye10 жыл бұрын

    top MC on the land pamoja na mwamba wa kaskazini Jo Makini heavy so heavy weight champions !!!

  • @MbuzimbeyaRomak
    @MbuzimbeyaRomak9 ай бұрын

    Fid Q nakkubali san my brother. Kwan mistari yako imenicha na mimi roma k'" nijifunze kuimba hip hop nakkubal san blazaa

  • @deogratiusmkude666
    @deogratiusmkude66610 жыл бұрын

    I was really waiting for this and i have already watched it twice, keep up the good work guys. And salute to Fareed, the special one/one of a kind.

  • @kurutumikuki
    @kurutumikuki10 жыл бұрын

    One of the realest Mceez..Fareed Kubanda..!

  • @mwikamakomba3283
    @mwikamakomba32835 жыл бұрын

    Uko vizuri bhna mziki wako wako tu unaujua jua tu.

  • @rosehillary8742
    @rosehillary87428 жыл бұрын

    NAKUHESHIMU SANA NA NAPENDA SAAANA KAZI ZAKO FID Q

  • @clausdominic5294

    @clausdominic5294

    6 жыл бұрын

    No one like u bro

  • @epafulazacharia5862
    @epafulazacharia586210 жыл бұрын

    huyu jamaa namkubali sana, kwa mawazo yang ningependa afanyie kaz yake ya mzik ulaya

  • @hopeshembi1973
    @hopeshembi197310 жыл бұрын

    I do love this dude so so so so much

  • @michaelmallya5622
    @michaelmallya56224 жыл бұрын

    I'm still watching this in 2020

  • @hassankimega9808
    @hassankimega9808 Жыл бұрын

    Ngoshaa,,,wewe n elimu tosha

  • @saleemkatundu4696
    @saleemkatundu46965 жыл бұрын

    you the king babu

  • @bakarkingwaba5505
    @bakarkingwaba550510 жыл бұрын

    Yap bro kiukweli nimekukubali ila wabongo hatukufanyii haki kimuziki naomba ufikilie vitu vingine vya kufanya ili otoke hapo ulipo nikimaanisha kipato

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda71825 жыл бұрын

    Weeeeee fid Mimi sijaria kabsa

  • @maikojoseph377
    @maikojoseph3773 жыл бұрын

    Ukovizuli kubanda

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy10 жыл бұрын

    Nice one Salama tuletee watu kama hawa wanaujua kuongea

  • @shanisshow1864
    @shanisshow18649 жыл бұрын

    fid am hadzabe nakukubali sana.

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya619410 жыл бұрын

    fid fid mkali man.rispect man

  • @iusajomwakalinga6598
    @iusajomwakalinga65986 жыл бұрын

    OK,

  • @fortunatusmanyanda9398
    @fortunatusmanyanda939810 жыл бұрын

    gud

  • @luciussanga2493
    @luciussanga249310 жыл бұрын

    Msanii wangu bora round zote fid q

  • @kcstarztorch248
    @kcstarztorch24810 жыл бұрын

    hahahahhaaha killa show!

  • @virungamountains
    @virungamountains10 жыл бұрын

    Ni ukueli, creativity bila kusukuma ni bure!!

  • @satohiroshi9598
    @satohiroshi95985 жыл бұрын

    Salama hilo shati vipi mbona kola zimepishana

  • @aruscomp145
    @aruscomp1459 жыл бұрын

    Ni ful umakini

  • @salvatorefridolin9878
    @salvatorefridolin98789 жыл бұрын

    ebwana kaka q noma ila cjawai ckia kumtoa dogo chipukiz uko kimya acha izo

  • @mzigwaismymom2208
    @mzigwaismymom22088 жыл бұрын

    fidq is the best rapper hiphop tanzania

  • @bahatiayenga9181

    @bahatiayenga9181

    7 жыл бұрын

    mzigwais mymoml

  • @bahatiayenga9181

    @bahatiayenga9181

    7 жыл бұрын

    mzigwais mymom

  • @mjombajomba2937
    @mjombajomba293710 жыл бұрын

    Top Elite Emcee in Africa

  • @omaritwaha4599
    @omaritwaha45995 жыл бұрын

    g

  • @joshuaelia1012
    @joshuaelia10128 жыл бұрын

    WTF

Келесі