Kala Jeremiah, Roma, Fid Q na Izzo Bizness Wanapoijadili Siasa
Спорт
Ni mara chache kujua wasanii wana msimamo gani linapokuja suala la muziki na siasa. Wakiwa Kigoma katika Kili Music Tour, wakali wa Hip Hop Kala Jeremiah, Roma, Fid Q na Izzo Bizness walipata nafasi ya kujadili wanavyoichukulia siasa na muziki wa Hip Hop hasa tofauti ya mwanaharakati na mwanasiasa.
Пікірлер: 9
Natamani wasanii wangekuwa wanakaa hivi kujadili mambo kama haya na maendeleo ya mziki kwa ujumla..nice one.
Duh nmeipenda sana
Togetherness in the same table
guud job
@roma Zimbabwe
natamani ningekuwepo
Kala wap kaka Fanya vitu mpe campan roma
daah inapendezA mkifundisha raia wenu kuwa wanamziki wenye mawazo na Taifa kama hawa