Kala Jeremiah, Roma, Fid Q na Izzo Bizness Wanapoijadili Siasa

Спорт

Ni mara chache kujua wasanii wana msimamo gani linapokuja suala la muziki na siasa. Wakiwa Kigoma katika Kili Music Tour, wakali wa Hip Hop Kala Jeremiah, Roma, Fid Q na Izzo Bizness walipata nafasi ya kujadili wanavyoichukulia siasa na muziki wa Hip Hop hasa tofauti ya mwanaharakati na mwanasiasa.

Пікірлер: 9

  • @user-jx3ue2ch2l
    @user-jx3ue2ch2l7 жыл бұрын

    Natamani wasanii wangekuwa wanakaa hivi kujadili mambo kama haya na maendeleo ya mziki kwa ujumla..nice one.

  • @mariethagodwin2273
    @mariethagodwin22737 жыл бұрын

    Duh nmeipenda sana

  • @drshytonagen2357
    @drshytonagen23575 жыл бұрын

    Togetherness in the same table

  • @blacktoto1224
    @blacktoto12249 жыл бұрын

    guud job

  • @saidngumbi6222
    @saidngumbi6222 Жыл бұрын

    @roma Zimbabwe

  • @hassanjamal5630
    @hassanjamal56308 жыл бұрын

    natamani ningekuwepo

  • @baruaniprocessor6805
    @baruaniprocessor68056 жыл бұрын

    Kala wap kaka Fanya vitu mpe campan roma

  • @zakariakalinga2779
    @zakariakalinga27796 жыл бұрын

    daah inapendezA mkifundisha raia wenu kuwa wanamziki wenye mawazo na Taifa kama hawa

Келесі