MITIMINGI # 136 KWA NINI VIJANA WENGI LEO HAWAFANIKIWI?

Mara nyingi vijana wengi wamekuwa wakidharau baadhi ya kazi, wanataka kazi zile za hali ya juu kama vile TRA, BANK n.k, wamekuwa wakidharau zile za hali ya chini.
Vijana wa leo wanalala sana hawafanyi kazi, na wanapenda kufanikiwa. Kanuni ya mafanikio inasema fanya kazi kwa bidii.Neno la Mungu linasema Mungu ataibariki kazi ya mikono yako.
Mchungaji na Mwalimu MITIMINGI p. VHM 0713183939

Пікірлер: 13

  • @albinishirima6981
    @albinishirima69815 жыл бұрын

    Mchunaji asante sana sana mungu akubariki akuzidishie hekima kwa elimu unayoitoa imenisaidia vilivyo shukran sana.

  • @sophiciousmillion3494
    @sophiciousmillion34945 жыл бұрын

    Nabarikiwa sana na mahubiri yako

  • @stanleyamos7505
    @stanleyamos75056 жыл бұрын

    huwa nabarikiwa sana nikiangalia na kupitia clip zako mtandaon nataman siku nihidhurie semina yko

  • @nurunurdin9785
    @nurunurdin97853 жыл бұрын

    Amina

  • @dorcasdavid3004
    @dorcasdavid30045 жыл бұрын

    Mungu akubarikiiii sana tubadilikeee

  • @djersonkatuli8236
    @djersonkatuli82364 жыл бұрын

    Shukrani kwa mashauri!

  • @petermding9000
    @petermding90006 жыл бұрын

    ubarikiwe mchungaj

  • @leticiakibona7055
    @leticiakibona70556 жыл бұрын

    Sema baba tupone

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina58065 жыл бұрын

    Hahaha 😂😂😂 tombo Baba wings wakina mama

  • @focustz4408
    @focustz44085 жыл бұрын

    amani

  • @senawazakalia8903
    @senawazakalia89034 жыл бұрын

    Sema baba wasichana tupone

  • @lukamkahala5434
    @lukamkahala54344 жыл бұрын

    Napendezwa na Mahubiri yako mazuri yanayoakisi Uhalisia wa Maisha ya Leo.

  • @deustutu1162
    @deustutu11626 жыл бұрын

    wambie wanaume surual