MITIMINGI # 136 KWA NINI VIJANA WENGI LEO HAWAFANIKIWI?
Mara nyingi vijana wengi wamekuwa wakidharau baadhi ya kazi, wanataka kazi zile za hali ya juu kama vile TRA, BANK n.k, wamekuwa wakidharau zile za hali ya chini.
Vijana wa leo wanalala sana hawafanyi kazi, na wanapenda kufanikiwa. Kanuni ya mafanikio inasema fanya kazi kwa bidii.Neno la Mungu linasema Mungu ataibariki kazi ya mikono yako.
Mchungaji na Mwalimu MITIMINGI p. VHM 0713183939
Пікірлер: 13
Mchunaji asante sana sana mungu akubariki akuzidishie hekima kwa elimu unayoitoa imenisaidia vilivyo shukran sana.
Nabarikiwa sana na mahubiri yako
huwa nabarikiwa sana nikiangalia na kupitia clip zako mtandaon nataman siku nihidhurie semina yko
Amina
Mungu akubarikiiii sana tubadilikeee
Shukrani kwa mashauri!
ubarikiwe mchungaj
Sema baba tupone
Hahaha 😂😂😂 tombo Baba wings wakina mama
amani
Sema baba wasichana tupone
Napendezwa na Mahubiri yako mazuri yanayoakisi Uhalisia wa Maisha ya Leo.
wambie wanaume surual